KUWEKA MAWIMBI YA KALIKITI NYWELE YA KIPILIPILI ISIYO NA DAWA KABISA# Curling Custard for 4C hair

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 4 окт 2024
  • Hello darlings karibu ujifunze nami urembo
    Jinsi ya kupata mafuta ya Curling Custard piga simu namba 0715 44 44 98
    For business and sponsorships contacts below
    EMAIL ; Business@vivianatz.com
    MOBILE; +255782 448181
    INSTAGRAM ; @Vivianatz.official
    Napost video mpya kila week
    Direct Links to my video play lists

Комментарии • 250

  • @Vivianatz
    @Vivianatz  3 года назад +12

    Hi darlings ,mnaohitaji hayo mafuta piga namba 0715 44 44 98

  • @juliethwiliam5011
    @juliethwiliam5011 2 года назад +5

    Nimeipenda kweli inatikana Kwa bei gani

  • @queeneva3709
    @queeneva3709 2 года назад +1

    Thanks for sharing the miraculous discovery of making C type hair into curly 😜😜😜

  • @magrethjerome-nd2ms
    @magrethjerome-nd2ms Год назад +2

    Hayo mafuta ya curling Custard for 4c hair Kwa sisi wenye kipilipili yanapatikana wapi Kwa hapa Mwanza?

  • @winniebraidstz8402
    @winniebraidstz8402 2 года назад +1

    hii jelly inafanya nywele inakakaaa sana sio nzuri kwa nywele alf inatoa rangi nyeusi nimenunua from ghana asee sijawezi na bei imesimama sna

  • @estermagesa8212
    @estermagesa8212 Год назад

    Asante Dada kwa darasa zuli samahin Dada unaweza kutumia jeli nyeusai kuchomoa milija

  • @IsackOnesmo-hq6yq
    @IsackOnesmo-hq6yq 6 месяцев назад

    Hiyo gell inaitwaje dada nakukubali sana auna baya mungu akubariki pia habariki kazi ya mikono yako

  • @chocolatebibah8677
    @chocolatebibah8677 2 года назад

    Nimejaribu kuweka rafu Fred nimemeza my Asante na hii itajaribu yaani saiv majirani wanatowa macho tuu maana nikioga nikitoka nje new style woooow😜😜🥮

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  2 года назад

      Woow, nafurahi kusikia hivyo dear, tuendelee kujifunza 😍😍

  • @MarryMoshiro
    @MarryMoshiro 3 месяца назад

    Inapendeza sana kipenzi mafuta hayo yanapatikana wapi kipenzi

  • @AngelNzundaauntibs
    @AngelNzundaauntibs 4 месяца назад

    Thank you dear nimeipend sana hiyo nywele 😊🎉

  • @medline31
    @medline31 2 года назад

    So this channel is all in vernacular. Tried to stay but with the way I love to engance with the RUclipsr I can't🤦🏾‍♀️🤦🏾‍♀️😩😩😩

  • @scholachannel158cheptoo7
    @scholachannel158cheptoo7 2 года назад +1

    Ni pesa ngapi kununua............naeza wekea my aunty zitoe mvi?? (nywele za white??)

  • @anithamasangula625
    @anithamasangula625 3 года назад

    Woooooow! Nimependa Sana na juzi tuu nimeeka nywele dawa nilichoka kuchana 😔😔

  • @naahmkama8789
    @naahmkama8789 3 года назад +2

    ❤️wooow amaizing looking thanks dear

  • @judithsalvatory2892
    @judithsalvatory2892 11 месяцев назад

    Asante sana umenijibu swali langu

  • @froladickson5255
    @froladickson5255 2 года назад

    Nmpenda sn hyomafuta nayatk my dear......halafu hilo wimbi linakaa mda gani

  • @TatuBulima
    @TatuBulima 19 дней назад

    Je Kuna mafta ya kufumlia dreed

  • @SofiaSamwel-bi3nj
    @SofiaSamwel-bi3nj 3 месяца назад

    Hamna mtu anaulizia utunzaji wa izo nywele baada ya hapo please tuambie dada ukishaweka utunzaji wake unakuaje ili kutunza uzuri wake😢

  • @eddyjohn699
    @eddyjohn699 Год назад

    Wwaoh amazing nahitaji mafuta

  • @WinnieApollinary
    @WinnieApollinary Год назад

    Hello,asante kwa video

  • @emmanuelcheyo-ti2xl
    @emmanuelcheyo-ti2xl Год назад

    Unaweza kukaa nazo muda gani nywele after kuweka hivi? Pia ukija kuosha haikatiki?

  • @elizabethmonji5136
    @elizabethmonji5136 2 года назад

    Waooo ahsantee kipenzi nakupenda bure

  • @happynessnyandindi2114
    @happynessnyandindi2114 2 года назад

    Naomba nijue Hayo mafuta yanaitwaje???? Na je hicho unachoelekeza ni kalikiti ya nywele fupi????

  • @flaviajustinean2898
    @flaviajustinean2898 3 года назад +1

    Waooooh baada ya hapo utunzaji wake unakuwaje? Nzuri

  • @mumbafaraji4638
    @mumbafaraji4638 Год назад +1

    Dear yana kwenye nywele natural tu au hata yenye dawa unaweza kufanya hivyo?

  • @Amatitenya7523
    @Amatitenya7523 Год назад

    Dada Niko Mombasa na nataka hiyo product

  • @denianamgata59
    @denianamgata59 8 месяцев назад

    Naomba kuuliza ukiwa unaanza kutengenezea finger coil ni lazima kupaka mafuta na hayo mafuta ni yaaina gani Mimi uwa natumia eco Jerry nyeusi tu je Niko sahii au Nana kosea naomba unierekeze dada vivian

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  8 месяцев назад

      Ecogel ni nzuri inafaa, uko sahihi

    • @SofiaSamwel-bi3nj
      @SofiaSamwel-bi3nj 3 месяца назад

      Na ukishaifanya ivo unaitunzaje kipenz ili kutunza ubora wake? Please nisaidie

  • @jacklinepeter8312
    @jacklinepeter8312 Год назад

    Dad Viv inapatikana wap nataka nije nijivunze kusuka jaman?

  • @lovinceasimwe3658
    @lovinceasimwe3658 Год назад

    Naomba mawasiliano yako na je unapatikana wapi

  • @carolinemwakagali3909
    @carolinemwakagali3909 Год назад

    Hayo mega c ndo yale ya deep conditioner au ni mengine?

  • @ambakamwela1379
    @ambakamwela1379 Год назад

    Yes nzuri jaman

  • @mohamedzaina8585
    @mohamedzaina8585 3 года назад

    Thank u dear.barikiwa

  • @noelajunior5036
    @noelajunior5036 Год назад

    Mumy unaweka Kali kwa Bei gain

  • @PapiMwady-uf6sd
    @PapiMwady-uf6sd Месяц назад

    Je, hayo mafuta naweza kutatumia kwa mutu mwenye ameweka dawa😊

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  Месяц назад

      Hapana dear ni kwa nywele isiyo na dawa tu

  • @nsiamushi5363
    @nsiamushi5363 3 года назад +3

    My dear hiyo curling custard inapatikana kirahisi?

  • @fausteryOmary
    @fausteryOmary Год назад

    mafuta ayo yanauzwa bei gan?

  • @HalimuHamudu
    @HalimuHamudu 8 месяцев назад

    Asante nitayapataje? Hiyo Jerri Nani bei gani?

  • @janethkahatano6681
    @janethkahatano6681 3 года назад

    Thanks dear haifai kwa nywele za dawa?

  • @annanicodemus1144
    @annanicodemus1144 3 года назад

    Asante san natak kujua unaweza kaa naz kwa muda gan bila kuvurugika

  • @WinifridaChristian-px1ye
    @WinifridaChristian-px1ye Год назад

    Mafuta hayo yanapatikana wapi?

  • @oliviabahigana8225
    @oliviabahigana8225 Год назад +1

    Mafuta yanapatika maduka ya vipodozi au ?

  • @carolinemwakagali3909
    @carolinemwakagali3909 Год назад

    Sister nmeanza kukufuatilia juzi tu but nmekupenda bure uko vzur

  • @fausteryOmary
    @fausteryOmary Год назад

    mafuta yanauzwa bei gan?

  • @salomealfred302
    @salomealfred302 Год назад

    Nayapataje hayo mafuta

  • @janeemmanuel3615
    @janeemmanuel3615 Год назад

    Mnapatikana wapi

  • @AliBuzo
    @AliBuzo 2 года назад

    pesa ngapi ayo mafuta plz nitume sister

  • @officialsharifa
    @officialsharifa 8 месяцев назад

    honhera nauliza je ni mafuta gani mazuri ya kutenngeneza finger coil?

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  8 месяцев назад

      Ndio dear unaweza tumia

  • @edinamwanansolo1243
    @edinamwanansolo1243 5 месяцев назад

    Thanks love ❤❤

  • @joycengowi5663
    @joycengowi5663 Год назад

    Ukiweka kondishina huoshi

  • @zainabmalya1552
    @zainabmalya1552 3 года назад +2

    Hello dear vp leave in conditioner inapatikana duka la vipodoz Tz?

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  3 года назад

      Ndio dear, mega growth leave in strengthner

    • @zainabmalya1552
      @zainabmalya1552 3 года назад

      @@Vivianatz ooh thanx

  • @juliethwiliam5011
    @juliethwiliam5011 2 года назад

    Na yanapatikana wapi

  • @Lolo_makota
    @Lolo_makota 3 года назад +1

    Nice video .. curling custard Nzuri

  • @IreneTesha-mi2rg
    @IreneTesha-mi2rg 5 месяцев назад

    Jambo dada mafuta ya afro jeliy ya curl yanafaa

  • @aminaabdallah4553
    @aminaabdallah4553 3 года назад +1

    So nice

  • @scolakalindu8077
    @scolakalindu8077 2 года назад

    Asante dada

  • @pendojustin9110
    @pendojustin9110 3 года назад

    Oyooooooo ahsante sana nashukuru kwa uwepo wako

  • @rithalove9211
    @rithalove9211 2 года назад

    Vip dr unatumia mafuta gani ya nywele

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  2 года назад

      Mega growth dear natumia

  • @lucyvalerian2324
    @lucyvalerian2324 6 месяцев назад

    Nakupendaga tu we kabinti

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  6 месяцев назад

      🙏❤️❤️

  • @elizavalency7411
    @elizavalency7411 Год назад

    Me nahitaji hyo mafuta

  • @veronicamwenda7449
    @veronicamwenda7449 Год назад

    Waoooh so nice

  • @fredebethyswai140
    @fredebethyswai140 2 года назад +1

    Je ukitaka kupata curls kwa hayo mafuta uliyotumia,nj lazima uwe na natural hair?au hata nywele zinazoanza kuishia dawa?na hayo mafuta ni bei gani na yanapatikana wapi?

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  2 года назад

      Ziwe hazina dawa dear

  • @denianamgata59
    @denianamgata59 8 месяцев назад

    Habari nahitaji hiyo geli ya kutengenezea finger coil

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  8 месяцев назад

      0715 44 44 98 mpigie huyo muuzaji

  • @AgnessSwai-d4m
    @AgnessSwai-d4m Год назад

    Jamani yanaitwaje mafuta hayo

  • @AgnessSwai-d4m
    @AgnessSwai-d4m Год назад

    Waoo mafuta hayo naomba kujua jina lake pleas

  • @nurukimoto3785
    @nurukimoto3785 2 года назад

    Shilingi ngapi ayo mafuta na yanapatikana wapi?naitaji

  • @viviansanga5488
    @viviansanga5488 4 месяца назад

    Thnx mmy

  • @TedyKrisent-ih9xi
    @TedyKrisent-ih9xi 9 месяцев назад

    Nimependa

  • @MonicaJohn-kq9gc
    @MonicaJohn-kq9gc Год назад

    yanauzwa shingapi dada

  • @RebeccaJulius-vc9wy
    @RebeccaJulius-vc9wy Год назад

    Dada habari unakuuliza hii curling inapatikana wapi nisaidie

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  8 месяцев назад

      0715 44 44 98 mpigie huyo ndio anauza

  • @CharityAlex-f3m
    @CharityAlex-f3m 7 месяцев назад +1

    Upo mkoa gan

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  7 месяцев назад +1

      0715 44 44 98, piga hii namba kama unahitaji mafuta dear, yanapatikana Dar es salaam

    • @CharityAlex-f3m
      @CharityAlex-f3m 7 месяцев назад

      Nilitaka kuweka kalikiti na nipo Mwanza

  • @fridachuwa8622
    @fridachuwa8622 Год назад

    Je na hiyo haina chemical

  • @georginaretika7647
    @georginaretika7647 Год назад

    Kwani uki kutengeneza hio nywele nilazima hayo mafuta

  • @ney2308
    @ney2308 2 года назад

    Wewe ni mrembo best

  • @juliethwiliam5011
    @juliethwiliam5011 Год назад

    Mambo,mm naomba namna yakupata product za natural hair

  • @linachester2095
    @linachester2095 3 года назад +1

    Unaeza kaaa mda gani?

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  3 года назад +1

      Week tatu dear, usiziloweshe maji

    • @linachester2095
      @linachester2095 3 года назад

      @@Vivianatz Asante, am in Kenya na naona gel ziko ni Cantu and Jackie's naeza zitumia??

    • @SofiaSamwel-bi3nj
      @SofiaSamwel-bi3nj 3 месяца назад

      Ok sas unazitunzaje ili mpk izo week 3 ziwe vizuri

  • @jacklinepeter8312
    @jacklinepeter8312 Год назад

    Inapatikana wap love?

  • @abrahamanmunishi8824
    @abrahamanmunishi8824 7 месяцев назад

    Hayo mafuta yanapatikanaje

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  7 месяцев назад

      0715 44 44 98 piga hiyo number ya muuzaji

  • @ceciliayohana2468
    @ceciliayohana2468 2 года назад

    Ubarikiwe kwasomo zuri 😘😘😘

  • @MwaisumoSalome
    @MwaisumoSalome 2 месяца назад

    Unapatikana wapi mamy

  • @SpeciozaMatulanya-nw8xr
    @SpeciozaMatulanya-nw8xr Год назад

    Hayo mafuta nayapata wap

  • @anithatryphone231
    @anithatryphone231 2 года назад

    Zenye dawa unaruhusiwa kutumika hiyo njia???

  • @tabithadaudi5960
    @tabithadaudi5960 2 года назад

    Vivi so nawezafanya nikitoka kuoaha?yani sio lazima nifunge mabutu nilale nazo nifanye kesho yake

  • @mahadmpemba3503
    @mahadmpemba3503 Год назад

    Yko pw Sana na ofis zenu zipo wap

  • @hanifahamudu2462
    @hanifahamudu2462 3 года назад

    Nice dear

  • @WinnieApollinary
    @WinnieApollinary Год назад

    Samahan unaweza kukaa nazo muda gani zikiwa na meonekano huo?

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  Год назад +1

      Wiki mbili dear mpaka tatu

    • @SofiaSamwel-bi3nj
      @SofiaSamwel-bi3nj 3 месяца назад

      Na utunzaji wake unakuaje et ili kuweka ubora mpk izo wiki mbili au tatu zitimie?

  • @lindamedard7955
    @lindamedard7955 2 года назад

    Samhani me ni mgeni nilikuwa nauliza unaweza kupaka mafuta mengine tofauti na ya mega ?

  • @jescareginald9739
    @jescareginald9739 3 года назад

    Mm nywele zangu zina bleach naweza tumia haya mafuta pia

  • @deboramndeme324
    @deboramndeme324 10 месяцев назад

    Na swal je ulivyoweka hiyo mawimbi unawezabana mtindo wowote ?

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  10 месяцев назад +1

      Ndio unaweza

    • @deboramndeme324
      @deboramndeme324 10 месяцев назад

      @@Vivianatz how coz I'm trying to think how can I style it because my course doesn't want style hair end I want to do this kind of hair wave, please can you show how can I style it during class hours please 🥺🙏

  • @HanifaTarimo
    @HanifaTarimo 10 месяцев назад

    naitaji ayo mafuta

  • @anetboaz8783
    @anetboaz8783 3 года назад

    I love it

  • @nkulujohn3411
    @nkulujohn3411 3 года назад

    Bei yke hiyo gel

  • @carolinarobert2454
    @carolinarobert2454 2 года назад

    Ukiosha Nywele inarud kawaida au

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  2 года назад

      Yes dear inarudi kawaida

  • @anzyngumbi4331
    @anzyngumbi4331 2 года назад

    Kwenye nywele fup kabisa inafaa?

  • @dinahresmtawa1684
    @dinahresmtawa1684 3 года назад +1

    Wooooow

  • @mariamj4358
    @mariamj4358 2 года назад

    Habari mummy,ile Nivea sun burn umenunua wapi,nimetafuta Sana sijafanikiwa.maana kazi yangu niyabustan just linaniharibu ngozi

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  2 года назад +1

      Nenda kwenye maduka ya madawa dear

  • @halimamwambe9571
    @halimamwambe9571 3 года назад

    Nimeipenda

  • @foibeassey9702
    @foibeassey9702 3 года назад

    Tunao nyoa inafaa kuweka ivyo

  • @ambakamwela1379
    @ambakamwela1379 Год назад

    Nzuriii

  • @sophiamsangi4653
    @sophiamsangi4653 3 месяца назад

    Unauza nahitaji sanaaaaa

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  3 месяца назад

      0715 44 44 98 huyu bdio anayauza mpigie

  • @anithamasangula625
    @anithamasangula625 3 года назад +1

    Ivi Kwa watoto yanafaa

    • @Vivianatz
      @Vivianatz  3 года назад

      Yes dear inafaa saana