TIZAMA FISTON MAYELE ALICHOKISEMA BAADA YA CLATOUS CHAMA KUKUBALI KUBAKIA SIMBA SC/ NA MIMI NAKUJA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 июн 2024

Комментарии • 23

  • @GodfreyEzekiel-pg8qy
    @GodfreyEzekiel-pg8qy 2 дня назад

    Ni vizuri mayele kusajiliwa simba

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 дня назад +3

    MO TUNAOMBA UKAVUNJE MKATABA WA MAYELE AJE SIMBA. MO HUSHINDWI KITU TUNAKUTEGEMEA SANA

  • @Ngimba-t6w
    @Ngimba-t6w 17 часов назад

    Asante mo kwakumbakiza chama

  • @GiftKapinga-hy5pz
    @GiftKapinga-hy5pz 2 дня назад +1

    Kikubwa uzimaaa najua awa niwakwetu😅

  • @HamissMasunga
    @HamissMasunga 2 дня назад

    .mm kama mm ninge penda mayere awe miungoni ya kikosi chasimba

  • @yudithakeneth2071
    @yudithakeneth2071 15 часов назад

    Xmba itashinda mechi zote kama ikitimia

  • @ThomasMahundi-d8y
    @ThomasMahundi-d8y День назад

    Mayele kuchezea na mtu Kama chama ni vizur

  • @AmriSaidi-ll2vs
    @AmriSaidi-ll2vs 6 часов назад

    Iyo imeeda

  • @MkandyaDaudi
    @MkandyaDaudi 17 часов назад

    Mayele aje kucheza shilikisho simba ni vichaa eti

  • @RitaMunthali
    @RitaMunthali 2 часа назад

    Mayele amia sc

  • @patridabernard9148
    @patridabernard9148 2 дня назад

    Yaan nyie waongo had bas

  • @SwalehekomboKombo-wg5bg
    @SwalehekomboKombo-wg5bg 4 дня назад

    Tunamtaka mayele

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 2 дня назад

    WEE MWEHU KWELI
    HUYO KESHAJILIWA YANGA
    UNABWEKA TU HUKU

  • @user-zo8ep4rz3l
    @user-zo8ep4rz3l 4 часа назад

    Wantsnzania mnawadi baadhi ya wachezaji kwani lipi laajabu walilo nalo baada ys kulelewa vizuri jina kukua shukrani ni kashifa. Mchezaji aende anako taks kwani aliko amefanya nini? Tanzania bado level yetu ya mpira ipo chini ndio maana tunakuwa na ushabiki wawachezaji wannje. Yanga, Simba, Azan na Club zingine fundisheni vijana wetu kesho tuone 3/4 ya wschezaji nyota niwsbongo wenyewe. Miaka ya nyuma tulikuwa na wschezaji wabongo makini sana walimu mnao waleta kazi yao iwe nikuwasuka vijana wetu. Bila aibu wapo wsnao jisifu tumrmnyakua fulani toks nnje kama nisifa kubwa badala ys kujiuliza kikosi B wsmepsnda wangapi. Biashara ziwrpo lakini mpira uendelee. Napendekeza club zote daraja A zisiwe na wachezaji wa nnje zaidi ya watano kila club kuanzia 2025 Naomba kutoa hoja

  • @kassidpandu866
    @kassidpandu866 2 дня назад +1

    Maoni yangu muache uongo tu bc

  • @YEHOVATV-mz6sp
    @YEHOVATV-mz6sp 3 дня назад

    Mitandao ya kijamii kama vile IMELIPWA kwasababu ya Taarifa zenye WALAKINI.ILA Mwisho UNAKUJA

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 4 дня назад

    MO MO MO MAYELE NA CHAMA JAMANI VP?CHONDE HAO WATU SIMBA TUNENEPE

    • @user-lr3yj5cy1z
      @user-lr3yj5cy1z 4 дня назад

      Shida hamsemi ukweli mnasema vitu ambavyo sio vya kweli

  • @user-lf9ti8rs2y
    @user-lf9ti8rs2y День назад

    Tunaitaji.mayere awepo kwenye kikos cha smba.adam katundu kutoka mkuranga.maon yangu.hayo