tamthilia ninaikubali Sana Sana ila ikiwezekana naomba mtuwekee yote, ili ukichelewa kufika home SAA Tatu au tukipitwa, tucheki humu, please mtusikie Mimi in mdau wenu nafuatilia Sana 160 Maisha magic bongo ila, wakati mwingine nakua penye biashara napitwa mtuwekee humu bhana
Watching from Kenya napenda Sana hii tamthilie ya hupa huwa nafwatilia Sana ila Kuna kitu kimoja tu munazingua Sana hati niona niki unsubscribe coz bundles zangu zaenda bure kwa vionjo onjo tuuu,uuuufff weka movie yte tufurahiye baneee
Naomba kuuliza naweza kupata kwa njia ya DVD hata kama ni season as mwanzo kabisa maana nimeanza kuiangalia wiki iliyopita tuu sasa nilitaka niaanze mwanzo..
Nani amekuja hapa baada ya kifo cha tesa 😢😢
Mungu ampe mwanga wa milele
Apumzike kwa Amani
😢😢😢Tesa weweeee
Wengi
Wameenda wote kasoro riyama ally
Nampendaa Riyamaa mwenzenuuu uwiiiiii comb na Grace Mapunda imekaa vyedii saanaa
Wqliorud kwa ajir ya msiba wa tessa nip like
Mama wa michambo mamake Tessa😍😍
My best scene ya huyu mama jaman
We mic u tesa
Tesa nariam nawapendag san💖💖🇴🇲🇴🇲🇧🇮🇧🇮
Kicheko tu chako daaaah 💔pumzika kwa amani Grace mapunda
Aaaa kwani Tessa amerudi ama aliigiza hii episode before afe oooh wacha Mungu ailaze roho yake pema
Rihamaa huwa naangaliaga filamu Kwa Ajili yako tuuuuuu nikiona filamu imeonesha sura yako ndo naangaliaaa😄😄😄😄🏋️
Riama Wangu nakupenda muno dada
Namkumbuka mama Abdul
Ntakukumbuka kwakicheko chako wajina jmn
Maman TESA ninajulia sana maman😭😭😭
Yaaan tessa pumzika mama.😢😢😢😢
Nnimekuja kucheki. Baada ya Tesa kufariki 😭😭😭😭😭😭
Yan riyama nakupenda bureee.
Ila mama tesaa nyie pumzika kwa Aman mama yetu
Mama wa michambo mamake Tessa😊😊😊
tamthilia ninaikubali Sana Sana ila ikiwezekana naomba mtuwekee yote, ili ukichelewa kufika home SAA Tatu au tukipitwa, tucheki humu, please mtusikie Mimi in mdau wenu nafuatilia Sana 160 Maisha magic bongo ila, wakati mwingine nakua penye biashara napitwa mtuwekee humu bhana
Nampenda huyu mama
da mwani a.k.a riyama kanikosha sana nampnda mnooo
I miss mgeni ❤
Kwa video zingine kali za Koku na Dora njoo 👉👉👉 Asali Online Tv uenjoy zaidi na zaidi
love you riama
Nakupenda bule wajina wa mamaangu
Wow😍😍😍Superb😍😍😍Fantastic 😍😍😍
Tesa kushneh umekwishaaa!!!!
riama unamichambo wew 🔥💕.
Sir,yangigi
Penda sana riyama
Mjui ktu
Jamani mama alale salama
Jamani huba zamani ilikuwa ya moto
Riyam ❤️❤️
Hatali
Mimi jamani😢😢
Noma riama
😢😢😢
Eheeeee ka bibi Tena 🤣 pole sana
Jamani na wapenda wana huba
Wekeni mpangilio mzuri kama maneno ya kuambiwa sio mnatuonjesha vipande vipande tu tunakuwa hatuiyelewi
Abubakary Almas furyg
@@fatumamgandi4932n n
Hi
Tesa 💖💖💖😄😄😄
😢😢😢 tessa
Nampenda sana be mgeni jamani
Uba
Riyama nakupenda
Riyama ww ni mwisho was mchezo nakupenda sanaa
Penda sana huba✌✌✌
JumA
Penda sana 👌👌
👏👏👏👏👏👏👏
Mnaniudhi sasa simuweke yote tuangalie tu'_enjoy
Hii tamthilia n nzr mastaa wapo wengi tatizo ni fupi wanatupimia sana sisi mashabiki wenu tupeni 25 mins sio mbaya.
Sadick
Yani mnakera
😢
rihana bhana😁😁😁😁😁😁
Huumchezo mzuri ila cjui wanauletaje dah...
Halooooh 😂😂
😂😂😂😂ila Tessa mshenzii
Vizuri mtoto
AzizA
Riyana na Grace mapunda ahaaaa
Kwani kuna huba ngapi jaman
Sidi ndio kucheza gani huko 😂😂😂😂😂😂😂😂carosi nae kanzu koti kitamba huku Buti 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
thanks oll of them
Uyu kaka anaboa
Watching from Kenya napenda Sana hii tamthilie ya hupa huwa nafwatilia Sana ila Kuna kitu kimoja tu munazingua Sana hati niona niki unsubscribe coz bundles zangu zaenda bure kwa vionjo onjo tuuu,uuuufff weka movie yte tufurahiye baneee
Kwann mwatufanyia hivi afadhal mngefanya kama maneno yakuambiwa
Walah hasaaa riama wa nkosha mie hahahaaaaa
Hamna mpangilio mzur hadi inaboa
Mmmm jamani
Cmbaya
Hahahaa yaani riama unanifuraisha sana
jamani sijamuo liama msiban
Patamuu 😃😃😃😃
Yani haieleweki wangekua na mfumo kama maneno ya kuambiwa
Abuu Don kwan maneno ya kuambiwa iko kwenye king'amuzi hikii
nampenda da riyama
😅😅😅mbona watu wanacheza kibif bif
BI harusi umependeza
Jaman wadau naombn co ment venue
Kazi nzuuri sn, hongereni!
Waanaweza sana huba hongera zao burudan kama zoooooteeeeeeeeee
Utaaga dunia kabisa😅
Mioo
Mabula ģv
ggv
nimevutiwa lakini 1 ipi 2 ipi dah nzuri
Tessa jmni
Naomba kuuliza naweza kupata kwa njia ya DVD hata kama ni season as mwanzo kabisa maana nimeanza kuiangalia wiki iliyopita tuu sasa nilitaka niaanze mwanzo..
Hii tamthilia mbona mimi sielewi mwisho wake.
Nime cheka mpaka nikakosa comments 🤣🤣🤣🤣
Gdhsh Hshsh sasa hapo umecheka nini akati haijaelewela??😳😳
@@nailahaule705 pole kama nime kukera basi
Yani tamthilia nzuri lakini mpangilio ziro, hivi mbona mnashinwa na kilkosi cha MANENO YAKUAMBIWA?
Umeonaee
Kweli kabisa hata aieleweki
Kabisa mpenzi
Fatuma Mwalimu yan kwel kabisa manenoyakuambiw mpang mzm
Kweli kabisa
Huyo biharusi😂
First
Uba
jamn tamthilia nzr san..
Jamani huba!! Tuwekeeni basi!!!
Riyama jmn😁😁😁
Nampenda sana Riyama anavojua kuvaa huhusika
er mwahangila
What happened to Riama aliiacha Huba?
Asa apo kibibi kaolewa na nani mbn sijajua mume wake
Riyama weee
Riyam umushatufikish hindia🤣🤣
Da
Honger zenu rihama cy kw vijemb hvy
Tesa jaman