Mwanza nao waliamsha maduka yafungwa tazama hali ilivyo

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • Siku moja baada ya wafanyabiashara wa Kariakoo jijini Dar es Salaam kugoma na kufunga maduka, hatimaye wafanyabiashara jijini Mwanza nao wamefunga maduka.
    Mwananchi Digital imepita katika maeneo mbalimbali ya jiji hilo na kubaini kutofunguliwa kwa maduka katika baadhi ya mitaa ikiwamo ya Kaluta, Rwagasore, Nyerere Plaza, Uhuru, Liberty na Kenyatta.
    Endelea kufuatilia Mwananchi Digital

Комментарии • 18

  • @majaliwabwitonde6900
    @majaliwabwitonde6900 3 месяца назад +3

    Fungeni mlale usingizi kabisa 😂😂

  • @verdianabanabi2205
    @verdianabanabi2205 3 месяца назад +3

    Safi sana. Wanafikiri watu hawana akili wote mazuzu? Tunateseka sana na kodi ya mwigulu.

  • @FrankSamson-r6s
    @FrankSamson-r6s 3 месяца назад +3

    Na DODOMA pia tumefunga

  • @MpungaMpunga-c3i
    @MpungaMpunga-c3i 3 месяца назад

    Hatufungui maduka tumechok wanachukulia kitu lahis

  • @exaverysimon1064
    @exaverysimon1064 3 месяца назад

    NI UPUUZ SAS UKIFUNGA UNAMKOMOA NAN WENGINE MMECHUKUA MIKOPO BENK AF ET MNAFUNGA BIASHARA SOMETIME TUMIEN AKILI SIO MATOPE HAPO HAMUIKOMOI SELIKAL

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 3 месяца назад

    tumechoka wana siasa wamezidi kutuibia mitaji yetu kwa jina la Kodi

  • @MasoudSultan-ks6kc
    @MasoudSultan-ks6kc 3 месяца назад

    WANAMAKUSUDI SANA WANATUFILISI KAMA HATUNA HAKI YA KUISHI

  • @frankpeter-of8xp
    @frankpeter-of8xp 3 месяца назад

    Tuandamane kwenda ikulu

  • @AthanaseKiyoja
    @AthanaseKiyoja 3 месяца назад

    Mama hana pa.kutokea.kule Zanzimbar Kuna eneo linaitwa mchamba wima.Ccm mwaka huu watachamba wima,yamewakuta.

  • @ZakariaSimon-gp1gr
    @ZakariaSimon-gp1gr 3 месяца назад

    Na uku nlipo tumefunga wamezoea kutubana 😂

  • @jumashedafa
    @jumashedafa 3 месяца назад

    Mwanza msiige san kariakoo...dar ndiyo moyo wa Tz nyie mnawez mkapotezew tu ad njaa iwapge mkome mtaja fungua wenyew

    • @SuleAmber-lw2tx
      @SuleAmber-lw2tx 3 месяца назад

      Wewe endelea kula kande huko Mbeya, hakuna wa kuipotezea Mwanza ambalo ndio Jiji la pili lnalowapa Mapato hao unaosema watatupotezea

    • @jumashedafa
      @jumashedafa 3 месяца назад

      @@SuleAmber-lw2tx saw boss

  • @michaelkitebo9305
    @michaelkitebo9305 3 месяца назад

    Mmh mbona migomo imezdi?

  • @kalumunakalumuna7403
    @kalumunakalumuna7403 3 месяца назад +1

    Safi, serikali inaumiza wafanyabiashara

  • @AmaniHance
    @AmaniHance 3 месяца назад +1

    😅😅😅 kumbe nawasukuma mmeelimika

    • @SuleAmber-lw2tx
      @SuleAmber-lw2tx 3 месяца назад

      Kumbe kufunga maduka ni kuelimika 😂😂 nyie watu wa Dar mnatabu kweliii sisi tumeamua tu kufunga maduka yetu tupumzke wala hatujaelimika😅 na hatuna shida kbs 😮 ukichoka kusalimia huko Dar rudi kwenu Mbeya sawa 😂 afu ukija Mwanza tukutoe ushamba urudi kusimulia huko Mbeya 😂

  • @NdilanhaBoniphace
    @NdilanhaBoniphace 3 месяца назад +1

    Safi sana