Semeni ukweli ni kwamba mfumo wa ubepari umekuja kumkomboa mwanamke kwa kumzidishia haki kiasi kwamba kila ofisi zimejaa wanawake na kuwafanya wanaume wengi kuwa ni watu wa kuganga ganga,sasa heshima za wanaume zinapotea na kupelekea mishangaz kuwa wengi na wanapesa hawajui kwa kuzipeleka
Mwanaume akiwa na nguvu ya kiuchumi na kuwa na pesa zake kamwe atachagua mwanamke anaemtaka yeye, vijana wa sasa ni wavivu walevi wacheza kamari ye anataka urahisi tu atafute janamke zee ambalo linafedha ili arahisishe maisha, mwanaume mwenye pesa atatafuta kibinti kizuri sio kufata mizee .
UCHAWA NAO UMEHARIBU ZAIDI, UTASIKIA KWAMBA VIJANA NI TAIFA LA KESHO, UKIWAFUATILIA VIJANA WAKO KATIKA MABISHANO YA MPIRA, KUBETI, UCHAWA NA KUINGIA KATIKA MASHANGAZI. MUNGU SAIDIA KIZAZI HIKI.
Wazee wameanza kulalamika baada ya wake zao kwenda kwa Vijana😂😂 Mbona sisi Vijana hatulalamiki mkija kuchukua Vidada vidogo..hii inaitwa Tit for Tati!!! Mwaga Ugali..tunamwaga mboga
MIFUMO IMELETWA KUMLINDA MWANAMKE ...KILA KITU MWANAMKE..TAASISI HUSIKA KM HAZIJAREKEBISHA HII MIFUMO KAMWE VIJANA HAWATOOA NA ATA WAKIOA BC WATAOA MISHANGAZI ILI KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Wanaume wanapenda mishangazi????😂😂😂wanaume wanapenda wanaume wenzao km mna ficha ficha, uko kwenye mahusiano kumbe rafiki wa bwanako ni mke mwenzio ptuuuuuuu
Semeni ukweli ni kwamba mfumo wa ubepari umekuja kumkomboa mwanamke kwa kumzidishia haki kiasi kwamba kila ofisi zimejaa wanawake na kuwafanya wanaume wengi kuwa ni watu wa kuganga ganga,sasa heshima za wanaume zinapotea na kupelekea mishangaz kuwa wengi na wanapesa hawajui kwa kuzipeleka
Upate mshangazi mweupe😊😊😊😊
Mwanaume akiwa na nguvu ya kiuchumi na kuwa na pesa zake kamwe atachagua mwanamke anaemtaka yeye, vijana wa sasa ni wavivu walevi wacheza kamari ye anataka urahisi tu atafute janamke zee ambalo linafedha ili arahisishe maisha, mwanaume mwenye pesa atatafuta kibinti kizuri sio kufata mizee .
Nnamshangazi Wangu Xyo Pow Yani Mpaka Unanilipia kodi Ya Nyumba Ety kisa Nnamshugulikia Vzr Naninaupenda kwasababu hanisumbui
UCHAWA NAO UMEHARIBU ZAIDI, UTASIKIA KWAMBA VIJANA NI TAIFA LA KESHO, UKIWAFUATILIA VIJANA WAKO KATIKA MABISHANO YA MPIRA, KUBETI, UCHAWA NA KUINGIA KATIKA MASHANGAZI. MUNGU SAIDIA KIZAZI HIKI.
Wazee wameanza kulalamika baada ya wake zao kwenda kwa Vijana😂😂 Mbona sisi Vijana hatulalamiki mkija kuchukua Vidada vidogo..hii inaitwa Tit for Tati!!! Mwaga Ugali..tunamwaga mboga
🇺🇸 uki time 18 years old una fukuzwa home ili uka jifunze maisha wakiwa pekeyao
Really talk Babu
Mishangaz watamu sana,tena upate yule ana tako halua sana
😮😮😮
Mishangazi ni mitamu bwana acha kabisa
Mtume nae ilikuaje au hakuna mwisilamu hapo mnaacha kuzungumzia mashoga yani haramu kwenu halali na halali haramu
MIFUMO IMELETWA KUMLINDA MWANAMKE ...KILA KITU MWANAMKE..TAASISI HUSIKA KM HAZIJAREKEBISHA HII MIFUMO KAMWE VIJANA HAWATOOA NA ATA WAKIOA BC WATAOA MISHANGAZI ILI KUJIKWAMUA KIUCHUMI
Matokea ya kampeni ya haki sawa toka serekali ya awamu ya 4,haya ndio matokeo na ukichunguza Haina asari kwa serekali
😂😂😂 msingi kiuno
Wanaume wanapenda mishangazi????😂😂😂wanaume wanapenda wanaume wenzao km mna ficha ficha, uko kwenye mahusiano kumbe rafiki wa bwanako ni mke mwenzio ptuuuuuuu
Huoni ni mtego bwana wanataka tuludi kwa wanafunzi ili miaka30 mpandishe miaka tena huo mtego hatutaki kwakweli😂