Peanut butter ya karanga ndio natumia Mimi mbadala wa Nazi, kwenye ndizi, maharage, mnyama,dagaa, samaki, kande ,uji, na mboga za majani nishakua mlevi wa hii siwezi kosa na natengeneza mwenyewe bila mashine natwanga karanga, nakaanga karanga natoa maganda then natwanga kwenye kinu ni nzuri hatareee nimezoea na nimejifinza jinsi ya kutengeneza fb
Ma sha Allah.... sijawahi iona mashini hiyo huku Mombasa tunanunua peanut za tayari...naona ntakuja inunua nianzishe kakiwanda changu kidogo💝💝💝
Uko Mombasa peanut butter ni bei Gani?
Karanga zake nzuri sana. Mimi mteja wake wa rejareja tabora
Iyi mshine tnaipta wapu kwahuku Zanzibar unguja
MashaaAllah mpenzi kazi safi❤️❤️❤️😘😘
Mashine ulipata wp
kazi nzuri❤️❤️
Kumbe una watoto😘😍🤗 washa guwa sijajuaga wemreembo kama miaka 18 ivo
Very unique
Asante Sana. Nahitaji mashine
Hivi naweza kutumia brenda ya kawaida kusagia 🤔
Nice
Kazi nzuli dada, mapongezi kutoka Rwanda🇷🇼
Asante sana
@@ikamalle inauzwa ngapi hiyo mashine. ?
Nahitaji iyo mashine nipo igunga naomba Namba zako🙏
Hi guyz na mm nafanya video za mapishi wapendwa karibu I mnisapoti
mashallah machine naipataje
nimeipenda
Very simple 🙏🙏🙏
Yeees
I like it
Nimependa sana
Can u use blender kama mtu hana machine
huy. dada wa mashine. anapatikana. wap dar. au. mkoan
Nimemuona mpishi wa mziwanda bekers fau❤❤❤
🤣🤣🤣🤣
Naomba nop dada angu ya huyo mwenye mashine
Anaehitaj raw material mkulima npo apa ,some where nanyumbu
Anaehitaj raw material mkulima npo apa ,some where nanyumbu
Mimi niko mbagala sina mashine nahitaji kusaga karanga zangu nafanyaje?au kama una mtu maeneo ya huku mnielekeze basi
Ahsante Sana kwa somo, je hyo mashine ya kusagia Karanga sh.ngapi?
Ndgu Mimi naitaji mshine yangu ni ndogo sana nitafute
Safi sana
Shida kupata hiyo mashine..kazi nzuri
Mashine wasiliana na +255 752 413 459
@@ikamalle sitaki kununua akuna njia ingine naweza tengeneza peanut
nunua karanga ziandae alafu uende ukasagishe kwa mtu mwenye mashine
@@ikamalle santi.sana
@@ikamalle huyo muuzaji yupo mkoa gani na zinauzwa sh ngap
Mashine napataje
Iyo mashine inapatikana wap na Ni bei gan
Zinatengenezwa sido
🔥🔥🔥
Mashine ya mkono inaweza kusaga karanga zikawa rojo?
Habari naomba mapishi ya kaukau
Haifai kwa blender
Peanut butter ya karanga ndio natumia Mimi mbadala wa Nazi, kwenye ndizi, maharage, mnyama,dagaa, samaki, kande ,uji, na mboga za majani nishakua mlevi wa hii siwezi kosa na natengeneza mwenyewe bila mashine natwanga karanga, nakaanga karanga natoa maganda then natwanga kwenye kinu ni nzuri hatareee nimezoea na nimejifinza jinsi ya kutengeneza fb
Wee nifundishe na mimi
Kwani huwezi kusaga nabrenda kama Huna mashine
Hallo, nitaziosha mwanzo Au vipi?
Nimezichambua tuu nikakanga
Natamani kufahamu ila zinatok sio lain😭😭😭
Iyo mashine shling ngap n uyo dada anaptikana wapi
I love thisssss
Naomba nielekeze sehemu ambayo unanunua hizi package
i channel ina madini ad raha
Anasagia sh ngapi?
❤️❤️❤️
👍👍👍👍
Na mim nataka namba ya huyu mwenye mashine
Mashine za kusagia zinapatikana wapi
Wasiliana na +255 752 413 459 (anaitwa dada Lucy)
@@ikamalle sawa
@@ikamalle anapatikana wp kwa dar
For how long can the peanut butter last before expiry? And how do you store it? Kwa kabati au kwenye fridge?
Upto 6 months depending on how you use it (use clean and dried spoons or bread knife)
It stay 6 month up to one year
Is mashine ndogo available?
Wasiliana na dada Lucy
Nahitaji hiyo mashine
😋😋😋😋😋
How does she clean the machine??
Good question
Its opened and cleaned
@@ikamalle oh so!! Thank you
I was worried.
@@ikamalle oh,good dae
Anasaga kw kilo shlng ngp
Ni shingapi
JAMANI NATAFUTA MASHINE YA KIKANDIA NGANO
Wasiliana na Mziwanda bakers +255 768 859 358
Nendda Kariakoo
😂😂