MCHEZAJI MPYA SIMBA ATUA BONGO, NI STRAIKA wa MABAO, JUNIOR LOKOSA....
HTML-код
- Опубликовано: 24 июл 2024
- MCHEZAJI MPYA SIMBA ATUA BONGO, NI STRAIKA wa MABAO, JUNIOR LOKOSA....
Mchezaji Mpya wa Simba Mnigeria Straika Junior Lokosa ametua katika uwanja wa Ndege wa Kimatifa Jumamosi ya January 23, 2021 kuungana na wachezaji wenzake wa Simba huku Klabu hiyo ya Simba ikisubiri Kumtambulisha rasmi katika mitandao yao ya kijamii.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com/shop/globaltvo...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline - Спорт
Aliyemuona shabiki wa Utopolo akipigwa na butwaa kwa mshangao a like hapa
😀😀😀
😂😂😂😂hakuamin alichokiona
Hahahaha
Katoa macho huyo
😂😂😂😂
Aliye muona shabiki wa yanga akimtolea macho lukosa lake zunu hapa😁😁😁😁😁😁😁
nimemuona utopolo kwa mbali anashangaa shangaa
Kumbe umeonaeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Imooooooo oyooooooooo imeishaaaaiyoooo babaake hii ndo simba shooo shoooo🙏👍😀🔥🔥💪🏻💪🏻💪🏻
Sisi hawapokelew na vikundi wala vigeregere na wanatisha uwanjani. Chezea mnyama wew!
Nnge kuwa wale wengine wange andaa na Mdundiko
Yan mnawapend wazeee
Anaingia Tanzania kw mbwembwe atarud kwao na kilio
@@vanynadymhamad1996 baba yako mzee na mama ako
@@vanynadymhamad1996 Ndio wanao tupa mafanikio
Ingekua ni Yeboyebo platnum fc, wangeandamana kwenda kumpokea.
Huyu sio bondia kweli mmetuletea jamani😂
Ila huu si utamaduni wa watanzania ktk kupokea wageni.
Mimi ni Shabiki wa SIMBA ila sijapenda kabisa namna ya mapokezi yalivyokwenda. 🙏
Welcome Tanzania welcome Simba sc Taifa kubwa
Magazeti
Viongozi msitudanganye mwenye mitandao
Sasa alichokua anashangaa nini uyo majini FC 🐸👈 au alitumwa na mzee mpili 😆😆😆
Chanel hii nmeikubal Sana coz mnatoa video make picha 2nakuwa a2ziamn💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼💪🏼
jitu la mtumba kwa migori mijutu ya ivyo balaa
💪💪💪
Hahaha hataree
Safisana mnyaamaa
Amezoea magar ya kwao reft hand alitaka akakae kwa dereva🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mungu uwape nguvu viongozi wetu wawe wawe na jicho la kuona wachezaji bora
Kalibu msimbazi Simba nguvu moja 💪🏼
Utopoloooo wa mbeaaaaa
MUNGU AKUBARIKI KILA MCHEZO UTAKAOCHEZA SIMBA ISHINDE NA UFUNGE MAGOLI ZAIDI YA MAWILI KUENDELEA YAANI UKAFANIKIWE KUISAIDIA SIMBA KTK MICHEZO YOTE YAKITAIFA NA KIMATAIFA, KARIBU SANA MSIMBAZI, KARIBUSANA SIMBA SC NGUVU MOJA NGUVU KAMA ZOTE, IMEISHA HIYO
Karibu sana
Mpanda milima huyooo
Naapenda sana mijitu yenye sura za kikatili kama alivyokuwa Kagere.
Ingekuwa malamiko fc 🐸🐸 mapokezi njia zima
Mfyuuuuuu
Mbona kazeeka.
Nimekubali limwili lake,Ila asiwe Kama yikpe😂
Kwa simba hiyo ajiandae kurudi na mabegi yake.
Yaani mashabiki wa utopolo sijui huwa hawana kazi za kufanya hata inshu haiwahusu wanaenda tu hovyo kabisa hahahaa
Na mm nimemuona
Karibu msimbaz
Hii chaneli mko vizuri wengine waongowaongo sana
Funga gori,ndo tunashangilia,hatushangilii ujio was mchezaji cc
Huyu ni Lokosa wa miaka miwili iliyopita. Acheni usanii.
Karibu msimbazi
Shikamooo simba
Huyo tunamkabidhi Abdall shaibu Ninja..Februar 20.
Welcome simba sc
Kama vile nimemuona shabiki wa utopolo 🐸🐸 akirandaranda uwanja wa ndege maana mashabiki wa weng wanasifa za kupokea wageni
😅😅😅😅😅😅😅😅lokosa wa miaka 900000😊
❤❤❤❤
Nimemuona
Tatiz weng awajuw uwanj wa deng ndiy tatiz hilo
Simba nguvu moja
Bumbuli Kama nmemuona hapo na mtishet wake😂😁
Imoooooooooooooo!!!!
Oyooooooooo
Simba raha atunaga kiherehere cha kuenda kujazana aipot
❤
Lackdube kaingia bongo simba vuzi moja nguvu moja
Utopolo wangejazana hapo Airport mpaka basi
Hivi huyu kwanza unamkabaje?
Utopolo nimemuona KWA mbali anashangaa simba sio washamba utopolo wangejazana uwanjani kumpokea wengine kuja kushangaa uwanja hahaha
Apo ndo utaelewa kwann sis mashabik wa Simba na wale utopolo atufanan kaja kapokelewa na mwenyej wake inatosha ata atuna shobo utopolo jifunzen kitu
Hizi ndizo taarifa tunazotaka
Haya kazi unayo mwamnyeto na lamine Moro mwenzako Kwa mashine hiyo. Mpo hapo yaan nacheka Kwa mbali huku nikishushia Pepsi baridi.
🤣🤣🤣🤣waiteeeeeeeee
Hi
kimya kimya
Wa msimbazi kwel huyu Hadi mavazi yanasadifu
Simba baba lao
Wangekuwa Utopolo hapo ungeona umati wa watu na viti vya kubebea masultani!!
nikweli jaman au masiala
Unyama mwingi
Washamba wakuwafuata wachezaji uwanja wa ndege utopolo mfuarlteni na uyu basi
Kalibu mwamba Cha la wana
Sijuwi
Hatunaga vurugu kwenyeviwanja vyandege
Kama jamaa zetu hapo pangekua hapatoshi kwa makundi ya watu.
Jamaa wa utopolo anamshangaaa
Kidogo huyo utopolo akimbie chezea mnyama ww
Duh, at least angekuwa na mwenyeji japo amtoe kutoka mjengoni mpaka kwenye gari au hotel
Kwaiyo uyo mwenye jezi ya SIMBA nae ni mgeni?
Duuuh kazi kweli kweli
@@hamadintogwa5418 watanzania sijui tunakwama wapi?
Good
Hajapokelewa kwa shangwe huyo.
Yanga ndo wanafanya hayo
watu wako na kazi hawana muda wa kushinda uwanja wa taifa
hassan ali bali kujaa kwa kiwanja cha mpira co
Utopolo washamba wangejazana hapo kama manyumbu
Utopolo mbona hatuwaoni wakimpokea uyu mgeni. Kwasababu ndio kazi yao.
Sasa uyo ndio gol mashine sio sapoon
Tano zko palepale
Katokea taifa gan huyu
Asiwe Sarpong wa Simba!!
Karb SIMBA NGUVU MOJA
mbona Ana mabegi mengi kabeba nn jaman naomba mniambie nko mbali
Nguoo
Naona.wanaongezeka.tu.simbaa
Ndo inatakiwa mchezaji aje ivi cyo unapokea mchezaji utafikiri unapokea m.pesa ya biko mpaka mchezaji anashindwa kujitambua kucheza anawaza mapokez
Wanawatia presha Kisha wanashindwa kuonesha ubora kiwanjan,
Karibu sana
Mbona kama anaenda mlima kirimanjaro kutarii
Wabongo bwaba mtu ajui kiswahili unamwambia mambo duuh
Mtu yakaxi
Jamaa hana pigo za kilembo kabisa
Utoporo wangejaa saan hap uwanja wa ndege
Hawana kazi za kufanya hao na hawaamini kuwa jamaa angeshuka leo. Umbea tu ndo ulowapeleka hapo.
Simba cc watu wazima atuele kupoke wakuja mwenyewe
Shikamoo Mo chama kubwa
Ingekua washamba wale wangejazana kibao
Hv mbona mnajitekenya na kucheka wnyewe,,bila kuitaja yanga hamkamiliki
Sula lakazi
Mh
Mbona hamna shangwe
Ss ni next level atujifunzi utoto km wawenzetu
Raster fc,😂😂😂😂😂
Yanga mmejifunza nn
kuvaa nguo nyekundu!
Tucwe na roho ya kutopokea wageni
hiii!! siyo bob male huyo😱😱
Utajua akiwa uwanjani Kama ni bobu male au lukosa
Mshamba huyo chura wa jangwani
Hahahaha hayawi hayawi yamekuwa sasa
He is nothing just an average player who stayed without a team almost more than 6 months
Uyo n killing mashine LUKOSA hatar iyo mwaka huu lazma watu tuwanyooshe aisee Simba DONE👍
Mtawanyoosha lakini soyanga kumbuka yanga kiski
@@meshajoni5662 yanga ndio nan cc kila rais tunawapga 4,5 mpaka6 ss leo uje kuongelea utopolo ww kwel umechanganyikiwa kwan nyny kule zanzbar mulitufunga na muliweka full mkoko na mukashindwa kutufunga ndan iv tungetimia na cc mungepata ilo kombe la elf3 munatupgia kelele kombe lenyew la elf3 tu
@@meshajoni5662 utopolo akuna kisiki mungeluusu gepu simba akinda vpolo vyake3 yuko juu kwa magoli alaf unajiita kisk labda kiski cha madela🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@jimmycroud1027 aaaa hahahahahahaha,Simba tunawajua,minajua kuongea,saaaana ,Sina uakika Kama mtashinda viporo vyote maana kila Tim,inajihami,nakwaizo tabia zenu zakuingia namatokeo uwanjani lazima mtaisoma nambaa
@@jimmycroud1027 sawa mmeshatufunga ilikua zamani somsim huu acha histolia ,msijifarji kwa lolote yanga juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuiiiiiii,
ritakufajitu mwaka huu
Kwakweli hapa Simba ni timu yangu lakini wameniudhi. Mchezai mkubwa mzuri wa Kimataifa (Lukosa)a anashuka Airport hamna hata Kiongozi mmoja wa kumpokea, kweli? Hii siyo sawa. Akiibiwa na yanga kama ninyi mlivyomwiba Chikwende juu kwa juu mtalalamika?
Rafiki hiyo ndo safi Simba ni mnyama wa mawindo siyo Utopolo wanapokea kwa mbwembwe mnyama kimyakimya vitu uwanjani pamoja Simba nguvu moja💪💪💪
@@godfreymasele8853 anatokea nchi gani Na timu gani huyu mchezaji na ni mzuri ?
Usjal... Haitakiwi iwekwe wazi kiivo... Unaaminije km kaja simba sc.....!!! Viongozi wangekuwepo ingezagaa sana mtandaon mapema hata huyu Alieapload bado hajasema....!!! Kingine wengine km chikwende, lwanga wametajwa unazan hakna wengine.... Subiri press conference
Mbwembwe ni hatari sana kwa mchezaji
Inaonekana we ni utopolo tu sio bure. Namna ya yeye kufika anakokwenda imeandaliwa kidigali ndio maana amepokelewa na kuelekea sehemu husika.
Nyie endeleleeni tu staili zenu za kwenda kuwabeba kwa machela hahahahaha. Utopolo mtapata tabu Sana.
Safisana mnyaamaa
Huyo jamaa hata kumsaidia kupanga vitu sasa umeenda kufanya nini