Kama ulikuwa hufahamu, hii ndio historia ya mji mkongwe (Stone town) Zanzibar.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Usisahau kutufuatilia katika mitandao yetu ;
    Subscribe to our RUclips Channel : bit.ly/itvtanzania
    Facebook : bit.ly/2KeQNl3
    Twitter : bit.ly/2XG7aii
    Instagram : bit.ly/34KItmg

Комментарии • 10

  • @KassimUmeya
    @KassimUmeya 11 месяцев назад

    Alhamdulilah Mashaallah Twashkuru Allah Subhana Wataala Atujaalie Kula la Kher,Afya Nzuri na Atuhifadhi Shari.Tafsiri nzuri ya Kuielewa Zanjibar.Shukran.i

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Год назад +1

    Jamani kwa nini mnawauliza watu walokuwa hawaijuwi Zanzibar wala hawakusoma hapo Skuli wala Chuoni...Hata basi waulizeni Wahindi ndio walokuwa wakiishi wengi kama 70% hapo Stone Town. Muulizaji huna kazi wewe......

  • @samwelsengati1369
    @samwelsengati1369 3 года назад

    Nzur

  • @surusuru1994
    @surusuru1994 Год назад

    Hiyo estory inatakiwa wazanzibar wazijuwe mana wenge shule wamekibia

  • @hamzayusuf2999
    @hamzayusuf2999 2 года назад

    namimi nakufundisha kuna mahali mogadisho somaliya yiko mta karibu na baharini yiko shangani asili ya hiyo jina la kituruki

  • @manallayusuf4951
    @manallayusuf4951 Год назад

    Kanisa la mkunazini limejengwa 1905 sio 1800 usitupotoshe historia yetu na hao mishonari wamekuja kusambaza ukiristo na sio kuondosha utumwa masoko ya utumwa yalifungwa tokea 18022

  • @tanzanite9944
    @tanzanite9944 3 года назад

    Tuleteeni Makunduchi Kwa Muheshimiwa mkuu wa Nchi

  • @hajmy1954
    @hajmy1954 3 года назад

    Hakutaja kwamba hao wa Arabu walikuwa zaidi ni kutoka Oman

  • @rafaelmarquez9396
    @rafaelmarquez9396 Год назад

    Kama hujui historia usjifanye kuwa wewe ni mwanahistoria