QASWIDA | NYOYO ZIMEFURAHIKA | UKHTY DIDA ASHINDWA KUJIZUIA AAMUA KUMTUNZA UKHTY ASHA.
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- KARIBU KATIKA RUclips CHANNEL YETU HII KWA KUPATA QASWIDA MBALI MBALI KUTOKA TANZANIA ZENYE UJUMBE TOFAUTI UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KU-SUBSCRIBE KU-LIKE NA KU-SHARE ILI UWE UNAPATA TAARIFA ZETU KWA WAKATI HUSIKA.
Contact Us:
+255 773 895 948
Mashaallah qaswida ni kama hii punguzeeni zile taarab zaharibu jina la qaswida
MashaAllah kumbe dida mja mzito...
Hongera zake
Mashaallah
Nimeona ila mshikakamera hataki kutuliza tukahakikisha😔ila allah amuhifadhi alee nakujifungua salama🤲😘
Mashaallah ukhty asha mungu akupe maisha marefu nakupenda sana❤❤🕌🕌🕋🕋🤲🤲💐💐🌙🌠🌌
Mashaallah mungu akulinde na husda za walimwng ukhti asha 💔
Mashaallah Mashaallah tabarakallah kasida very nice na watoto wamependeza Mashaallah
Mashallah
Vizuri ukivaa jalbab unapendeza sana kuliko baibui kwa maumbile yko
Maashallah ukhty Asha,xx Hz ndo qasda nzuri,yaskika kma qasda haswa,lkn zile nyngn doooooh
mashallah qaswida nzuri
Mashaallah❤
MashaAllah I really like it ukhty Asha. May Allah the Almighty bless you 🙏🥰🥰♥️♥️♥️
Mashallah mmependeza sana na awoo waitikiaji wamepatikana Hidaya n Munira yani zaidi ya hongera asante ukhty Asha ukiwa n jemedari wa mabanat Zanzibar
Maa Shaa allah namuona Biharus pembeni ❤️
Nan huy biharus
mashaaAllah ukhty Asha kaswida nzur
Assalamu alaykum Mashaallah hongera sana ukhty Asha kaswida nimeipenda Kwa sbb ni mzr sana na inakumbusho ndani yake
Kabisa hujakosea ww uliesifia hiyo kaswida aisee ninzr duh, name nataman ningeshirk.....by Zubeyda yassin
Masha Allah mko vizur sana 😍
Mashallah hongera sana kwa qaswida tamu
Best kaswida ever🤣😂😎
Mashaallah Allah awaongoze
Masha allah mmependeza sana allah awabaarik kheir nyingi
Very good. Ameimba Kama inavoimba
Masha Allah ukhty asha na ukhty dida pambee sans
Maa shaa allaah
Hfste nfxydو خ
Mashallah mashallah sasa hii ndio kasda nzuri
Yupi uyo
Mashaallah qaswida nzur can Yuko vzr
As
@@zulhatsaid3004 juma meja
Thanks for ufundishaj ilimwengu
Nmeipenda qasda mashallh
Allah awape.kila.la kher maukhut zet
amiin
Mashallah tabarakallah fiy best one my sissy 💯💯💯💯💯💯💯💯nice one
Masha Allah👌💯
Mashallah hii qaswida
Mashaalah
Sare nzur mashallah
🥺 so nice voice... heart touching
MashaAllah
Masha Allah God bless all Allah
Mungu awaripe masharaa
Mashaallah inapendeza
Mashallah
Mashaallah mashaallah 🥰🥰🥰 qasida tamuu sanaa😘😘😘
Bi kharuc look good 😊 ukht adila
Masha alla
Mashallah mashallah 😘
Maa shallah
Sweet voice
Mashallah mashallah
Mashallah 😍
maxha allah
Ukhty Dida tuleteeee qasida zengine tumemis sauti yako uku 001 Mombasa Kenya
Mungu akipe wepes katik maisha yako
Mwenyez akuzidishie
Mashallah tabarak Rahman 🥰🥰🥰🥰🥰🇴🇲
Maashallah 👌👌👌❤❤❤🤣🤣🤣🤣🤣 ni raha kweli
Manshallah 😘😘
Mashallah madam
Nimemwona adila akee💕💕😂
Maashallah lakini mbona fupi sana jamani 😊
Good more
Mim kiuufaasii wakwanza mtume alikuwa kipenzii Cha Allah bna alikufaa itakuwa Mimi tumalizenii shida pwanii nilisema kazii ni four hrz hakunankitukahicho kimefabyikaa saadawa nimewapp
mashallah🎉😂😂😂😂😂❤❤
Jamani ukhty Dida mbona washabiki wako siku hizi unatuweka wanyonge hatukuoni hata kwa bahati mbaya kulikoni au umeacha kazi? Kiukweli naboeka sana kuwa sikuoni kipindi kirefu
Kajifungua
Maasha ALLAH
mashallah
Umejitahidi iuo qasda ila no creative just copy and paste from one madrasa located north unguja
Hii qasda kama nimeisikia madrasat Al jawhar y tumbatu jongowe
Kama umeiskia tukusaidie nini abal
@@ukhtyashachannel5505 mh Coment nyegn si za kujib ...jibu izo wanazokusifu na kukupa mashAllah
@@hemednassor2362 zote ntajibu hakuna shida cause ni chanal yangu kwaio chocho kile kitanihusumimi
@@ukhtyashachannel5505 Japo kua nichanel yako lkn jua sie wateja wako wapo watakaokupenda na watakao hawakupend kwaio izo comment zao chukua km changamoto ya kz ako
Chukulia mfano Customer care wa mitandao fulan wwt watapigiwa simu tele na wateja wao lkn ktik hao wateja nusu yao wataongea maneno sio na kutukana lkn wao hawarejeshie wanakata simu n kuendelea na kzi zao nawe iga ivo
@@hemednassor2362 mh siwez
Asha uko vzuri
Elida
Asha anapend remix hatungi chake
Kwaio si ungekuja kunitungia
Wanafik wakubwa nyie. Nyie ndio hao vimbele mbele acheni rohombaya na choyo kwani ungekaakimya ingekusaidia nini. Au we we ndio mwenye kaswida
Kwn kaimba Qaswida yako ni wivu tuu 😏😏
@@ukhtyashachannel5505 Asha we usipate tabu za kuimba mpya imba hz hz za watu
@@khadijahali4837 binadamu ilimradi tu mtu aone choyo alafu aoao wanazitaka kazi zangu wazipost
Hii qaswida ni kopi and pest.
Ni utungo wake Shariif sayyid Hussein bin Ahmad badawiy...
Nikasida maarufu sana pale mkoan tanga,Mombasa,na daresalamu yake.
Best kaswida ever🤣😂😎
Mashaalah
Mashaallah
Mashallah
MashaAllah
mashaallah