Maafisa wa jeshi na polisi washika doria Nairobi, Kenya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Baadhi ya waandamanaji walijaribu kufika katikati mwa jiji la Nairobi nchini Kenya lakini wengi wamezuiwa na polisi.
    Mafisa wa kijeshi pia wanapiga doria kwa magari na kwa miguu Nairobi.
    #bbcswahili #kenya #maadamano
    Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili

Комментарии • 1

  • @thadeimsoma7295
    @thadeimsoma7295 2 месяца назад

    Wakenya mtakuja kujuta mnaangamiza uchumi wenu wenyewe,ruto hana shida,