KILELE CHA MAADHIMISHO YA MIAKA 85 YA KANISA LA TAG

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • Kanisa la Tanzania Assemblies Of God (TAG) linatarajia kuadhimisha miaka 85 tangu kuanzishwa kwake mwaka 1939 hapa Tanzania Mnamo tarehe 14, 07, 2024 katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es salaam.
    Akitoa taarifa kwa umma iliyolenga kueleza maadhimisho ya miaka 85 ya TAG, Askofu mkuu wa kanisa hili Dkt Barnabas Mtokambali, amesema pamoja na mafanikio hayo bado taifa lina kila sababu ya kumshukuru Mungu kwa neema ya upendo na amani ambayo imeendelea kuwepo kwa kuzingatia misingi ya utu.

Комментарии • 1

  • @LebahatiSengeo
    @LebahatiSengeo 3 месяца назад

    Amen, Mungu atusaidie kuhudhuria tukio hilo kubwa la kihistoria.