Mhe.Msukuma uko vizuri mnoo...huo ndio uhalisia,tumelala,tunangoja eti wazungu waliotutawala watuamshe!..haitatokea wawe na jambo jema kwetu,mhe.Mungu akubariki!
Mambo mengi yamepandikizwa. Mfano, Masculinizing hormone therapy ndo hutumiwa kufanya mtu abadirishwe kua mwanamke kutoka kua mwanaume. Mwanaume akizitumia kwa miezi 6 hawezi kujisikia na hamu yoyote ya ngono kwa mwanamke. Baada ya mwaka mmoja ndo wanafanya process ya kukata uume na kumuwekea Uke na mwanaume kua na jinsia ya kike. Kwahio Msukuma yukl sawa. Sisi tunatakiwa kujitofautisha na wenzetu Ile tuuze ubora na sio kama wao. Takwimu za Ulaya na Marekani watu wengi wanarudi kwenye vyakula vya asili
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi 2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu 3=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii
Wakulima wawap? Wanaokunywa uji saa 7? Ktk mashamba 100 wanaolima matano ndo wameletewa uji saa 7 lkn 95 wameletewa saa tatu hadi saa 4 ndo mda mzuri. Acha upotoshaji
Kwanza kwanini siku hizi maduka ya mangi yote yanauza pombe tena pombe kali na wanafunzi wajifunzia huko lakini selekali imekaa kimya viongozi wa dini wamekaa kinyaa
Hili la kadi livaliwe njuga maana wamama wanaambiwa clinic ni bure lakini sio chini ya elfu 15 Jumlisha ultrasound 15000 sio chini ya 40000 ,kwa mbunge ni ndogo ila huku mtaani ni kubwa
Hapo kwenye ultrasound na vipimo kuwa bure sahau ukiamua kuzaa jiandae mfukoni Kuhusu card pia unakuta hazipo ni wewe uchague mwanao atumie daftari kama card au uprint kadi ya mtoto Mtoa huduma hana kosa sbb awezi kuchukua mshahara wake kukununulia kadi au kukugharamia vipimo Lazma tujue kutofautisha siasa na uhalisia
Msukuma ni kilaza wa mwisho kabisa upeo wake mdogo sana Janabi kila siku anasema kula kulingana na shughuli yako unayofanya ukila kijiko kimoja ukalime utakufa tuu unataka mtu aliyopo ofisini ale ugali kilo moja kweli??kilaza wewe
Msukuma kwa hoja hii nakuongeza miaka mwingine 10 mungu akujalie maisha marefuuuuu
Mhe.Msukuma uko vizuri mnoo...huo ndio uhalisia,tumelala,tunangoja eti wazungu waliotutawala watuamshe!..haitatokea wawe na jambo jema kwetu,mhe.Mungu akubariki!
Asante Msukuma kutukumbusha. Wasomi wetu wamekuwa chotara.
Well nailed
Mambo mengi yamepandikizwa. Mfano, Masculinizing hormone therapy ndo hutumiwa kufanya mtu abadirishwe kua mwanamke kutoka kua mwanaume. Mwanaume akizitumia kwa miezi 6 hawezi kujisikia na hamu yoyote ya ngono kwa mwanamke. Baada ya mwaka mmoja ndo wanafanya process ya kukata uume na kumuwekea Uke na mwanaume kua na jinsia ya kike. Kwahio Msukuma yukl sawa. Sisi tunatakiwa kujitofautisha na wenzetu Ile tuuze ubora na sio kama wao. Takwimu za Ulaya na Marekani watu wengi wanarudi kwenye vyakula vya asili
Haleluyaaa
Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
3=Maombi ya vita vya kiroho
Bonyeza picha kushoto mwa comment hii
Duh
Sasa hivi kajitia mvi ili andelee na ubunge au
Umeongea vyema
Wakulima wawap? Wanaokunywa uji saa 7? Ktk mashamba 100 wanaolima matano ndo wameletewa uji saa 7 lkn 95 wameletewa saa tatu hadi saa 4 ndo mda mzuri. Acha upotoshaji
Hii awamu ya sita iko kutumaliza watanganyika,mchezo mzima wanajua, RIP JPM
MUKUKUMA noma sana!
Mukukuma ndio nn au ndio mbunge mpy?
Kama matusi 😂
Nimemis Gongo
Kwanza kwanini siku hizi maduka ya mangi yote yanauza pombe tena pombe kali na wanafunzi wajifunzia huko lakini selekali imekaa kimya viongozi wa dini wamekaa kinyaa
Hili la kadi livaliwe njuga maana wamama wanaambiwa clinic ni bure lakini sio chini ya elfu 15 Jumlisha ultrasound 15000 sio chini ya 40000 ,kwa mbunge ni ndogo ila huku mtaani ni kubwa
Hapo kwenye ultrasound na vipimo kuwa bure sahau ukiamua kuzaa jiandae mfukoni
Kuhusu card pia unakuta hazipo ni wewe uchague mwanao atumie daftari kama card au uprint kadi ya mtoto
Mtoa huduma hana kosa sbb awezi kuchukua mshahara wake kukununulia kadi au kukugharamia vipimo
Lazma tujue kutofautisha siasa na uhalisia
Mnakataza gongo mnaletewa mauzauza ,tbs na wizara ya afya wawe makini.
Ila geita ni hoi haina maendeleo
Kwa hiyo asitoe hoja kwa kuwa Geita haina maendeleo, punguza chuki binafsi
Msukuma kaongea hoja sana
Kweli wewe musukuma
Msukuma ni kilaza wa mwisho kabisa upeo wake mdogo sana Janabi kila siku anasema kula kulingana na shughuli yako unayofanya ukila kijiko kimoja ukalime utakufa tuu unataka mtu aliyopo ofisini ale ugali kilo moja kweli??kilaza wewe
WAENDE NIGIERIA NA GHANA WAKAONE WASOMI WANAVYOTUNIA MALIGHAFI ZAO KUPRODUCE VYAKULA NA KIVIPACK. WASOMI WETU TANZANIA NI HOVYOOO.
Wasomi ni vilaza waliotengenezwa na wazungu ,hawana lolote.
MUKUKUMA?😮
NDO MAANA KATIBA MPYA NI MUHIMU SANAA. TUWEZE KUPATA SHERIA ZA KUWAPINGA HAO MADOKTA WANAOTUKETEA MAMBO YA HOVYO.
Katiba mpya itahusika nini sasa?
CHANJO
Leo wanafunzi wanakuwa shuleni walimu wanaridhia watoto kuchanjwa pasipo ridhaa ya wazazi
Mwanafunzi ikiwa shuleni ni mali ya serikali sio wako tena utambue hilo
Wabunge wanalalamika
Kutahiri na kukeketa ni unyama
Kutahiri?