Allah akuzishiye umri shekh wa uzidi kutukumbusha mabaya na mema tunakupenda sana watu nsumbiji mociamboa da praia tunatamani uje tena utupe mawaidha na tukuwona angalau kidogo na piya nijulishe ya kwamba shekh wetu hamad Al marufu shekh mbone atuko nawo tena tokeya mwaka 2020
Wengine sio wenzetu kwenye imani wewe mu islam huwezi kuva misalaba na kujichora mattoo mwili mzima alafu wewe waingia msikitini wenda ongea nini na mola wako wafukuzeni kwenye misikiti au kesho mutaulizwa na allah
Shekh umenigusa sana yaani utadhani nimekutuma uyaseme hayo, binafsi mm hata kufuatilia habarizao ktk mitandao sitaki maana naona kama nitakuwa nassaport mamboyao kwanamnamoja ama nyingine! Mwenyezi Mungu atusaidie ss navizazivyetu.
Kishki nakukubali saanaa, haswa kwa mada hii ILA nakuomba sana usijiingize ktk siasa, km utakumbuka juzijuzi tu ulimpongeza mama samia kwenye siku yake ya kuzaliwa mashallah, LKN ndo wewe huyohuyo wapinga kusherehekea kuzaliwa kwa mtume,yaani MAULID YA MTUKUFU WA DARAJA,KIPENZI CHETU NABII MUHAMMAD (SAWW) 4:33
Maneno kama haya yakirudiwa mara kwa mara kwa wasanii yatasaidia, hata wasipo badilika wao lakini jamii itafahamu kua hawa ni watu waovu, lakini kuwakalia kimnya wataendelea na uovu na jamii itaendelea kuwapenda. Kwahili shekh kishk Allah akulipe
@@hashimabdulqadir4984 hii aya maana yake ni kulazimisha yaani utawalazimisha watu wawe waislamu ama swala la kuchukia uovu na waovu nilazima na asiefanya hivyo atakua na unafiki
Sio darsalam tu ni ulimwengu mzima maaswi yamekua mengi maradhi mengi Allah atuepushe na ghadhabu zilizo jaa ulimwenguni hz ndizo dalili zakiyama Allah atupe mwisho mwema🤲🤲🤲
Huyu daimond kalaaniwa huyu analaana kubws yeye pomoja na walaanifu wenziwe wapo yupo mmakonde 1 anawatia aibu jamaa zake pale mahuta pale mahuta panawachamungu wakubwa huyu kapatia doa acheni laana
Ulicho kiongeya ni sahihi sheikh wangu Allah atujaliye kubadilika na kuwa wema pia atujaliye mwisho mwema
Ameen
Mashaallah shekhe kishik nafatilia sana mawaidha yako nataman siku moja nikija Tanzania angalau nikuone
Mungu akuhifadhi uweze kutuongoza nyemaa 😊🎉
Subanallah...... 😢😢😢Allah atupe mwisho mwema 🤲🇰🇪🇰🇪
Mashaallah tabaraq rahmani yaani umesema mambo muhim saana shekh watoto wanafundishwa nini Asante saana sheikh usichoke
Mashalaah mungu akuweke miaka 1000
Jazakallah Khairan jaman tukumbuke kesho yetu
Kondeboy juzi juzi kaenda kanisani
Diamond juzi juzi kavaa cheni ya msalaba
Shukran sheikh wetu umetukumbusha Allah akuhifadhi na mabalaa
Mimi kama mkristo naunga mkono fact tupu mzee♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏🙏🇹🇿🇹🇿💯
Karibu basi bro Erzon ktk uislam ndio dini ya haki ndugu yangu ❤❤❤
@@Noorein-ws8wk 🇹🇿🙏💯
Mashallah tabaraka llah 😢kweli kabisa Allah atuongoze amiin ya Allah
Shekh Umeondoa Dhima! Allah akuhifadhi😢
Allah akuzishiye umri shekh wa uzidi kutukumbusha mabaya na mema tunakupenda sana watu nsumbiji mociamboa da praia tunatamani uje tena utupe mawaidha na tukuwona angalau kidogo na piya nijulishe ya kwamba shekh wetu hamad Al marufu shekh mbone atuko nawo tena tokeya mwaka 2020
Ewe ALLAH tuongoze ktk njia iliyonyooka 😊
Sheikh mawaidha nzuri allah atulinde katika njia ya kheri
Subhanna Allah Allah atuongoze atujalie khatwima njema
Mwenyezi mungu akulipe sheikh kishk kwa juhudi zako
ManshaaAllah, Allah atupe mwisho mwema
Subhannallah
Kama Wana masikio watasikia na wataongoka
Wengine sio wenzetu kwenye imani wewe mu islam huwezi kuva misalaba na kujichora mattoo mwili mzima alafu wewe waingia msikitini wenda ongea nini na mola wako wafukuzeni kwenye misikiti au kesho mutaulizwa na allah
Allah nnamuomba akupe afya njema umri wako ote kwa huruma wake Sheikh wangu
صلى الله عليه وسلم ❤❤❤❤❤❤❤
Mashallah jazakallah khaila
Subhanallah Allah atupe mwisho mwema 🇬🇧🇬🇧🇬🇧
Hongera kwa kuliona hili mashaah
Masha Allah...FACT!
DAAWA NZURI SANA ILA KWA WENYA AKILI MASHAALLAH
Allah atawabadilisha In sha Allah
Sahiih sheikh Allah awajaalie wawe wenye kuskia na kuzingatia na sote kwa jumla biidhinihi ta'la
Shukrun sheikh ALLAH atuepushe katika kundi hilo ovu yarab
Nakupenda sana sheikh wangu kishki
Shekh umenigusa sana yaani utadhani nimekutuma uyaseme hayo, binafsi mm hata kufuatilia habarizao ktk mitandao sitaki maana naona kama nitakuwa nassaport mamboyao kwanamnamoja ama nyingine! Mwenyezi Mungu atusaidie ss navizazivyetu.
Kishki nakukubali saanaa, haswa kwa mada hii ILA nakuomba sana usijiingize ktk siasa, km utakumbuka juzijuzi tu ulimpongeza mama samia kwenye siku yake ya kuzaliwa mashallah, LKN ndo wewe huyohuyo wapinga kusherehekea kuzaliwa kwa mtume,yaani MAULID YA MTUKUFU WA DARAJA,KIPENZI CHETU NABII MUHAMMAD (SAWW) 4:33
الله اكبر ولله الحمد ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Swadkah kishik Allah awsomgoze aaamin
Sahihi Allah tusamehe dhambi zetu yarabbi😢
Barakallah fiyk
Salallahu Alaihi Wasalam ❤️❤️❤️
Allah atuongeze atupe mwisho mwema amiin
Allah tupe mwisho mwema
Allah Akbar
Mashallah
Magonjwa mapya kila siku dah mungu atufanyie wepesi😢😢😢
Asallam maalequ Maashalla Maashalla Allahadulilah ❤❤❤🎉
W lykum msalm warahamtullah wabarakatuh hata sisi tunakupenda san mungu akuweke
Maneno kama haya yakirudiwa mara kwa mara kwa wasanii yatasaidia, hata wasipo badilika wao lakini jamii itafahamu kua hawa ni watu waovu, lakini kuwakalia kimnya wataendelea na uovu na jamii itaendelea kuwapenda. Kwahili shekh kishk Allah akulipe
Shukran sheikh
Umesema kweli "Hakika ya ukumbusho utamfaa mwenye kuamini.
Bismillah subhanallah
Mashallah mungu akujaalie kwakutupa mawaidha mazuri ❤❤❤na mungu atujaalie kua waja wenye kuacha yasiompendeza in sha allah 🙏🙏
ASANTE SANA UMESEMA UKWELI KAKA MUNGU AKUWEKE AKUPE UMLI MREFU UZIDI KUTUPA DALASA ZAIDI
Ukweli niukweli tu, Japo hawata sikia, ubarikiwe sana
Allah atusamehe sis na vizazi vyetu😢
Yarab tupe mwisho mwema insha Allah
Alihamdulilah
Maashaallh
Insha alla watabadilika
Subhanallah
Kutokuwachukia watu waovu na wachafu kama hao ni udhaifu mkubwa wa imani na kughafilika Allah atuongoze
افانت تكرهو الناس حتا يكون مومين
Ujinga tu nyie kila sehemu mwatafuta tatizo salafi ubwabwa
@@furahisana7733 wajinga itawaonatu wakitetea ukinga
@@hashimabdulqadir4984 hii aya maana yake ni kulazimisha yaani utawalazimisha watu wawe waislamu ama swala la kuchukia uovu na waovu nilazima na asiefanya hivyo atakua na unafiki
Huwezi kumcukia mtu kisa maovu yake kwa sababu hujui mwisho wake huenda akawa na mwisho mwema
Umesema haki Allah atakulipa
Innallilahi wainailaihi rajiuun
Hao wasanii wanaitwa kioo cha jamii mtihani sana
Kweli shehe
Sio darsalam tu ni ulimwengu mzima maaswi yamekua mengi maradhi mengi Allah atuepushe na ghadhabu zilizo jaa ulimwenguni hz ndizo dalili zakiyama Allah atupe mwisho mwema🤲🤲🤲
Assalaam alaykum warrahma tullah wabarakatu
Unasema kweli kishiki
Nikwel unachosema mwenzio akikosea kikubwa kumlingania na kumuombea dua mung akulinde nauishi maisha malef na yenyebaraka tele❤
As-salam A'laykum warahmatullah wabaracátuh!! Sheikh ili ni kweli kabisa lakini kwa wakati huu wao kuacha ni shida, ila tu Allah atuzidishie ne'ma
INNA LILLAH WA INNA ILAYH RAJIUN 😭YAA ALLAH NAOMBA UTUEPUSHE NA MABAYA WANAYOYAFANYA WENGINE NA GHADHABU ZAKO YAA ALLAH 🤲🤲🤲
Wasanii wanajiita kio cha jamii
Kiukweli wao ndio wanaoongoza kutuharibia jamii
Selekali watusaidie kuwakemea wanatuharibia vizazi
Kazii ipo
Mimi nawachukia sana Hawa watu kwa Ajili ya ALLAH
na hatujafundishwa na mtume kuwachukia....huo c uislamu kabisa
Usiwachukie waombee wabadilike.
Kweli kabisa sheikh maneno ya haki yenye ukweli ndani yake
Kweli sheikh wangu uliyoyasema lazima tubadilike dhimekithiri dhambi audhubi llah na shari za waovu n Allah atuogoze sote
❤❤❤❤❤
kwanza vijana wengi wa tz tena wengi wao waislam
Swadakta
Swadaqta
Shekhe, hawa wasanii ama kwa kujua ama kwa kutokujua wanafanya kampeni za kishetani na ushoga haswa kwa upande wa mavazi
Naam hakika shekhe nurudin
Jamani Nina shida na namba ya sheikh kishki,,, nina shida nae jee,,, nitaipataje jamani
Hata jamaa za hawa wasanii baadhi yao wanaona wanayoyafanya jamaa zao ni sawa.kwa mfano yule alojiita mama dangote ni limama la ovyoo sana
Kweli mtu msanii lakin anaetenda na mavazi yanakujaje wanaiga uzungu,,mtu yupo uchi na kukaa stejini kutenda machafu njenje
Vp kwenu Yemen mukkala
Huyu daimond kalaaniwa huyu analaana kubws yeye pomoja na walaanifu wenziwe wapo yupo mmakonde 1 anawatia aibu jamaa zake pale mahuta pale mahuta panawachamungu wakubwa huyu kapatia doa acheni laana
muombee dua nawewe usttagfiru kwa mapungufu yako na utuombee nasisi waislam
Shekh niko mbali napenda nikuone lkni sinawezo kuku fikia kwahali niliyonayo nifAnyaje
Umeongea ukwer kabisa
Tabu za dar zaletwa na watu wachache
Unawahukumu,wakati Mondi alishawahi kutoa mchango wa kujenga msikiti Kigoma.
Ustadh ajahukumu mtu bali anaongea Ukweli Kingine Kuusu Mondi Allah ndie atakae amuwa uliona wapi muislam kuvaa cross✝️😔🙆🏾♂️
😂ALLAH atupe mwisho mwema
Ukweli KBS sheikh pesa wanazo nawana ogopa ndoa
Mbona Alikiba aliowa na ametulia na Bibi Amina.
Nawaige bass. 10:25
Rusaganya anasema watt Wa kiume wanapakatwa
Yemen umekimbi nn na Ayo unayosema ata Yemen yapo
Acha wehu babu sikiliza maneno yake 😢
Toa ujinga na ujahili hapa.
Jiingaaa
Mashallah
Allah tupe mwisho mwema
Swadakta