Dkt. Ipyana Aelezea Uhalisia wa Wimbo Wake I Ni Kweli Mtupu Aliyoyaimba I Mungu Atabaki Kuwa Mungu

Поделиться
HTML-код

Комментарии • 27

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Год назад +6

    Kwakweli wimbo huu umeniwezesha kumwabudu Mungu na kumshukuru katika Roho na kweli

    • @jeffkadeya8500
      @jeffkadeya8500 Год назад

      Huu kweli umeweza, hili nyimbo limenibariki sana.

  • @floachieng810
    @floachieng810 Год назад +2

    Naskiza daktari...indeed it's an inspiration.
    The highest calling in life,is to serve God, spiritual hope is better than anything else

  • @vickymoshi6038
    @vickymoshi6038 5 месяцев назад

    Baba Nakushukuru..is my Breakthrough song.......

  • @angelaswila6632
    @angelaswila6632 Год назад +3

    God bless u. Mungu akupe viwango vya juu zaidi 2023

  • @JackieChumba-ij9ip
    @JackieChumba-ij9ip Год назад +1

    God bless you servant of the most high God natamani sana hiyo neema unayo

  • @junemuchiri609
    @junemuchiri609 Год назад

    Dr Ipyana is so cool calm and collected,oozes confidence and humility
    Reminds me of Alikiba

  • @alfredzacharia-vp1ck
    @alfredzacharia-vp1ck Год назад +1

    Ubarikiwe sana mtumish wa Mungu

  • @frankwilson642
    @frankwilson642 Год назад

    God is greater. am so blessed with your song God you a lot Doctor.

  • @saurasoso1543
    @saurasoso1543 Год назад +4

    Kiukweli huu wimbo ni mkubwa unabariki sana moyo wangu na huu wimbo utaishi miaka yote bila kuchuja Mungu aendelee kukubariki kaka ❤

  • @asiyeralan1020
    @asiyeralan1020 Год назад

    That's song speaks more of me. Asante Daktari Ipyana

  • @gracemwangi9678
    @gracemwangi9678 Год назад

    A great song in deed,may God continue working in you .

  • @ruthkyando9878
    @ruthkyando9878 Год назад +2

    Wimbo unanibariki mno Mungu akubari mtumishi👏

  • @PetroMakelele-zi6te
    @PetroMakelele-zi6te 10 месяцев назад

    Mungu akuinue viwango vya juu Dr.

  • @gerrardminango9167
    @gerrardminango9167 Год назад +3

    I like it

  • @el-roiambassadorchannel9896
    @el-roiambassadorchannel9896 Год назад

    God bless you Sam Sasali.

  • @fredkizera2837
    @fredkizera2837 Год назад +1

    Wimbo Kali sana mungu ni mwema

  • @mariumkiuko9400
    @mariumkiuko9400 Год назад +2

    Kija hata mimi pia nimemfahamu kupitia wimbo huu nabarikiwa sana

  • @sifaelkikoti3141
    @sifaelkikoti3141 Год назад +4

    Wimbo umejaa mafuta ya Roho mtakatifu

  • @mabulakenedy704
    @mabulakenedy704 Год назад

    I love it

  • @judithlejalearnmore2236
    @judithlejalearnmore2236 Год назад +1

    Amen, Atukuzwe Mungu wa Mbinguni

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 Год назад

    AMEEN

  • @aliceblesseddaughter
    @aliceblesseddaughter 9 месяцев назад

    Great, ushuhuda mkubwa

  • @shukurusyriack3504
    @shukurusyriack3504 Год назад

    Ninampenda sana huyu kaka jamani

  • @melvine.m.mulula7513
    @melvine.m.mulula7513 Год назад +1

    Next time punguzeni sauti ya radio ndio tusikie testimony vizuri.

    • @emillyodhiambo2466
      @emillyodhiambo2466 Год назад

      AMEN man of God,been thinking he is a south African,be blessed