Nlisema bibi atafanya Kaz yke...ya wakulu...c mmbo yamekua wazi leo... inshaallah mungu atulinde tuvuke mwaka salamu na tuanze mwingi kwa uzima na mafanikio makubwa kupitia NGUVU zake ALLAH...
Baba karish ameitika mwiko wa mwanae 😅😅😅😅😅😂😂😂 candy uchizi wako umefichuka kaa chonjo sasa ujue mbichi na mbivu ndo ngani 😂😂😂 unajaribu kuvurunga ndoa ya khai na zuu kwa laana za mamako kula chuma pekee 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂candy the realy father amekuja😂😂😂😂pweza asnte kusema ukweli 😂😂😂😂😂😂hata kwakugwi pia kymbe😂😂😂😂😂😂😂😂😂aki busat mwatumaliza na hii movekilasiku inautamu wake nice busattv hoyee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ bibi zuu hongera bila kusahau Tasha aendeleaje saii thnx busat from+254
Nafasi ya bibi naielewa vizuri kabisaa unajua mzimu sio ushirikina ndomaana Kuna baadhi ya familia ukiwafanyia ubaya yanawarudia ila Mungu hua anatusaidia sana
Wa tano leo 😅😅jamani like za bibi zuu apa🎉🎉
😂😂😂😂😂. bibi zuu karud 😂😂
@@MemoryKamutandi tena kwa raha🥳🥳
Kazi nzuri sana
Nlisema bibi atafanya Kaz yke...ya wakulu...c mmbo yamekua wazi leo... inshaallah mungu atulinde tuvuke mwaka salamu na tuanze mwingi kwa uzima na mafanikio makubwa kupitia NGUVU zake ALLAH...
Candy. Huyo aliekuja. Ndio baba krish. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅😅
😅😂😅😂😅😂😅baba crish ana vimiguu kama kuku choma 😋🤣😂ongeza limau
Babxa😂😂
@@gracemuusi3421 🤣🤣🤣
😂😂😂
Nawapenda sana jaman mung atusaidie sote kufika mwaka 2025 inshallah tutafika kwauwezo wake allah
Inshaallah
Amin
😂😂😂
Ameni
Inshallah
Baba krishi kaja mwenyewe sasa candy tulia uko kai hausiki😂😂😂😂
Kweli tna
Baba Krish kajaaa 😂
Hadi Belinda yupo itazidi kuwa tamuh hii movieee 🔥🔥🔥.
Sania umetulia kweli maua yako❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hahahaha,, Kai anavoigiza ulevi ananichekeshaa
Candy wataka kumuua baba crish😅😅😅
😅😅😅😅
Zuu sura imemshuka😂😂😂😂makofi kwa bibi zuu ya Christmas 👏👏👏❤❤❤from 🇰🇪 kenya ❤❤
Hongera sana bibi zui
😂😂😂😂😂
Zuchubaby
👏👏👏👏👏
👏👏👏👏👏
Baba karish ameitika mwiko wa mwanae 😅😅😅😅😅😂😂😂 candy uchizi wako umefichuka kaa chonjo sasa ujue mbichi na mbivu ndo ngani 😂😂😂 unajaribu kuvurunga ndoa ya khai na zuu kwa laana za mamako kula chuma pekee 😂😂😂😂😂
Kabisa 😂😂😂😂
Duuuuu, yaleo imekuwa moto moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 japokuwa imeisha mapema , naomba sana mwenyezi Mungu atuvushe pamoja Mwakani salama naleo nawatakiya ''''Merry Christmas'''kwaote😍😍😍
😍😍😍
Sema hili zuu ni zurii mash allh😘😘🥰🥰🥰nampendaa adi naumwaaa😇😇🤤🕊🥰
Na mnapenda hii movie yaani dakika moja msha jaa
Baba krish kala gongo moja tu na crish aiumpeperusha babake😂😂😂😂
Jaman fanyen kuongeza dakika ata tano tu yan bora wanicheleweshee bumu lakin sio housegirl
Kendy ana muuwa baba krish alafu kendy umeweza sana kucheza chizi we bala ni moto
MUNGU awafungulie milango ya zaidi ya uwekezaji katika tasnia hii ya uigizaji isee nawapenda sana BUSATI tv
❤❤❤
😂😂😂😂😂😂😂candy the realy father amekuja😂😂😂😂pweza asnte kusema ukweli 😂😂😂😂😂😂hata kwakugwi pia kymbe😂😂😂😂😂😂😂😂😂aki busat mwatumaliza na hii movekilasiku inautamu wake nice busattv hoyee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ bibi zuu hongera bila kusahau Tasha aendeleaje saii thnx busat from+254
Weee leo kivumbi bbi zuuuu atakiwasha mpaka basi 😅😅nimecheka hapo 😅😅😅
Zuu mimi kama dadaako naomba ujitahidi kuvavizri wenimuke wa Bossi Kay nanguo nyeusi kichwani bdisha uwemupya tunaao kubariana kwahiri tujuane kwalike
asante
Wa mwisho mie jaman ❤❤❤❤❤mambo moto sasa uku daah kai leo umekua na matengeza wallah 😂😂😂😂😂
Hapo sasa bibi yake Zuuu pokea maua🎉🎉🎉🎉ukweli ujulikane hapana kuhatarisha maisha ya Kai
jamani bibi zuu ananifurahisha anapoongea na mizimu ya kwao
Na nimganga kwel
Kweli @@AngelMbwec
Wasabogo 😅😅
House girl ni moto ,,,,,,busati nawapenda bure,,,,,, naombeni like kidg jmn
Jèe kibendu umeyanyaga ya moto eee yamekuchoma mweneye 😂😂😂😂😂ni humu tu we huogopi 😂😂😂😂😂
Hahahahaa
😂😂😂😂😂 humuu tuuuu
Bibi mpe kichapo uyo rasta😂😂
Mweñye amempea kendi mimba amejileta mwenyewe ❤❤❤kipendu tulia junga ndoa yako ajana kendi
Kunoma sanaaa...tuwape mauwa yao Wana busati❤❤🎉🎉🎉🎉toka 🇰🇪
❤❤❤
Wallah house girl hii ni moto kinoma yani..hongeren wahusika nyote maua yenu ila zaidi bibi zuu🎉🎉❤
House girl sahi mnawaka Moto,,,,mnawnza turushia episode ata mbili siku,,,,much love,,,,,hongereni sana watu wetu
Kazi nzuri ila mnatucheleweshea sna
Huu moto 🔥🔥🔥 leo umewashwa vilivyo ndoa zinaharibika to zuri kabaki sula ndogo kama njia ya chooni...
hongeren busat movie imefika patamu yan❤❤
Mnajua kunifurahisha Mimi jamooon nyie watu kheeee episode inatoka on time shwaaaaaa🥰🥰🥰🥰🥰
Kweza ume ji tetea baba Candy nmkeo
Naomba like na mm
Zuu umeona hasira hasar Maneno ulomwambia mmeo pia mim sjayapenda, afu kendy mbon walazimisha Maji kupanda mlima kay❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Wllh candy apew tunzo anayiboresh San hii movie wllh🎉🎉🎉et kamba y viatu kayivaa kiunon😂😂😂😂
Bibi zuuuu ananivunjaka mbavu kwakweri arafu mizimu yake ayijawayi kusema uwongo👊🇸🇦🇧🇮🥰
😂😂😂😂 kwel
Nimekua wa kwanza, likes zenu jmn
Mi nikajua nimewahi❤😂🎉
pweza kayatimba aise uwiiii, ila saini kaokoka kwelikweli hongera sania umeleta funzo kubwa sana
Saluti kwa bibiake zuu🔥💪
Kazi nzuri sana team Busati tv🇹🇿
Kwasasa nampenda San sania il candy wew unaboa san
Safi sana kazi nzuri 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 ❤❤❤❤
So kuliwe kwa mwari t at kwa kungwi kuliweee😂😂 weeeh pweza weeeeh😅😅😅😅😅😅😅😅
Kaz nzur
Nkadhan n Kai 😂😂😂 kumbe ND bba mtoto kajleta
İi kali nimeipenda kinoma ❤😂yn baba krish umejuwa kunifuraisha
Hongereni sna kwa kazi nzuri 🎉
Tobaaaaaa mambo hadharan cand aibu 😅😅😅😅😅
Candy nakupenda Bure 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂
Nafasi ya bibi naielewa vizuri kabisaa unajua mzimu sio ushirikina ndomaana Kuna baadhi ya familia ukiwafanyia ubaya yanawarudia ila Mungu hua anatusaidia sana
Nawatakia herii ya christmas and new year 🎄🎄🎄🎄🎆🎇🎁🎁🎁🎄🎄🎍🎍 bibi zuu pokea maa yako🎉🎉🎉🎉🎉🎉♥️♥️♥️
Zuu sema kuumbuka na maneno machafu uliyorushia mumeo,haya utamwangaliaje hivi😂😂😂
Bii zuu umejuwa umejuwa tena🎉❤❤kibendu ulichokuwa ukifanyia wenzio leo yamekurudia😢
Hii move bila candy na bibi zuu hainogi nampenda sana sania alivyo badilika
Jaman mwenzenu nmeisha n kucheka tu😂😂😂😂 leo,,kibendu ubaya ubwela
Mm nmemc Kaka Tasha na Zatiti na mama Tasha❤, pia nmefurah ukwl kujulikana
Bibi zuu anatisha Kaz nzur sana 🎉🎉🎉🎉
Huyu jamaa angeambia tu kibendu ukweli,,,,amazing mwaonaje jamani
Aca bibi zuu atamunyisha wakiendelea kutafuta kai wake
Kweli kai angejua ukweli
Soon kuliwe Kwa mwari tu na Kwa kungwi pia kuliwe ,aa kibendu lako ilo
Wasambongo wamesaidia pakubwa sana😂😂😂😂🎉
Wakwanza Mimi naomba like ❤
Candy baba Krishi kaja mwenyew geto😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wa kwanza leo nimewahi 😂😂😂naombeni like
Kweli mama ni mama candy kabakwa kamzaa candy 😂sai candy nae kabakwa 😂😂😂atamzaa nani😂😂😂
Wanajua jamani mauwa yenu 🎉🎉❤❤
❤❤❤bobu love ❣️ bola ukeli😊😊😊
Kibendu😂😂😂😂😂😂😂 kimekushuka kwamwari huriwa na kwakunqwi huriwa 😂😂😂😂😂
This time round ni Kali Kali tu, ausio❤❤
Nawapenda bureeee busati kazi nzr❤❤❤❤
Pweza kujia soda 🥤🥤🥤
Weeeeeeeeh hii n moto kama pasi😂😂😂😂😂
Bibi zuu bibietu nikupe nni bibi yangu nakupenda umenigesha sana hii mv
Jamani tangu nilianza kufwatiliya mouvie za kizazi kipia hawa busati tv ni hatari sana aswa iyi hause g
❤❤❤
Umeonaee
Na busatitv,na dontatv,baba Joan team tatu hizi zikiungana wakafanya kitu kimoja kitauwa sana
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ bibi zuu nmukubar sana
😂😂😂😂😂😂Yaani hii ya leo moto kubakana kuuwana Woooiiiiiii marry christmas and happy new year 🎆🎆🎇🎆🎆🎇🎁🎄🎄🎄🎁🎁🎇🎇🎁🎄🎄🎁🎇🎆🎆🎁🎄🎄🎁🎆🎁🎄🎄
Kazi nzuri sana
🎉saluti kwa bi zuu naipenda hio mizimu yako sana .
Nakukubali bib zuuuu❤❤❤
Zuu kaaibikaaaa😂😂😂😂
Baba krish amefika kwa shem😂😂😂😂😂
Kendi umemuuwa baba krish we mjinga😂😂😂😂
😂😂😂😂bibi zuu kayayuka kija karopoka😂😂😂
Nafurahia kubadilika kwa shania❤❤
kibendu jamani 😢😢😢 ushaaribiwa tena utamwambia nn keina mpk akuelew😮😮😮
Aya Sasa baba Chris kajitokeza😅😅😅
Bibi zuu shikamooo
Hongera sana bibi zuu🎉❤
Ila candy upo sawa ,🙌
Nawapenda sana🥰✍️
Wakwaza leo naombeni laiki
Maua kwa bb zuu🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wanawake tupunguze maneno kwa waume zetu 😅😅😅😅 zuuu jamani umeona????
Haya baba Krish usife bhana hii kes inakuhusu
Kend amemuona baba clish 😂😂😂😂
Kibendu kimemshuka shuu😂😂😂😂
😂😂😂kibed anajiwagiy maj😅😅😅
Wa 20 mnipe 🎉🎉🎉yangu😂😂😂
Pweza kajipalia makaa😂😂😂 ncheke ka mazuri😊 🙌...zuu uso umekushuka,shuu!
Kibendu kimekulamba 😁😁 et hata vyakungwi viliwe