Ndoa ya kiislamu inakamilika kwa mambo matano (1) kukubali anaeowa (2)kukubali anaeolewa (3) idhini ya walihi ( mzazi) (4) mashahidi wawili (5) kuitikia na kukubali muolewaji. zingine mbwembwe tu, Big up mbwana ali samata
Mashallah,huyu kijana ni wa aina yake,hana mashauzi,ameitawala pesa,sio pesa imemtawala,yaani yuko cool sana,ni mfano wa kuigwa,tabia zake ni za utulivu sana,hongera wazazi kwa malezi mazuri,hata ukiangalia video hii utaona kabisa anamsikiliza mzazi kwa kiwango cha juu sana,na pia mzazi ana maelekezi mazuri sana.Tumwombe Allah amjaalie katika ndoa yake,wawe na kizazi chema na maisha yenye mapenzi halisi.
Hii ndio ndoa. Wakati mwingine kuprosper kiuchumi kusikufanye umkufuru Allah. Ndoa imefuata taratibu za dini kwa mazingitio ya Qur'an na Sunnah. Hakuna masuala ya kupiga muziki, kulewa wala kufanya maasia. Tumeshuhudia ndoa zilizonyingi, takataka za uchafu wa madhambi zikifanyika. Sisi watu tuache na kilichochema tuige. Tumuige Samatta. Allah akujalie kher nyingi na mafanikio bora ktk ndoa yako kk.
Allah azidi kukuongoza .. Na akupe afya njema udumu ktk maisha ya ndoa, ulichokifanya ni kuonyesha nidhamu ya fedha huna ulimbukeni na dunia .. Big up bro
Hongera sana Samata na umilionea wote ulionao nimekurahia na simple Harusi yako mungu awape maisha marefu wewe na mke nzuri uamuzi nzuri sana ulioufanya l Salute bro👍👍👍👍👍👌👌
Hii ndio ndoa haswa Samatta kwa hili hujabadilka,sio kujaza mijitu mipumbav haina maadil eti mastaa pumbav zao ,naona tunga tu kichwan hii ndio taratibu zetu ....wapumbav waache na upumbav wao dunian mapito tu ...nimeipenda san ...
Hakika Mbwana Samatta anajielewa. Ingekuwa wale watoto wadogo wangealika wale wanaokujaga na mabaunsa 8 na kushindana na manguo yasyoelewaka kuleta nuksi kwenye ndoa. Hongera dogo utazid kufika mbali sana.
Kuna vitu ni vya thamani mno Allah akikupa useme Alhamdulillaah na akimpa mja basi muonee wivu (wivu wenye faida) kama huku' KUTOJIONESHA mbele ya watu
Zama zimebadilika dunia sasa ina mambo mengi, kuna ndoto na malengo, mipango na mikakati ya maisha katika maisha, pia kusubiri wakati ambao Mungu atakufungulia milango ya kufanya jambo, muda wake umefika baada ya kuweka mambo yake sawa ameamua kufunga ndoa, tumpongeze kwa hilo pasi na kuangalia alipokosea kwani ni Mungu tu ndio anayepaswa kuhukumu.
Ndoa ya kiislamu inakamilika kwa mambo matano (1) kukubali anaeowa (2)kukubali anaeolewa (3) idhini ya walihi ( mzazi) (4) mashahidi wawili (5) kuitikia na kukubali muolewaji. zingine mbwembwe tu, Big up mbwana ali samata
Sasa hapa ile midemu iliyo kua inajipendekeza kwa captitho kama nawaona miwivu inavyo mwagika congratulation to my National team capten
Mashallah. Huyu jamaa hana makuu wallahi. Allah amzidishie maarifa na barka
Mashallah,huyu kijana ni wa aina yake,hana mashauzi,ameitawala pesa,sio pesa imemtawala,yaani yuko cool sana,ni mfano wa kuigwa,tabia zake ni za utulivu sana,hongera wazazi kwa malezi mazuri,hata ukiangalia video hii utaona kabisa anamsikiliza mzazi kwa kiwango cha juu sana,na pia mzazi ana maelekezi mazuri sana.Tumwombe Allah amjaalie katika ndoa yake,wawe na kizazi chema na maisha yenye mapenzi halisi.
Mwenyezi mungu hawajalie kheri na baraka. .
Mmetimiza nusu ya dini .
Hongera sana strike mkali Africa. .
Alhaji Mbwana Ally Samata
Hongera mdogo wangu mungu akujalie kwenye ndoa yako upate watoto wenye hekima
Hii ndio ndoa. Wakati mwingine kuprosper kiuchumi kusikufanye umkufuru Allah. Ndoa imefuata taratibu za dini kwa mazingitio ya Qur'an na Sunnah. Hakuna masuala ya kupiga muziki, kulewa wala kufanya maasia. Tumeshuhudia ndoa zilizonyingi, takataka za uchafu wa madhambi zikifanyika. Sisi watu tuache na kilichochema tuige. Tumuige Samatta.
Allah akujalie kher nyingi na mafanikio bora ktk ndoa yako kk.
Hakika wengi wanaojiita waislam wakiruzukiwa kidogo tu kiuchumi basi maadili ya dini yao ndo huweka kando.Nimeipenda sana hii.
Aaaamin
Allah akupe mwisho mwema samatta. Umefanya vzur
Hongera sana tena sana allah akujaalie na akulinde na mabalaa
Allah azidi kukuongoza .. Na akupe afya njema udumu ktk maisha ya ndoa, ulichokifanya ni kuonyesha nidhamu ya fedha huna ulimbukeni na dunia .. Big up bro
mwenyezi mungu akujalie mke mwema nakizazi chema kinakachukuwa na hafu na Allah well done
Manshaallah sama goli Allah awatangulie katika maisha mapy ya ndoa
Hongera sana Samata na umilionea wote ulionao nimekurahia na simple Harusi yako mungu awape maisha marefu wewe na mke nzuri uamuzi nzuri sana ulioufanya l Salute bro👍👍👍👍👍👌👌
Hongera sana kwa kurudi nyumbani kwetu umeweka heshima kubwa
Mabrouk inshallah ndoa njema
Safi sana dogo kwa kuingia kwenye chama chetu mungu akujalie dogo
MASHA ALLAH. ALLAH aibariki ndowa yenu na awape watoto watakao mtwi ALLAH.
elf mabrook
Hii ndio ndoa haswa Samatta kwa hili hujabadilka,sio kujaza mijitu mipumbav haina maadil eti mastaa pumbav zao ,naona tunga tu kichwan hii ndio taratibu zetu ....wapumbav waache na upumbav wao dunian mapito tu ...nimeipenda san ...
Mabrouk Samata harusi ya heshima na adabu na maadili ya dini ya kiislam sio mastaa wengi masifa na kukumbatiana na wanawake na kucheza nao
Mabrouk Alf mabrouk mungu awalindie ndoa yenu hd pale kifo kitakapo watenganisha inshaallah
Allwa akuruzuku kwa ibada hii njema
harusi nijambo jema limefanywa na wajawema hongera samagoal
ma shaa llah hongera sanaa kakaang
Congratulation capitano God bless you
Hongera sana Allah akuongoze ufate maadili mema ya dini yetu islam mashaa Allah
Kila LA kheri Samata
Mash Allah mabruk
mashallah allah akujaalie maisha mazuri weye pamoja na familia yako
Mashaa allah alfu mabruok🌹
Home is home.hongera sana kk
Mimi nimeipenda hii harus hana mkuu
Hakika Mbwana Samatta anajielewa. Ingekuwa wale watoto wadogo wangealika wale wanaokujaga na mabaunsa 8 na kushindana na manguo yasyoelewaka kuleta nuksi kwenye ndoa. Hongera dogo utazid kufika mbali sana.
Mabrouk
maashaallah
Hongera samata
Hongera Mbwana Samatta
Saf sana kaka
Kuna vitu ni vya thamani mno Allah akikupa useme Alhamdulillaah na akimpa mja basi muonee wivu (wivu wenye faida) kama huku' KUTOJIONESHA mbele ya watu
Barakallahulakuma
Nimependa sana mtindo wa maisha wa familia hii
Hii ndio Ndoa impendezayo Mungu
Ktk ndoa zote nilizo ona zimefata dini ipasavo hiyapa afu ya aina yake usiku usiku
safi sana kaka njoo chama LA wanaaaa
Hongera sana
Allah awadumishe kwenye ndoa yenu
Mora akubaliki na akubaliki juu ya mke wako
Samata katunyima pilao
Ni somo!!!
Mashallha hiyo ndio ndio inayotakiwa sio mpaka kila midia ionyeshe mwisho wa siku kufru kama ilivyokuwa ramadhan kwenye kufuturisha
Mke mbonaaa simwoniiii sasa?
mashaAllah
Kimya kimya
Huyu kaka anajitambua umefanya vema.kumuoa mama watoto wako huo ndio ubinaadam, hongereni sana ndoa iwe ya heri na baraka tele
Ongera xn,akunaga masifa
Sio matangazo mengi kama za wasanii wa kariakoo
Hongera
Allwa akuruzuku kwa ibada hii njema
hongera cn
naomba tu nijue iyo qaswida kaimba nani wadau nisaidieni
Ume ukimbia ubaro baro
kwa salio alilonalo mjomba samata hii ndoa kama amelazimishwa'local sana
Hivyo ndo inavyotakiwa
Waislam hatuna makuu, dini imekataza kufanya kufuru hapo alipofanya ni sahihi kabsa.
@Hashim Nkanga ulifanikiwa hata kupita madrassa au kuckilza jpo wana zuoni wanasema nn juu ya misingi ya din? Hususan mtu kujifagharisha??
huo ndomwisho wauelewa wako inaelekea wewe ungekua napesa ungefungia angani samata sio limbukeni naanajua anachofanya usimzungumzie m2 fanya yako 2one
Huyu ndo sababu anaelewana na yule jamaa sababu tabia na matumiz ya umaarufu wao vinafanana
amehalalishiwa maana watoto wawil hakumbuki ndoa, allaah amsamehe
Zama zimebadilika dunia sasa ina mambo mengi, kuna ndoto na malengo, mipango na mikakati ya maisha katika maisha, pia kusubiri wakati ambao Mungu atakufungulia milango ya kufanya jambo, muda wake umefika baada ya kuweka mambo yake sawa ameamua kufunga ndoa, tumpongeze kwa hilo pasi na kuangalia alipokosea kwani ni Mungu tu ndio anayepaswa kuhukumu.
Jibu Zurich sana kk
Kaoa magomeni apa hahahah
Hongera sana
Kama kalazimishwa vile
Maashaallah