MCHEZAJI MPYA SIMBA ATUA BONGO, NI STRAIKA wa MABAO, JUNIOR LOKOSA....

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 24 июл 2024
  • MCHEZAJI MPYA SIMBA ATUA BONGO, NI STRAIKA wa MABAO, JUNIOR LOKOSA....
    Mchezaji Mpya wa Simba Mnigeria Straika Junior Lokosa ametua katika uwanja wa Ndege wa Kimatifa Jumamosi ya January 23, 2021 kuungana na wachezaji wenzake wa Simba huku Klabu hiyo ya Simba ikisubiri Kumtambulisha rasmi katika mitandao yao ya kijamii.
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
  • СпортСпорт

Комментарии • 155

  • @emmanueljohn8970
    @emmanueljohn8970 3 года назад +47

    Aliyemuona shabiki wa Utopolo akipigwa na butwaa kwa mshangao a like hapa

  • @fredyemmanuel4303
    @fredyemmanuel4303 3 года назад +12

    Aliye muona shabiki wa yanga akimtolea macho lukosa lake zunu hapa😁😁😁😁😁😁😁

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 3 года назад +11

    nimemuona utopolo kwa mbali anashangaa shangaa

    • @mwahijaismaily538
      @mwahijaismaily538 3 года назад +1

      Kumbe umeonaeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 года назад

      🤣🤣🤣🤣

  • @stevenmaketa8051
    @stevenmaketa8051 3 года назад +3

    Imooooooo oyooooooooo imeishaaaaiyoooo babaake hii ndo simba shooo shoooo🙏👍😀🔥🔥💪🏻💪🏻💪🏻

  • @ramadhanirama6636
    @ramadhanirama6636 3 года назад +9

    Sisi hawapokelew na vikundi wala vigeregere na wanatisha uwanjani. Chezea mnyama wew!

  • @jamessichimata3100
    @jamessichimata3100 3 года назад +6

    Ingekua ni Yeboyebo platnum fc, wangeandamana kwenda kumpokea.

  • @user-js7lr8vr9i
    @user-js7lr8vr9i 28 дней назад +1

    Huyu sio bondia kweli mmetuletea jamani😂

  • @abdallahsaid8157
    @abdallahsaid8157 3 года назад +1

    Ila huu si utamaduni wa watanzania ktk kupokea wageni.
    Mimi ni Shabiki wa SIMBA ila sijapenda kabisa namna ya mapokezi yalivyokwenda. 🙏

  • @cosmasdickson4941
    @cosmasdickson4941 3 года назад +7

    Welcome Tanzania welcome Simba sc Taifa kubwa

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Месяц назад +1

    Sasa alichokua anashangaa nini uyo majini FC 🐸👈 au alitumwa na mzee mpili 😆😆😆

  • @linucefurgence356
    @linucefurgence356 3 года назад +3

    Chanel hii nmeikubal Sana coz mnatoa video make picha 2nakuwa a2ziamn💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼

  • @hassanabo4214
    @hassanabo4214 3 года назад +7

    jitu la mtumba kwa migori mijutu ya ivyo balaa

  • @piusiwerosi2854
    @piusiwerosi2854 3 года назад +9

    Safisana mnyaamaa

  • @dioncmusic402
    @dioncmusic402 3 года назад +2

    Amezoea magar ya kwao reft hand alitaka akakae kwa dereva🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 25 дней назад

    Mungu uwape nguvu viongozi wetu wawe wawe na jicho la kuona wachezaji bora

  • @andulilemwakihabha2048
    @andulilemwakihabha2048 3 года назад +3

    Kalibu msimbazi Simba nguvu moja 💪🏼

  • @wilsonkimaro6375
    @wilsonkimaro6375 3 года назад +1

    MUNGU AKUBARIKI KILA MCHEZO UTAKAOCHEZA SIMBA ISHINDE NA UFUNGE MAGOLI ZAIDI YA MAWILI KUENDELEA YAANI UKAFANIKIWE KUISAIDIA SIMBA KTK MICHEZO YOTE YAKITAIFA NA KIMATAIFA, KARIBU SANA MSIMBAZI, KARIBUSANA SIMBA SC NGUVU MOJA NGUVU KAMA ZOTE, IMEISHA HIYO

  • @hadijamavumba567
    @hadijamavumba567 3 года назад +2

    Karibu sana

  • @njikunjiku9096
    @njikunjiku9096 3 года назад +2

    Mpanda milima huyooo

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo 23 дня назад

    Naapenda sana mijitu yenye sura za kikatili kama alivyokuwa Kagere.

  • @bulugubujashi6378
    @bulugubujashi6378 3 года назад +5

    Ingekuwa malamiko fc 🐸🐸 mapokezi njia zima

  • @martinanappa9406
    @martinanappa9406 3 года назад +1

    Mbona kazeeka.

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 3 года назад +1

    Nimekubali limwili lake,Ila asiwe Kama yikpe😂

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 29 дней назад +1

    Kwa simba hiyo ajiandae kurudi na mabegi yake.

  • @lazarojr8923
    @lazarojr8923 3 года назад +3

    Yaani mashabiki wa utopolo sijui huwa hawana kazi za kufanya hata inshu haiwahusu wanaenda tu hovyo kabisa hahahaa

  • @pendoelias4822
    @pendoelias4822 3 года назад +1

    Karibu msimbaz

  • @edwardsoteli5261
    @edwardsoteli5261 3 года назад

    Hii chaneli mko vizuri wengine waongowaongo sana

  • @ibrahimmusician2355
    @ibrahimmusician2355 3 года назад +1

    Funga gori,ndo tunashangilia,hatushangilii ujio was mchezaji cc

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 26 дней назад

    Huyu ni Lokosa wa miaka miwili iliyopita. Acheni usanii.

  • @michaelsukwa4371
    @michaelsukwa4371 3 года назад

    Karibu msimbazi

  • @neemasamwel7900
    @neemasamwel7900 3 года назад

    Shikamooo simba

  • @martinanappa9406
    @martinanappa9406 3 года назад

    Huyo tunamkabidhi Abdall shaibu Ninja..Februar 20.

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 года назад

    Welcome simba sc

  • @JK-uq1tv
    @JK-uq1tv 3 года назад +1

    Kama vile nimemuona shabiki wa utopolo 🐸🐸 akirandaranda uwanja wa ndege maana mashabiki wa weng wanasifa za kupokea wageni

  • @malimusi-uf4ib
    @malimusi-uf4ib 24 дня назад

    😅😅😅😅😅😅😅😅lokosa wa miaka 900000😊

  • @EliasCosmas-qp6gn
    @EliasCosmas-qp6gn 26 дней назад

    ❤❤❤❤

  • @buherokozi1097
    @buherokozi1097 3 года назад

    Nimemuona

  • @user-rf9vn7lz1n
    @user-rf9vn7lz1n 27 дней назад

    Tatiz weng awajuw uwanj wa deng ndiy tatiz hilo

  • @neemaraphael660
    @neemaraphael660 6 месяцев назад

    Simba nguvu moja

  • @naimunaimu2312
    @naimunaimu2312 3 года назад

    Bumbuli Kama nmemuona hapo na mtishet wake😂😁

  • @naftaliwilliam514
    @naftaliwilliam514 3 года назад +3

    Imoooooooooooooo!!!!

  • @gracesiwale7066
    @gracesiwale7066 3 года назад

    Simba raha atunaga kiherehere cha kuenda kujazana aipot

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx 26 дней назад

  • @fadhirimwaruka8789
    @fadhirimwaruka8789 3 года назад

    Lackdube kaingia bongo simba vuzi moja nguvu moja

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 года назад

    Utopolo wangejazana hapo Airport mpaka basi

  • @davismuzahula907
    @davismuzahula907 27 дней назад

    Hivi huyu kwanza unamkabaje?

  • @minaahussein5056
    @minaahussein5056 3 года назад

    Utopolo nimemuona KWA mbali anashangaa simba sio washamba utopolo wangejazana uwanjani kumpokea wengine kuja kushangaa uwanja hahaha

  • @altojaphet3394
    @altojaphet3394 3 года назад

    Apo ndo utaelewa kwann sis mashabik wa Simba na wale utopolo atufanan kaja kapokelewa na mwenyej wake inatosha ata atuna shobo utopolo jifunzen kitu

  • @fredmabena6308
    @fredmabena6308 3 года назад +1

    Hizi ndizo taarifa tunazotaka

  • @michaelgideon625
    @michaelgideon625 3 года назад

    Haya kazi unayo mwamnyeto na lamine Moro mwenzako Kwa mashine hiyo. Mpo hapo yaan nacheka Kwa mbali huku nikishushia Pepsi baridi.

  • @kacherosimba5762
    @kacherosimba5762 3 года назад +1

    🤣🤣🤣🤣waiteeeeeeeee

  • @abdallahally1829
    @abdallahally1829 3 года назад

    Hi

  • @robertmrosso2901
    @robertmrosso2901 3 года назад

    kimya kimya

  • @renathaalois2499
    @renathaalois2499 3 года назад

    Wa msimbazi kwel huyu Hadi mavazi yanasadifu

  • @michaelaloyce6439
    @michaelaloyce6439 3 года назад

    Simba baba lao

  • @tellyandrew7030
    @tellyandrew7030 3 года назад

    Wangekuwa Utopolo hapo ungeona umati wa watu na viti vya kubebea masultani!!

  • @RamadhanSagondo
    @RamadhanSagondo 27 дней назад

    nikweli jaman au masiala

  • @GideonEzekieli
    @GideonEzekieli Месяц назад

    Unyama mwingi

  • @samwelsteven1127
    @samwelsteven1127 3 года назад

    Washamba wakuwafuata wachezaji uwanja wa ndege utopolo mfuarlteni na uyu basi

  • @kyambarungwematv6828
    @kyambarungwematv6828 3 года назад

    Kalibu mwamba Cha la wana

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 3 года назад

    Sijuwi

  • @saidsalum6101
    @saidsalum6101 3 года назад

    Hatunaga vurugu kwenyeviwanja vyandege

  • @idirisadukani267
    @idirisadukani267 3 года назад

    Kama jamaa zetu hapo pangekua hapatoshi kwa makundi ya watu.

  • @gabrielnyangasi3801
    @gabrielnyangasi3801 3 года назад +1

    Jamaa wa utopolo anamshangaaa

  • @solemba595
    @solemba595 3 года назад +1

    Duh, at least angekuwa na mwenyeji japo amtoe kutoka mjengoni mpaka kwenye gari au hotel

  • @shalomabdalla3045
    @shalomabdalla3045 3 года назад +1

    Good

    • @mohamedmussa3174
      @mohamedmussa3174 3 года назад

      Hajapokelewa kwa shangwe huyo.

    • @likazengo5983
      @likazengo5983 3 года назад

      Yanga ndo wanafanya hayo

    • @hassanali-ck2we
      @hassanali-ck2we 3 года назад

      watu wako na kazi hawana muda wa kushinda uwanja wa taifa

    • @mnzavachris5423
      @mnzavachris5423 3 года назад

      hassan ali bali kujaa kwa kiwanja cha mpira co

  • @geofreychalamila9778
    @geofreychalamila9778 3 года назад

    Utopolo washamba wangejazana hapo kama manyumbu

  • @cosmecosta2631
    @cosmecosta2631 3 года назад

    Utopolo mbona hatuwaoni wakimpokea uyu mgeni. Kwasababu ndio kazi yao.

  • @ironmantz3453
    @ironmantz3453 3 года назад

    Sasa uyo ndio gol mashine sio sapoon

  • @GeorgeRichard-ww1cb
    @GeorgeRichard-ww1cb 25 дней назад

    Tano zko palepale

  • @paulinamangi230
    @paulinamangi230 3 года назад

    Katokea taifa gan huyu

  • @beaugosseadam6831
    @beaugosseadam6831 3 года назад +2

    Asiwe Sarpong wa Simba!!

  • @jonathanjj.pachajjpacha9127
    @jonathanjj.pachajjpacha9127 3 года назад

    Karb SIMBA NGUVU MOJA

  • @lamecksitta4601
    @lamecksitta4601 3 года назад

    mbona Ana mabegi mengi kabeba nn jaman naomba mniambie nko mbali

  • @dilipdab3714
    @dilipdab3714 3 года назад

    Naona.wanaongezeka.tu.simbaa

  • @abdulishaban7795
    @abdulishaban7795 3 года назад +3

    Ndo inatakiwa mchezaji aje ivi cyo unapokea mchezaji utafikiri unapokea m.pesa ya biko mpaka mchezaji anashindwa kujitambua kucheza anawaza mapokez

    • @azizaalmas9624
      @azizaalmas9624 3 года назад

      Wanawatia presha Kisha wanashindwa kuonesha ubora kiwanjan,

    • @munarayes9822
      @munarayes9822 3 года назад

      Karibu sana

  • @jackisonngosha5533
    @jackisonngosha5533 3 года назад

    Mbona kama anaenda mlima kirimanjaro kutarii

  • @hijarajab5449
    @hijarajab5449 3 года назад

    Wabongo bwaba mtu ajui kiswahili unamwambia mambo duuh

  • @ScolaMasanja-fg7hi
    @ScolaMasanja-fg7hi 18 дней назад

    Mtu yakaxi

  • @agnessjulius366
    @agnessjulius366 3 года назад

    Jamaa hana pigo za kilembo kabisa

  • @karimunjaulesahihi1459
    @karimunjaulesahihi1459 3 года назад

    Utoporo wangejaa saan hap uwanja wa ndege

    • @sundaysindole1978
      @sundaysindole1978 3 года назад

      Hawana kazi za kufanya hao na hawaamini kuwa jamaa angeshuka leo. Umbea tu ndo ulowapeleka hapo.

  • @fatumakassim64
    @fatumakassim64 3 года назад

    Simba cc watu wazima atuele kupoke wakuja mwenyewe

  • @anyelwisyemwakibinga875
    @anyelwisyemwakibinga875 3 года назад

    Ingekua washamba wale wangejazana kibao

    • @matronapeter6247
      @matronapeter6247 3 года назад

      Hv mbona mnajitekenya na kucheka wnyewe,,bila kuitaja yanga hamkamiliki

  • @bensimon7330
    @bensimon7330 3 года назад

    Sula lakazi

  • @omaryally198
    @omaryally198 3 года назад

    Mh

  • @mustafahassan8023
    @mustafahassan8023 3 года назад

    Mbona hamna shangwe

    • @maxmaizer4631
      @maxmaizer4631 3 года назад

      Ss ni next level atujifunzi utoto km wawenzetu

  • @josephgalandu128
    @josephgalandu128 24 дня назад

    Raster fc,😂😂😂😂😂

  • @mohamedsuleiman2231
    @mohamedsuleiman2231 3 года назад

    Yanga mmejifunza nn

  • @theofridmtulima3666
    @theofridmtulima3666 3 года назад +1

    hiii!! siyo bob male huyo😱😱

  • @barakangolokela5800
    @barakangolokela5800 3 года назад

    Hahahaha hayawi hayawi yamekuwa sasa

  • @frank18112
    @frank18112 3 года назад +1

    He is nothing just an average player who stayed without a team almost more than 6 months

  • @jimmycroud1027
    @jimmycroud1027 3 года назад

    Uyo n killing mashine LUKOSA hatar iyo mwaka huu lazma watu tuwanyooshe aisee Simba DONE👍

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 3 года назад

      Mtawanyoosha lakini soyanga kumbuka yanga kiski

    • @jimmycroud1027
      @jimmycroud1027 3 года назад

      @@meshajoni5662 yanga ndio nan cc kila rais tunawapga 4,5 mpaka6 ss leo uje kuongelea utopolo ww kwel umechanganyikiwa kwan nyny kule zanzbar mulitufunga na muliweka full mkoko na mukashindwa kutufunga ndan iv tungetimia na cc mungepata ilo kombe la elf3 munatupgia kelele kombe lenyew la elf3 tu

    • @jimmycroud1027
      @jimmycroud1027 3 года назад

      @@meshajoni5662 utopolo akuna kisiki mungeluusu gepu simba akinda vpolo vyake3 yuko juu kwa magoli alaf unajiita kisk labda kiski cha madela🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 3 года назад

      @@jimmycroud1027 aaaa hahahahahahaha,Simba tunawajua,minajua kuongea,saaaana ,Sina uakika Kama mtashinda viporo vyote maana kila Tim,inajihami,nakwaizo tabia zenu zakuingia namatokeo uwanjani lazima mtaisoma nambaa

    • @meshajoni5662
      @meshajoni5662 3 года назад

      @@jimmycroud1027 sawa mmeshatufunga ilikua zamani somsim huu acha histolia ,msijifarji kwa lolote yanga juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuiiiiiii,

  • @user-kl6uj2dh9y
    @user-kl6uj2dh9y 28 дней назад

    ritakufajitu mwaka huu

  • @charleskuyeko1660
    @charleskuyeko1660 3 года назад

    Kwakweli hapa Simba ni timu yangu lakini wameniudhi. Mchezai mkubwa mzuri wa Kimataifa (Lukosa)a anashuka Airport hamna hata Kiongozi mmoja wa kumpokea, kweli? Hii siyo sawa. Akiibiwa na yanga kama ninyi mlivyomwiba Chikwende juu kwa juu mtalalamika?

    • @godfreymasele8853
      @godfreymasele8853 3 года назад

      Rafiki hiyo ndo safi Simba ni mnyama wa mawindo siyo Utopolo wanapokea kwa mbwembwe mnyama kimyakimya vitu uwanjani pamoja Simba nguvu moja💪💪💪

    • @amiriramadhan7753
      @amiriramadhan7753 3 года назад

      @@godfreymasele8853 anatokea nchi gani Na timu gani huyu mchezaji na ni mzuri ?

    • @jamesmelkiadesmpinika6337
      @jamesmelkiadesmpinika6337 3 года назад

      Usjal... Haitakiwi iwekwe wazi kiivo... Unaaminije km kaja simba sc.....!!! Viongozi wangekuwepo ingezagaa sana mtandaon mapema hata huyu Alieapload bado hajasema....!!! Kingine wengine km chikwende, lwanga wametajwa unazan hakna wengine.... Subiri press conference

    • @charlesphillip1855
      @charlesphillip1855 3 года назад

      Mbwembwe ni hatari sana kwa mchezaji

    • @castrocastro9615
      @castrocastro9615 3 года назад

      Inaonekana we ni utopolo tu sio bure. Namna ya yeye kufika anakokwenda imeandaliwa kidigali ndio maana amepokelewa na kuelekea sehemu husika.
      Nyie endeleleeni tu staili zenu za kwenda kuwabeba kwa machela hahahahaha. Utopolo mtapata tabu Sana.

  • @piusiwerosi2854
    @piusiwerosi2854 3 года назад +1

    Safisana mnyaamaa

  • @lucaschisamalo2852
    @lucaschisamalo2852 3 года назад

    Huyo jamaa hata kumsaidia kupanga vitu sasa umeenda kufanya nini