Размер видео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показать панель управления
Автовоспроизведение
Автоповтор
Nimeelewa
✈️🔥✈️ kazi kazi bro
✈️✈️ kazi kazi
Nzuri sana
ahsante sana
Nimeipenda mwalim
Hongera sana kwa kazi njema.Nawezaje kuipata mashine?
Hongera kaka nahitaji kujifinza
Karibu sana
Asante
Ahsante sana
Nmekuwa boss wangu hii inakaa kwa mda Gani hadi ialibike au kitu Gani unanya ili isialibike
Hadi mwaka mzima haijaribiki
Nina hitaji visado vya karanga nivipataje
Machine kama hii napata wap
Kitabu shngap
Habari kaka unauza vitabu shillings ngapi ??
Nahitaji mashine nitapataje KWA sh ngapi?
Mashine inapatikana wapi na bei gani
Ofisi za SIDO wanauza hizo
@@mwalimusalangahello ninashida na hii mashine je inapatikana sido za mkoa ganii maana mimi nipo Songea nimetafuta saana sijapata na ninahitaji
Nahitaji kujifunza
Vitabu unavyo??shillings ngapi?? Na machine shillings ngapi?
Kama huna io mashine unasagaje
Naomba kujua bei ya mashine kama yako plz
Laki nane Hadi million
Hamna haja ya kuweka preservers???
Ndio haiwekwi
@@mwalimusalanga nahitaji kitabu
Usipoweka chumvi na sukari inakuwa na madhara gani?
Mbona tumesema sio lazima ni Radha tu
Kaka mashine nitaipata kwa Bei gani?
Hii mashine ndugu yangu unaipata ofisi za sido wanazo inategemea ziko bei tofauti tofauti kuanzia laki saba Hadi milion Moja huko
Ahsante
je brenda aisag???
Sildi
Hiyo mashine sh ngap
hiyo ya muda mrefu Milion moja
Nitaipataje mwalimu@@mwalimusalanga
Naomba kujua bei ya hizo pacage. Na zikiwa katika vifungashio vidogo zaid.
Buku hizo hapo
Naskia usipoweka asali haikai sana et n kweli???
Waongo
Pamoja. Sana kaka
Pamoja sana dada
Mashine nahitaji naipataje ama wapi
zipo zinauzwa njoo Whatsapp nitakuelekeza 0682456819
Naomba unieleweshe namna ya kuweka soldi yake
kopo zake zinasilid tayari
Mm niko oman vipi naweza kupata vitabuWw uko nchi gani Na wapi naweza kupata
Vitabu ni softcopy unatumiwa kwa Whatsapp
Inadimu ka mda Gani baada ya ku pack
Hiyo inakaa Hadi miezi 12 yaani mwaka hakikisha maji ,chafya , wakati wa kutengeneza inaweza kuharibu peanut butter yako
Mashine ni ya aina ngan?
Mashine za peanut hazina aina kwa sababu wanatengeneza hapa hapa bongo
Hello .Naomba unisaidie jina la designer wa hizi lebo @sunrisetz
Njoo Whatsapp nikupe namba
Nimeelewa
✈️🔥✈️ kazi kazi bro
✈️✈️ kazi kazi
Nzuri sana
ahsante sana
Nimeipenda mwalim
Hongera sana kwa kazi njema.
Nawezaje kuipata mashine?
Hongera kaka nahitaji kujifinza
Karibu sana
Asante
Ahsante sana
Nmekuwa boss wangu hii inakaa kwa mda Gani hadi ialibike au kitu Gani unanya ili isialibike
Hadi mwaka mzima haijaribiki
Nina hitaji visado vya karanga nivipataje
Machine kama hii napata wap
Kitabu shngap
Habari kaka unauza vitabu shillings ngapi ??
Nahitaji mashine nitapataje KWA sh ngapi?
Mashine inapatikana wapi na bei gani
Ofisi za SIDO wanauza hizo
@@mwalimusalangahello ninashida na hii mashine je inapatikana sido za mkoa ganii maana mimi nipo Songea nimetafuta saana sijapata na ninahitaji
Nahitaji kujifunza
Vitabu unavyo??shillings ngapi?? Na machine shillings ngapi?
Kama huna io mashine unasagaje
Naomba kujua bei ya mashine kama yako plz
Laki nane Hadi million
Hamna haja ya kuweka preservers???
Ndio haiwekwi
@@mwalimusalanga nahitaji kitabu
Usipoweka chumvi na sukari inakuwa na madhara gani?
Mbona tumesema sio lazima ni Radha tu
Kaka mashine nitaipata kwa Bei gani?
Hii mashine ndugu yangu unaipata ofisi za sido wanazo inategemea ziko bei tofauti tofauti kuanzia laki saba Hadi milion Moja huko
Ahsante
je brenda aisag???
Sildi
Hiyo mashine sh ngap
hiyo ya muda mrefu Milion moja
Nitaipataje mwalimu@@mwalimusalanga
Naomba kujua bei ya hizo pacage. Na zikiwa katika vifungashio vidogo zaid.
Buku hizo hapo
Naskia usipoweka asali haikai sana et n kweli???
Waongo
Pamoja. Sana kaka
Pamoja sana dada
Mashine nahitaji naipataje ama wapi
zipo zinauzwa njoo Whatsapp nitakuelekeza 0682456819
Naomba unieleweshe namna ya kuweka soldi yake
kopo zake zinasilid tayari
Mm niko oman vipi naweza kupata vitabu
Ww uko nchi gani Na wapi naweza kupata
Vitabu ni softcopy unatumiwa kwa Whatsapp
Inadimu ka mda Gani baada ya ku pack
Hiyo inakaa Hadi miezi 12 yaani mwaka hakikisha maji ,chafya , wakati wa kutengeneza inaweza kuharibu peanut butter yako
Mashine ni ya aina ngan?
Mashine za peanut hazina aina kwa sababu wanatengeneza hapa hapa bongo
Hello .Naomba unisaidie jina la designer wa hizi lebo @sunrisetz
Njoo Whatsapp nikupe namba