😀😀😀ame vurugwa na taarifa ya baba yake kai na yule rafiki yake kai mwenye suti nae kavurugwa na na kai na mkewe sasa kumbe waajui chanzo chao wawili kugurugwa ni familia moja iyo iyo😄😄😄
Kilamba baada ya kwenda kumsaidia mzee kwanza umpeleke hospital umeenda kwa kai kwelii sasa subiri ukarudi na Matusi ya kila rangi uko 😏 Umenikela sana leo Yaan nakukubali sana ila kwa hili nakukataa mwanangu kweupe 🙌
Whatsapp group 👇👇
chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP
Huruma jmn😢
jamani lakini zuu mbona kawahivyo minataka aolewe.
maitwa Jacki nipo Zanzibar ila nawapenda
Mbona link haibonyezekiii
Zuu mungu akubariki utapona2 na nataman huo ushetani umrudie candy
Mganga kwakwer shikamoo😊
Kaweza kaz mganga😂😂😂😂😂😂😂
Utazani wanalala humu watu 😂😂 anyway tumuombee zuu apone wangapi tunamuombea zuu apone 😢
Mm wa pili
Wale tunaokimbilia kucomment 😂😂😂😂
Nasikitika san kuon zuu na bamkwe akiwa kwenye hali ngum
Yaani hawa urafiki wao lazima tuu watazinguana,subirini tuone😌
🤣🤣
Naombeni like jaman 😂
Mnawekaga vijipande vidogo sanaa
Dakika 21 ni ndogo?
@@busatitv sanaa. Weke lisaa mana hukai vizur mchezo unaisha
@@busatitv
Dogo.sana dakika kuweni Kama Wana Nigeria Wana weka dakika nyingi
Kai uchawi umekuramba bt najua uongo hauna mda mrefu kendi kitamramba chamoto 🔥🔥🔥🔥🔥😭😭😭😭atalia na kusanga mene
❤❤🙏
Mmmh team zuu hata kama mbaya tunampenda Sana zuu atakuwa sawa kabisa
Jaribuni kurefusha move nzr lakn fup mno inakosa mvuto
Usijar
Nimeingoja sanaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Haaaa jamani mbona unaisha Paramus ivi ❤❤❤
❤❤❤🙏🙏
Nangoja part 26 tafathali
Naanza kuogopa kitu kibyaa kisimkute zuu wetu Mungu amnusuru😢 mskini bke Kai Mungu amjalie shifaa ya haraka😢
Huyo candy ananikera na hilo pua lake km andaz la kavu
❤❤❤
Candy wewe huna adabu aki ❤❤❤ila italipia hio
Jamani zuu eti ozambeee 😂😂
❤❤❤❤Zuuu utakuwa sawa habbty
Hongeren kina kai mnatubamba kinomanoma🎉🎉
Hongereni sana ❤❤❤❤kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪, ila Kai utakuja kujuta
Kai utajuta kumfukuza babako wewe alafu zuu anateseka lakini wapagawishwa na weup😢
Jamani kai mbona wanitatiza ipo siku utakuja juta
Sema uyu rafiki yake candy mzur
Nimelia sana ushirikiano mbaya sana😢😢😢
Jmn kai usituangushe kias chote icho uyo candy astusumbue bwana😢😢
Nzuri
🙏🙏
Jamani muko fasta hvi munakesha kwenye you tobe
Mara yakwanza urikuwa mujinga urivyo rogwa ndo kabisa umekuwa boy
Jaman uchawi shikamooo
Movie zenu kali sana
Asante
kendi nyokooo wewe sikupendi kinoma
Duuh hi move imenifunza Jambo ktk maisha usimwache mchawi Aishi
Kai na zuu wakiwa Sawa mtanambia🙌🙌
Nice one
Wapi like za mpumbavu mwenzangu😅😅😅
😀😀😀ame vurugwa na taarifa ya baba yake kai na yule rafiki yake kai mwenye suti nae kavurugwa na na kai na mkewe sasa kumbe waajui chanzo chao wawili kugurugwa ni familia moja iyo iyo😄😄😄
Maskin baba
Anatia huruma jaman
Jamani haya leo mimi ni wa kwanza naomba like zenu plz❤❤😂
😢😢😢😢😢 mm sina raha kwakwel 😢
Mtoe mbil leo❤❤
Ila kama Kuna mwanamke mwenye dizaini ya candy kiboko
Akili kichwani maumivu moyoni kweli😂😂😂
Wakwaza leo jamani😂🎉
Hongera
Uyu kendy simpendi kweli
Duuh
Nmeuzunika sana😢😢😢
Mbn mnasifa
Nimechelewa
Jamani kendi wewe kabira gani
Mi kai kinaniboa
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kend Ana laana uyo
Mtuongezee kipande kingine jamani
Nimewahi wa kwanza
Hongera
Siri ni ya mtu mmoja
I wonder this women
Watu wanajua kuwahi
Siyo pw
Yani tangu hii. Movie ianze sijawah kupata like hata Moja kwanini lakini?
🌹🌹🌹
Haustahili😂😂
We unalike zawenzako
Ukiwa mwepesi kulike za wenzako nasisi like tunatoa
Haya ndo umepata hizo
❤❤❤❤❤
❤❤❤
Kenyans in the house let's gather here 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤
Tupo
🎉🎉🎉
Tupo
Tupo🎉❤
❤❤❤
Kai leo umezingua kinoma sijapenda ju team zuu niko na huzuni sana Anyway congratulations kazi iko bomba tunaenjoy na huzuni zetu 😭🎉🎉❤
Amezingua kinoma yaan.. acha 😢😢😢 mm team zuu acha tu na huzuni yetu
😢😢😢😢 hata Mimi mwenyewe sijapenda kabisaaa
😢😢😢😢😢😢 Nalia xn ak hongereni tim busati Masha'Allah ❤❤❤❤❤❤
tim zuu sijapenda cend nakuchukia
@@Swabrina- lazima azingue mkewe alishaenda kwa mganga ili ndoa yake na mume wake irudi kama mwanzo
Wenye mwataka like yategemea Na vyenye mtu umecomment ndio utapewa like banaa
Wakwanza leo wake tulioanza kufatilia tokea part 1 had hii dondosha likes apa chin❤❤❤❤
❤❤❤like
❤❤❤❤ like
Haya nimekupa hio like
Jaman hamulala atahivyo nam nimehwah kbc like kwangu pia jomn
🙏🙏
jaman kwan huwa mnalala mtandaoni mbona mnawahi sanaa nipeni like bc,
Mm ikitoka tu nmeifungua 😂😂😂😂upes
😀😀😀😀😀 we acha tu
😂😂😂😂😂😂😂😂
Tunakesha kama kawaida😂😂😂🇧🇮🇧🇮🥰🥰
@@aishalovesesibe 🤣🤣🤣🤣🤣
🏃🏃🏃 Nmeingia kwa mpigo, Team Hamam (Riyadh) mko wapi...pitieni na likes😅
🌹🌹
Tuko apa my dear 😂😂😂😂😂
Tupo dear ❤❤❤🎉🎉🎉😊
🫢🫢🫢tupo matbakh
Tupo❤
Hivi mnaombaga like za nn jaman 😅😅😅 hii ni sehemu ya maoni n ushaur , sasa kila mtu anataka like zinawasaidia nn?
Wananikera sana
@@DanielaSanka yaaan mtu analalamika kabisa kisa kupata like
@@lindahkillian8156 saivi ni kila kona
Waooooooh navoipenda hii move niko makini nayo hatali naomba mauwa yangu jamani
🌹🌹🌹
Kilamba baada ya kwenda kumsaidia mzee kwanza umpeleke hospital umeenda kwa kai kwelii sasa subiri ukarudi na Matusi ya kila rangi uko 😏 Umenikela sana leo Yaan nakukubali sana ila kwa hili nakukataa mwanangu kweupe 🙌
Nakwambia anaakili bt hapa kazingua kwel
@@HusnahMariam Tena kazingua sana angeenda kumsaidia Mzee kwanza alafu ndipo akaenda kwa kai
Like ni chakula Cha sangapi ety 😂😂😂😂
Ata mm sielew kwakwer eeehhh 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kaka Kai umenikera saaan,yni nimelia kiukwel,umeni udhi,😢😢😢😢,nimekuchukia saan
Nimewahi Leo jmn mnipe like basi 🤭🤭
Kei kei kei nimekuita mara ngpi 😢dawa imekubadilsha
Chezea dawa ww
Yan daw imkolea kinomaaaa
Wooow aki nimekua wa kwanza leo wapi nduru majinun humu tuuu gonga like tusonge mbele
Wakwanza Leo nipeni like zangu
🎉❤
Tim zuu tun huzuni San 😭
Poleni sana
Mpka naumwa mie😢
@@awashshaban dah yaan acha 😥
wee kendi wew wapii zuu asantee sana mmetufanyia haki mashabiki zenu ❤❤❤
🏃🏃🏃karibu nianguke kumbe mshafika huku 😂😂
😂😂😂😂😂😂Kaz ni motoooo huku anguka kisha uenuke 😂😂😂😂😂😂
Napenda hii nyimbo yenu" hili si kovu bonge jeraha maumivu nakosa raha" 🔥🔥🔥❤️
Kama mm 😢😢😢😢
kama umependa kipande cha 25 weka like za kutosha apaaa❤❤❤❤❤
achen usenge wa kuonba like bana toa maon ya maan katika hii movie kama unakubaliana na mim gonga like hapa
Umetisha
Katika hao wasenge na wewe upo siomeomba like toeni maini sio kuomba omba like
@@HellenJoseph-j7t 😃😃😃😃😃 acha utan bana kak
@@HellenJoseph-j7t hahahah nilitaka kuwachangamsha wana familia hakuna kupoa
Mimi wamenisinya kamwi
Mie langu jicho tu sina bahati nipo oman naifatilia sana hii movie ila sipewi hata like. Moja ila mnatuvunja. Moyo jamani
Mm pia langu jicho mm pia nko oman
❤
❤@@evarlinecharo9066
Akili kichwani maumivu moyoni ukikosa kushoto utapata kulia💪💪💪💪💪
Movie nzuri lakn fupi sana mutuogezee mda japo kidogo 😊
Sawaaa
Asanteni wana familia nzima ya penzi la house girl nawapenda wote nisaidieni pia hata like kamoja❤❤🎉🎉🎉
🙏🙏🙏❤❤❤
Wa kwanza naombeni like zenu ndugu❤
Nimefatilia san hi mov naombeni like
Asante sana🙏
Jaman tunafundishwa heshima na tuache roho mbaya alafu na wanaume msipende kuwaamini wanawake asilimia mia
Jamani naomba like 5 😢 tuko pamoya
Naomba namm likejaman
🌹🌹🌹
Whaou ❤️ ❤️ ❤️ nimewayi naomba like
Iko smart Sana,,,ila naomba muache kuchelewesha sna Alf muongeze dakika aki ,ni fupi sana
🙏🙏
Ila candy hii move cjuii kama hujairogezea pia hatulalii Kila wakaty tunachungulia 🎉🎉🎉
😀😀😀😀😀
Hozambe imatoka kutoka Uganda mpaka Tanzania 😂😂😂😂😂😂 let me share to my friend's team Uganda gather
🙏🙏🙏🙏
Am here😅😅😅😅😅
Waaah moijua vile nimetafuta hiki kipindi Gai🤔Maskini baba mkwe n zuu bt mm Niko shua watapona in Jesus name
Amen
Yani kai karuka Rafiki wke jmn kumbe mganga n hatari weeh
Ivi karibuni yanalipuka Candy jipange
😅😅😅ila kai siyo mzima ndo anatoboa siri zotee had zawashaur wake😅😅😅 ningekuwa karbu ningempigà kofi mojà matata😢😢😢had akili ingemkaà sawà kudadeqqqq 😅
😅😅😅😅😅😅😅 kabisa
Mkewe alisha enda kwa mganga lazima kai abadilike saivi
Aya kuleni izo like😅
😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂
😀😀😀😀
Utakuja kufa vibaya wwe Candy 😏😏😏😏😏😏
Eeeee mwenyezi Mungu,Amini kilakitu ki mkononi mwako ,aise wanadamu hatuna upeo wa kuona, tu vipofu kabisa ,atakama ni movie kuna ukweli ndani yake
🙏🙏🙏