HOUSE GIRL EP 09 | S4 | LOVE STORY 💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 фев 2025
  • #bongomovie #mymother #housegirl

Комментарии • 546

  • @AnsaB-j2m
    @AnsaB-j2m Месяц назад +107

    Wa tano leo 😅😅jamani like za bibi zuu apa🎉🎉

    • @MemoryKamutandi
      @MemoryKamutandi Месяц назад +2

      😂😂😂😂😂. bibi zuu karud 😂😂

    • @AnsaB-j2m
      @AnsaB-j2m Месяц назад +1

      @@MemoryKamutandi tena kwa raha🥳🥳

    • @evarkhanaya7891
      @evarkhanaya7891 Месяц назад +1

      Kazi nzuri sana

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Месяц назад +18

    Nlisema bibi atafanya Kaz yke...ya wakulu...c mmbo yamekua wazi leo... inshaallah mungu atulinde tuvuke mwaka salamu na tuanze mwingi kwa uzima na mafanikio makubwa kupitia NGUVU zake ALLAH...

  • @mamaaanmar1261
    @mamaaanmar1261 Месяц назад +136

    Candy. Huyo aliekuja. Ndio baba krish. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @gracemuusi3421
      @gracemuusi3421 Месяц назад +2

      😅😅😅😅😅

    • @Gloriazawad
      @Gloriazawad Месяц назад +5

      😅😂😅😂😅😂😅baba crish ana vimiguu kama kuku choma 😋🤣😂ongeza limau

    • @ZainaibZawad
      @ZainaibZawad Месяц назад +1

      Babxa😂😂

    • @mamaaanmar1261
      @mamaaanmar1261 Месяц назад +1

      @@gracemuusi3421 🤣🤣🤣

    • @MercyMoraa-v3z
      @MercyMoraa-v3z Месяц назад +1

      😂😂😂

  • @ChancelineNimpaye
    @ChancelineNimpaye Месяц назад +70

    Nawapenda sana jaman mung atusaidie sote kufika mwaka 2025 inshallah tutafika kwauwezo wake allah

  • @HadijaVinyu
    @HadijaVinyu Месяц назад +42

    Baba krishi kaja mwenyewe sasa candy tulia uko kai hausiki😂😂😂😂

  • @LuluPeter-o1t
    @LuluPeter-o1t Месяц назад +22

    Hadi Belinda yupo itazidi kuwa tamuh hii movieee 🔥🔥🔥.

  • @SarahHappy-k1o
    @SarahHappy-k1o Месяц назад +7

    Sania umetulia kweli maua yako❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @naomiyohana7001
    @naomiyohana7001 Месяц назад +11

    Hahahaha,, Kai anavoigiza ulevi ananichekeshaa

  • @rahmaqasim5143
    @rahmaqasim5143 Месяц назад +18

    Candy wataka kumuua baba crish😅😅😅

    • @Saumu-q4p
      @Saumu-q4p Месяц назад

      😅😅😅😅

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 Месяц назад +46

    Zuu sura imemshuka😂😂😂😂makofi kwa bibi zuu ya Christmas 👏👏👏❤❤❤from 🇰🇪 kenya ❤❤

  • @AryonWambui
    @AryonWambui Месяц назад +8

    Baba karish ameitika mwiko wa mwanae 😅😅😅😅😅😂😂😂 candy uchizi wako umefichuka kaa chonjo sasa ujue mbichi na mbivu ndo ngani 😂😂😂 unajaribu kuvurunga ndoa ya khai na zuu kwa laana za mamako kula chuma pekee 😂😂😂😂😂

  • @JulienBaguma-y2s
    @JulienBaguma-y2s Месяц назад +9

    Duuuuu, yaleo imekuwa moto moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 japokuwa imeisha mapema , naomba sana mwenyezi Mungu atuvushe pamoja Mwakani salama naleo nawatakiya ''''Merry Christmas'''kwaote😍😍😍

  • @AishaSad-ck8zk
    @AishaSad-ck8zk Месяц назад +2

    Sema hili zuu ni zurii mash allh😘😘🥰🥰🥰nampendaa adi naumwaaa😇😇🤤🕊🥰

  • @janekanini
    @janekanini Месяц назад +11

    Na mnapenda hii movie yaani dakika moja msha jaa

  • @zuwenakizere4687
    @zuwenakizere4687 Месяц назад +3

    Baba krish kala gongo moja tu na crish aiumpeperusha babake😂😂😂😂

  • @helenajoseph6381
    @helenajoseph6381 Месяц назад +3

    Jaman fanyen kuongeza dakika ata tano tu yan bora wanicheleweshee bumu lakin sio housegirl

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s Месяц назад +3

    Kendy ana muuwa baba krish alafu kendy umeweza sana kucheza chizi we bala ni moto

  • @FrankKyando-z1i
    @FrankKyando-z1i Месяц назад +7

    MUNGU awafungulie milango ya zaidi ya uwekezaji katika tasnia hii ya uigizaji isee nawapenda sana BUSATI tv

  • @Mwanajumahassan-tg3zg
    @Mwanajumahassan-tg3zg Месяц назад +7

    😂😂😂😂😂😂😂candy the realy father amekuja😂😂😂😂pweza asnte kusema ukweli 😂😂😂😂😂😂hata kwakugwi pia kymbe😂😂😂😂😂😂😂😂😂aki busat mwatumaliza na hii movekilasiku inautamu wake nice busattv hoyee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ bibi zuu hongera bila kusahau Tasha aendeleaje saii thnx busat from+254

  • @ggfwtgg1652
    @ggfwtgg1652 Месяц назад +6

    Weee leo kivumbi bbi zuuuu atakiwasha mpaka basi 😅😅nimecheka hapo 😅😅😅

  • @FatumaBahatihassan
    @FatumaBahatihassan Месяц назад +21

    Zuu mimi kama dadaako naomba ujitahidi kuvavizri wenimuke wa Bossi Kay nanguo nyeusi kichwani bdisha uwemupya tunaao kubariana kwahiri tujuane kwalike
    asante

  • @Najmahnyangasi
    @Najmahnyangasi Месяц назад +1

    Wa mwisho mie jaman ❤❤❤❤❤mambo moto sasa uku daah kai leo umekua na matengeza wallah 😂😂😂😂😂

  • @CarolyneMalala-o6x
    @CarolyneMalala-o6x Месяц назад +16

    Hapo sasa bibi yake Zuuu pokea maua🎉🎉🎉🎉ukweli ujulikane hapana kuhatarisha maisha ya Kai

  • @TunuBukuku
    @TunuBukuku Месяц назад +41

    jamani bibi zuu ananifurahisha anapoongea na mizimu ya kwao

  • @hajathhajiselemani3019
    @hajathhajiselemani3019 Месяц назад +4

    House girl ni moto ,,,,,,busati nawapenda bure,,,,,, naombeni like kidg jmn

  • @شاميمشاميم-ر9ت
    @شاميمشاميم-ر9ت Месяц назад +6

    Jèe kibendu umeyanyaga ya moto eee yamekuchoma mweneye 😂😂😂😂😂ni humu tu we huogopi 😂😂😂😂😂

  • @MwanakomboAli-p5e
    @MwanakomboAli-p5e Месяц назад +3

    Bibi mpe kichapo uyo rasta😂😂

  • @JosephineMomanyi-jp8tv
    @JosephineMomanyi-jp8tv Месяц назад +2

    Mweñye amempea kendi mimba amejileta mwenyewe ❤❤❤kipendu tulia junga ndoa yako ajana kendi

  • @Mwanamisi-q6y
    @Mwanamisi-q6y Месяц назад +3

    Kunoma sanaaa...tuwape mauwa yao Wana busati❤❤🎉🎉🎉🎉toka 🇰🇪

  • @MwanamisiMunnah-x3v
    @MwanamisiMunnah-x3v Месяц назад

    Wallah house girl hii ni moto kinoma yani..hongeren wahusika nyote maua yenu ila zaidi bibi zuu🎉🎉❤

  • @GloryKamathi-k7q
    @GloryKamathi-k7q Месяц назад

    House girl sahi mnawaka Moto,,,,mnawnza turushia episode ata mbili siku,,,,much love,,,,,hongereni sana watu wetu

  • @MwanajumaMwinzi
    @MwanajumaMwinzi Месяц назад +2

    Kazi nzuri ila mnatucheleweshea sna

  • @HoHo-l1r
    @HoHo-l1r Месяц назад

    Huu moto 🔥🔥🔥 leo umewashwa vilivyo ndoa zinaharibika to zuri kabaki sula ndogo kama njia ya chooni...

  • @AAl-r1s
    @AAl-r1s Месяц назад +2

    hongeren busat movie imefika patamu yan❤❤

  • @JusterNovatus
    @JusterNovatus Месяц назад +4

    Mnajua kunifurahisha Mimi jamooon nyie watu kheeee episode inatoka on time shwaaaaaa🥰🥰🥰🥰🥰

  • @PriscaEmmanuel-fh4yn
    @PriscaEmmanuel-fh4yn Месяц назад +5

    Naomba like na mm

  • @ShamimShamy
    @ShamimShamy Месяц назад

    Zuu umeona hasira hasar Maneno ulomwambia mmeo pia mim sjayapenda, afu kendy mbon walazimisha Maji kupanda mlima kay❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉

  • @ShakuurRayyan
    @ShakuurRayyan Месяц назад +1

    Wllh candy apew tunzo anayiboresh San hii movie wllh🎉🎉🎉et kamba y viatu kayivaa kiunon😂😂😂😂

  • @aishalovesesibe
    @aishalovesesibe Месяц назад +13

    Bibi zuuuu ananivunjaka mbavu kwakweri arafu mizimu yake ayijawayi kusema uwongo👊🇸🇦🇧🇮🥰

  • @KalistaKitta
    @KalistaKitta Месяц назад +6

    Nimekua wa kwanza, likes zenu jmn

  • @AsmaJuma-w4i
    @AsmaJuma-w4i Месяц назад +6

    Mi nikajua nimewahi❤😂🎉

  • @dottojoachim
    @dottojoachim Месяц назад +1

    pweza kayatimba aise uwiiii, ila saini kaokoka kwelikweli hongera sania umeleta funzo kubwa sana

  • @ElizabethDaudi-b6v
    @ElizabethDaudi-b6v Месяц назад +9

    Saluti kwa bibiake zuu🔥💪

  • @MasauShida
    @MasauShida Месяц назад +2

    Kazi nzuri sana team Busati tv🇹🇿

  • @MgaluKumbu
    @MgaluKumbu Месяц назад +2

    Kwasasa nampenda San sania il candy wew unaboa san

  • @MichaelLutonja-i3g
    @MichaelLutonja-i3g Месяц назад

    Safi sana kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤

  • @BadriaMaulid-r1o
    @BadriaMaulid-r1o Месяц назад

    So kuliwe kwa mwari t at kwa kungwi kuliweee😂😂 weeeh pweza weeeeh😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @Violethmsafiri
    @Violethmsafiri Месяц назад +6

    Kaz nzur

  • @SalmahLuvuno
    @SalmahLuvuno Месяц назад +4

    Nkadhan n Kai 😂😂😂 kumbe ND bba mtoto kajleta

  • @ladye7464
    @ladye7464 Месяц назад

    İi kali nimeipenda kinoma ❤😂yn baba krish umejuwa kunifuraisha

  • @UmaziMdzomba
    @UmaziMdzomba Месяц назад

    Hongereni sna kwa kazi nzuri 🎉

  • @Sajdayusuf
    @Sajdayusuf Месяц назад +2

    Tobaaaaaa mambo hadharan cand aibu 😅😅😅😅😅

  • @MaziamJororo
    @MaziamJororo Месяц назад +4

    Candy nakupenda Bure 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂

  • @Mungumwema-g9p
    @Mungumwema-g9p Месяц назад

    Nafasi ya bibi naielewa vizuri kabisaa unajua mzimu sio ushirikina ndomaana Kuna baadhi ya familia ukiwafanyia ubaya yanawarudia ila Mungu hua anatusaidia sana

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Месяц назад

    Nawatakia herii ya christmas and new year 🎄🎄🎄🎄🎆🎇🎁🎁🎁🎄🎄🎍🎍 bibi zuu pokea maa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉♥️♥️♥️

  • @NgalamnyaziScolasticah
    @NgalamnyaziScolasticah Месяц назад

    Zuu sema kuumbuka na maneno machafu uliyorushia mumeo,haya utamwangaliaje hivi😂😂😂

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 Месяц назад

    Bii zuu umejuwa umejuwa tena🎉❤❤kibendu ulichokuwa ukifanyia wenzio leo yamekurudia😢

  • @MalkaNinik
    @MalkaNinik Месяц назад

    Hii move bila candy na bibi zuu hainogi nampenda sana sania alivyo badilika

  • @MwanamisiMuna
    @MwanamisiMuna Месяц назад

    Jaman mwenzenu nmeisha n kucheka tu😂😂😂😂 leo,,kibendu ubaya ubwela

  • @SevidaEmmanuel
    @SevidaEmmanuel Месяц назад

    Mm nmemc Kaka Tasha na Zatiti na mama Tasha❤, pia nmefurah ukwl kujulikana

  • @abdurahmanabdurahman-z7o
    @abdurahmanabdurahman-z7o Месяц назад

    Bibi zuu anatisha Kaz nzur sana 🎉🎉🎉🎉

  • @everlinenjuguna2281
    @everlinenjuguna2281 Месяц назад +14

    Huyu jamaa angeambia tu kibendu ukweli,,,,amazing mwaonaje jamani

    • @DivineIngabire-lj3sr
      @DivineIngabire-lj3sr Месяц назад

      Aca bibi zuu atamunyisha wakiendelea kutafuta kai wake

    • @SalamaSally
      @SalamaSally Месяц назад

      Kweli kai angejua ukweli

    • @BadmanPak-h3x
      @BadmanPak-h3x Месяц назад

      Soon kuliwe Kwa mwari tu na Kwa kungwi pia kuliwe ,aa kibendu lako ilo

  • @fatumakushonda4277
    @fatumakushonda4277 Месяц назад +1

    Wasambongo wamesaidia pakubwa sana😂😂😂😂🎉

  • @LenatusAbeli-v7h
    @LenatusAbeli-v7h Месяц назад +5

    Wakwanza Mimi naomba like ❤

  • @MealiiOmar
    @MealiiOmar Месяц назад

    Candy baba Krishi kaja mwenyew geto😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @BrendaMogambi
    @BrendaMogambi Месяц назад +5

    Wa kwanza leo nimewahi 😂😂😂naombeni like

  • @SharifaMuhamed-z4c
    @SharifaMuhamed-z4c Месяц назад

    Kweli mama ni mama candy kabakwa kamzaa candy 😂sai candy nae kabakwa 😂😂😂atamzaa nani😂😂😂

  • @GalaxyA-ve8tu
    @GalaxyA-ve8tu Месяц назад +1

    Wanajua jamani mauwa yenu 🎉🎉❤❤

  • @wardasalumidiwardaidi9635
    @wardasalumidiwardaidi9635 Месяц назад +1

    ❤❤❤bobu love ❣️ bola ukeli😊😊😊

  • @LovelyCows-dq2uv
    @LovelyCows-dq2uv Месяц назад

    Kibendu😂😂😂😂😂😂😂 kimekushuka kwamwari huriwa na kwakunqwi huriwa 😂😂😂😂😂

  • @yuvinalishmasanya1526
    @yuvinalishmasanya1526 Месяц назад

    This time round ni Kali Kali tu, ausio❤❤

  • @JazilaHassani
    @JazilaHassani Месяц назад

    Nawapenda bureeee busati kazi nzr❤❤❤❤

  • @TumusiimweLILIAN
    @TumusiimweLILIAN Месяц назад +5

    Pweza kujia soda 🥤🥤🥤

  • @jamillawesonga7638
    @jamillawesonga7638 Месяц назад

    Weeeeeeeeh hii n moto kama pasi😂😂😂😂😂

  • @MrsMariam-x2s
    @MrsMariam-x2s Месяц назад

    Bibi zuu bibietu nikupe nni bibi yangu nakupenda umenigesha sana hii mv

  • @ARa-k8h
    @ARa-k8h Месяц назад +17

    Jamani tangu nilianza kufwatiliya mouvie za kizazi kipia hawa busati tv ni hatari sana aswa iyi hause g

  • @mabagamendez1156
    @mabagamendez1156 Месяц назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ bibi zuu nmukubar sana

  • @Gsh-ov2ut
    @Gsh-ov2ut Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂Yaani hii ya leo moto kubakana kuuwana Woooiiiiiii marry christmas and happy new year 🎆🎆🎇🎆🎆🎇🎁🎄🎄🎄🎁🎁🎇🎇🎁🎄🎄🎁🎇🎆🎆🎁🎄🎄🎁🎆🎁🎄🎄

  • @athmansafari4700
    @athmansafari4700 Месяц назад +1

    Kazi nzuri sana

  • @tonykonki1437
    @tonykonki1437 Месяц назад

    🎉saluti kwa bi zuu naipenda hio mizimu yako sana .

  • @زينه-ل4ح
    @زينه-ل4ح Месяц назад

    Nakukubali bib zuuuu❤❤❤

  • @glorykimweri4846
    @glorykimweri4846 Месяц назад +2

    Zuu kaaibikaaaa😂😂😂😂

  • @Moruridorine
    @Moruridorine Месяц назад +1

    Baba krish amefika kwa shem😂😂😂😂😂

  • @KaburaNice-or7gj
    @KaburaNice-or7gj Месяц назад +1

    Kendi umemuuwa baba krish we mjinga😂😂😂😂

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص Месяц назад

    😂😂😂😂bibi zuu kayayuka kija karopoka😂😂😂

  • @KemmyMercy-my9uf
    @KemmyMercy-my9uf 23 дня назад

    Nafurahia kubadilika kwa shania❤❤

  • @Emmy-m1x
    @Emmy-m1x Месяц назад

    kibendu jamani 😢😢😢 ushaaribiwa tena utamwambia nn keina mpk akuelew😮😮😮

  • @adoricakalenzi985
    @adoricakalenzi985 Месяц назад +1

    Aya Sasa baba Chris kajitokeza😅😅😅
    Bibi zuu shikamooo

  • @JescaMarykarisa
    @JescaMarykarisa Месяц назад

    Hongera sana bibi zuu🎉❤

  • @AminaMwamgodza
    @AminaMwamgodza Месяц назад +1

    Ila candy upo sawa ,🙌

  • @StarciaAvitosh
    @StarciaAvitosh Месяц назад

    Nawapenda sana🥰✍️

  • @NeemaEli-wl1dz
    @NeemaEli-wl1dz Месяц назад +4

    Wakwaza leo naombeni laiki

  • @ZZawadi-s5v
    @ZZawadi-s5v Месяц назад +2

    Maua kwa bb zuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AgnethaPeter
    @AgnethaPeter Месяц назад

    Wanawake tupunguze maneno kwa waume zetu 😅😅😅😅 zuuu jamani umeona????
    Haya baba Krish usife bhana hii kes inakuhusu

  • @PhilbertHabonimana-o1z
    @PhilbertHabonimana-o1z Месяц назад +1

    Kend amemuona baba clish 😂😂😂😂

  • @AishaRashed-m5o
    @AishaRashed-m5o Месяц назад +1

    Kibendu kimemshuka shuu😂😂😂😂

  • @زينه-ل4ح
    @زينه-ل4ح Месяц назад

    😂😂😂kibed anajiwagiy maj😅😅😅

  • @shamyalley2091
    @shamyalley2091 Месяц назад +2

    Wa 20 mnipe 🎉🎉🎉yangu😂😂😂

  • @aishaomar2287
    @aishaomar2287 Месяц назад

    Pweza kajipalia makaa😂😂😂 ncheke ka mazuri😊 🙌...zuu uso umekushuka,shuu!

  • @pyelesyamwakatika540
    @pyelesyamwakatika540 26 дней назад

    Kibendu kimekulamba 😁😁 et hata vyakungwi viliwe