Nyama Nyekundu na Nyama Nyeupe. Sifa za Nyama bora Kiafya

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • Weka miadi ya kuonana na daktari @drboazmkumbomd / karibu @nsambohealthcare
    .
    .
    𝐑𝐀𝐓𝐈𝐁𝐀 𝐙𝐀 𝐊𝐋𝐈𝐍𝐈𝐊𝐈 𝐍𝐒𝐀𝐌𝐁𝐎 𝐇𝐄𝐀𝐋𝐓𝐇𝐂𝐀𝐑𝐄, Kliniki huduma ya kuonana na Daktari
    IJUMAA na JUMAMOSI Saa 2:00 Asubuhi-Saa 12:00 Jioni
    .
    Follow page ya Kitengo cha Matibabu na Ushauri : @nsambohealthcare @nsambohealthcare

Комментарии • 16

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 17 часов назад

    Dr kinachotufanya tuiogope nyama ni kwasababu siku hizi wanyama wetu wanachomwa sindano za kunenepa hii ni uhakika kabisa nimeona na zipo sehema kabisa wameandika wana nenepesha ng'ombe.sasa tufanyeje hpo dr😢

  • @abdullahalmahrooqi8306
    @abdullahalmahrooqi8306 9 дней назад +1

    Salam kwa hakika Dctr shukuran nyingi sana umenifungua akili na nimepata mafunzo mazuri sana Mwenyezi Mungu atakuhifadhi wewe na huyo mtangazaji wako nampa ongera hodari wa kuuliza maswali mazuri tena yuko fit kabisa mbele ya camera sauti yake nzuri nyepesi nyororo inaubashasha mzuri macho yake yametulia sana nakutakieni kila kheri nakipindi chenu kizidi kutupa elimu nzuri.

  • @fredysiwale5413
    @fredysiwale5413 7 дней назад

    Hakika mimi ni kati ya hao walio pona kupitia video zako kitabu ni nacho ila nimefadika zaidi na video zako .

  • @Oman1122-w2u
    @Oman1122-w2u 9 дней назад +1

    Tumejitunza kupitia kwako Dr Boaz Ahsant sana

  • @rosemarysulle9288
    @rosemarysulle9288 17 часов назад

    Hata ngo'ombe wa maziwa ni wale wa kisasa wanatumia homoni,ngombe 1 anatoa lit40 za maziwa hiv kweli hapo tutapona kweli?

  • @joycekerenge3605
    @joycekerenge3605 9 дней назад +1

    Mmmh yaani labda ninunue hicho kitabu cha saysnsi ya mapishi..kuelewa bado kwangu

    • @DrboazMkumboMD
      @DrboazMkumboMD  8 дней назад

      Karibu sana.......wasiliana nasi kwa namba 0767 074 124 ujipatie nakala yako

  • @luciamaganga210
    @luciamaganga210 9 дней назад +1

    Dakika ya 48-51 📍📍📍📍

  • @marianchamba3898
    @marianchamba3898 4 дня назад

    hicho kitabu bei gani

    • @DrboazMkumboMD
      @DrboazMkumboMD  3 дня назад

      @@marianchamba3898 0767030160 au 0767074124

  • @CianaAdolph
    @CianaAdolph 9 дней назад

    Unaleta uric asid

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor8763 9 дней назад +2

    Uko kinyume kabisa na wataalamu wenzio katika suala hili! Swali langu kubwa ni nini chanzo cha PROPAGANDA kwamba nyama nyeupe ndiyo bora zaidi?

    • @elihurumammari3600
      @elihurumammari3600 9 дней назад +1

      Wanatukataza Wakati wao wanakula.

    • @DrboazMkumboMD
      @DrboazMkumboMD  8 дней назад +1

      Rejea kwenye video kuuanzia dakika ya tano(5) swali lako limeelezewa vizuri kuanzia hapo