Maafisa wa jeshi na polisi washika doria Nairobi, Kenya
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Baadhi ya waandamanaji walijaribu kufika katikati mwa jiji la Nairobi nchini Kenya lakini wengi wamezuiwa na polisi.
Mafisa wa kijeshi pia wanapiga doria kwa magari na kwa miguu Nairobi.
#bbcswahili #kenya #maadamano
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Wakenya mtakuja kujuta mnaangamiza uchumi wenu wenyewe,ruto hana shida,