Mwanza nao waliamsha maduka yafungwa tazama hali ilivyo
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- Siku moja baada ya wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam kugoma na kufunga maduka, hatimaye wafanyabiashara jijini Mwanza nao wamefunga maduka.
Mwananchi Digital imepita katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo na kubaini kutofunguliwa kwa maduka katika baadhi ya mitaa ikiwamo ya Kaluta, Rwagasore, Nyerere Plaza, Uhuru, Liberty na Kenyatta.
Endelea kufuatilia Mwananchi Digital
Fungeni mlale usingizi kabisa 😂😂
Safi sana. Wanafikiri watu hawana akili wote mazuzu? Tunateseka sana na kodi ya mwigulu.
Na DODOMA pia tumefunga
Hatufungui maduka tumechok wanachukulia kitu lahis
NI UPUUZ SAS UKIFUNGA UNAMKOMOA NAN WENGINE MMECHUKUA MIKOPO BENK AF ET MNAFUNGA BIASHARA SOMETIME TUMIEN AKILI SIO MATOPE HAPO HAMUIKOMOI SELIKAL
tumechoka wana siasa wamezidi kutuibia mitaji yetu kwa jina la Kodi
WANAMAKUSUDI SANA WANATUFILISI KAMA HATUNA HAKI YA KUISHI
Tuandamane kwenda ikulu
Mama hana pa.kutokea.kule Zanzimbar Kuna eneo linaitwa mchamba wima.Ccm mwaka huu watachamba wima,yamewakuta.
Na uku nlipo tumefunga wamezoea kutubana 😂
Mwanza msiige san kariakoo...dar ndiyo moyo wa Tz nyie mnawez mkapotezew tu ad njaa iwapge mkome mtaja fungua wenyew
Wewe endelea kula kande huko Mbeya, hakuna wa kuipotezea Mwanza ambalo ndio Jiji la pili lnalowapa Mapato hao unaosema watatupotezea
@@SuleAmber-lw2tx saw boss
Mmh mbona migomo imezdi?
Safi, serikali inaumiza wafanyabiashara
😅😅😅 kumbe nawasukuma mmeelimika
Kumbe kufunga maduka ni kuelimika 😂😂 nyie watu wa Dar mnatabu kweliii sisi tumeamua tu kufunga maduka yetu tupumzke wala hatujaelimika😅 na hatuna shida kbs 😮 ukichoka kusalimia huko Dar rudi kwenu Mbeya sawa 😂 afu ukija Mwanza tukutoe ushamba urudi kusimulia huko Mbeya 😂
Safi sana