SABABU ZA VIJANA KUPENDA MISHANGAZI HIZI HAPA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024

Комментарии • 17

  • @mohdali2408
    @mohdali2408 7 часов назад +7

    Semeni ukweli ni kwamba mfumo wa ubepari umekuja kumkomboa mwanamke kwa kumzidishia haki kiasi kwamba kila ofisi zimejaa wanawake na kuwafanya wanaume wengi kuwa ni watu wa kuganga ganga,sasa heshima za wanaume zinapotea na kupelekea mishangaz kuwa wengi na wanapesa hawajui kwa kuzipeleka

  • @lulimoshaban3815
    @lulimoshaban3815 5 часов назад +2

    Upate mshangazi mweupe😊😊😊😊

  • @FahadAbubakari-y3f
    @FahadAbubakari-y3f 8 часов назад +3

    Mwanaume akiwa na nguvu ya kiuchumi na kuwa na pesa zake kamwe atachagua mwanamke anaemtaka yeye, vijana wa sasa ni wavivu walevi wacheza kamari ye anataka urahisi tu atafute janamke zee ambalo linafedha ili arahisishe maisha, mwanaume mwenye pesa atatafuta kibinti kizuri sio kufata mizee .

  • @PeterRas-o7d
    @PeterRas-o7d 52 минуты назад

    Nnamshangazi Wangu Xyo Pow Yani Mpaka Unanilipia kodi Ya Nyumba Ety kisa Nnamshugulikia Vzr Naninaupenda kwasababu hanisumbui

  • @FloridaAdelinus
    @FloridaAdelinus 3 часа назад +1

    UCHAWA NAO UMEHARIBU ZAIDI, UTASIKIA KWAMBA VIJANA NI TAIFA LA KESHO, UKIWAFUATILIA VIJANA WAKO KATIKA MABISHANO YA MPIRA, KUBETI, UCHAWA NA KUINGIA KATIKA MASHANGAZI. MUNGU SAIDIA KIZAZI HIKI.

  • @Zenny89
    @Zenny89 4 часа назад +1

    Wazee wameanza kulalamika baada ya wake zao kwenda kwa Vijana😂😂 Mbona sisi Vijana hatulalamiki mkija kuchukua Vidada vidogo..hii inaitwa Tit for Tati!!! Mwaga Ugali..tunamwaga mboga

  • @kazumbelive1987
    @kazumbelive1987 2 часа назад

    🇺🇸 uki time 18 years old una fukuzwa home ili uka jifunze maisha wakiwa pekeyao

  • @SalimaJumaa-h1t
    @SalimaJumaa-h1t 8 часов назад

    Really talk Babu

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 7 часов назад +1

    Mishangaz watamu sana,tena upate yule ana tako halua sana

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 3 часа назад

      😮😮😮

  • @AliciaKyai
    @AliciaKyai 6 часов назад +1

    Mishangazi ni mitamu bwana acha kabisa

  • @youthchanel8612
    @youthchanel8612 3 часа назад

    Mtume nae ilikuaje au hakuna mwisilamu hapo mnaacha kuzungumzia mashoga yani haramu kwenu halali na halali haramu

  • @ayoubali-x6n
    @ayoubali-x6n 4 часа назад

    MIFUMO IMELETWA KUMLINDA MWANAMKE ...KILA KITU MWANAMKE..TAASISI HUSIKA KM HAZIJAREKEBISHA HII MIFUMO KAMWE VIJANA HAWATOOA NA ATA WAKIOA BC WATAOA MISHANGAZI ILI KUJIKWAMUA KIUCHUMI

  • @nemesjosephat5612
    @nemesjosephat5612 7 часов назад

    Matokea ya kampeni ya haki sawa toka serekali ya awamu ya 4,haya ndio matokeo na ukichunguza Haina asari kwa serekali

  • @AlexRuben-uc1yc
    @AlexRuben-uc1yc 6 часов назад

    😂😂😂 msingi kiuno

  • @Assay-gn1wv
    @Assay-gn1wv 4 часа назад

    Wanaume wanapenda mishangazi????😂😂😂wanaume wanapenda wanaume wenzao km mna ficha ficha, uko kwenye mahusiano kumbe rafiki wa bwanako ni mke mwenzio ptuuuuuuu

  • @gregorybenjamin730
    @gregorybenjamin730 5 часов назад

    Huoni ni mtego bwana wanataka tuludi kwa wanafunzi ili miaka30 mpandishe miaka tena huo mtego hatutaki kwakweli😂