MUSUKUMA amlipua PROF JANABI akosoa chanjo "Tutakuja kuwa na MASHOGA waliopandikizwa,

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 36

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 16 дней назад +5

    Msukuma kwa hoja hii nakuongeza miaka mwingine 10 mungu akujalie maisha marefuuuuu

  • @williamkavavila608
    @williamkavavila608 16 дней назад +2

    Mhe.Msukuma uko vizuri mnoo...huo ndio uhalisia,tumelala,tunangoja eti wazungu waliotutawala watuamshe!..haitatokea wawe na jambo jema kwetu,mhe.Mungu akubariki!

  • @michaelnhonya5572
    @michaelnhonya5572 16 дней назад +2

    Asante Msukuma kutukumbusha. Wasomi wetu wamekuwa chotara.

  • @jamalimussa4928
    @jamalimussa4928 16 дней назад +2

    Well nailed

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 16 дней назад +1

    Mambo mengi yamepandikizwa. Mfano, Masculinizing hormone therapy ndo hutumiwa kufanya mtu abadirishwe kua mwanamke kutoka kua mwanaume. Mwanaume akizitumia kwa miezi 6 hawezi kujisikia na hamu yoyote ya ngono kwa mwanamke. Baada ya mwaka mmoja ndo wanafanya process ya kukata uume na kumuwekea Uke na mwanaume kua na jinsia ya kike. Kwahio Msukuma yukl sawa. Sisi tunatakiwa kujitofautisha na wenzetu Ile tuuze ubora na sio kama wao. Takwimu za Ulaya na Marekani watu wengi wanarudi kwenye vyakula vya asili

  • @CANAANTZ_TV
    @CANAANTZ_TV 15 дней назад

    Haleluyaaa
    Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp
    1=Maombi ya kuvunja madhababu za kichawi
    2=Maombi ya kuzima mashambulizi ya kuzimu
    3=Maombi ya vita vya kiroho
    Bonyeza picha kushoto mwa comment hii

  • @MosesMnyantope-zw4ed
    @MosesMnyantope-zw4ed 16 дней назад

    Duh

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 16 дней назад

    Sasa hivi kajitia mvi ili andelee na ubunge au

  • @franciskennethngwale5195
    @franciskennethngwale5195 16 дней назад +1

    Umeongea vyema

  • @user-wj6zj1ly4e
    @user-wj6zj1ly4e 15 дней назад

    Wakulima wawap? Wanaokunywa uji saa 7? Ktk mashamba 100 wanaolima matano ndo wameletewa uji saa 7 lkn 95 wameletewa saa tatu hadi saa 4 ndo mda mzuri. Acha upotoshaji

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 16 дней назад

    Hii awamu ya sita iko kutumaliza watanganyika,mchezo mzima wanajua, RIP JPM

  • @nikkimbishiunju2402
    @nikkimbishiunju2402 16 дней назад

    MUKUKUMA noma sana!

  • @sharoshine9984
    @sharoshine9984 16 дней назад +2

    Mukukuma ndio nn au ndio mbunge mpy?

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 16 дней назад

    Nimemis Gongo

  • @bakariyusuph-uf7nc
    @bakariyusuph-uf7nc 16 дней назад

    Kwanza kwanini siku hizi maduka ya mangi yote yanauza pombe tena pombe kali na wanafunzi wajifunzia huko lakini selekali imekaa kimya viongozi wa dini wamekaa kinyaa

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 16 дней назад

    Hili la kadi livaliwe njuga maana wamama wanaambiwa clinic ni bure lakini sio chini ya elfu 15 Jumlisha ultrasound 15000 sio chini ya 40000 ,kwa mbunge ni ndogo ila huku mtaani ni kubwa

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 16 дней назад

      Hapo kwenye ultrasound na vipimo kuwa bure sahau ukiamua kuzaa jiandae mfukoni
      Kuhusu card pia unakuta hazipo ni wewe uchague mwanao atumie daftari kama card au uprint kadi ya mtoto
      Mtoa huduma hana kosa sbb awezi kuchukua mshahara wake kukununulia kadi au kukugharamia vipimo
      Lazma tujue kutofautisha siasa na uhalisia

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 16 дней назад

    Mnakataza gongo mnaletewa mauzauza ,tbs na wizara ya afya wawe makini.

  • @user-ze6lx9ng6s
    @user-ze6lx9ng6s 16 дней назад +1

    Ila geita ni hoi haina maendeleo

    • @JohnMtaki
      @JohnMtaki 15 дней назад

      Kwa hiyo asitoe hoja kwa kuwa Geita haina maendeleo, punguza chuki binafsi

  • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
    @--------GEO_SPORT_EARTH_EA 16 дней назад

    Msukuma kaongea hoja sana

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 16 дней назад

    Kweli wewe musukuma

  • @Marjeby
    @Marjeby 16 дней назад

    Msukuma ni kilaza wa mwisho kabisa upeo wake mdogo sana Janabi kila siku anasema kula kulingana na shughuli yako unayofanya ukila kijiko kimoja ukalime utakufa tuu unataka mtu aliyopo ofisini ale ugali kilo moja kweli??kilaza wewe

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 16 дней назад

    WAENDE NIGIERIA NA GHANA WAKAONE WASOMI WANAVYOTUNIA MALIGHAFI ZAO KUPRODUCE VYAKULA NA KIVIPACK. WASOMI WETU TANZANIA NI HOVYOOO.

  • @Ndu-wa.uroony2
    @Ndu-wa.uroony2 10 дней назад

    Wasomi ni vilaza waliotengenezwa na wazungu ,hawana lolote.

  • @dicksonndanshau4766
    @dicksonndanshau4766 16 дней назад +1

    MUKUKUMA?😮

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 16 дней назад

    NDO MAANA KATIBA MPYA NI MUHIMU SANAA. TUWEZE KUPATA SHERIA ZA KUWAPINGA HAO MADOKTA WANAOTUKETEA MAMBO YA HOVYO.

  • @Mweya-87
    @Mweya-87 16 дней назад

    CHANJO

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 16 дней назад

    Leo wanafunzi wanakuwa shuleni walimu wanaridhia watoto kuchanjwa pasipo ridhaa ya wazazi

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 16 дней назад

      Mwanafunzi ikiwa shuleni ni mali ya serikali sio wako tena utambue hilo

  • @emilianchibinda82
    @emilianchibinda82 16 дней назад

    Wabunge wanalalamika

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 16 дней назад

    Kutahiri na kukeketa ni unyama