HOUSE GIRL EP 25 || love story💞💕

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 29 сен 2024
  • #bongomovie #housegirl

Комментарии • 874

  • @busatitv
    @busatitv  3 месяца назад +97

    Whatsapp group 👇👇
    chat.whatsapp.com/EXedjPddrA9C1XIkEg36JP

  • @FikiriSospeter
    @FikiriSospeter 3 месяца назад +11

    Zuu mungu akubariki utapona2 na nataman huo ushetani umrudie candy

  • @LatifaHava
    @LatifaHava 3 месяца назад +8

    Mganga kwakwer shikamoo😊

    • @mwalisuleih1164
      @mwalisuleih1164 3 месяца назад +1

      Kaweza kaz mganga😂😂😂😂😂😂😂

  • @johariabdalla3099
    @johariabdalla3099 3 месяца назад +32

    Utazani wanalala humu watu 😂😂 anyway tumuombee zuu apone wangapi tunamuombea zuu apone 😢

  • @DamarisDammie
    @DamarisDammie 3 месяца назад +13

    Wale tunaokimbilia kucomment 😂😂😂😂

  • @MammyMeju
    @MammyMeju 3 месяца назад +9

    Nasikitika san kuon zuu na bamkwe akiwa kwenye hali ngum

  • @barakahsylvester7911
    @barakahsylvester7911 3 месяца назад +2

    Yaani hawa urafiki wao lazima tuu watazinguana,subirini tuone😌

  • @HAJIKILINGA-ip8il
    @HAJIKILINGA-ip8il 3 месяца назад +16

    Naombeni like jaman 😂

  • @SabihaHamed-vf2ku
    @SabihaHamed-vf2ku 3 месяца назад +3

    Mnawekaga vijipande vidogo sanaa

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад +1

      Dakika 21 ni ndogo?

    • @SabihaHamed-vf2ku
      @SabihaHamed-vf2ku 3 месяца назад

      @@busatitv sanaa. Weke lisaa mana hukai vizur mchezo unaisha

    • @sadickmasoudi1689
      @sadickmasoudi1689 3 месяца назад

      ​@@busatitv
      Dogo.sana dakika kuweni Kama Wana Nigeria Wana weka dakika nyingi

  • @Marlenapilikitsao-gk9je
    @Marlenapilikitsao-gk9je 3 месяца назад +2

    Kai uchawi umekuramba bt najua uongo hauna mda mrefu kendi kitamramba chamoto 🔥🔥🔥🔥🔥😭😭😭😭atalia na kusanga mene

  • @ERICKOTIENO-jz4su
    @ERICKOTIENO-jz4su 3 месяца назад +3

    Mmmh team zuu hata kama mbaya tunampenda Sana zuu atakuwa sawa kabisa

  • @magusungassa
    @magusungassa 3 месяца назад +3

    Jaribuni kurefusha move nzr lakn fup mno inakosa mvuto

  • @user-Ambani
    @user-Ambani 3 месяца назад +4

    Nimeingoja sanaaa🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @DalilaHasani-m2i
    @DalilaHasani-m2i 3 месяца назад +1

    Haaaa jamani mbona unaisha Paramus ivi ❤❤❤

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад

      ❤❤❤🙏🙏

  • @Slddhhh
    @Slddhhh 3 месяца назад

    Nangoja part 26 tafathali

  • @aishaomar9621
    @aishaomar9621 3 месяца назад

    Naanza kuogopa kitu kibyaa kisimkute zuu wetu Mungu amnusuru😢 mskini bke Kai Mungu amjalie shifaa ya haraka😢

  • @ZainabSaid-n3v
    @ZainabSaid-n3v 3 месяца назад

    Huyo candy ananikera na hilo pua lake km andaz la kavu

  • @bakarizinga8556
    @bakarizinga8556 3 месяца назад +2

    ❤❤❤

  • @BahatiKadenge-n5r
    @BahatiKadenge-n5r 3 месяца назад

    Candy wewe huna adabu aki ❤❤❤ila italipia hio

  • @IteritekakellyKelly
    @IteritekakellyKelly 3 месяца назад

    Jamani zuu eti ozambeee 😂😂

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 месяца назад

    ❤❤❤❤Zuuu utakuwa sawa habbty

  • @matihassanmwachigutu-hq7ei
    @matihassanmwachigutu-hq7ei 3 месяца назад

    Hongeren kina kai mnatubamba kinomanoma🎉🎉

  • @Phoebenafula
    @Phoebenafula 3 месяца назад

    Hongereni sana ❤❤❤❤kutoka Kenya🇰🇪🇰🇪, ila Kai utakuja kujuta

  • @SarahIbrahim-je1oo
    @SarahIbrahim-je1oo 3 месяца назад

    Kai utajuta kumfukuza babako wewe alafu zuu anateseka lakini wapagawishwa na weup😢

  • @monarose6091
    @monarose6091 3 месяца назад

    Jamani kai mbona wanitatiza ipo siku utakuja juta

  • @KEENKYLE0
    @KEENKYLE0 3 месяца назад

    Sema uyu rafiki yake candy mzur

  • @SofiaSalim-q4o
    @SofiaSalim-q4o 3 месяца назад

    Nimelia sana ushirikiano mbaya sana😢😢😢

  • @SmilingCamel-tv5wz
    @SmilingCamel-tv5wz 3 месяца назад

    Jmn kai usituangushe kias chote icho uyo candy astusumbue bwana😢😢

  • @Teresia-sy7st
    @Teresia-sy7st 3 месяца назад +1

    Nzuri

  • @Zainab-zf5gg
    @Zainab-zf5gg 3 месяца назад

    Jamani muko fasta hvi munakesha kwenye you tobe

  • @EdwardDismass
    @EdwardDismass 3 месяца назад

    Mara yakwanza urikuwa mujinga urivyo rogwa ndo kabisa umekuwa boy

  • @JestinaMsoka-ne9ql
    @JestinaMsoka-ne9ql 3 месяца назад

    Jaman uchawi shikamooo

  • @DavidJohn-p5m
    @DavidJohn-p5m 3 месяца назад +1

    Movie zenu kali sana

  • @alsonmbwana8031
    @alsonmbwana8031 3 месяца назад

    kendi nyokooo wewe sikupendi kinoma

  • @DanielRocky-s8h
    @DanielRocky-s8h 3 месяца назад

    Duuh hi move imenifunza Jambo ktk maisha usimwache mchawi Aishi

  • @Shinyg3l
    @Shinyg3l 3 месяца назад

    Kai na zuu wakiwa Sawa mtanambia🙌🙌

  • @DianaMajiji
    @DianaMajiji 3 месяца назад +1

    Nice one

  • @annstamciawanzila2652
    @annstamciawanzila2652 3 месяца назад

    Wapi like za mpumbavu mwenzangu😅😅😅

    • @levinaernest4364
      @levinaernest4364 Месяц назад

      😀😀😀ame vurugwa na taarifa ya baba yake kai na yule rafiki yake kai mwenye suti nae kavurugwa na na kai na mkewe sasa kumbe waajui chanzo chao wawili kugurugwa ni familia moja iyo iyo😄😄😄

  • @TatuHaji-zh4lh
    @TatuHaji-zh4lh 3 месяца назад +2

    Maskin baba

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад +1

      Anatia huruma jaman

  • @Sada-sk
    @Sada-sk 3 месяца назад

    Jamani haya leo mimi ni wa kwanza naomba like zenu plz❤❤😂

  • @Zenabeby
    @Zenabeby 3 месяца назад

    😢😢😢😢😢 mm sina raha kwakwel 😢

  • @Khamis-rc3pq
    @Khamis-rc3pq 3 месяца назад

    Mtoe mbil leo❤❤

  • @DanielRocky-s8h
    @DanielRocky-s8h 3 месяца назад

    Ila kama Kuna mwanamke mwenye dizaini ya candy kiboko

  • @ميريالشمري-ح9ب
    @ميريالشمري-ح9ب 3 месяца назад

    Akili kichwani maumivu moyoni kweli😂😂😂

  • @MaryOyalo-eu7cv
    @MaryOyalo-eu7cv 3 месяца назад +1

    Wakwaza leo jamani😂🎉

  • @HvgUgg-w1p
    @HvgUgg-w1p 3 месяца назад +1

    Uyu kendy simpendi kweli

  • @tabithanzisa9755
    @tabithanzisa9755 3 месяца назад

    Nmeuzunika sana😢😢😢

  • @Mulhat-w4t
    @Mulhat-w4t 3 месяца назад

    Mbn mnasifa

  • @NeemaJohn-ir6lf
    @NeemaJohn-ir6lf 3 месяца назад

    Nimechelewa

  • @EdwardDismass
    @EdwardDismass 3 месяца назад +1

    Jamani kendi wewe kabira gani

  • @DoreenOmmy-gw3op
    @DoreenOmmy-gw3op 3 месяца назад

    Mi kai kinaniboa

  • @EhrustineZ
    @EhrustineZ 3 месяца назад

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @BeatriceShirima-ip3lr
    @BeatriceShirima-ip3lr 3 месяца назад +1

    Kend Ana laana uyo

  • @MichaelDanny-ge2qz
    @MichaelDanny-ge2qz 3 месяца назад +1

    Nimewahi wa kwanza

  • @spicy001_
    @spicy001_ 3 месяца назад

    Siri ni ya mtu mmoja

  • @musasaganda4597
    @musasaganda4597 3 месяца назад

    I wonder this women

  • @NasraSaidi-dq7fh
    @NasraSaidi-dq7fh 3 месяца назад +1

    Watu wanajua kuwahi

  • @JosephinaJohn-s3t
    @JosephinaJohn-s3t 3 месяца назад +292

    Yani tangu hii. Movie ianze sijawah kupata like hata Moja kwanini lakini?

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад +5

      🌹🌹🌹

    • @salmamwakabutama
      @salmamwakabutama 3 месяца назад +2

      Haustahili😂😂

    • @Fredmsemw
      @Fredmsemw 3 месяца назад +3

      We unalike zawenzako

    • @Fredmsemw
      @Fredmsemw 3 месяца назад +4

      Ukiwa mwepesi kulike za wenzako nasisi like tunatoa

    • @JoackimLaulent-qd7yp
      @JoackimLaulent-qd7yp 3 месяца назад +1

      Haya ndo umepata hizo

  • @HadijaHamisi-yt3pn
    @HadijaHamisi-yt3pn 3 месяца назад +1

    ❤❤❤❤❤

  • @sirngetich1815
    @sirngetich1815 3 месяца назад +113

    Kenyans in the house let's gather here 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤

  • @ZabibusuphianialisuphianiAlly
    @ZabibusuphianialisuphianiAlly 3 месяца назад +28

    Kai leo umezingua kinoma sijapenda ju team zuu niko na huzuni sana Anyway congratulations kazi iko bomba tunaenjoy na huzuni zetu 😭🎉🎉❤

    • @Swabrina-
      @Swabrina- 3 месяца назад

      Amezingua kinoma yaan.. acha 😢😢😢 mm team zuu acha tu na huzuni yetu

    • @Bakr_salim
      @Bakr_salim 3 месяца назад

      😢😢😢😢 hata Mimi mwenyewe sijapenda kabisaaa

    • @mwalisuleih1164
      @mwalisuleih1164 3 месяца назад

      😢😢😢😢😢😢 Nalia xn ak hongereni tim busati Masha'Allah ❤❤❤❤❤❤

    • @lubazumaduhu
      @lubazumaduhu Месяц назад

      tim zuu sijapenda cend nakuchukia

    • @levinaernest4364
      @levinaernest4364 Месяц назад

      @@Swabrina- lazima azingue mkewe alishaenda kwa mganga ili ndoa yake na mume wake irudi kama mwanzo

  • @carolinenyadzua2458
    @carolinenyadzua2458 3 месяца назад +34

    Wenye mwataka like yategemea Na vyenye mtu umecomment ndio utapewa like banaa

  • @RehemaNgumbao-f1s
    @RehemaNgumbao-f1s 3 месяца назад +107

    Wakwanza leo wake tulioanza kufatilia tokea part 1 had hii dondosha likes apa chin❤❤❤❤

  • @AkimanaVely-gq9cu
    @AkimanaVely-gq9cu 3 месяца назад +39

    Jaman hamulala atahivyo nam nimehwah kbc like kwangu pia jomn

  • @4revertv523
    @4revertv523 3 месяца назад +87

    jaman kwan huwa mnalala mtandaoni mbona mnawahi sanaa nipeni like bc,

    • @RehemaNgumbao-f1s
      @RehemaNgumbao-f1s 3 месяца назад +3

      Mm ikitoka tu nmeifungua 😂😂😂😂upes

    • @DoreenOmmy-gw3op
      @DoreenOmmy-gw3op 3 месяца назад +2

      😀😀😀😀😀 we acha tu

    • @nasraAl-b1w
      @nasraAl-b1w 3 месяца назад +2

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @aishalovesesibe
      @aishalovesesibe 3 месяца назад +1

      Tunakesha kama kawaida😂😂😂🇧🇮🇧🇮🥰🥰

    • @nasraAl-b1w
      @nasraAl-b1w 3 месяца назад

      @@aishalovesesibe 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @christinewanga7385
    @christinewanga7385 3 месяца назад +62

    🏃🏃🏃 Nmeingia kwa mpigo, Team Hamam (Riyadh) mko wapi...pitieni na likes😅

  • @lindahkillian8156
    @lindahkillian8156 3 месяца назад +19

    Hivi mnaombaga like za nn jaman 😅😅😅 hii ni sehemu ya maoni n ushaur , sasa kila mtu anataka like zinawasaidia nn?

    • @DanielaSanka
      @DanielaSanka 3 месяца назад +1

      Wananikera sana

    • @lindahkillian8156
      @lindahkillian8156 3 месяца назад +2

      @@DanielaSanka yaaan mtu analalamika kabisa kisa kupata like

    • @DanielaSanka
      @DanielaSanka 3 месяца назад

      @@lindahkillian8156 saivi ni kila kona

  • @IreneSangu
    @IreneSangu 3 месяца назад +16

    Waooooooh navoipenda hii move niko makini nayo hatali naomba mauwa yangu jamani

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад

      🌹🌹🌹

  • @Rahima-kv6mn
    @Rahima-kv6mn 3 месяца назад +13

    Kilamba baada ya kwenda kumsaidia mzee kwanza umpeleke hospital umeenda kwa kai kwelii sasa subiri ukarudi na Matusi ya kila rangi uko 😏 Umenikela sana leo Yaan nakukubali sana ila kwa hili nakukataa mwanangu kweupe 🙌

    • @HusnahMariam
      @HusnahMariam 3 месяца назад

      Nakwambia anaakili bt hapa kazingua kwel

    • @Riziki-ek3ko
      @Riziki-ek3ko 3 месяца назад

      @@HusnahMariam Tena kazingua sana angeenda kumsaidia Mzee kwanza alafu ndipo akaenda kwa kai

  • @zayatuzai6500
    @zayatuzai6500 3 месяца назад +23

    Like ni chakula Cha sangapi ety 😂😂😂😂

  • @FatmaMama-qq7ye
    @FatmaMama-qq7ye 3 месяца назад +10

    Kaka Kai umenikera saaan,yni nimelia kiukwel,umeni udhi,😢😢😢😢,nimekuchukia saan

  • @venerandakisaki94
    @venerandakisaki94 3 месяца назад +29

    Nimewahi Leo jmn mnipe like basi 🤭🤭

  • @SaumuJumwa-u4v
    @SaumuJumwa-u4v 3 месяца назад +23

    Kei kei kei nimekuita mara ngpi 😢dawa imekubadilsha

  • @macrinafuraha-zg3mi
    @macrinafuraha-zg3mi 3 месяца назад +38

    Wooow aki nimekua wa kwanza leo wapi nduru majinun humu tuuu gonga like tusonge mbele

  • @Amina-lz1ht
    @Amina-lz1ht 3 месяца назад +27

    Wakwanza Leo nipeni like zangu

  • @SilviaJoseph-l8g
    @SilviaJoseph-l8g 3 месяца назад +18

    Tim zuu tun huzuni San 😭

  • @OLEDAUDI
    @OLEDAUDI 3 месяца назад +13

    wee kendi wew wapii zuu asantee sana mmetufanyia haki mashabiki zenu ❤❤❤

  • @AwadhAdam-j5f
    @AwadhAdam-j5f 3 месяца назад +19

    🏃🏃🏃karibu nianguke kumbe mshafika huku 😂😂

    • @mwalisuleih1164
      @mwalisuleih1164 3 месяца назад

      😂😂😂😂😂😂Kaz ni motoooo huku anguka kisha uenuke 😂😂😂😂😂😂

  • @magrethdastanhaule3449
    @magrethdastanhaule3449 3 месяца назад +23

    Napenda hii nyimbo yenu" hili si kovu bonge jeraha maumivu nakosa raha" 🔥🔥🔥❤️

    • @jeskandugai
      @jeskandugai 3 месяца назад

      Kama mm 😢😢😢😢

  • @GiftMkenda
    @GiftMkenda 3 месяца назад +5

    kama umependa kipande cha 25 weka like za kutosha apaaa❤❤❤❤❤

  • @patrockiljohn
    @patrockiljohn 3 месяца назад +83

    achen usenge wa kuonba like bana toa maon ya maan katika hii movie kama unakubaliana na mim gonga like hapa

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад +2

      Umetisha

    • @HellenJoseph-j7t
      @HellenJoseph-j7t 3 месяца назад +5

      Katika hao wasenge na wewe upo siomeomba like toeni maini sio kuomba omba like

    • @patrockiljohn
      @patrockiljohn 3 месяца назад

      @@HellenJoseph-j7t 😃😃😃😃😃 acha utan bana kak

    • @patrockiljohn
      @patrockiljohn 3 месяца назад +2

      @@HellenJoseph-j7t hahahah nilitaka kuwachangamsha wana familia hakuna kupoa

    • @MalkaNinik
      @MalkaNinik 3 месяца назад

      Mimi wamenisinya kamwi

  • @MwanaidiMohammed-bm6qg
    @MwanaidiMohammed-bm6qg 3 месяца назад +19

    Mie langu jicho tu sina bahati nipo oman naifatilia sana hii movie ila sipewi hata like. Moja ila mnatuvunja. Moyo jamani

  • @AnnaKilagwa-sn3gs
    @AnnaKilagwa-sn3gs 3 месяца назад +8

    Akili kichwani maumivu moyoni ukikosa kushoto utapata kulia💪💪💪💪💪

  • @Asma-hn1jk
    @Asma-hn1jk 3 месяца назад +8

    Movie nzuri lakn fupi sana mutuogezee mda japo kidogo 😊

  • @Nailah736
    @Nailah736 3 месяца назад +4

    Asanteni wana familia nzima ya penzi la house girl nawapenda wote nisaidieni pia hata like kamoja❤❤🎉🎉🎉

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад +1

      🙏🙏🙏❤❤❤

  • @Riziki-ek3ko
    @Riziki-ek3ko 3 месяца назад +11

    Wa kwanza naombeni like zenu ndugu❤

  • @jacksonitemba223
    @jacksonitemba223 3 месяца назад +7

    Nimefatilia san hi mov naombeni like

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад

      Asante sana🙏

  • @PATRICIASANGA-br1og
    @PATRICIASANGA-br1og 3 месяца назад +1

    Jaman tunafundishwa heshima na tuache roho mbaya alafu na wanaume msipende kuwaamini wanawake asilimia mia

  • @AshaBinmorisho
    @AshaBinmorisho 3 месяца назад +21

    Jamani naomba like 5 😢 tuko pamoya

  • @PriscaEmmanuel-fh4yn
    @PriscaEmmanuel-fh4yn 3 месяца назад +12

    Naomba namm likejaman

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад

      🌹🌹🌹

  • @FurahafutakazaGloria
    @FurahafutakazaGloria 3 месяца назад +10

    Whaou ❤️ ❤️ ❤️ nimewayi naomba like

  • @rosemwende9279
    @rosemwende9279 3 месяца назад +4

    Iko smart Sana,,,ila naomba muache kuchelewesha sna Alf muongeze dakika aki ,ni fupi sana

  • @Rehema-dc6pj
    @Rehema-dc6pj 3 месяца назад +17

    Ila candy hii move cjuii kama hujairogezea pia hatulalii Kila wakaty tunachungulia 🎉🎉🎉

  • @JaneJane-h2i
    @JaneJane-h2i 3 месяца назад +2

    Hozambe imatoka kutoka Uganda mpaka Tanzania 😂😂😂😂😂😂 let me share to my friend's team Uganda gather

  • @buru1235
    @buru1235 3 месяца назад +4

    Waaah moijua vile nimetafuta hiki kipindi Gai🤔Maskini baba mkwe n zuu bt mm Niko shua watapona in Jesus name

    • @busatitv
      @busatitv  3 месяца назад

      Amen

    • @buru1235
      @buru1235 3 месяца назад

      Yani kai karuka Rafiki wke jmn kumbe mganga n hatari weeh

  • @JoselineJuma-r7o
    @JoselineJuma-r7o 3 месяца назад +13

    Ivi karibuni yanalipuka Candy jipange

  • @LoyceLoyce-fu9pc
    @LoyceLoyce-fu9pc 3 месяца назад +2

    😅😅😅ila kai siyo mzima ndo anatoboa siri zotee had zawashaur wake😅😅😅 ningekuwa karbu ningempigà kofi mojà matata😢😢😢had akili ingemkaà sawà kudadeqqqq 😅

  • @Essy1492
    @Essy1492 3 месяца назад +21

    Aya kuleni izo like😅

  • @TumainiJaphary
    @TumainiJaphary 3 месяца назад +5

    Utakuja kufa vibaya wwe Candy 😏😏😏😏😏😏

  • @Alicia-pl8zh
    @Alicia-pl8zh 2 месяца назад +2

    Eeeee mwenyezi Mungu,Amini kilakitu ki mkononi mwako ,aise wanadamu hatuna upeo wa kuona, tu vipofu kabisa ,atakama ni movie kuna ukweli ndani yake

    • @busatitv
      @busatitv  2 месяца назад

      🙏🙏🙏