Diamond Platnumz - Nikuone (Official Audio)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 окт 2018
  • #diamondplatnumz #wasafi #aboyfromtandale
    Enjoy Nikuone Track No.7 From A Boy From Tandale Album
    Get A Boy From Tandale Album umgafrica.lnk.to/DiamondPlatn...
    For Bookings:
    Email:bookplatnumz@gmail.com
    Catch Up With Diamond Platnumz On:
    Instagram: / diamondplatnumz
    Facebook: / diamondplatnumz255
    Twitter: / diamondplatnumz
  • ВидеоклипыВидеоклипы

Комментарии • 803

  • @wilsonmunyubi1271
    @wilsonmunyubi1271 5 лет назад +32

    kama unakubali hii wimbo umeimbiwa zari gonga like .Diamond still loves Zari even if anamtreat vibaya

  • @chrisbreezy8386
    @chrisbreezy8386 5 лет назад +2

    Simbaaaaa katisha humu ndaaaaani jooooooh

  • @levytitoplatnumz299
    @levytitoplatnumz299 3 года назад +4

    My name's are Levy Tito platnumz the boy from chibolya Zambia mond nakubali

  • @maimunaathman4664
    @maimunaathman4664 5 лет назад +7

    Naisikizia tu hapa Switzerland dogo umewasha. Je t'aime

  • @laurielaurine4382
    @laurielaurine4382 3 года назад +43

    All the way from Kenya, who is still listening to the Nikuone na halali kama mm

  • @vailethnyondo1608
    @vailethnyondo1608 4 года назад +1

    Umuone zari ahaaaaa n lazma umkumbuke tu tatizo mnafanya mambo kimwil amshirikishi moyo

  • @rahimhassan629
    @rahimhassan629 5 лет назад +14

    Njoo nikuone president salute
    Anaeikubal Hii kitu gonga like twendeeee

  • @africanbeauty6556
    @africanbeauty6556 2 года назад +1

    Come on !!Diamond platnumz tutolee tena muziki huu !!!Please

  • @amanirobert5103
    @amanirobert5103 3 года назад +1

    Ngoma kali sana, platinum, amna wa kukulinganisha nimekosa

  • @harunakazi453
    @harunakazi453 4 года назад

    Mwenye mziki wake kaja. Simba toka mbuga ya tandale.......manjegere manjegere manjegere

  • @abimaelyabihudi5530
    @abimaelyabihudi5530 6 месяцев назад

    Leo nikukumbuka mapini ya simba ambae amevunja record nyingi sanaaaa

  • @warrensantana1570
    @warrensantana1570 3 года назад +9

    Ngoma za design hii ndio ilifanya Wana Afrika Mashariki tukamkubli Diamond Platnumz kuwa na ujuzi wa kuimba na alituonyesha anaeza kufanya ata zaidi na hivyo kupenya Kwote Afrika💪💪💪💪💪#Once a Simbaa Always a Simbaaa

  • @scopionboyke
    @scopionboyke Год назад +1

    Simba wewe ni moyo wangu. Yani heart break songs zako zinaniachanga na jeraha

  • @foreverrich7978
    @foreverrich7978 5 лет назад +17

    Nice song forever hukosei kma unamukubal diamond like bax thanks, talata akonayo.kma mwedzako anafanya vzuri msaport.uko juu my boss.

  • @samuelparamisa1017
    @samuelparamisa1017 2 года назад +1

    Niliyo yasikia Leo makubwa huaga naona Kwa video 💝💝💝

  • @XPAPPLE
    @XPAPPLE 11 месяцев назад +1

    Bado hit had inanikumbucha kipindi nilikua dar

  • @kaseja
    @kaseja 3 года назад

    Hili Songi hili lilipikika...Tuddy thomas Fanya jambo na huy kijana tuna miss ladha ama kazi ya kwenu kwapamoja

  • @michaelshioro6439
    @michaelshioro6439 5 лет назад +6

    Diamond tutole video phpa audio iko fiti kma unakubaliana n mm toa like yko hpa👇

  • @noahnaikunidogoslain1702
    @noahnaikunidogoslain1702 5 лет назад

    niungue n platnumz mr President nitimize malengo yngu

  • @GggGg-uh5ir
    @GggGg-uh5ir 3 года назад

    Waaaaaaaa woooooo muziki muzuri 😍😍😍😍😍🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣💃💃💃💃💃💃💃🙏🙏🙏🙏🙏🙏💌💌💌💌💌💌🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝

  • @sofiaasukuku8238
    @sofiaasukuku8238 5 лет назад +3

    Kali Sana Kaka Simba ,,,,,utatuhuwa Sana mmmm siwezi kukulinganisha Yule fala

  • @teddymichael5896
    @teddymichael5896 4 года назад

    Ataliii zariii mwenzio anatesekaa..ukuu manjegere

  • @ashas7542
    @ashas7542 5 лет назад +22

    HUU WIMBO KAIMBIWA ZARI ASILIMIA 100, ATAKAE BISHA ANYE BOGA

  • @miketez2160
    @miketez2160 Месяц назад

    Chibu❤...vybe vybe vybe. ..I miss the original version 🇰🇪

  • @hamadyndembo7152
    @hamadyndembo7152 4 года назад

    Nyibo bora ksanaaaaa nanaikubali ksanaaaa%%%%

  • @sahiltvontheline5560
    @sahiltvontheline5560 4 года назад +1

    Diamond zaman ulikuwa unaimba sanaaaa baadae Ya kuumizwa kweny mapenz leo nimekumbuk nyimbo za zamani kizaizai 'ukimwon 'n.k....

  • @paulamoka9923
    @paulamoka9923 Год назад +3

    That voice oooh

  • @officialbrazzah254
    @officialbrazzah254 5 лет назад +16

    Imetawala Kenya...au sio wakenya wenzangu

  • @khalidyngwembele4896
    @khalidyngwembele4896 5 лет назад

    Mbona nmechelewa kuiskia hii aseee!

  • @yanickmustafa7221
    @yanickmustafa7221 Год назад

    Diamond platnumz wasafi 🙌🙌🙌👑👑

  • @asiliyakechuma4319
    @asiliyakechuma4319 4 года назад

    Naona mashabaki wa kibakuli wamepapaswa na mondi 😃😄😆

  • @iddyjuma3896
    @iddyjuma3896 5 лет назад +1

    Good sana Brother Simba k2 kong kii fire 🔥🔥🔥🔥kama umeielewa ngoma hii dondosha like yako hapa ili twende sawa. From Tz🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mariamngorongoromaria6634
    @mariamngorongoromaria6634 4 года назад

    Singizi SNA ikiniijia tu sura ako moyo unazzma ooooi njoo BA's nkuoneee ooiii

  • @jamalmohammed2963
    @jamalmohammed2963 2 года назад +9

    This album was 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥. The first album I have ever bought on iTunes

  • @adambakari9276
    @adambakari9276 4 года назад

    Mmmmh mzee unanong'ona tu we imba danc tu ndo fan yko

  • @dorcajohn7661
    @dorcajohn7661 3 года назад +3

    Natamaninikuone kaka nitakukumbatia
    kwa dakika kumi hadi lisaa limoja nakupenda sanaaaaa😭😭😭🥰🥰🥰

  • @mialanomangobo3783
    @mialanomangobo3783 5 лет назад +1

    Fire @nikuone wcb for life. Jiwe, bomb kwa lingine. Joone nikuone napatwa na kizunguzungu. Roho yangu inaenda manjegere.
    None like you in Bongo flavor

  • @bonnysureolkokolaboy4342
    @bonnysureolkokolaboy4342 5 лет назад +2

    Kwa kuchora mistari nakukubali sana #Mondi👊👊

  • @alexmichael8950
    @alexmichael8950 5 лет назад

    Pumbavu sana.. mnatumalizia mb zetu.. mi nilfiri huyu jamaa kafyatua chuma kipya ktk mwaka mpya 2019

  • @lukanu9428
    @lukanu9428 5 лет назад

    njooo basii , do you like Kenyans , pea wakenya like zetu hapa

  • @user-on3lr3ls7o
    @user-on3lr3ls7o 2 месяца назад

    Kutwa mzima nawaza kisa nini darlin😢😢tupate pesa aky

  • @shiksshiks8494
    @shiksshiks8494 5 лет назад

    Pia mi nataka nikuone simba!😋

  • @abukiseidasman454
    @abukiseidasman454 3 года назад +10

    Simbaaaaa 2021am still listening to this I love u brook❤😭😭😭

  • @dj-reissitolkira2343
    @dj-reissitolkira2343 3 года назад

    Yani simba wew kbs mungu akulinde. Ila tuna miss kitu camwaka 2021, 🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @producerkevin7388
    @producerkevin7388 2 года назад +1

    Moto sana!

  • @fadhilshafi2947
    @fadhilshafi2947 5 лет назад +2

    Best melody... gonga likes kama zote.. 👑

  • @nicholaskigeni5333
    @nicholaskigeni5333 4 года назад

    mungu akuweke miaka buku jembe langu nakkubali sana,

  • @ezapesambili2902
    @ezapesambili2902 5 лет назад

    Nyundo ju ya nyundo kazi kwangu kuzipakua w c b for life

  • @halimambwego7706
    @halimambwego7706 5 лет назад

    Mmh nzuri.....mond wa kulalama jamani unakipaji hicho

  • @dennischeyo1302
    @dennischeyo1302 4 года назад

    Mbeya City boy naisikiliza

  • @dpaul...m.4476
    @dpaul...m.4476 4 года назад

    Boss kwenye huo wimbo UMETELEZA kwani hauna mori kabisa kama under ground kabisa.

  • @danieljuma3753
    @danieljuma3753 5 лет назад +1

    Wimbo mbaya kichiz😁😁😁
    Kama hujakubaliana na Mimi Gonga like

  • @moussabadji9732
    @moussabadji9732 5 лет назад +59

    I come from Sénégal but I love Diamond Platnumz, I am your fan number one

  • @rommymartin2225
    @rommymartin2225 5 лет назад

    njoo bc nikuone hiyo ndani ya nyumbaaaaaa

  • @selemanibididas3988
    @selemanibididas3988 3 года назад +4

    Tuliokuja tena 2020 like tujijue

  • @linussngolly2089
    @linussngolly2089 5 лет назад

    chezea cimbaaaaa wee hana mpizan

  • @therealar9904
    @therealar9904 5 лет назад +168

    Ukiwa team wcb hautakiwi kuwa na mb za mawazo

  • @jasminekinyua2698
    @jasminekinyua2698 5 лет назад

    Unaweza simbaaaaaaaaaaaaa.

  • @odida9129
    @odida9129 5 лет назад +2

    Nikuone 👌hii song iko juu. Sauti yake Nassib tu!!!!!!

  • @waturukistar7399
    @waturukistar7399 4 года назад

    Simba anunguruma we diomond mtoto wa tandare uwezikani

  • @mapozitu
    @mapozitu 5 лет назад

    Nataka nikuone from Oman 🌹

  • @shelinswai3926
    @shelinswai3926 Год назад

    Nyimbo za chibu zipenye mpaka kwenye moyoooo

  • @hafswashee6469
    @hafswashee6469 5 лет назад +1

    SIMBA Nikuone

  • @vincentyusiliki9819
    @vincentyusiliki9819 4 года назад +4

    Wadau wcb tunaosikiliza leo gonga like 2020

  • @tanchimomanyi5180
    @tanchimomanyi5180 5 лет назад +22

    ayaaaa!!! diamond kijana wa tandale ,,,ii moto sana simbaaaa👌👌🔥🔥🔥254naipenda ,,,unaiga sauti ya simbaa sauti inakukapa koo unakufa hehehehe like apa #team simbaaaa

  • @Vivicafoxmuronji
    @Vivicafoxmuronji 2 года назад +5

    Daamn… i love this song

  • @mwanaishambili241
    @mwanaishambili241 5 лет назад +1

    Kumewaka leo RUclips 🔥

  • @richvenga3785
    @richvenga3785 4 года назад

    Dah wimbo mkali Sana🚾b

  • @hamidually1980
    @hamidually1980 4 года назад

    Simbaa #Nikuone 💥💥💥💥

  • @heriramadhani8231
    @heriramadhani8231 5 лет назад

    Hiii ngoma nakunywaga nayo chai nikikosa kitafunwa

  • @kifarusongeaolg9726
    @kifarusongeaolg9726 5 лет назад +4

    unayoyafanya leo makubwaa🙌 afadhari yajana makubwa🙌 wengine wataumwa makubwa🙌🎼🎼☝☝🏃🏃

  • @hudsonkennerth5380
    @hudsonkennerth5380 5 лет назад +5

    All the way from Malawi keep the fire burning I love your work

  • @peterharmao2300
    @peterharmao2300 4 года назад

    Wewe mondi ww mwaka huu mashabiki wako ata atupoi toa hii weka hii

  • @milinandayishimiye7096
    @milinandayishimiye7096 5 лет назад

    simba unajuwa sana muziki iyo kali sana aaaaaaa

  • @kambachaku8390
    @kambachaku8390 5 лет назад

    Duuhh sina neno simbaa

  • @festontumemmakasa1764
    @festontumemmakasa1764 5 лет назад +7

    i can't stop listening to this track

  • @vinnytohvinnie2405
    @vinnytohvinnie2405 5 лет назад +1

    simba kweli wewe ni simba always on top eagerly waiting for the video...........

  • @blandinedubai1133
    @blandinedubai1133 5 лет назад +2

    I love simbaaaaaaaaaa

  • @aggraypeter.5008
    @aggraypeter.5008 5 лет назад +4

    NIKUONE PAMELA KOSA LANGU BAIKOKO AMANDA SIJAONA Akaja Kupumzika na Jamaica ×Africa Mambo ya Utimu

  • @musamkali771
    @musamkali771 4 года назад

    Jamani JAMANI JAMNI huyu mondi kashakatakamba huyu

  • @sayinamedass7109
    @sayinamedass7109 5 лет назад +10

    It's always a pleasure to listen to u Diamond.

  • @vannyboyclassic2864
    @vannyboyclassic2864 5 лет назад +57

    simbaaaaa +254 gonga like hapa niwaone

    • @zagenjunior2697
      @zagenjunior2697 4 года назад +1

      Mimi shahrukh ninaomba chase kutoka kwenu please ninakuoba

    • @GggGg-uh5ir
      @GggGg-uh5ir 3 года назад

      Wowe nagupenda sana mipenzi wangu ❤❤❤❤❤❤❤💌💌💌💌💌💌💌💌💌💌💌💌💌💌💌

    • @swadikinampalangula4085
      @swadikinampalangula4085 3 года назад

      Simba

  • @maraedimburgh7028
    @maraedimburgh7028 5 лет назад +12

    directly from Mozambique ... I love Tanzania ... I admire your culture ... Congratulations .... This young man really sings...

  • @hassanyussuph4407
    @hassanyussuph4407 4 года назад

    Chibu kama chibu sichoki nyimbo zako hatari sanaa

  • @kaguhuland3480
    @kaguhuland3480 5 лет назад

    unatisha sana mond,big up.

  • @kiokomartha3849
    @kiokomartha3849 5 лет назад +25

    Nangoja bana ishuke, umewexa nakuaminia

  • @maxuel2688
    @maxuel2688 5 лет назад +10

    Specially 4 zari iyoo kama una niamini nipe like

  • @muthannaadam4028
    @muthannaadam4028 5 лет назад +8

    Heart touching.... jamany simbaa eeeh😙😙😍😍😍😍❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
    *njoo basii nikuoneee😙😍

  • @diafall7534
    @diafall7534 5 лет назад +1

    Oyooooo Nice song di basi wu nakuona nani zarina ow nani?????

  • @sekoufofana2357
    @sekoufofana2357 5 лет назад

    I’am from Guinea 🇬🇳

  • @mohammedadnaan6930
    @mohammedadnaan6930 4 года назад +13

    Hello from Qatar 🇶🇦! Love Swahili music ❤️ I have a lot of Kenyan friends in my work place 😁

  • @bajudajulius6169
    @bajudajulius6169 4 года назад

    Daaaa jman ngoma kali

  • @nick-254.
    @nick-254. 5 лет назад

    in Canada ain't understand nothing but i can say nikuone ni kazi safi ya mondi 😀😀😀

  • @hamimumlindwa3244
    @hamimumlindwa3244 5 лет назад

    Nakuaminia diamond utabaki juu

  • @ketshakelah7873
    @ketshakelah7873 5 лет назад +7

    When will u ever dissapoint me Simba 🔥

  • @Jastus100
    @Jastus100 5 лет назад +11

    🙌🙌🙌 Leo ni leo achia mpaka 6 in the morning

  • @abdishakuurahmed1562
    @abdishakuurahmed1562 5 лет назад +22

    I am from somaliland I like African music 😘😚

  • @k.m.a.n8312
    @k.m.a.n8312 5 лет назад +1

    A boy from Tandale🔥🔥

  • @rutambukaguerain5860
    @rutambukaguerain5860 3 года назад

    The king of entertainment @diamondplatnumz

  • @momoshi2697
    @momoshi2697 5 лет назад

    Ili jamaa alifai walai daaaaa