QASWIDA | NYOYO ZIMEFURAHIKA | UKHTY DIDA ASHINDWA KUJIZUIA AAMUA KUMTUNZA UKHTY ASHA.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • KARIBU KATIKA RUclips CHANNEL YETU HII KWA KUPATA QASWIDA MBALI MBALI KUTOKA TANZANIA ZENYE UJUMBE TOFAUTI UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KU-SUBSCRIBE KU-LIKE NA KU-SHARE ILI UWE UNAPATA TAARIFA ZETU KWA WAKATI HUSIKA.
    Contact Us:
    +255 773 895 948

Комментарии • 110

  • @mwanajuma108
    @mwanajuma108 2 года назад +11

    Mashaallah qaswida ni kama hii punguzeeni zile taarab zaharibu jina la qaswida

  • @bintichausa4744
    @bintichausa4744 2 года назад +7

    MashaAllah kumbe dida mja mzito...

    • @mudimudi8462
      @mudimudi8462 2 года назад +1

      Hongera zake

    • @bxrkeshorts738
      @bxrkeshorts738 2 года назад +1

      Mashaallah

    • @aishamohammed3547
      @aishamohammed3547 2 года назад +1

      Nimeona ila mshikakamera hataki kutuliza tukahakikisha😔ila allah amuhifadhi alee nakujifungua salama🤲😘

  • @user-qj1vr3jw6r
    @user-qj1vr3jw6r 10 месяцев назад +1

    Mashaallah ukhty asha mungu akupe maisha marefu nakupenda sana❤❤🕌🕌🕋🕋🤲🤲💐💐🌙🌠🌌

  • @HalimaDaru
    @HalimaDaru Месяц назад

    Mashaallah mungu akulinde na husda za walimwng ukhti asha 💔

  • @kamilyaibrahim9784
    @kamilyaibrahim9784 2 года назад +2

    Mashaallah Mashaallah tabarakallah kasida very nice na watoto wamependeza Mashaallah

  • @majidkhamis5485
    @majidkhamis5485 2 года назад +1

    Mashallah
    Vizuri ukivaa jalbab unapendeza sana kuliko baibui kwa maumbile yko

  • @fatumamwambewe5569
    @fatumamwambewe5569 2 года назад +2

    Maashallah ukhty Asha,xx Hz ndo qasda nzuri,yaskika kma qasda haswa,lkn zile nyngn doooooh

  • @omaridamla7066
    @omaridamla7066 2 года назад +2

    mashallah qaswida nzuri

  • @user-dm4ys3qf5j
    @user-dm4ys3qf5j Год назад +1

    Mashaallah❤

  • @zainabmulhat6767
    @zainabmulhat6767 2 года назад +3

    MashaAllah I really like it ukhty Asha. May Allah the Almighty bless you 🙏🥰🥰♥️♥️♥️

  • @mwanakhamis1274
    @mwanakhamis1274 2 года назад +3

    Mashallah mmependeza sana na awoo waitikiaji wamepatikana Hidaya n Munira yani zaidi ya hongera asante ukhty Asha ukiwa n jemedari wa mabanat Zanzibar

  • @huweiy6587
    @huweiy6587 2 года назад +3

    Maa Shaa allah namuona Biharus pembeni ❤️

  • @zouhmajjah4024
    @zouhmajjah4024 2 года назад +1

    mashaaAllah ukhty Asha kaswida nzur

  • @khamisally6924
    @khamisally6924 2 года назад +3

    Assalamu alaykum Mashaallah hongera sana ukhty Asha kaswida nimeipenda Kwa sbb ni mzr sana na inakumbusho ndani yake

    • @zubedarashidi1527
      @zubedarashidi1527 2 года назад

      Kabisa hujakosea ww uliesifia hiyo kaswida aisee ninzr duh, name nataman ningeshirk.....by Zubeyda yassin

  • @mwanasaid6152
    @mwanasaid6152 2 года назад +2

    Masha Allah mko vizur sana 😍

  • @salumabdallah5266
    @salumabdallah5266 2 года назад +1

    Mashallah hongera sana kwa qaswida tamu

  • @ibrahimhaji8250
    @ibrahimhaji8250 Год назад +1

    Best kaswida ever🤣😂😎

  • @bintmkareem2666
    @bintmkareem2666 2 года назад +2

    Mashaallah Allah awaongoze

  • @rukiaissa5878
    @rukiaissa5878 2 года назад +1

    Masha allah mmependeza sana allah awabaarik kheir nyingi

  • @yollatzmedia
    @yollatzmedia 2 года назад +2

    Very good. Ameimba Kama inavoimba

  • @ashuramakameomar8498
    @ashuramakameomar8498 Год назад

    Masha Allah ukhty asha na ukhty dida pambee sans

  • @ramadhanselestine6929
    @ramadhanselestine6929 2 года назад +2

    Maa shaa allaah

  • @fatmaalsharge3257
    @fatmaalsharge3257 2 года назад +3

    Mashallah mashallah sasa hii ndio kasda nzuri

  • @farukumasoud8900
    @farukumasoud8900 2 года назад +1

    Thanks for ufundishaj ilimwengu

  • @dauddeu5101
    @dauddeu5101 2 года назад +1

    Nmeipenda qasda mashallh

  • @aishasufian1890
    @aishasufian1890 2 года назад +1

    Allah awape.kila.la kher maukhut zet

  • @rahmaothman8693
    @rahmaothman8693 2 года назад +1

    Mashallah tabarakallah fiy best one my sissy 💯💯💯💯💯💯💯💯nice one

  • @biubwakhamis1032
    @biubwakhamis1032 2 года назад +1

    Mashallah hii qaswida

  • @ShamsaHamad-hb2lh
    @ShamsaHamad-hb2lh 4 месяца назад

    Mashaalah

  • @wahidadaudi4945
    @wahidadaudi4945 2 года назад +1

    Sare nzur mashallah

  • @mozasultan5152
    @mozasultan5152 2 года назад +1

    🥺 so nice voice... heart touching

  • @RehemaRizikiHamisi
    @RehemaRizikiHamisi 7 месяцев назад

    MashaAllah

  • @bihijambwana9517
    @bihijambwana9517 2 года назад +1

    Masha Allah God bless all Allah

  • @adijaomar440
    @adijaomar440 Год назад +1

    Mungu awaripe masharaa

  • @makzajhaddah1158
    @makzajhaddah1158 2 года назад +1

    Mashaallah inapendeza

  • @KulthumGanzi
    @KulthumGanzi 3 месяца назад

    Mashallah

  • @maimunamohamed3367
    @maimunamohamed3367 2 года назад

    Mashaallah mashaallah 🥰🥰🥰 qasida tamuu sanaa😘😘😘

  • @mozasultan5152
    @mozasultan5152 2 года назад +1

    Bi kharuc look good 😊 ukht adila

  • @fatmammanga6165
    @fatmammanga6165 2 года назад +1

    Masha alla

  • @mishihamadi21
    @mishihamadi21 2 года назад +1

    Mashallah mashallah 😘

  • @rabiakimbwembwe1748
    @rabiakimbwembwe1748 2 года назад +1

    Maa shallah

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 2 года назад +1

    Sweet voice

  • @monatomamonatoma3308
    @monatomamonatoma3308 2 года назад +1

    Mashallah mashallah

  • @halimabinthamisi3818
    @halimabinthamisi3818 2 года назад +1

    Mashallah 😍

  • @iklimahijja8120
    @iklimahijja8120 2 года назад +1

    maxha allah

  • @shufaaabdallah6917
    @shufaaabdallah6917 2 года назад +2

    Ukhty Dida tuleteeee qasida zengine tumemis sauti yako uku 001 Mombasa Kenya

    • @chichiboy8829
      @chichiboy8829 2 года назад +1

      Mungu akipe wepes katik maisha yako

  • @shozinayunusi2036
    @shozinayunusi2036 2 года назад

    Mwenyez akuzidishie

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 года назад

    Mashallah tabarak Rahman 🥰🥰🥰🥰🥰🇴🇲

  • @hadijamasakhwe7147
    @hadijamasakhwe7147 2 года назад

    Maashallah 👌👌👌❤❤❤🤣🤣🤣🤣🤣 ni raha kweli

  • @aminakamariza4180
    @aminakamariza4180 2 года назад +1

    Manshallah 😘😘

  • @aminaimamu3711
    @aminaimamu3711 2 года назад

    Mashallah madam

  • @fatumaakida6952
    @fatumaakida6952 2 года назад +1

    Nimemwona adila akee💕💕😂

  • @azizayahyah1597
    @azizayahyah1597 2 года назад +1

    Maashallah lakini mbona fupi sana jamani 😊

  • @alfreddadu1153
    @alfreddadu1153 2 года назад

    Good more

  • @feisal6592
    @feisal6592 Год назад +1

    Mim kiuufaasii wakwanza mtume alikuwa kipenzii Cha Allah bna alikufaa itakuwa Mimi tumalizenii shida pwanii nilisema kazii ni four hrz hakunankitukahicho kimefabyikaa saadawa nimewapp

  • @shamsakhamisi
    @shamsakhamisi 2 месяца назад

    mashallah🎉😂😂😂😂😂❤❤

  • @mwanaidiali8473
    @mwanaidiali8473 2 года назад +2

    Jamani ukhty Dida mbona washabiki wako siku hizi unatuweka wanyonge hatukuoni hata kwa bahati mbaya kulikoni au umeacha kazi? Kiukweli naboeka sana kuwa sikuoni kipindi kirefu

  • @aminajepkoech3013
    @aminajepkoech3013 2 года назад

    Maasha ALLAH

  • @maimunaothamani8203
    @maimunaothamani8203 2 года назад +1

    mashallah

  • @khamishussein5811
    @khamishussein5811 2 года назад +1

    Umejitahidi iuo qasda ila no creative just copy and paste from one madrasa located north unguja

  • @aballqassim990
    @aballqassim990 2 года назад +3

    Hii qasda kama nimeisikia madrasat Al jawhar y tumbatu jongowe

    • @ukhtyashachannel5505
      @ukhtyashachannel5505 2 года назад

      Kama umeiskia tukusaidie nini abal

    • @hemednassor2362
      @hemednassor2362 2 года назад

      @@ukhtyashachannel5505 mh Coment nyegn si za kujib ...jibu izo wanazokusifu na kukupa mashAllah

    • @ukhtyashachannel5505
      @ukhtyashachannel5505 2 года назад

      @@hemednassor2362 zote ntajibu hakuna shida cause ni chanal yangu kwaio chocho kile kitanihusumimi

    • @hemednassor2362
      @hemednassor2362 2 года назад

      @@ukhtyashachannel5505 Japo kua nichanel yako lkn jua sie wateja wako wapo watakaokupenda na watakao hawakupend kwaio izo comment zao chukua km changamoto ya kz ako
      Chukulia mfano Customer care wa mitandao fulan wwt watapigiwa simu tele na wateja wao lkn ktik hao wateja nusu yao wataongea maneno sio na kutukana lkn wao hawarejeshie wanakata simu n kuendelea na kzi zao nawe iga ivo

    • @ukhtyashachannel5505
      @ukhtyashachannel5505 2 года назад

      @@hemednassor2362 mh siwez

  • @issahassan8361
    @issahassan8361 Год назад

    Asha uko vzuri

  • @PeninPhilipo-lb7bi
    @PeninPhilipo-lb7bi Год назад

    Elida

  • @wale7
    @wale7 2 года назад +4

    Asha anapend remix hatungi chake

    • @ukhtyashachannel5505
      @ukhtyashachannel5505 2 года назад +1

      Kwaio si ungekuja kunitungia

    • @ukhtyashachannel5505
      @ukhtyashachannel5505 2 года назад +2

      Wanafik wakubwa nyie. Nyie ndio hao vimbele mbele acheni rohombaya na choyo kwani ungekaakimya ingekusaidia nini. Au we we ndio mwenye kaswida

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 года назад +1

      Kwn kaimba Qaswida yako ni wivu tuu 😏😏

    • @khadijahali4837
      @khadijahali4837 2 года назад +2

      @@ukhtyashachannel5505 Asha we usipate tabu za kuimba mpya imba hz hz za watu

    • @ukhtyashachannel5505
      @ukhtyashachannel5505 2 года назад +1

      @@khadijahali4837 binadamu ilimradi tu mtu aone choyo alafu aoao wanazitaka kazi zangu wazipost

  • @binausimohammed775
    @binausimohammed775 2 года назад +1

    Hii qaswida ni kopi and pest.
    Ni utungo wake Shariif sayyid Hussein bin Ahmad badawiy...
    Nikasida maarufu sana pale mkoan tanga,Mombasa,na daresalamu yake.

  • @ibrahimhaji8250
    @ibrahimhaji8250 Год назад +1

    Best kaswida ever🤣😂😎

  • @OmaryMussa-xi9hg
    @OmaryMussa-xi9hg Год назад

    Mashaalah

  • @saidmwakulika9945
    @saidmwakulika9945 2 года назад +1

    Mashaallah

  • @queenmamy7501
    @queenmamy7501 2 года назад +1

    Mashallah

  • @rehemariziki4317
    @rehemariziki4317 Год назад +1

    MashaAllah

  • @habibkhamis4705
    @habibkhamis4705 2 года назад +1

    mashaallah