Itakuliza Mbarikiwa alivyoongea kwa hisia MAHAKAMANI. Amuunga mkono Rostam Azizi. "NI KIUCHAWI"?

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024

Комментарии • 359

  • @mikbete
    @mikbete Год назад +23

    A man I have never seen before. A man from heaven, a real man from heaven, a man of God.

    • @jacksoncharles5411
      @jacksoncharles5411 Год назад +3

      That's true, he's a man from heaven,a man of God himself, even me,i've never seen a man like this, it's miracle,may God bless him.

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Год назад

      Rubbish

    • @Kwelihukuwekahuru
      @Kwelihukuwekahuru Год назад

      Kichwa cha habari hakiendani na mzungumzaji

    • @jacksoncharles5411
      @jacksoncharles5411 Год назад +1

      @@Kwelihukuwekahuru Inahitaji umakini na utulivu kumuelewa,ukimsikiliza juu kwa ju,kamwe huwezi kumuelewa hata kidogo,zaidi uta-coment matusi.

    • @mikbete
      @mikbete Год назад +1

      We probably only have him in this beautiful nation TZ God gave us for a reason, a man with brave soul like him. He is still firm regardless of the attack by the authority. He must be standing for what he believes. It's my conviction he is innocent, and only "time will tell" ( time is GOD).

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi Год назад +12

    Pole sana mchungaji. Hawa majoka wanaokusumbua ipo siku watalipia.

  • @kimanidatch6096
    @kimanidatch6096 Год назад +2

    Yesu KRISTO,, atakutetea Pastor...Usikate tamaa.Simama Imara.

  • @methodjasson2159
    @methodjasson2159 Год назад +6

    Haki yako ipo mtumishi wa Mungu simama upande wa Kristo daima, maana mwenye haki hajawahi achwa.Amen

  • @christinenyagiro6662
    @christinenyagiro6662 8 часов назад

    Magufuli hakumfanyia shida yo yote, kwa kweli huyu mtumishi anajipambanua kufanya kazi ya Mungu. Mungu hapendi uongo na viongozi wengi wameingia katika huo mtego wa unafiki lakini Mungu hapendi unafiki. Analea vijana wengi sana kama angekuwa mbaya angejiwekea mali na kujisifu basi lakini Mtumishi Mbarikiwa anafanya kazi ya Mungu. Hata Yesu walimchukia kwa sababu hakukubaliana na mafalisayo.

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Год назад +5

    Amina Nina nguvu kupitia mbarikiwa Mungu atuvushe nguvu ya wa ovu ni ya muda MUNGU NI WA MILELE AMINA

  • @shadrackwilfred2606
    @shadrackwilfred2606 Год назад +9

    *AMEN* MTU WA *MUNGU* HAKUNA WAKUMUOGOPA, TUONYESHANE WEMA TUU NDIO NJIA YA KUSHAWISHIANA

  • @bartolomeuhenrique1574
    @bartolomeuhenrique1574 Год назад +8

    Leo kweli baba,akuna sapoth yeyote Hila kesho yesu yupo kwa magumu yetu

  • @RamadhaniRamadhani-yd4hq
    @RamadhaniRamadhani-yd4hq Год назад +7

    Mungu anatupenda wateule wenye haki tutaiona kesho yenye furaha baada ya taabu za dunia ahsante mungu kwa kumleta mbarikiwa

  • @jenyyusuph4973
    @jenyyusuph4973 Год назад +3

    Mungu mpe nguvu za ajabu mtumishi wako mbarikiwa maana amechagua lililo jema Amina

  • @daudcharles264
    @daudcharles264 Год назад +8

    Hakika mungu yu upande wako mtumishi wa mungu Amen

  • @EmmyKanjanja-qi1vl
    @EmmyKanjanja-qi1vl Год назад +4

    Hongera shujaa wa Mungu,waambie ukweli,lakini hata wao watakufa,

  • @ramamjema8391
    @ramamjema8391 Год назад +5

    Mungu yu pamoja nawe mtumishi, tunaamini kwenye haki Mungu atakutetea pamoja na hao watesi nao Iko siku watakufa TU.

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe8188 Год назад +10

    Inauma sana kutendeana mambo ya hovyo

  • @antonyibrahim5949
    @antonyibrahim5949 Год назад +1

    Mungu hajawahi kushindwa,tunakuombea sana mtumishi,vyeo vya muda tuu vinawasumbua

  • @sarahjames2287
    @sarahjames2287 Год назад +1

    Pole mtumishi mwachie Mungu atawashughulikia. vita hivi si vyako ni vya bwana

  • @user-yv8ww7lg1x
    @user-yv8ww7lg1x Год назад +8

    Mungu u pamoja nawe mtumish wa Bwana

  • @user-pd1kk3xd4u
    @user-pd1kk3xd4u Год назад +3

    Pole sana mtumishi ni kwasaabu Magufuli alikupendana unapenda haki ndio maana wanataka kukuumiza, hata magufuli kifo chake nadhani ilikua n hila tu za hawa wanaotutawala sasa

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 Год назад +3

    Neema ya Mungu ikulinde baba vita ni kubwa sana lakini yeye alienzisha kazi mioyoni mwetu ndio atakae imaliza🙏

  • @georgepeter2055
    @georgepeter2055 Год назад +2

    Mungu ambariki sana, ni kiongozi wadini ambae hana ushirika na mashetani

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 Год назад +1

    Pole sana mutumishi wa Bwana, kamwe Mungu hatokuacha peke yako. Wanaweza wakakuzuru kimwili ila hawawezi wakakuuwa kiroho. From Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸 .

  • @neemarabani
    @neemarabani Год назад +2

    Amina wateule tunapitia dhiki lakini tusife moyo Wala tusikate tamaa .Yesu wetu anarudi.

  • @danielhoya5917
    @danielhoya5917 Год назад +1

    Wewe Mungu ni mhukumu wa haki,angalia taabu na bidii ya mjoli wako,uje uhukumu Bwana kwa mkono wako,Usinyamaza Bwana kwa watu wako na Taifa lako Yesu.

  • @nipaelmgonja9869
    @nipaelmgonja9869 Месяц назад

    Aaaah imani hii nikubwaaaa ah kwa hakika yesu anacho kisasi juu ya hayaaaaa

  • @hilarylaurian7896
    @hilarylaurian7896 Год назад

    Pole sana mtumishi wa Mungu. Mwenyezi Mungu akulinde na waovu na zaidi akutie nguvu. Naamini BWANA atafanya njia

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Год назад +4

    Hongera sana mtumishi wa mungu, mungu ni mkubwa na atasimama nawe.

    • @Zaburi-
      @Zaburi- Год назад +2

      Mungu/MUNGU sio mungu

  • @aswilekibona9861
    @aswilekibona9861 Год назад +2

    Mbarikiwa barikiwa zaidi

  • @NorbethJosphath-hm1zb
    @NorbethJosphath-hm1zb Год назад +1

    Pole mch

  • @RaymondZindah-ow7wr
    @RaymondZindah-ow7wr Год назад +4

    Mtumishi tuko nyuma yako na tutakufa na wewe.Mungu awe nawe na azidi kukupa maono na ujasiri. Huyu mkuu was usalama wa taifa inabidi tumuombee laana ya kifo tu.

  • @hildandumbalo5827
    @hildandumbalo5827 Год назад +7

    Mungu yuko nawe mch Mbarikiwa

  • @stevennjalika-in1fo
    @stevennjalika-in1fo Год назад +2

    Mmm ......
    Mungu , tunauwakika sana hata kwa maumivu makali. Ila mkono wa mungu uwe juu ya baba

  • @conkfabrimendaking7093
    @conkfabrimendaking7093 Год назад +1

    Ubarikiwe na Mungu alie juu mbinguni sawa-sawa na lilivyo jina lako

  • @peterwanyonyi2445
    @peterwanyonyi2445 Год назад

    Mjungaji Baba wa mbinguni awe nawe akulinde ni wanyonyi from mombasa kenya

  • @WILLIAMSINGANO-qn2yh
    @WILLIAMSINGANO-qn2yh Год назад

    Pole sana mchungaji kiongozi. Watumishi wengi hawakumkana Yesu nasi hatuta mkana kamwe.

  • @EsterBernardoVumo
    @EsterBernardoVumo 10 месяцев назад

    Amen Mtumishi Wa Mungu Mungu Atakujibu Mtumishi Mungu Yupo Pamoja Nawe.Amesha Kusikia

  • @bartolomeuhenrique1574
    @bartolomeuhenrique1574 Год назад +2

    Mungu akutie nguvu,baba misukusuko unayopitia,,,mbele Iko njia.apo baba unafungua njia hili waliyo nyuma Yako,na watakao kuja watapita raisi tu,ila ww tabu na ziki na mateso yanakusubili,pole inaniuma abli ya mtoto

  • @user-ro7rf6yw3q
    @user-ro7rf6yw3q Год назад

    Nakuelewa sana kiongoz unafaa ata kugombea urais❤❤

    • @user-ro7rf6yw3q
      @user-ro7rf6yw3q Год назад

      Sio kugombea2 kupewa madalak yoyot ambay yakuwaongoza raia na mali zao

  • @helbertsoneka2008
    @helbertsoneka2008 Год назад +8

    daaah kama ukweli ndo upo hivi basi serikali ina wajibu wa kuangalia kwa jicho la tatu

  • @AderaMwakilima-dh9sy
    @AderaMwakilima-dh9sy Год назад +2

    Mungu akutie nguvu baba Dunia hii uyu mkulugenzi atalipya

  • @edmundmmuniedmund1623
    @edmundmmuniedmund1623 Год назад +4

    Mungu ni mwaminifu mtumishi..Nadhani Usalama wa taifa ulikuwa enzi hizo kwa sasa ni usalama wa watu wa juu na kula.. si mda mrefu Mungu ataanza kushughulika nao!

  • @mtumishiDanny
    @mtumishiDanny Год назад +1

    Haya maumivu yana mwisho wake . Bwana Yuaja na malipo . Sherehe ya waovu ni ya kitambo kidogo. Mkurugenzi wa usalama wa taifa aliyeua na analindwa Mungu Atakuja kulipa

  • @julliennegakwaya5975
    @julliennegakwaya5975 Год назад +2

    Mungu akuteteye Mutumishi wa Mungu 😢

  • @moseskita4251
    @moseskita4251 Год назад +1

    Mungu akutie nguvu mtumishi wa Mungu, Hao wanaokutesa Mungu anawaona,ipi siku watajuta.

  • @user-ct3sm1pd8z
    @user-ct3sm1pd8z 10 месяцев назад

    Barikiwa mtumishi MUNGU yupo pamoja nawew uko iliko

  • @SalamaRashidi-bb4fe
    @SalamaRashidi-bb4fe Год назад +2

    Ukweli Mtupu mungu atawahukumu

  • @cuthbertsebastian9626
    @cuthbertsebastian9626 Год назад +11

    Maana ya ibada ni kifo tu; kama ukiogopa kifo bado mtu hawezi kutimiza kigezo cha ibada halisi ambayo inampendeza Mola Yesu kristo, akina Stephano, Yohana mbatizaji, na mitume wote wa kweli hawakupendwa na Dunia maana watu wa njia hii si wa ulimwengu huu; Katika ufunuo Yohana aliona nafsi za waliouawa zikilia mbele za Mungu zikisema Ee Mola ziwapi malipo ya kuuawa kwetu malaika akasema bado kitambo kidogo mpaka hesabu ya wajoli wa Mungu itakapotimia watakapo uawa sawasawa na wao. wokovu lazima kuulinda mpaka mwisho. Mbarikiwa wewe nikioo kwa jamii ya sasa, pia isaya53:5-

  • @titonsimbazi5532
    @titonsimbazi5532 Год назад +5

    MUNGU ni mkuu MUNGU ndo mwenye mamlaka ya mwisho. Mungu yu pamoja nawe. Watashuudia mapigo ya MUNGU hawatakuja waamini watabaki wamekodoa macho.

  • @selemsigala4771
    @selemsigala4771 Год назад +1

    Mungu akushindie mtumishi naamini haki aifi inaishi na ikilazimishwa ife amani utoweka.

  • @user-pb8pk3eb2w
    @user-pb8pk3eb2w Год назад +1

    Amina baba mungu akutetee

  • @sifawayesu7079
    @sifawayesu7079 Год назад +4

    Heri mtu atakaeteswa na kuonewa hata kuuwawa apate kupumzika baada ya taabu zake.

  • @mashannapapaaa9582
    @mashannapapaaa9582 Год назад +1

    Hongelasana mutumishi mungu atakupigania tunakufatiliasana pamoja namabo unayofanyiwa

  • @frenkfarm1139
    @frenkfarm1139 Год назад +1

    mungu ingilia kati kiukweli juuu yawatu hawa niaibu sana sana kukaliwa nawaovu nawanafanya chochote wanachotaka baba mbalikiwa endelea kutuvusha katika nyakati hizi japo mungu kama vile haoni ila nahakika mungu ataona

  • @NellyIsack-lk4gz
    @NellyIsack-lk4gz 10 месяцев назад

    Tumika bb hata yesu hakufanya kosa lolote lkn aliteswa kwa ajili yetu ss wenye dhambi mungu anamakusudi na maisha yako endelea kumtumikia mungu nahuko gerezani kuna viumbe wahitaji lnjili bb yangu achana na mawkala wa shetani nisawa na kumpiga chura wanakusogeza ikulu ya mbinguni ushuzunike

  • @annetvuseletse4509
    @annetvuseletse4509 Год назад +2

    Mungu achelewi wala kukawia atakuja kwa wakati wake

  • @majaliwakibwama9634
    @majaliwakibwama9634 Год назад +2

    Mimi ni mkristo nisienda kanisani ila I will protect you,
    MUNGU baba ulie mbinguni naomba uokoe nchi yangu, nchi inaongozwa na mashetani

  • @frenkfarm
    @frenkfarm Год назад

    asila ya mungu itawaka juuuu ya watu wake ila matumaini yangu kabisa mungu kakuchangua we uwe shujaaaa wetu baba mbalikiwa endelea kutupingania maan paka kufikia hatua iyo si jambo ndogo mi naamini nimungu e shujaaaa endelea kusonga mbelee 💪

  • @yamungumbarikiwamwakipesil401
    @yamungumbarikiwamwakipesil401 Год назад +2

    Huwa nafikilia sana viongozi tuliowaajili sisi wamepata nafasi nakutugeuka maana tulitarajia watendao haki na kutokuleta hasara kwa jamii na taifa Zima, nimejiulza Sana KUPITIA wanavyomhangaisha mtumishi wa Mungu atendae haki na kusaidia maerufu ya watu wakaacha kuwalaza watu tongo macho(wizi) na namna mbalimbali Ila humtesa pasipo kuthamini kazi anayoifanya kusaidia serikali na jamii, ndo huwa nafika hapo nakujiulza HIVI kweli hawa ni viongozi tuliowaajili au ?? Napokuta nimehisika kuwachagua ndo hata hamu ya kuishi huisha kabisa na huwa nawazaga kufanya ibada zenye uwezo wa kulipa kisasi Kama wakili wa Mungu, ni vyema Sana ukajua avaaye Kwenda vitani asijisifu Kama avuaye akitoka vitani, (1 wafalme 20:11

  • @anosiata8242
    @anosiata8242 Год назад +1

    Pole sana mtumishi wa mungu

  • @christineaimtonga9872
    @christineaimtonga9872 Год назад

    Mtu wa mungu mungu atawaubuwa wote

  • @farajapeasonmagota8226
    @farajapeasonmagota8226 Год назад +1

    Mungu akutangulie kwenye magumu haya IPO siku Mungu atafanya jambo kubwa zidi ya wabaya

  • @joycenicodemus.2232
    @joycenicodemus.2232 Год назад +1

    Sauti yamtu aliaye nyikani mtumisi wamungu usiogope mungu Yuko Pamoja nawe🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼

  • @moseskilangi4989
    @moseskilangi4989 Год назад +3

    Very sad😢😢😢

  • @user-rp3oc8wh7k
    @user-rp3oc8wh7k Год назад

    😢😢😢😢😢😢 jamani mungu utusaidie🎉🎉

  • @user-go6ht5vv8r
    @user-go6ht5vv8r Год назад +3

    Mungu wetu ni mkuu sana sana

  • @isayaamulike
    @isayaamulike Год назад +2

    Freedom is coming😢😢😢

  • @GeraldYamoya-hx3wc
    @GeraldYamoya-hx3wc 11 месяцев назад

    Pole sana

  • @belinamwambeleko370
    @belinamwambeleko370 Год назад +1

    Mungu akutie nguvu baba

  • @molineadema4872
    @molineadema4872 Год назад +1

    Chuma kweli kweli endelea kupiga mwendo mtumishi wa Mungu

  • @chrithicksambo2287
    @chrithicksambo2287 Год назад +1

    Hivi ni kwann wanasiasa hawamjuhi Mungu na Wala hawana hofu ya Mungu.

    • @HabilyTech
      @HabilyTech Год назад

      Dhamiri zao zilisha kufa ni wana wa majoka

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 Год назад +3

    Kwenye CORONA Huyu Baba Alitutetea sana Wa Africa japo Serikali Ilikubali Kutuuza kwa Wazungu kwa Chanjo zilizo jaa hila na uozo..sasa Naona Mnamfinya ili Asitutetee

  • @anafikamugisha8834
    @anafikamugisha8834 Год назад +1

    Hadi roho inaniuma pole sana MTUMISHI wa mwokozi

  • @barakahhawu2324
    @barakahhawu2324 Год назад +2

    Sitaki hata kuona mbarikiwa akilia ivi ,wanadamu ninyi wabaya sana 😢😢😢😢😢

  • @neemarabani
    @neemarabani Год назад +1

    Mungu Yuko nawe songa mbele Mutumishi wa Mungu. Mungu ni Mungu hata Kama hatajibu Kama tulivyo omba

  • @christopherkanyalakc8941
    @christopherkanyalakc8941 Год назад +1

    God with you

  • @chrizostomangelo8140
    @chrizostomangelo8140 Год назад +1

    dar aiseee hakika nimejisikia vby sana ila wapambanaji tuko pamoja nawewe Mtumishi.

  • @emmanuelkanyela275
    @emmanuelkanyela275 Год назад +2

    Huyu jamaa mtumishi aliimba nyimbo moja kuhusu JPM kwamba umejitoa kwa taifa hili lkn watu watakuuwa wapenda hila

  • @user-ng8fx4hc8x
    @user-ng8fx4hc8x 11 месяцев назад

    Hakika itengenezeni njia ya bwana yanyoosheni mapito❤ yake

  • @aristidesvedasto7855
    @aristidesvedasto7855 Год назад +1

    Wambie baba nakukubali sana

  • @nicolaskalunde
    @nicolaskalunde Год назад

    Mungu atakuwa upande wako mtumishi wa Mungu tunakuombea.

  • @mch.deosinkala3120
    @mch.deosinkala3120 Год назад +1

    Umeeleweka Baba Mbarikiwa....Bwana atakuthibitisha tuuu na hautakufa

  • @ugalidona-cs2yn
    @ugalidona-cs2yn Год назад +1

    HUWEZI SHINDANA NA NGUVU ZA MUNGU NA MKONO WA MUNGU MWENYE NGUVU NA UKABAKI SALAMA,AMINA.
    HAKI Na Itaendelea kuhubiriwa katika kutènda wema na mema Tu.
    NYEUPE ITABAKI KUWA NYEUPE NA ITAEÑDELEAGA TU KUWA NYEUPU TU SIKU ZOTE.
    NA
    NYEKUNDU ITABAKI KUWA NYEKUNDU NA ITAENDELEAGA TU KUWA NYEKUNDU TU SIKU ZOTE.
    LEO Mtamkataa MUNGU Anaehubiriwa kila Siku kuwa watu Tujifunzè na kujiibidiisha katika HAKI YOTE ya kutenda MEMA TU Siku zote za maisha yetu ya hapa Duniani .
    ILA TUKUMBUKE MOJA TU,PAMOJA NA JEURI ZETU JEURI ZETU TUNAZOJIDANGANYA NAZO; TUTAKUFA TU SOTE,HAKUNA AMBAE HATAKUFA.
    NA NDO ITAJULIKANA NA KUJULIKANA TENA NA TENA KATI YA WEMA NA UOVU NI KIPI BORA?.!..
    MUOVU NA MPENDA MAOVU; Wanatakiwa/Anatakiwa kumuogopa Na kumueshimu Anaejiibidiisha katika HAKI Na WEMA Tu Siku Zote Za maisha Yake.
    UOVU Nà MÀOVU ni lazimà Uendelee kukemewa kwa NGUVU zote na huko nďo kumtangaza MUNGU Alie Juu ya vyote Amina.
    Mwenye HÀKI Atàendelee KUEPO kwa MKONO WA MUNGU TU, Na si Vinginevyo,Amina.
    MUNGU Ndo mwenye Mamlaka Źote za Duniani Na Mbinguni,Amina.
    Hii Dunia Ni ya MUNGU na sote ni wa MUNGU hakuna haja ya kuanźa kutishiana Jinsi ya kuishi hapà Duniani, kwakuwa wote ni wa MUNGU,Amina.
    Na
    Kilà mmoja wetu Anaishi hapa Duniani kwa mpango wa MUNGU.
    Na
    Kama kuna mtu awaye Yeyotè Anaèsema FLANI/JAMII FLANI/KUN FLANI, Wanaishi kwa kuwa mimi ndo Naamua waishi au Nimeamua waishi Na Ajitokeze ili Ahiambii Dunia, ili MBINGU Na ARDHI VIJUE.
    MUNGU YUPO JUU YA VYOTE, Amina.

  • @ezekielmatondane714
    @ezekielmatondane714 Год назад +5

    Serekali ni wauwaji asilima m%100

  • @sayunimkongwa9830
    @sayunimkongwa9830 Год назад +2

    Wenye haki watawalapo watu hufurahia na Waovu watawalapo watu huugua.

  • @tihobestltd8582
    @tihobestltd8582 Год назад +2

    Mtumwa wa Bwana, achana na kundelea kufuatilia usajiri wa kanisa hapa duniani Usajiri huo haupeleki Mbinguni. Bali pambana kusajiriwa Mbinguni Endelea kuvipiga vita vizuri kwa wema. Dunia inachosha sana:

    • @agnesbutale5358
      @agnesbutale5358 Год назад

      Sasaiv shida sio usajiri Ndugu yangu Kuna kitu kingine tofati kabisa na usajiri.

    • @israelkisaila8401
      @israelkisaila8401 Год назад +1

      ​@@agnesbutale5358sasa hivi ni nini jamani,wamwache huyu baba

    • @JonesKagisa
      @JonesKagisa Год назад

      Nyinyi munayemsumbu mbarikiwa niwaulize mungu baba alituumba Ili tufanye Nini je si kumwabudu unawezaje kumuzuia mtu asihabudu aliyetuumba wakati wewe unajiita mkiristo au mwisramu? Nyinyi tuliowaweka kwenye usajili makanisa kazi yenu ni kuelekeza taratibu Wala hamuna mamlaka kumuzuia mtu asihabudu kufanya hivyo ni kushindana muumba nashauri mahakama kutenda haki Kwa huyu mchungaji Kwani nimwenye haki na mungu baba anapenda watu kama Hawa yeye ndiye chanzo Cha haki naomba busara zitumike kumaliza jambo hili kama ambavyo busara imekuwa ikitumika kumaliza mambo mengine

  • @user-im9my8wk2d
    @user-im9my8wk2d Год назад +2

    Mungu akuepushie mashetani aya

  • @user-gr9wc7bc2m
    @user-gr9wc7bc2m Год назад +3

    Watanzania nchi yetu isije ingaingizwa pambaya naona watu wana hasira kila mahali

  • @remigiushaule3302
    @remigiushaule3302 Год назад

    Mmm hii sasa tuendako kuna giza TUMUOMBE MAMA WA YESU KRISTO BIKIRA MARIA Atuombee amani.Yeye ndiye amekabidhiwa Tanzania Mama bikira MARIA Utuombee amani.

  • @methodiutou7278
    @methodiutou7278 Год назад +2

    Siku za mwisho zinakaribia! Ole wao wasimamao katika njia isiyo ya haki!

  • @mestonisimzosha203
    @mestonisimzosha203 Год назад +14

    RAISI SAMIA Wala haoni haya Mauwaji yeye yuko Bize KUSAINI Mikataba Ya KUUZA Mali za TANGANYIKA..Hakika LAANA haita waacha..😢😢😢😢

    • @makamekhamis871
      @makamekhamis871 Год назад

      Chuki tu. Mavi weee.

    • @mestonisimzosha203
      @mestonisimzosha203 Год назад +1

      @@makamekhamis871 Watu wa TANGANYIKA Mnawauwa na Mali zao Mnawapa waarabu sawa twende mbele.hayo Mavi Yatajulikana tu,Maana tumeishakuwa Yatima tangu Raisi MAGUFURI Mtanganyika Mtetezi wa wanyonge .Afe

    • @Hapomwanzo
      @Hapomwanzo Год назад +1

      Nadhani huyu atakuwa ndo bossi wa yote yanayoendelea, kwasababu kama sivyo, angeingilia kati.

    • @BabaBalingasi-hp6gd
      @BabaBalingasi-hp6gd Год назад

      @@makamekhamis871 manyoko zako. Peleka ushoga Zanzibar

  • @ruthysarakikya1813
    @ruthysarakikya1813 Год назад +6

    Hakika jasho la Mtumishi wa Mungu huyu litakuwa laana kwenye nchi hii endapo hamtaacha kumtesa kwa ajili ya Haki yake, Yeyote aliyehusika na kumtesa Mtumishi huyu jaman chondechonde awe makini na kizazi chake#Paulo anasema hamuwezi kupiga teke mchokoo.🙏🙏🙏.

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Год назад +1

    Kweli wenijajusi wambinguni

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 Год назад

    God will be with na utashinda 🙏🙏🙏

  • @user-jc8el6je5e
    @user-jc8el6je5e 11 месяцев назад

    selikali bana shida sana .mnatangaza amani uku meficha MAPANGA....

  • @clemenceparokola
    @clemenceparokola Год назад +1

    Mbarikiwa Mungu Yuko pamoja na wewe kamwe hatakuacha

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Год назад +1

    Enyi serikali Mungu hafananishwi na cheo Wala pesa ole ole ole ole asema bwana

  • @ryobajohnes6400
    @ryobajohnes6400 8 месяцев назад

    Mungu akuonekanie na akufute machozi tutazidi kukuombea

  • @danielmwandenga5369
    @danielmwandenga5369 Год назад +1

    Mtumishiiiii duuuu

  • @user-or8ow5vr7m
    @user-or8ow5vr7m Год назад

    Amina baba

  • @ChristopherShaban
    @ChristopherShaban 11 месяцев назад

    Amen

  • @IbrahimuJaphet-hx2ns
    @IbrahimuJaphet-hx2ns Год назад

    😭😭😭😭😭😭😭 hayo machozi yatalipwa baba 😭😭😭😭