KUWEKA MAWIMBI YA KALIKITI NYWELE YA KIPILIPILI ISIYO NA DAWA KABISA# Curling Custard for 4C hair
HTML-код
- Опубликовано: 4 окт 2024
- Hello darlings karibu ujifunze nami urembo
Jinsi ya kupata mafuta ya Curling Custard piga simu namba 0715 44 44 98
For business and sponsorships contacts below
EMAIL ; Business@vivianatz.com
MOBILE; +255782 448181
INSTAGRAM ; @Vivianatz.official
Napost video mpya kila week
Direct Links to my video play lists
Hi darlings ,mnaohitaji hayo mafuta piga namba 0715 44 44 98
How much
Bei gani??
Bei gan?
Tuambie bei ili nijipange
Bei ganii
Nimeipenda kweli inatikana Kwa bei gani
Thanks for sharing the miraculous discovery of making C type hair into curly 😜😜😜
Hayo mafuta ya curling Custard for 4c hair Kwa sisi wenye kipilipili yanapatikana wapi Kwa hapa Mwanza?
hii jelly inafanya nywele inakakaaa sana sio nzuri kwa nywele alf inatoa rangi nyeusi nimenunua from ghana asee sijawezi na bei imesimama sna
Wewe kwel
Asante Dada kwa darasa zuli samahin Dada unaweza kutumia jeli nyeusai kuchomoa milija
Hiyo gell inaitwaje dada nakukubali sana auna baya mungu akubariki pia habariki kazi ya mikono yako
Nimejaribu kuweka rafu Fred nimemeza my Asante na hii itajaribu yaani saiv majirani wanatowa macho tuu maana nikioga nikitoka nje new style woooow😜😜🥮
Woow, nafurahi kusikia hivyo dear, tuendelee kujifunza 😍😍
Inapendeza sana kipenzi mafuta hayo yanapatikana wapi kipenzi
Thank you dear nimeipend sana hiyo nywele 😊🎉
So this channel is all in vernacular. Tried to stay but with the way I love to engance with the RUclipsr I can't🤦🏾♀️🤦🏾♀️😩😩😩
Ni pesa ngapi kununua............naeza wekea my aunty zitoe mvi?? (nywele za white??)
Woooooow! Nimependa Sana na juzi tuu nimeeka nywele dawa nilichoka kuchana 😔😔
❤️wooow amaizing looking thanks dear
Asante sana umenijibu swali langu
Nmpenda sn hyomafuta nayatk my dear......halafu hilo wimbi linakaa mda gani
Je Kuna mafta ya kufumlia dreed
Hamna mtu anaulizia utunzaji wa izo nywele baada ya hapo please tuambie dada ukishaweka utunzaji wake unakuaje ili kutunza uzuri wake😢
Wwaoh amazing nahitaji mafuta
Hello,asante kwa video
Unaweza kukaa nazo muda gani nywele after kuweka hivi? Pia ukija kuosha haikatiki?
Waooo ahsantee kipenzi nakupenda bure
Naomba nijue Hayo mafuta yanaitwaje???? Na je hicho unachoelekeza ni kalikiti ya nywele fupi????
Waooooh baada ya hapo utunzaji wake unakuwaje? Nzuri
Dear yana kwenye nywele natural tu au hata yenye dawa unaweza kufanya hivyo?
Nature
Dada Niko Mombasa na nataka hiyo product
Naomba kuuliza ukiwa unaanza kutengenezea finger coil ni lazima kupaka mafuta na hayo mafuta ni yaaina gani Mimi uwa natumia eco Jerry nyeusi tu je Niko sahii au Nana kosea naomba unierekeze dada vivian
Ecogel ni nzuri inafaa, uko sahihi
Na ukishaifanya ivo unaitunzaje kipenz ili kutunza ubora wake? Please nisaidie
Dad Viv inapatikana wap nataka nije nijivunze kusuka jaman?
Naomba mawasiliano yako na je unapatikana wapi
Hayo mega c ndo yale ya deep conditioner au ni mengine?
Yes nzuri jaman
Thank u dear.barikiwa
Mumy unaweka Kali kwa Bei gain
Je, hayo mafuta naweza kutatumia kwa mutu mwenye ameweka dawa😊
Hapana dear ni kwa nywele isiyo na dawa tu
My dear hiyo curling custard inapatikana kirahisi?
Hazivimbi after sometime
Zinavimba dear
mafuta ayo yanauzwa bei gan?
Asante nitayapataje? Hiyo Jerri Nani bei gani?
Elf 70
Thanks dear haifai kwa nywele za dawa?
Asante san natak kujua unaweza kaa naz kwa muda gan bila kuvurugika
Week tatu
Wiki tatu bila kuosha kichwa au au unaosha mawimbi yanabakia
Mafuta hayo yanapatikana wapi?
Mafuta yanapatika maduka ya vipodozi au ?
0715 44 44 98
Sister nmeanza kukufuatilia juzi tu but nmekupenda bure uko vzur
Asantee dear ❤️
mafuta yanauzwa bei gan?
Nayapataje hayo mafuta
Mnapatikana wapi
pesa ngapi ayo mafuta plz nitume sister
honhera nauliza je ni mafuta gani mazuri ya kutenngeneza finger coil?
Ndio dear unaweza tumia
Thanks love ❤❤
Ukiweka kondishina huoshi
Hello dear vp leave in conditioner inapatikana duka la vipodoz Tz?
Ndio dear, mega growth leave in strengthner
@@Vivianatz ooh thanx
Na yanapatikana wapi
Nice video .. curling custard Nzuri
Jambo dada mafuta ya afro jeliy ya curl yanafaa
Hapana dear
So nice
Asante dada
Oyooooooo ahsante sana nashukuru kwa uwepo wako
Nimependa sana dear for sure
Asante Kwa SoMo zuri mafuta bei gani
Vip dr unatumia mafuta gani ya nywele
Mega growth dear natumia
Nakupendaga tu we kabinti
🙏❤️❤️
Me nahitaji hyo mafuta
Waoooh so nice
Je ukitaka kupata curls kwa hayo mafuta uliyotumia,nj lazima uwe na natural hair?au hata nywele zinazoanza kuishia dawa?na hayo mafuta ni bei gani na yanapatikana wapi?
Ziwe hazina dawa dear
Habari nahitaji hiyo geli ya kutengenezea finger coil
0715 44 44 98 mpigie huyo muuzaji
Jamani yanaitwaje mafuta hayo
Waoo mafuta hayo naomba kujua jina lake pleas
Mafuta yanaitwaje
Shilingi ngapi ayo mafuta na yanapatikana wapi?naitaji
Shingp hy mafuta
Thnx mmy
Nimependa
yanauzwa shingapi dada
Dada habari unakuuliza hii curling inapatikana wapi nisaidie
0715 44 44 98 mpigie huyo ndio anauza
Upo mkoa gan
0715 44 44 98, piga hii namba kama unahitaji mafuta dear, yanapatikana Dar es salaam
Nilitaka kuweka kalikiti na nipo Mwanza
Je na hiyo haina chemical
Kwani uki kutengeneza hio nywele nilazima hayo mafuta
Yes dear ni lazima
Wewe ni mrembo best
Asantee dear
Mambo,mm naomba namna yakupata product za natural hair
0715 44 44 98
Unaeza kaaa mda gani?
Week tatu dear, usiziloweshe maji
@@Vivianatz Asante, am in Kenya na naona gel ziko ni Cantu and Jackie's naeza zitumia??
Ok sas unazitunzaje ili mpk izo week 3 ziwe vizuri
Inapatikana wap love?
Hayo mafuta yanapatikanaje
0715 44 44 98 piga hiyo number ya muuzaji
Ubarikiwe kwasomo zuri 😘😘😘
🙏❤
Unapatikana wapi mamy
0715 44 44 98
Hayo mafuta nayapata wap
Zenye dawa unaruhusiwa kutumika hiyo njia???
Hapana dear
Vivi so nawezafanya nikitoka kuoaha?yani sio lazima nifunge mabutu nilale nazo nifanye kesho yake
Yes love
Yko pw Sana na ofis zenu zipo wap
Nice dear
Samahan unaweza kukaa nazo muda gani zikiwa na meonekano huo?
Wiki mbili dear mpaka tatu
Na utunzaji wake unakuaje et ili kuweka ubora mpk izo wiki mbili au tatu zitimie?
Samhani me ni mgeni nilikuwa nauliza unaweza kupaka mafuta mengine tofauti na ya mega ?
Ndio dear
@@Vivianatz asante mamy
Mm nywele zangu zina bleach naweza tumia haya mafuta pia
Yes dear unatumia
Na swal je ulivyoweka hiyo mawimbi unawezabana mtindo wowote ?
Ndio unaweza
@@Vivianatz how coz I'm trying to think how can I style it because my course doesn't want style hair end I want to do this kind of hair wave, please can you show how can I style it during class hours please 🥺🙏
naitaji ayo mafuta
I love it
Bei yke hiyo gel
Ukiosha Nywele inarud kawaida au
Yes dear inarudi kawaida
Kwenye nywele fup kabisa inafaa?
Ndio dear
Wooooow
Habari mummy,ile Nivea sun burn umenunua wapi,nimetafuta Sana sijafanikiwa.maana kazi yangu niyabustan just linaniharibu ngozi
Nenda kwenye maduka ya madawa dear
Nimeipenda
Tunao nyoa inafaa kuweka ivyo
Nzuriii
Unauza nahitaji sanaaaaa
0715 44 44 98 huyu bdio anayauza mpigie
Ivi Kwa watoto yanafaa
Yes dear inafaa saana