ALIYEKUWA MTANGAZAJI WA MANGE KIMAMBI APP ACHAFUA HALI YA HEWA/ SIRI ZOTE HADHARANI.....
HTML-код
- Опубликовано: 3 окт 2024
- Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
#alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
#BinaTv #WasafiTv #ManaraTv - Развлечения
Ivi media zingin hazinakazi zakufanya ona iyo rundo ya micro wakisikiya mavi tu musaliti kashachafuwa watu
Familia yako ikiwa ya wakubwa ndio tukuogope? Wewe ni msaliti tu unajikosha sasa wakati umeshaharibu maisha ya watu wengi. Peleka biashara yako huko kwa Mange acha kudanganya watu hapa.
Kwahiyo ukiwa una watu wazito serikalini ndio uogpewe ? Maana kama unajisifu una wqtu wakuvwq so kila mtu Tanzania ana haki sawa na hao wakubwa unaotamba hapo mbele ya waandishi wa habari, nenda huko huna haya eti Familia yako ya watu wakuvwa SO WHAT?
Pumbaaavu umechafua watu weeeeengiiii kisa pea saa hii unajishaua kwendraaaaaa
Hii ni mange kimambi wamekuja na jina lingine😢😢
Yaninyinyi, mmechafua watusana , nakama wengine, wangejitoa uhai, sijui leopia mngejieelezea hivyopia,
Hamna kitu hapo
Subiri tutakavyo fungwa minyololo ndomtajuwa haujui😂😂😂
Huyu Dada ananuka mdomo braaaaa
Eti wakubwa😅
Huna lolote unataka kutangaza biashara yako kwa kutumia mgongo wa Mange wewe mbona ni msaliti tu? Hakuna wa kukuunga mkono wewe ni sawa na huyo Mange wote wamoja wanafiki tu.
Hamna lolote mnatembelea nyota nyau weusi nyie yani wameona anafaidi sanaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣
Ujinga tu Kwan mange alikuwa anatangaza nn zaid ya kudhalilisha watu kwaiyo unakaa kabisa mbele ya kioo unasema ulikuwa mfanyakaz wa mange😮, na hizo MC mmejaza mezan za MIDIA gani au mmetoa dukan na kuweka mezan
Upuuuzi mtupu
Pumbavu uzito wa nyoko