Sheikh Kishk Atoa Ya Moyoni Awauliza Swali Wasanii "Binafsi Siwachukii Mnapenda Kuchovyachovya Tuu"

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 112

  • @qwerqasd8597
    @qwerqasd8597 8 месяцев назад +28

    Ulicho kiongeya ni sahihi sheikh wangu Allah atujaliye kubadilika na kuwa wema pia atujaliye mwisho mwema

  • @SalmaMarselino
    @SalmaMarselino 8 месяцев назад +8

    Mashaallah shekhe kishik nafatilia sana mawaidha yako nataman siku moja nikija Tanzania angalau nikuone
    Mungu akuhifadhi uweze kutuongoza nyemaa 😊🎉

  • @zalikahamisi9382
    @zalikahamisi9382 8 месяцев назад +5

    Subanallah...... 😢😢😢Allah atupe mwisho mwema 🤲🇰🇪🇰🇪

  • @MuznaSaid-hw6kz
    @MuznaSaid-hw6kz 7 месяцев назад +2

    Mashaallah tabaraq rahmani yaani umesema mambo muhim saana shekh watoto wanafundishwa nini Asante saana sheikh usichoke

  • @AyshaSliman-cg8dr
    @AyshaSliman-cg8dr 7 месяцев назад +5

    Mashalaah mungu akuweke miaka 1000

  • @alibinali_
    @alibinali_ 8 месяцев назад +2

    Jazakallah Khairan jaman tukumbuke kesho yetu
    Kondeboy juzi juzi kaenda kanisani
    Diamond juzi juzi kavaa cheni ya msalaba

  • @timejames5099
    @timejames5099 6 месяцев назад

    Shukran sheikh wetu umetukumbusha Allah akuhifadhi na mabalaa

  • @ezron_official
    @ezron_official 8 месяцев назад +10

    Mimi kama mkristo naunga mkono fact tupu mzee♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🇹🇿🇹🇿💯

    • @Noorein-ws8wk
      @Noorein-ws8wk 8 месяцев назад +1

      Karibu basi bro Erzon ktk uislam ndio dini ya haki ndugu yangu ❤❤❤

    • @ezron_official
      @ezron_official 8 месяцев назад +1

      @@Noorein-ws8wk 🇹🇿🙏💯

  • @SuleimanKhdija
    @SuleimanKhdija 8 месяцев назад +3

    Mashallah tabaraka llah 😢kweli kabisa Allah atuongoze amiin ya Allah

  • @MfizoCrypto
    @MfizoCrypto 8 месяцев назад +5

    Shekh Umeondoa Dhima! Allah akuhifadhi😢

  • @OrlandoTarcisio-r3h
    @OrlandoTarcisio-r3h 8 месяцев назад +2

    Allah akuzishiye umri shekh wa uzidi kutukumbusha mabaya na mema tunakupenda sana watu nsumbiji mociamboa da praia tunatamani uje tena utupe mawaidha na tukuwona angalau kidogo na piya nijulishe ya kwamba shekh wetu hamad Al marufu shekh mbone atuko nawo tena tokeya mwaka 2020

  • @Zanha582
    @Zanha582 8 месяцев назад +5

    Ewe ALLAH tuongoze ktk njia iliyonyooka 😊

  • @GalgalloWario-yj7lh
    @GalgalloWario-yj7lh 8 месяцев назад +2

    Sheikh mawaidha nzuri allah atulinde katika njia ya kheri

  • @nasryomary4284
    @nasryomary4284 7 месяцев назад

    Subhanna Allah Allah atuongoze atujalie khatwima njema

  • @salehekimboko4113
    @salehekimboko4113 7 месяцев назад

    Mwenyezi mungu akulipe sheikh kishk kwa juhudi zako

  • @mireillebabilone1970
    @mireillebabilone1970 7 месяцев назад

    ManshaaAllah, Allah atupe mwisho mwema

  • @zakiaabubakar7446
    @zakiaabubakar7446 8 месяцев назад +3

    Subhannallah
    Kama Wana masikio watasikia na wataongoka

    • @omarswaleh6082
      @omarswaleh6082 8 месяцев назад +1

      Wengine sio wenzetu kwenye imani wewe mu islam huwezi kuva misalaba na kujichora mattoo mwili mzima alafu wewe waingia msikitini wenda ongea nini na mola wako wafukuzeni kwenye misikiti au kesho mutaulizwa na allah

  • @issawafula7932
    @issawafula7932 8 месяцев назад +5

    Allah nnamuomba akupe afya njema umri wako ote kwa huruma wake Sheikh wangu

  • @QueenMuniiza
    @QueenMuniiza 8 месяцев назад +2

    صلى الله عليه وسلم ❤❤❤❤❤❤❤

  • @TwarbuWaziri
    @TwarbuWaziri 7 месяцев назад

    Mashallah jazakallah khaila

  • @fafunamohamud5089
    @fafunamohamud5089 8 месяцев назад

    Subhanallah Allah atupe mwisho mwema 🇬🇧🇬🇧🇬🇧

  • @NassorcholoCholo
    @NassorcholoCholo 6 месяцев назад

    Hongera kwa kuliona hili mashaah

  • @katore1982
    @katore1982 7 месяцев назад

    Masha Allah...FACT!

  • @mzeemzee7503
    @mzeemzee7503 6 месяцев назад

    DAAWA NZURI SANA ILA KWA WENYA AKILI MASHAALLAH

  • @zaitunali5300
    @zaitunali5300 8 месяцев назад +1

    Allah atawabadilisha In sha Allah

  • @Abla_habiba02
    @Abla_habiba02 7 месяцев назад

    Sahiih sheikh Allah awajaalie wawe wenye kuskia na kuzingatia na sote kwa jumla biidhinihi ta'la

  • @Aisha-qx7kz
    @Aisha-qx7kz 7 месяцев назад +1

    Shukrun sheikh ALLAH atuepushe katika kundi hilo ovu yarab

  • @AaBb-q2l
    @AaBb-q2l 8 месяцев назад +1

    Nakupenda sana sheikh wangu kishki

  • @PhilemonGomwa
    @PhilemonGomwa 7 месяцев назад

    Shekh umenigusa sana yaani utadhani nimekutuma uyaseme hayo, binafsi mm hata kufuatilia habarizao ktk mitandao sitaki maana naona kama nitakuwa nassaport mamboyao kwanamnamoja ama nyingine! Mwenyezi Mungu atusaidie ss navizazivyetu.

  • @Worldunite
    @Worldunite 8 месяцев назад

    Kishki nakukubali saanaa, haswa kwa mada hii ILA nakuomba sana usijiingize ktk siasa, km utakumbuka juzijuzi tu ulimpongeza mama samia kwenye siku yake ya kuzaliwa mashallah, LKN ndo wewe huyohuyo wapinga kusherehekea kuzaliwa kwa mtume,yaani MAULID YA MTUKUFU WA DARAJA,KIPENZI CHETU NABII MUHAMMAD (SAWW) 4:33

  • @QueenMuniiza
    @QueenMuniiza 8 месяцев назад +1

    الله اكبر ولله الحمد ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @fatmasuleiman6991
    @fatmasuleiman6991 8 месяцев назад

    Swadkah kishik Allah awsomgoze aaamin

  • @AbdyKhalid
    @AbdyKhalid 7 месяцев назад

    Sahihi Allah tusamehe dhambi zetu yarabbi😢

  • @radhiaomary5591
    @radhiaomary5591 8 месяцев назад

    Barakallah fiyk

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 8 месяцев назад +1

    Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️

  • @AaBb-q2l
    @AaBb-q2l 8 месяцев назад

    Allah atuongeze atupe mwisho mwema amiin

  • @ABDULShq-wv6st
    @ABDULShq-wv6st 8 месяцев назад +4

    Allah tupe mwisho mwema

  • @ABDULShq-wv6st
    @ABDULShq-wv6st 8 месяцев назад +2

    Allah Akbar

  • @aminrashid991
    @aminrashid991 8 месяцев назад +1

    Mashallah

  • @ezron_official
    @ezron_official 8 месяцев назад +1

    Magonjwa mapya kila siku dah mungu atufanyie wepesi😢😢😢

  • @yasminally1015
    @yasminally1015 7 месяцев назад

    Asallam maalequ Maashalla Maashalla Allahadulilah ❤❤❤🎉

  • @omanoman2044
    @omanoman2044 8 месяцев назад

    W lykum msalm warahamtullah wabarakatuh hata sisi tunakupenda san mungu akuweke

  • @RamadhaniFereji
    @RamadhaniFereji 8 месяцев назад

    Maneno kama haya yakirudiwa mara kwa mara kwa wasanii yatasaidia, hata wasipo badilika wao lakini jamii itafahamu kua hawa ni watu waovu, lakini kuwakalia kimnya wataendelea na uovu na jamii itaendelea kuwapenda. Kwahili shekh kishk Allah akulipe

  • @mwakurichwamwahema
    @mwakurichwamwahema 8 месяцев назад

    Shukran sheikh

  • @issaibrahim8796
    @issaibrahim8796 8 месяцев назад +3

    Umesema kweli "Hakika ya ukumbusho utamfaa mwenye kuamini.

  • @BalkissMuhammad-t4g
    @BalkissMuhammad-t4g 8 месяцев назад

    Bismillah subhanallah

  • @FaydhaAlly59
    @FaydhaAlly59 8 месяцев назад +1

    Mashallah mungu akujaalie kwakutupa mawaidha mazuri ❤❤❤na mungu atujaalie kua waja wenye kuacha yasiompendeza in sha allah 🙏🙏

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 8 месяцев назад +2

    ASANTE SANA UMESEMA UKWELI KAKA MUNGU AKUWEKE AKUPE UMLI MREFU UZIDI KUTUPA DALASA ZAIDI

  • @Gilbert-ko7rq
    @Gilbert-ko7rq 8 месяцев назад

    Ukweli niukweli tu, Japo hawata sikia, ubarikiwe sana

  • @AishaabdullahAisha
    @AishaabdullahAisha 7 месяцев назад

    Allah atusamehe sis na vizazi vyetu😢

  • @mwakurichwamwahema
    @mwakurichwamwahema 8 месяцев назад

    Yarab tupe mwisho mwema insha Allah

  • @setiseti5281
    @setiseti5281 8 месяцев назад

    Alihamdulilah

  • @MaulidiJongo-v2x
    @MaulidiJongo-v2x 8 месяцев назад

    Maashaallh

  • @stamilihalifa2763
    @stamilihalifa2763 8 месяцев назад

    Insha alla watabadilika

  • @zaiboris9696
    @zaiboris9696 8 месяцев назад

    Subhanallah

  • @AbuuAbdillah-hb8li
    @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад +3

    Kutokuwachukia watu waovu na wachafu kama hao ni udhaifu mkubwa wa imani na kughafilika Allah atuongoze

    • @hashimabdulqadir4984
      @hashimabdulqadir4984 8 месяцев назад

      افانت تكرهو الناس حتا يكون مومين

    • @furahisana7733
      @furahisana7733 8 месяцев назад

      Ujinga tu nyie kila sehemu mwatafuta tatizo salafi ubwabwa

    • @AbuuAbdillah-hb8li
      @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад

      @@furahisana7733 wajinga itawaonatu wakitetea ukinga

    • @AbuuAbdillah-hb8li
      @AbuuAbdillah-hb8li 8 месяцев назад

      @@hashimabdulqadir4984 hii aya maana yake ni kulazimisha yaani utawalazimisha watu wawe waislamu ama swala la kuchukia uovu na waovu nilazima na asiefanya hivyo atakua na unafiki

    • @qwerqasd8597
      @qwerqasd8597 8 месяцев назад +2

      Huwezi kumcukia mtu kisa maovu yake kwa sababu hujui mwisho wake huenda akawa na mwisho mwema

  • @ZulekhaBaksh-ii4fk
    @ZulekhaBaksh-ii4fk 7 месяцев назад

    Umesema haki Allah atakulipa

  • @FeisalOffset
    @FeisalOffset 7 месяцев назад

    Innallilahi wainailaihi rajiuun

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 8 месяцев назад

    Hao wasanii wanaitwa kioo cha jamii mtihani sana

  • @oparabat
    @oparabat 8 месяцев назад

    Kweli shehe

  • @HalimaSaid-ed7cx
    @HalimaSaid-ed7cx 8 месяцев назад

    Sio darsalam tu ni ulimwengu mzima maaswi yamekua mengi maradhi mengi Allah atuepushe na ghadhabu zilizo jaa ulimwenguni hz ndizo dalili zakiyama Allah atupe mwisho mwema🤲🤲🤲

  • @omanomqn4345
    @omanomqn4345 8 месяцев назад +1

    Assalaam alaykum warrahma tullah wabarakatu

  • @roqayaro9439
    @roqayaro9439 8 месяцев назад +1

    Unasema kweli kishiki

  • @رضيهتنزانيا
    @رضيهتنزانيا 8 месяцев назад

    Nikwel unachosema mwenzio akikosea kikubwa kumlingania na kumuombea dua mung akulinde nauishi maisha malef na yenyebaraka tele❤

  • @abdalabuana
    @abdalabuana 7 месяцев назад

    As-salam A'laykum warahmatullah wabaracátuh!! Sheikh ili ni kweli kabisa lakini kwa wakati huu wao kuacha ni shida, ila tu Allah atuzidishie ne'ma

  • @Aminamuhamed
    @Aminamuhamed 7 месяцев назад

    INNA LILLAH WA INNA ILAYH RAJIUN 😭YAA ALLAH NAOMBA UTUEPUSHE NA MABAYA WANAYOYAFANYA WENGINE NA GHADHABU ZAKO YAA ALLAH 🤲🤲🤲

  • @hassanndaro1766
    @hassanndaro1766 8 месяцев назад +1

    Wasanii wanajiita kio cha jamii
    Kiukweli wao ndio wanaoongoza kutuharibia jamii
    Selekali watusaidie kuwakemea wanatuharibia vizazi

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 8 месяцев назад +1

    Kazii ipo

  • @hamisijamvi5601
    @hamisijamvi5601 8 месяцев назад +2

    Mimi nawachukia sana Hawa watu kwa Ajili ya ALLAH

  • @chabunu3367
    @chabunu3367 8 месяцев назад

    Kweli kabisa sheikh maneno ya haki yenye ukweli ndani yake

  • @Nora-v1m3p
    @Nora-v1m3p 8 месяцев назад +1

    Kweli sheikh wangu uliyoyasema lazima tubadilike dhimekithiri dhambi audhubi llah na shari za waovu n Allah atuogoze sote

  • @Sau-qn2zz8ii1ntz
    @Sau-qn2zz8ii1ntz 8 месяцев назад

    ❤❤❤❤❤

  • @husseinbakromar5865
    @husseinbakromar5865 8 месяцев назад

    kwanza vijana wengi wa tz tena wengi wao waislam

  • @KhadijsMohd
    @KhadijsMohd 7 месяцев назад

    Swadakta

  • @KidundaFurniture-qe3rg
    @KidundaFurniture-qe3rg 7 месяцев назад

    Swadaqta

  • @Worldunite
    @Worldunite 8 месяцев назад

    Shekhe, hawa wasanii ama kwa kujua ama kwa kutokujua wanafanya kampeni za kishetani na ushoga haswa kwa upande wa mavazi

  • @HawaAlznezbar
    @HawaAlznezbar 8 месяцев назад

    Naam hakika shekhe nurudin

  • @omanomqn4345
    @omanomqn4345 8 месяцев назад

    Jamani Nina shida na namba ya sheikh kishki,,, nina shida nae jee,,, nitaipataje jamani

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wd 8 месяцев назад

    Hata jamaa za hawa wasanii baadhi yao wanaona wanayoyafanya jamaa zao ni sawa.kwa mfano yule alojiita mama dangote ni limama la ovyoo sana

  • @mwajohari4385
    @mwajohari4385 7 месяцев назад

    Kweli mtu msanii lakin anaetenda na mavazi yanakujaje wanaiga uzungu,,mtu yupo uchi na kukaa stejini kutenda machafu njenje

  • @ManPro-ng3op
    @ManPro-ng3op 8 месяцев назад

    Vp kwenu Yemen mukkala

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 8 месяцев назад +1

    Huyu daimond kalaaniwa huyu analaana kubws yeye pomoja na walaanifu wenziwe wapo yupo mmakonde 1 anawatia aibu jamaa zake pale mahuta pale mahuta panawachamungu wakubwa huyu kapatia doa acheni laana

    • @ummuwawili
      @ummuwawili 7 месяцев назад

      muombee dua nawewe usttagfiru kwa mapungufu yako na utuombee nasisi waislam

  • @HassanAli-td9bn
    @HassanAli-td9bn 6 месяцев назад

    Shekh niko mbali napenda nikuone lkni sinawezo kuku fikia kwahali niliyonayo nifAnyaje

  • @fhnchjk5195
    @fhnchjk5195 7 месяцев назад

    Umeongea ukwer kabisa

  • @MohamedAhmed-yi1yf
    @MohamedAhmed-yi1yf 7 месяцев назад

    Tabu za dar zaletwa na watu wachache

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 7 месяцев назад

    Unawahukumu,wakati Mondi alishawahi kutoa mchango wa kujenga msikiti Kigoma.

    • @ibrahdimpoz5820
      @ibrahdimpoz5820 7 месяцев назад

      Ustadh ajahukumu mtu bali anaongea Ukweli Kingine Kuusu Mondi Allah ndie atakae amuwa uliona wapi muislam kuvaa cross✝️😔🙆🏾‍♂️

  • @MamaFeisal-v4u
    @MamaFeisal-v4u 8 месяцев назад +1

    😂ALLAH atupe mwisho mwema

  • @ZUHURASEIF-v1j
    @ZUHURASEIF-v1j 8 месяцев назад

    Ukweli KBS sheikh pesa wanazo nawana ogopa ndoa
    Mbona Alikiba aliowa na ametulia na Bibi Amina.
    Nawaige bass. 10:25

  • @dauddaud-xm2wc
    @dauddaud-xm2wc 8 месяцев назад

    Rusaganya anasema watt Wa kiume wanapakatwa

  • @ManPro-ng3op
    @ManPro-ng3op 8 месяцев назад

    Yemen umekimbi nn na Ayo unayosema ata Yemen yapo

  • @KarimSeleman-r4y
    @KarimSeleman-r4y 8 месяцев назад

    Mashallah

  • @KundiFaustineMadebe
    @KundiFaustineMadebe 8 месяцев назад +1

    Allah tupe mwisho mwema

  • @meandme3437
    @meandme3437 8 месяцев назад

    Swadakta