Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Najaribu kuwaza Kwa sauti TU.Huyu ndugu ni mchaga pekee mzalendo Mungu ampe nafasi siku Moja awe waziri mkuu
Waziri lazima awe na appointment ya kumuona rais ndio utaratibu ulivo
Ndiyo kabisa asipewe nafasi hata kidogo ni hatari
Huyu waziri si ni waelimu au kashaahamishwa?!! Shule zote za serikali ni uozo mtupu,waalimu wamejitungia sheria zao wanapiga pesa na maafisa zao dadeki hatufundishi watoto tunalea wakue tu kwa uwezo wa pesa za waliozaa!!!
Kuna vitu havijakaa sasawa upande wa elimu
😢
Hakuna lolote uchawa tu
Huyu waziri kwa age yake tu hapswi kumuabudu Samia,anamzidi kila kitu nahisi hadi watoto. Mara 100 akawa waziri mkuu,majaliwa hafai
Hafai kwa lipi?
Najaribu kuwaza Kwa sauti TU.
Huyu ndugu ni mchaga pekee mzalendo Mungu ampe nafasi siku Moja awe waziri mkuu
Waziri lazima awe na appointment ya kumuona rais ndio utaratibu ulivo
Ndiyo kabisa asipewe nafasi hata kidogo ni hatari
Huyu waziri si ni waelimu au kashaahamishwa?!! Shule zote za serikali ni uozo mtupu,waalimu wamejitungia sheria zao wanapiga pesa na maafisa zao dadeki hatufundishi watoto tunalea wakue tu kwa uwezo wa pesa za waliozaa!!!
Kuna vitu havijakaa sasawa upande wa elimu
😢
Hakuna lolote uchawa tu
Huyu waziri kwa age yake tu hapswi kumuabudu Samia,anamzidi kila kitu nahisi hadi watoto. Mara 100 akawa waziri mkuu,majaliwa hafai
Hafai kwa lipi?