ALIYEKUWA MTANGAZAJI WA MANGE KIMAMBI APP ACHAFUA HALI YA HEWA/ SIRI ZOTE HADHARANI.....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 3 окт 2024
  • Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
    #alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
    #BinaTv #WasafiTv #ManaraTv
  • РазвлеченияРазвлечения

Комментарии • 15

  • @songamberetv2219
    @songamberetv2219 3 месяца назад +4

    Ivi media zingin hazinakazi zakufanya ona iyo rundo ya micro wakisikiya mavi tu musaliti kashachafuwa watu

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 месяца назад +7

    Familia yako ikiwa ya wakubwa ndio tukuogope? Wewe ni msaliti tu unajikosha sasa wakati umeshaharibu maisha ya watu wengi. Peleka biashara yako huko kwa Mange acha kudanganya watu hapa.

    • @ashuraomar4935
      @ashuraomar4935 3 месяца назад

      Kwahiyo ukiwa una watu wazito serikalini ndio uogpewe ? Maana kama unajisifu una wqtu wakuvwq so kila mtu Tanzania ana haki sawa na hao wakubwa unaotamba hapo mbele ya waandishi wa habari, nenda huko huna haya eti Familia yako ya watu wakuvwa SO WHAT?

  • @florencemeza6540
    @florencemeza6540 3 месяца назад +4

    Pumbaaavu umechafua watu weeeeengiiii kisa pea saa hii unajishaua kwendraaaaaa

  • @beatricejohn1659
    @beatricejohn1659 3 месяца назад +1

    Hii ni mange kimambi wamekuja na jina lingine😢😢

  • @FatmaChezo
    @FatmaChezo 3 месяца назад

    Yaninyinyi, mmechafua watusana , nakama wengine, wangejitoa uhai, sijui leopia mngejieelezea hivyopia,

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 3 месяца назад +3

    Hamna kitu hapo

  • @salama1113
    @salama1113 3 месяца назад

    Subiri tutakavyo fungwa minyololo ndomtajuwa haujui😂😂😂

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 месяца назад

    Huyu Dada ananuka mdomo braaaaa

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 3 месяца назад

    Eti wakubwa😅

  • @ashaali7154
    @ashaali7154 3 месяца назад +3

    Huna lolote unataka kutangaza biashara yako kwa kutumia mgongo wa Mange wewe mbona ni msaliti tu? Hakuna wa kukuunga mkono wewe ni sawa na huyo Mange wote wamoja wanafiki tu.

  • @brendajulius2995
    @brendajulius2995 3 месяца назад

    Hamna lolote mnatembelea nyota nyau weusi nyie yani wameona anafaidi sanaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 3 месяца назад +2

    Ujinga tu Kwan mange alikuwa anatangaza nn zaid ya kudhalilisha watu kwaiyo unakaa kabisa mbele ya kioo unasema ulikuwa mfanyakaz wa mange😮, na hizo MC mmejaza mezan za MIDIA gani au mmetoa dukan na kuweka mezan

  • @listoncharles4612
    @listoncharles4612 3 месяца назад

    Upuuuzi mtupu

  • @annamussa185
    @annamussa185 3 месяца назад

    Pumbavu uzito wa nyoko