Wantsnzania mnawadi baadhi ya wachezaji kwani lipi laajabu walilo nalo baada ys kulelewa vizuri jina kukua shukrani ni kashifa. Mchezaji aende anako taks kwani aliko amefanya nini? Tanzania bado level yetu ya mpira ipo chini ndio maana tunakuwa na ushabiki wawachezaji wannje. Yanga, Simba, Azan na Club zingine fundisheni vijana wetu kesho tuone 3/4 ya wschezaji nyota niwsbongo wenyewe. Miaka ya nyuma tulikuwa na wschezaji wabongo makini sana walimu mnao waleta kazi yao iwe nikuwasuka vijana wetu. Bila aibu wapo wsnao jisifu tumrmnyakua fulani toks nnje kama nisifa kubwa badala ys kujiuliza kikosi B wsmepsnda wangapi. Biashara ziwrpo lakini mpira uendelee. Napendekeza club zote daraja A zisiwe na wachezaji wa nnje zaidi ya watano kila club kuanzia 2025 Naomba kutoa hoja
Ni vizuri mayele kusajiliwa simba
MO TUNAOMBA UKAVUNJE MKATABA WA MAYELE AJE SIMBA. MO HUSHINDWI KITU TUNAKUTEGEMEA SANA
Asante mo kwakumbakiza chama
Kikubwa uzimaaa najua awa niwakwetu😅
.mm kama mm ninge penda mayere awe miungoni ya kikosi chasimba
Xmba itashinda mechi zote kama ikitimia
Mayele kuchezea na mtu Kama chama ni vizur
Iyo imeeda
Mayele aje kucheza shilikisho simba ni vichaa eti
Mayele amia sc
Yaan nyie waongo had bas
Tunamtaka mayele
WEE MWEHU KWELI
HUYO KESHAJILIWA YANGA
UNABWEKA TU HUKU
Wantsnzania mnawadi baadhi ya wachezaji kwani lipi laajabu walilo nalo baada ys kulelewa vizuri jina kukua shukrani ni kashifa. Mchezaji aende anako taks kwani aliko amefanya nini? Tanzania bado level yetu ya mpira ipo chini ndio maana tunakuwa na ushabiki wawachezaji wannje. Yanga, Simba, Azan na Club zingine fundisheni vijana wetu kesho tuone 3/4 ya wschezaji nyota niwsbongo wenyewe. Miaka ya nyuma tulikuwa na wschezaji wabongo makini sana walimu mnao waleta kazi yao iwe nikuwasuka vijana wetu. Bila aibu wapo wsnao jisifu tumrmnyakua fulani toks nnje kama nisifa kubwa badala ys kujiuliza kikosi B wsmepsnda wangapi. Biashara ziwrpo lakini mpira uendelee. Napendekeza club zote daraja A zisiwe na wachezaji wa nnje zaidi ya watano kila club kuanzia 2025 Naomba kutoa hoja
Maoni yangu muache uongo tu bc
Sawa mpenzi
Mitandao ya kijamii kama vile IMELIPWA kwasababu ya Taarifa zenye WALAKINI.ILA Mwisho UNAKUJA
Yehova
@@Swahiliclick YEHOVA maana yake Mungu
Kama una swali lingine NIPE TAFADHARI usisite
MO MO MO MAYELE NA CHAMA JAMANI VP?CHONDE HAO WATU SIMBA TUNENEPE
Shida hamsemi ukweli mnasema vitu ambavyo sio vya kweli
Tunaitaji.mayere awepo kwenye kikos cha smba.adam katundu kutoka mkuranga.maon yangu.hayo