SAMATTA AFUNGA NDOA KIMYAKIMYA DAR

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 13 сен 2024

Комментарии • 77

  • @bekanjechele1554
    @bekanjechele1554 4 года назад +4

    Ndoa ya kiislamu inakamilika kwa mambo matano (1) kukubali anaeowa (2)kukubali anaeolewa (3) idhini ya walihi ( mzazi) (4) mashahidi wawili (5) kuitikia na kukubali muolewaji. zingine mbwembwe tu, Big up mbwana ali samata

  • @stanleyhenrish1055
    @stanleyhenrish1055 4 года назад +2

    Sasa hapa ile midemu iliyo kua inajipendekeza kwa captitho kama nawaona miwivu inavyo mwagika congratulation to my National team capten

  • @herson9343
    @herson9343 4 года назад +13

    Mashallah. Huyu jamaa hana makuu wallahi. Allah amzidishie maarifa na barka

  • @babynkossa5441
    @babynkossa5441 4 года назад +1

    Mashallah,huyu kijana ni wa aina yake,hana mashauzi,ameitawala pesa,sio pesa imemtawala,yaani yuko cool sana,ni mfano wa kuigwa,tabia zake ni za utulivu sana,hongera wazazi kwa malezi mazuri,hata ukiangalia video hii utaona kabisa anamsikiliza mzazi kwa kiwango cha juu sana,na pia mzazi ana maelekezi mazuri sana.Tumwombe Allah amjaalie katika ndoa yake,wawe na kizazi chema na maisha yenye mapenzi halisi.

  • @ramadhaniahmad1797
    @ramadhaniahmad1797 4 года назад +1

    Mwenyezi mungu hawajalie kheri na baraka. .
    Mmetimiza nusu ya dini .
    Hongera sana strike mkali Africa. .
    Alhaji Mbwana Ally Samata

  • @ochogopeter8892
    @ochogopeter8892 4 года назад +4

    Hongera mdogo wangu mungu akujalie kwenye ndoa yako upate watoto wenye hekima

  • @jafarijafari231
    @jafarijafari231 5 лет назад +26

    Hii ndio ndoa. Wakati mwingine kuprosper kiuchumi kusikufanye umkufuru Allah. Ndoa imefuata taratibu za dini kwa mazingitio ya Qur'an na Sunnah. Hakuna masuala ya kupiga muziki, kulewa wala kufanya maasia. Tumeshuhudia ndoa zilizonyingi, takataka za uchafu wa madhambi zikifanyika. Sisi watu tuache na kilichochema tuige. Tumuige Samatta.
    Allah akujalie kher nyingi na mafanikio bora ktk ndoa yako kk.

    • @allyhassan7522
      @allyhassan7522 4 года назад +1

      Hakika wengi wanaojiita waislam wakiruzukiwa kidogo tu kiuchumi basi maadili ya dini yao ndo huweka kando.Nimeipenda sana hii.

    • @jeshilamtu863
      @jeshilamtu863 4 года назад

      Aaaamin

    • @omarinurdin8193
      @omarinurdin8193 4 года назад

      Allah akupe mwisho mwema samatta. Umefanya vzur

  • @vailetmwaka2424
    @vailetmwaka2424 5 лет назад +8

    Hongera sana tena sana allah akujaalie na akulinde na mabalaa

  • @omaryshafii50
    @omaryshafii50 4 года назад +3

    Allah azidi kukuongoza .. Na akupe afya njema udumu ktk maisha ya ndoa, ulichokifanya ni kuonyesha nidhamu ya fedha huna ulimbukeni na dunia .. Big up bro

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 4 года назад +1

    mwenyezi mungu akujalie mke mwema nakizazi chema kinakachukuwa na hafu na Allah well done

  • @sumayafissoo7808
    @sumayafissoo7808 4 года назад +1

    Manshaallah sama goli Allah awatangulie katika maisha mapy ya ndoa

  • @anjelinakasembe845
    @anjelinakasembe845 4 года назад

    Hongera sana Samata na umilionea wote ulionao nimekurahia na simple Harusi yako mungu awape maisha marefu wewe na mke nzuri uamuzi nzuri sana ulioufanya l Salute bro👍👍👍👍👍👌👌

  • @wemalove9049
    @wemalove9049 5 лет назад +7

    Hongera sana kwa kurudi nyumbani kwetu umeweka heshima kubwa

  • @mohammedabdallah6390
    @mohammedabdallah6390 5 лет назад +6

    Mabrouk inshallah ndoa njema

  • @kiluwasalum5002
    @kiluwasalum5002 4 года назад +2

    Safi sana dogo kwa kuingia kwenye chama chetu mungu akujalie dogo

  • @jimjam4162
    @jimjam4162 4 года назад +1

    MASHA ALLAH. ALLAH aibariki ndowa yenu na awape watoto watakao mtwi ALLAH.

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 4 года назад +1

    elf mabrook

  • @ayoubabdull1265
    @ayoubabdull1265 5 лет назад +4

    Hii ndio ndoa haswa Samatta kwa hili hujabadilka,sio kujaza mijitu mipumbav haina maadil eti mastaa pumbav zao ,naona tunga tu kichwan hii ndio taratibu zetu ....wapumbav waache na upumbav wao dunian mapito tu ...nimeipenda san ...

  • @mzeemzee4748
    @mzeemzee4748 5 лет назад +2

    Mabrouk Samata harusi ya heshima na adabu na maadili ya dini ya kiislam sio mastaa wengi masifa na kukumbatiana na wanawake na kucheza nao

  • @halimambena6110
    @halimambena6110 4 года назад +1

    Mabrouk Alf mabrouk mungu awalindie ndoa yenu hd pale kifo kitakapo watenganisha inshaallah

    • @iddmabena6652
      @iddmabena6652 4 года назад

      Allwa akuruzuku kwa ibada hii njema

  • @abuyabally5086
    @abuyabally5086 5 лет назад +3

    harusi nijambo jema limefanywa na wajawema hongera samagoal

  • @shakilakhamis2413
    @shakilakhamis2413 5 лет назад +3

    ma shaa llah hongera sanaa kakaang

  • @keppablanko4701
    @keppablanko4701 4 года назад +1

    Congratulation capitano God bless you

  • @azizauledi4108
    @azizauledi4108 4 года назад

    Hongera sana Allah akuongoze ufate maadili mema ya dini yetu islam mashaa Allah

  • @princessaidal1130
    @princessaidal1130 4 года назад

    Kila LA kheri Samata

  • @salimliemba3458
    @salimliemba3458 4 года назад +2

    Mash Allah mabruk

  • @twahirukilemile8654
    @twahirukilemile8654 4 года назад +3

    mashallah allah akujaalie maisha mazuri weye pamoja na familia yako

  • @abdulihafidhali5379
    @abdulihafidhali5379 4 года назад +1

    Home is home.hongera sana kk

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 4 года назад +2

    Mimi nimeipenda hii harus hana mkuu

  • @haroldukason4302
    @haroldukason4302 4 года назад

    Hakika Mbwana Samatta anajielewa. Ingekuwa wale watoto wadogo wangealika wale wanaokujaga na mabaunsa 8 na kushindana na manguo yasyoelewaka kuleta nuksi kwenye ndoa. Hongera dogo utazid kufika mbali sana.

  • @henedferej2201
    @henedferej2201 4 года назад +1

    Mabrouk

  • @twaakyonlinetv99
    @twaakyonlinetv99 4 года назад +1

    maashaallah

  • @chandeabdallah7064
    @chandeabdallah7064 4 года назад +1

    Hongera samata

  • @aminakhatibu733
    @aminakhatibu733 4 года назад

    Hongera Mbwana Samatta

  • @hafidhharuna9958
    @hafidhharuna9958 4 года назад +1

    Saf sana kaka

  • @muhrajovic752
    @muhrajovic752 4 года назад +1

    Kuna vitu ni vya thamani mno Allah akikupa useme Alhamdulillaah na akimpa mja basi muonee wivu (wivu wenye faida) kama huku' KUTOJIONESHA mbele ya watu

  • @amiramir3860
    @amiramir3860 5 лет назад +1

    Barakallahulakuma

  • @medardjustinian5223
    @medardjustinian5223 4 года назад +1

    Nimependa sana mtindo wa maisha wa familia hii

  • @mathewungani9724
    @mathewungani9724 5 лет назад +3

    Hii ndio Ndoa impendezayo Mungu

  • @maxmaizer4631
    @maxmaizer4631 4 года назад +5

    Ktk ndoa zote nilizo ona zimefata dini ipasavo hiyapa afu ya aina yake usiku usiku

  • @toxkibope9370
    @toxkibope9370 4 года назад

    safi sana kaka njoo chama LA wanaaaa

  • @beatricepallangyo2821
    @beatricepallangyo2821 5 лет назад +1

    Hongera sana

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 5 лет назад +2

    Allah awadumishe kwenye ndoa yenu

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 5 лет назад +2

    Mora akubaliki na akubaliki juu ya mke wako

  • @husseinkarim6745
    @husseinkarim6745 4 года назад

    Samata katunyima pilao

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 года назад

    Ni somo!!!

  • @ibrayakub476
    @ibrayakub476 4 года назад +2

    Mashallha hiyo ndio ndio inayotakiwa sio mpaka kila midia ionyeshe mwisho wa siku kufru kama ilivyokuwa ramadhan kwenye kufuturisha

  • @benjaminpatrick6364
    @benjaminpatrick6364 4 года назад +1

    Mke mbonaaa simwoniiii sasa?

  • @seifsaidi9911
    @seifsaidi9911 4 года назад

    mashaAllah

  • @abdulkarimmbottoni2590
    @abdulkarimmbottoni2590 5 лет назад +1

    Kimya kimya

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 4 года назад

    Huyu kaka anajitambua umefanya vema.kumuoa mama watoto wako huo ndio ubinaadam, hongereni sana ndoa iwe ya heri na baraka tele

  • @mwanamwemaomary6934
    @mwanamwemaomary6934 4 года назад

    Ongera xn,akunaga masifa

  • @michaelmponeja2102
    @michaelmponeja2102 5 лет назад +1

    Sio matangazo mengi kama za wasanii wa kariakoo

  • @minaside6717
    @minaside6717 5 лет назад +2

    Hongera

    • @iddmabena6652
      @iddmabena6652 4 года назад

      Allwa akuruzuku kwa ibada hii njema

  • @edinamutakyawa6872
    @edinamutakyawa6872 4 года назад

    hongera cn

  • @ramadhanabdallah9614
    @ramadhanabdallah9614 4 года назад

    naomba tu nijue iyo qaswida kaimba nani wadau nisaidieni

  • @hasanially9294
    @hasanially9294 5 лет назад +1

    Ume ukimbia ubaro baro

  • @hashimnkanga5722
    @hashimnkanga5722 4 года назад

    kwa salio alilonalo mjomba samata hii ndoa kama amelazimishwa'local sana

    • @salimkhamis3638
      @salimkhamis3638 4 года назад

      Hivyo ndo inavyotakiwa

    • @minaside6717
      @minaside6717 4 года назад +1

      Waislam hatuna makuu, dini imekataza kufanya kufuru hapo alipofanya ni sahihi kabsa.

    • @yasinshaban4933
      @yasinshaban4933 4 года назад +1

      @Hashim Nkanga ulifanikiwa hata kupita madrassa au kuckilza jpo wana zuoni wanasema nn juu ya misingi ya din? Hususan mtu kujifagharisha??

    • @endruwguzula5993
      @endruwguzula5993 4 года назад +1

      huo ndomwisho wauelewa wako inaelekea wewe ungekua napesa ungefungia angani samata sio limbukeni naanajua anachofanya usimzungumzie m2 fanya yako 2one

  • @DIweni
    @DIweni 4 года назад

    Huyu ndo sababu anaelewana na yule jamaa sababu tabia na matumiz ya umaarufu wao vinafanana

  • @hizzamtunguja8133
    @hizzamtunguja8133 4 года назад

    amehalalishiwa maana watoto wawil hakumbuki ndoa, allaah amsamehe

    • @KobbyTz
      @KobbyTz 4 года назад +3

      Zama zimebadilika dunia sasa ina mambo mengi, kuna ndoto na malengo, mipango na mikakati ya maisha katika maisha, pia kusubiri wakati ambao Mungu atakufungulia milango ya kufanya jambo, muda wake umefika baada ya kuweka mambo yake sawa ameamua kufunga ndoa, tumpongeze kwa hilo pasi na kuangalia alipokosea kwani ni Mungu tu ndio anayepaswa kuhukumu.

    • @omaryommy404
      @omaryommy404 4 года назад

      Jibu Zurich sana kk

  • @nickymunuo9134
    @nickymunuo9134 5 лет назад +1

    Kaoa magomeni apa hahahah

  • @ashritaabdallah6474
    @ashritaabdallah6474 5 лет назад +1

    Hongera sana

  • @ahdahmed8383
    @ahdahmed8383 4 года назад

    Maashaallah