nakumbuka kauli ya mwamposa jambo usilo lijua ni sawa na usiku wa giza watumishi tukar tujifunze kila mtu na neema yake mwamposa for lifee baba yule nampenda ❤❤❤❤❤❤
We una gubu acha watu wahudumiwe kama umeshindwa wewe ulie na nguvu za mungu umechanganyikiwa wivu utakuua iko siku utaomba msamaha kwa mwamposa unamsema wala hakujibu una mwandama tu na wala mpango hajamsema mwamposa uongo na wivu bt😢; unakusumbua na bila kutaja hoteli yake huna raha sasa ana mabodaboda sema sana ufungwe maisha..
MPWAPWA-DODOMA MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU MPWAPWA-DODOMA: Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa. Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka. Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita. Serikali ya kijiji yaomba msaada wa watumish wa Mungu kumsaidia kwa maombi mtoto huyu. Mkoi Tv online Ilifunga safari toka kati kati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full. Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻 Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +255713575718 🙏🏻 MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU ruclips.net/video/r3gsfk3zbDQ/видео.html
Apo makamu wa raisi kaongea vizuri na karuhusu viongozi wa dini kukemea haya yanayojitokeza sasa mbarikiwa wewe nyoosha mapito ya bwana kisawasawa maana wengine ni wachungaji hewa waogopa sana binafsi mwakipesile nakupenda sana mtumishi wa mungu
Petro alikesha usiku kucha hakupata kitu, Yesu alipowaambia wakashushe nyavu .. muujiza ukatokea. Mwamposa hasemi watu wasifanye kazi.. Hata ukisikiliza shuhuda kila mtu anaitaja kazi yake..baraka zinakuja kwenye kazi na kazi bila muujiza wa Mungu yaani mkono wa Mungu utakesha kama walivyokesha akina Petro. Kazi na sala "ORA ET LABORA". Na Mungu kasema atabariki kazi za mikono yetu.
Maiti inanuka ikiwa si yako, kichaa anachekesha Sana akiwa si wako. Ww hujui matatizo yanayowakabili watu. Usidanganye watu kuwa mwamposa huwapanga watu huo ni uongo. Wapi mwamposa anauza udongo? Mbona hata ww mwenyewe unamfuatilia mwamposa? Kwani ww mwenyewe hupokei sadaka? Je huo sio wizi? Na hakuna mtu anatumia hayo maji au mafuta hafanyi kazi. Mm mwenyewe binafsi nimetendewa muujiza. Ww fuata Iman yako usisemee Imani ya mtu mwingine.
Pole Mpeleke mke wako Kwa Mwamposa aombewe apate mzao mwingine maana wewe ni kama umeshindwa kuomba! Muujiza ni halisi,mwache anayeamini aendelee,usimvunje moyo!!
Mungu atudaidie iv Mchungaji wewe utatuhubiria lini tulizoea kuwaona wahubiri wa nje tu ila nikushauri Fanya zaidi mahubiri kuliko kufuatilia mambo ya Mwamposa Sasa kosa la mwamposa Sasa liko wapi na kipato ,iv kwani mtu akipata gunia 150 Kwa heka 20 kunakosa gani
Mbona sikuelewi Mtumishi acha kwenda kimwili nenda kiroho Eti ni nani anahakiki mtu wa serekali ivi vitu ni vya kupangwa? Wewe unamaanagani? Kama watu wa Serekali ni watakatifu wahakiki lakini kama hawajakamilika wasijaribu ( Yesu Alisema NURU na giza havichangamani) Mtumishi Roho wa Mungu akuongoze vya kusema❤❤❤
Kwa NINI asipatikane mtu au watu kuyahakiki haya wahubiri wanayoyasema? Serikali haiwezi kuchunguza mambo madogo kama haya ya imani? Kama Kuna danganya toto,na ninyi mmeshabaini mambo haya kwa nn msifanye uchunguzi mapema. Kazi ya Serikali ni kuangalia usalama na maendeleo ya raia mmojammoja. Lakini pia kupingapinga kila kitu,ni kuupinga uweza wa MUNGU ambao haupimiki. Yapo mambo MUNGU anaweza kuyafanya BILA mipaka na hayachunguziki. Kama mna mashaka na wahubiri Hawa --- wachnguzeni kikamilifu na mkishapata majibu ndipo muijulishe jamii Yale yaliyo jificha nyumba ya akina Mwamposa na wenzake. Kumtoa mtu kwenye IMANI ni kazi nzito sana.
mimi ushuhuda wa mwamposa nimeuona live wala sikupangwa mwamposa amenyoka sana sioni anachokosea neno analifundisha kwa kueleweka na hana mda wa kubishana na watu wala kuwajibu ndo ninachompendea mwamposa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@@Leeeeeeee-96 yani ndugu yangu amemnyangania huyo mwamposa kila siku Mimi mwenyew ni ushuhuda Tosha niko mwanza lakin kuna kipindi niliumwa sana hata kutembea ikawa shida na mimi nilikuwa siamini kabisa watumishi hospitali sikuwa na ugonjwa mwamposa nilienda dar nikaombewa na sasa milishapona natembea umbali ninaotaka pia nimekuwa kiroho Sasa ukiona mtumishi anamshambulia mwenzie kila siku ujue hapo kuna shida Maana mbinguni kila mtu ataulizwa kivyake sasa ya mwenzio wew yanakusumbulia nini mpk ukose raha namna hiyo Mtumishi angalie uenda anauchungu moyoni mwake kwasababu ya matatizo aliokumbana nayo kwa hiy adui anatumia mwanya huo kumtumia kuchambulia wenzie Maana watu wenye uchungu huwa wanataka wawaumize na wenzao Aachane na watu arudi tu kwa Mungu atapona huo uchungu Kuattack wengine hakuwez msaidia
Unauchungu ndani kwasababu unaenda kwa akili na maandiko huruhusu Roho mmtaakatifu akuongoze. Mimi ni mkristo, sisali kwa mwamposa ila, ukristo wako unataka kufanya kama mataifa yanayoishi kwa sharia. Ishu siyo kukemea makosa, ni lazima upate nguvu za Roho mtakatifu kutenda unayoyatenda.
Mbarikiwa inaonesha hujawahi kulima ndio maana huoni shida mwamposa hua anakemea. Sana dhambi ila kama mnatofauti tusifuatiliane sie Kwa sie bali tutiane moyo Kila mtu Mungu kampa kalama yake wewe ninavokuona umepewa kalama ya mahubiri lakini mwamposa kapewa uponyaji mtie moyo Bali usiongeze neno
Mi sijui wakristo waliowengi sijui wana ufahamu wa namna gani mimi nadhani wanafana na Wale wakristo wa Galatia ambao Paulo mtume aliwaambia awana hawana akili na ninani aliyewaroga, binafsi nawachukulia wakristo wa namna pia nisawa na Wale ambao Paulo mtume aliwataja kwenye walaka wake kwa Tito kwamba kuna watu wanao kili kumjua Bwana lakini uku wakikana nguvu zake
Hata kwa kiboko ya wachawi ulisema, chawa wake hawakuona chochote maana walikuwa wamepigwa upofu! Sasa hivi ndo wameelewa baada ya kiboko huyo kuanza kututukana Watanzania baada ya kututapeli!
Mtmish wamungu,hubiri injili yamungu acha kuhubili umbea utaharibu injili ,hukumu muachie Mungu,iliiwe na AMANI,tafuteni kuwa na AMANI nawatu wote ndipo?
Hyo mpango ni mtu kama wewtu! Kwani aakisema yey ww ndio unaamin ndvyo iko hvyo? Mwamin mungu si kuangalia mpango kasema nini au mtumishi frani kili iman yko. Sio kutafut kik,,
Mbarikiwa, una shida Gani na shuhuda za watu? Hivi kweli serikali ianze kuthibitisha shuhuda kwenye makanisa yetu? Waongo wapo na wataendelea kuwepo. Ila fahamu kwamba Mungu anaweza kufanya lolote.
Serikali ina wajibu wa kulinda raia wake na mali zao. Ni wajibu wao kuwafuatilia na kuwabaini wanaojipatia mali kwa njia ya udanganyifu na ulaghai hata kama wanatumia mwamvuli wa dini.
Serikali asante kuliona hili. Watu wengi wameingia kwenye mtego wa kusubiri miujiza ya kupata mafanikio bila kufanya juhudi za kuyapata mafaniko. Kama ukifuatilia vizuri utagundua kwamba baadhi ya wachungaji na manabii wanasababisha umasikini wananchi kwa kuwaaminisha miujiza itawatoa kiuchumi. Hongera sana Serikali lakini sasa umefika wakati Serikali itoe mwongozo kwa makanisa ili wananchi wajue wanahitaji kutumia juhudi na maarifa kujiletea maendeleo. Kwa jumla Serikali imechelewa kwa hili. Vinginevyo umasikini utaendelea kuwang'ang'ania katika nchi hii.
Nalikuambia nalisema nawe brother na Bado naendelea kusema Tena nawe Wala sitachoka kusema nawe mpaka yakuelee MUNGU AMEWAWEKA WOTE MIKONONI MWAKO. WAELEKEZE NA WAFUNDUSHE MPAKA WAELEWE
Nilikua nakuamini lakn nimeanza kukuvua vyeo unaitaka serekali kuingilia kwani serekali ndio imekamilika ndiyo inapaswa kusimamia kazi ya Mungu??? Kwani anayetakiwa kukemea au kuhukumu ni Mungu au ni mwanadamu???😢😢 Itawezekanaje kumpa kocha wa yanga kindaki kuifunza simba watumishi Acheni kwenda kidunia kuliko kwenda Kiroho 😢😢😢
Sasa mbona hatukuelewi mbarikiwa? Mana na wewe ni mchungaji, kipi ni kipi hapa? Unalalamika? Au unakosoa wachungaji wenzako? Au unahubiri na injili? Unachanganya sana!🙌🏻
@@HelbethMlelwaEbu tuambie Injili ni nin!? hivi unadhani Injili ya ujio wapili wa Yesu ni kufokeana na kutoana hakili!!?mwambie babayako atueleze Ujio wapili wa Yesu unakuwaje mda ushafika,WA Injili ya Utimilifu,watu wajue mafumbo wajue unabii wa cku za mwisho,watu wajue kwanini Uliletwa Ufunuo na akapewa mtumwa mwaminifu,Yeye ashindae ni nani!?baba yako atuambie shamba ninin!? ghala ninin kiliba, chachu divai kinara,Bwana ana macho saba ninin!? hema ya Musa inamaana gani katika ujio wa pili wa Kristo,SIO KUWATOA WENZIE MAKOSA WAKATI YEYE AFANYI MAPENZI YA MUNGU,WATU WANATAKA KUJUA MIFANO YA UFALME WA MBINGUNI KIROHO INAAMANA GANI!??BASI ATUAMBIE HATA UFUNUO 14,INA MAANA GANI!?(WENZIE WALITOA PEPO WAKAPONYA WAGONJWA KWA JINA LA YESU LKN YESU HAKUWATAMBUA SIO KWAMBA WALIKUWA FREEMASONI HAPANA SHIDA HAWAKUFANYA MAPENZI YAKE MUNGU KWA WAKATI,SASA YEYE KUWAFOKEA WATU NA KUWAONA MATAPELI NDIO MAPENZI YA MUNGU KWELI HAYO!??? HEBU TUAMBIE BASI KAMA NDIO MAPENZI YA MUNGU WEWE ULIYE KARIBU YAKE)
Punguza hasira Kaa chini ufundishwe kaka, ujue ujio wa kwanza wa Yesu na ujio wa pili wa Yesu,pia ujue kwanini Yesu alimtuma mtumwa mwaminifu katika ufunuo,pia ujue mafumbo na mifano,ujue kila Neno lililotumika kiroho,mfano kiliba,bakuli,chachu,shamba,vitu ving sana,pia ujue Nuru ninin! na giza ninin!? pia ujue unakula wapi kwenye mti wa uzima au wa ujuzi wa mema na mabaya,ujue kwanini babayako nae nimchungaji wa Uongo japo yupo mstari wa mbele kukemea matendo mabaya na hauzi mafuta wala maji,! pia ujue kwanini wenzie walifika kiwango chakutumia Jina la Yesu nakupata matokeo lkn Yesu aliwaona waovu,kwanini ule mtini ulilaniwa,ukae ujue kwanini yule kijana alimfuata Yesu alitimiza sheria zote lkn halishindwa kuuza mali zake amfuate Yesu Kiroho,sio kimwili(Bibilia imejaa siri za ufalme wa mbinguni ukiipeleka kimwili ndio unakuta unampambania Yesu kamavile Petro alivyomkata mtu Sikio,wakati tayri alishaambiwa yatakayotokea,vyote hivyo kiroho vinamaana kaa chini upewe mafundisho,HII SIO VITA YA DAMU NA NYAMA UKAE UHELEWE INA MAANA GANI!?? au mwambie baba yako akupe ufafanuzi wa Ufunuo 14.uje utuelekeze na sisi tuelewe.Asante.
Huwa nakuelewa Ndugu; Ila kwa hili umechemka. MWAMPOSA hajawaambia watu waache kazi, na katika kazi vikwazo vya kichawi vipo na hayo yanawezekana. Nikuulize mjane wa Sarepta aliambiwa asilime???
Mwaposa anahekima sana unamusema sana mwaposa lakini mwaposa hata hakujibu huoni aibu mwezako yuko bize kuhubiri neno la mungu wewe mbarikiwa hubiri neno la mungu wacha kumusema mwaposa mwaposa anatanzaga ejiri watu wafunguliwe wewe unapiga kelele mtandao vivu nimubaya sana mwaposa acha ahubiri neno mungu wewe endelea kuongea tu kwanza niaibu kubwa sana kukaa mdandaoni kumusema mtumishi wa mungu mwezako kweli badirika
Huna mda wa kuomba vya kutosha unafikiri utakutana na Mungu kirasi.unakosea sana kuita kzi za Mungu kuwa ni lamri chonganishi huko ni kukufuru utendaji kazi wa Roho mtakatifu
Kwahiyo unataka kuniambia machuma ulete hayupo wew mnyakyusa wawapi au huko mbeya hulimagi sisi ndo tunajua kwahiyo wew ndoumetumwa na mungu kuja kukosoa watumishi wew huna mapungufu umekuwa yesu wew
Ni injili ipi njema unayobiri au ni fitna na hila imejaa moyo mwako jitathimini sana kabla ya kuongea mtandaoni. Mwisho. Wa siku usije jikuta ukawa mwana wa jehanamu kwa kukufuru kazi za Mungu juu ya watumishi wangine
Nikija mbeya naomba nije nifanye ibada kwenye hili kanisa la mungu wa haki, pongezi sana kwako baba mbarikwa mwakipesile mungu azidi kukupa maarifa utukufu na utakaso ameeen
Kunashuhud flani ulituambia ulienda mbinguni wakakurudisha uje kukamilisha kazi ya mungu, tukuchunguze vipi, au serikali itajuaje kama kweli umetumwa na mungu? Angalia usije potosha watu.
Mwaposa nimutumishi wa mungu wa kweli kabisa amenifungua na mambo mengi sana kunakitu kirikuwa kinanisumbua kwa muda mlefu sana niritoka arusha nirifunguriwa siku hiyo hiyo wewe mbarikiwa unavivu jamani mwaposa hatowe pesa kwa watu iri watowe ushuuda anahakiki anaye towa ushuuda mwache mwaposa amutumikiye mungu wacha vivu wewe inamaaana wewe ndo unahubiri ukweli kuriko wezako wacha makasiriko wewe wezako wako bize kuhubiri neno la mungu wewe uko mtandao kutukana na kwatarifa yako mwaposa hauzi udongo anatowa bure na tunafanikiwa kweli kweli kupitia kukomba aridhe kwani wewe kwenye kanisa lako hawatowi sadaka wewe mwenyewe sadaka unaitaka sana tu
Mpango,si kwamba kwa sababu ni mamlaka yote anayo yasema lazma tuyabakapu,ili tuweze kujua kwamba yeye ni Imani safi aluhusu dibeti ili tujue anauwezo wa kutetea point zake
nakumbuka kauli ya mwamposa jambo usilo lijua ni sawa na usiku wa giza watumishi tukar tujifunze kila mtu na neema yake mwamposa for lifee baba yule nampenda ❤❤❤❤❤❤
Mwaposa Yuko safi anatufundisha na tunamwelewa mungu
Amina baba hakika mwenye Akili tuu ndiye anayekuelewa. Hata bibilia inasema watamwambia tulifanya miujiza kwa jina lako ila Yesu atasema sijui ninyi
We una gubu acha watu wahudumiwe kama umeshindwa wewe ulie na nguvu za mungu umechanganyikiwa wivu utakuua iko siku utaomba msamaha kwa mwamposa unamsema wala hakujibu una mwandama tu na wala mpango hajamsema mwamposa uongo na wivu bt😢; unakusumbua na bila kutaja hoteli yake huna raha sasa ana mabodaboda sema sana ufungwe maisha..
Sijui anatakaga nini, mbona yeye hukosoa wenzake tu badala afundishe
Ulitaka afundishe nini
Mpe cha kufundosha
Ghubu gani ndug yangu ivi hamuoni kama mnadanganywa?
MPWAPWA-DODOMA
MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU
MPWAPWA-DODOMA:
Katika hali isiyokuwa ya kawaida na ya kushangaza wananchi wa Kijiji cha Mbori Kata ya Matomondo Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma wamekuwa kwenye mshangao na kuingiwa na hofu kubwa Baada ya kuibuka mtoto mwenye maajabu makubwa.
Mtoto huyo mwenye umri wa miaka 10 amekuwa akigeuka nyoka mkubwa, Lakini amekuwa akifariki mara kadhaa wakati wanajiandaa kwenda kuzika huzinduka.
Lakini pia amekuwa akijisaidia haja kubwa wadudu aina Panzi aina ya NZIGE, Licha ya umri wake kuwa mdogo miaka 10 Lakini ana uzito mkubwa unakadiriwa kilo 200 hali inayomfanya mama yake kila siku kuwaomba majirani kumsaidia kumbeaba tena lazima wanaombeba wazipungue wati sita.
Serikali ya kijiji yaomba msaada wa watumish wa Mungu kumsaidia kwa maombi mtoto huyu.
Mkoi Tv online Ilifunga safari toka kati kati ya Jiji la Dar es Salaam hadi Mkoani Dodoma kijiji cha Mbori kwa ajili ya kushuhudia maajabu ya mtoto huyu na hapa tunakuletea makala yote full.
Usisahau kusubscribe, Kucomment na kulike pamoja na kushare🙏🏻
Lakini pia unaweza kuwasiliana na chumba chetu cha habari kwa simu no +255713575718 🙏🏻
MTOTO ANAEGEUKA NYOKA, ANAKUNYA PANZI, ANA MIAKA 10 LAKINI ANA UZITO KILO 200, WANANCHI WAINGIA HOFU
ruclips.net/video/r3gsfk3zbDQ/видео.html
Bila kufanya kazi sio rahisi kupata maisha mazuri.. WAJINGA NDIO WALIWAOOO
He makubwa eti kimungu gan kifara mungu wangu watu tunafunguliwa kwa TV tuu mungu akusaidie
Ila ww mzee ukapimwe akili milembe huna jipya kwann una kazi ya kusema watu hubiri neno la mungu
Mwakipesile ni mchungaji wa 'mwisho ajui neno ata kidogo
Apo makamu wa raisi kaongea vizuri na karuhusu viongozi wa dini kukemea haya yanayojitokeza sasa mbarikiwa wewe nyoosha mapito ya bwana kisawasawa maana wengine ni wachungaji hewa waogopa sana binafsi mwakipesile nakupenda sana mtumishi wa mungu
Tunayaona sana TU akili zetu zilishatekwa kwa kutafuta shoti kati yamaisha unasema kweli mkuu
Petro alikesha usiku kucha hakupata kitu, Yesu alipowaambia wakashushe nyavu .. muujiza ukatokea. Mwamposa hasemi watu wasifanye kazi.. Hata ukisikiliza shuhuda kila mtu anaitaja kazi yake..baraka zinakuja kwenye kazi na kazi bila muujiza wa Mungu yaani mkono wa Mungu utakesha kama walivyokesha akina Petro. Kazi na sala "ORA ET LABORA". Na Mungu kasema atabariki kazi za mikono yetu.
Maiti inanuka ikiwa si yako, kichaa anachekesha Sana akiwa si wako. Ww hujui matatizo yanayowakabili watu. Usidanganye watu kuwa mwamposa huwapanga watu huo ni uongo. Wapi mwamposa anauza udongo? Mbona hata ww mwenyewe unamfuatilia mwamposa? Kwani ww mwenyewe hupokei sadaka? Je huo sio wizi? Na hakuna mtu anatumia hayo maji au mafuta hafanyi kazi.
Mm mwenyewe binafsi nimetendewa muujiza. Ww fuata Iman yako usisemee Imani ya mtu mwingine.
🙏🙏🙏
Sarah na Rebacca wa Abraham na Yakobo walifanya uchafu hata wakawa wagumba.
mwambie uyu baba sisi tunapata shuhuda live wala hatupangi waendelee kumponda tyu mwamposa tuko nae sako to bako mpaka mwisho amen
BINAADAMU ANAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA. AKILI FINYUU😢😢😢
Wewe ni mjinga mtumishi mwakipesile ujui chochote miujiza ni maisha ya mungu inamaana wewe ujui kama wachawi wapo wachawi wanaloga wewe ujui ayo
Hakuna mahali Yesu amesema wetu waishi kwamiujiza halipo andiko hilo
Amina baba ahsante kwa kusema kweli
Jamani watu wanaangamia naomba serikali iwafuatilie Hawa wachungaji wa uongo. Wanapotosha watu
Hubiri na wewe watu waje mmbona unahasira kuliko Mungu mwenyewe
Mwamposa kama anapoteza watu , wewe warejeshe kwa Mungu. Lakini uchungu utakupoteza. Na unakuweka mbali na Roho mtakatifu
Ubarikiwe mchungaji unaongea vema mbona nchi yote watu wanalia maisha magumu na mwamposa yupo huu niutapeli
ASANTE SANA MCHUNGAJI MBARIKIWA. MSEMA KWELI NI MPENZI WA MUNGU..
Acheni mungu afanye kazi yake msituchanganyie na siasa sisi
Pole
Mpeleke mke wako Kwa Mwamposa aombewe apate mzao mwingine maana wewe ni kama umeshindwa kuomba!
Muujiza ni halisi,mwache anayeamini aendelee,usimvunje moyo!!
Naye huyo mtoto mtaua. Hatuzai tena. Acha tumalize mwendo wenyewe watu wazima.
Aise kweli akili hautumii
@@Mbarikiwa_Mwakipesilebinafisi naona maombi yanakinzana kila nikiingia kwenye maombi nawaombea sana Mungu awape mtoto
Nyie mnatetea msiyoyajua watu tunaangamia kwa kukosa maaruf hawa watumish ni wachaw mfano hakun mnahis mnamuomva mungu kumbe mnamuomba shetan
Mungu atudaidie iv Mchungaji wewe utatuhubiria lini tulizoea kuwaona wahubiri wa nje tu ila nikushauri Fanya zaidi mahubiri kuliko kufuatilia mambo ya Mwamposa Sasa kosa la mwamposa Sasa liko wapi na kipato ,iv kwani mtu akipata gunia 150 Kwa heka 20 kunakosa gani
Mimi Nanunua chumvi 400 nauza 500 naripakodi ba azi wananunua chumvi 400 wanauza 10000 hawaripikodi je? Hiyonihaki serikali munatendahaki mungu anatuona
Kweeli kwa sasa inaonekana ni uongo na uongo kwa sasa ndo unasaportiwa na kuamini uongo.Mungu azid kikuinua.Ameeni
Miushauli wangu acha kazi ya mungu ukafanye kazi ya upiga debe stendi
Mbona sikuelewi Mtumishi acha kwenda kimwili nenda kiroho Eti ni nani anahakiki mtu wa serekali ivi vitu ni vya kupangwa? Wewe unamaanagani? Kama watu wa Serekali ni watakatifu wahakiki lakini kama hawajakamilika wasijaribu ( Yesu Alisema NURU na giza havichangamani) Mtumishi Roho wa Mungu akuongoze vya kusema❤❤❤
Endelea safari my bro I real love your songs ufalme wa Mungu utekwa na wenye nguvu
Kwa NINI asipatikane mtu au watu kuyahakiki haya wahubiri wanayoyasema? Serikali haiwezi kuchunguza mambo madogo kama haya ya imani? Kama Kuna danganya toto,na ninyi mmeshabaini mambo haya kwa nn msifanye uchunguzi mapema. Kazi ya Serikali ni kuangalia usalama na maendeleo ya raia mmojammoja. Lakini pia kupingapinga kila kitu,ni kuupinga uweza wa MUNGU ambao haupimiki. Yapo mambo MUNGU anaweza kuyafanya BILA mipaka na hayachunguziki. Kama mna mashaka na wahubiri Hawa --- wachnguzeni kikamilifu na mkishapata majibu ndipo muijulishe jamii Yale yaliyo jificha nyumba ya akina Mwamposa na wenzake. Kumtoa mtu kwenye IMANI ni kazi nzito sana.
Amina Mch. Mwakipesile upo sahihi kabisa Mungu Baba wa Bwana wetu Yesu Kristo akubariki. (Tunaangamia kwa kukosa Maarifa)
Wanaoenda kuhakiki nao wanahudumiwa ndo mana habugudhiwi. Huyo makamu naye aende atahudumiwa
Sema mtumishi ili wenye akili wapone.😅
mimi ushuhuda wa mwamposa nimeuona live wala sikupangwa mwamposa amenyoka sana sioni anachokosea neno analifundisha kwa kueleweka na hana mda wa kubishana na watu wala kuwajibu ndo ninachompendea mwamposa ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@@Leeeeeeee-96 yani ndugu yangu amemnyangania huyo mwamposa kila siku
Mimi mwenyew ni ushuhuda Tosha niko mwanza lakin kuna kipindi niliumwa sana hata kutembea ikawa shida na mimi nilikuwa siamini kabisa watumishi hospitali sikuwa na ugonjwa mwamposa nilienda dar nikaombewa na sasa milishapona natembea umbali ninaotaka pia nimekuwa kiroho
Sasa ukiona mtumishi anamshambulia mwenzie kila siku ujue hapo kuna shida
Maana mbinguni kila mtu ataulizwa kivyake sasa ya mwenzio wew yanakusumbulia nini mpk ukose raha namna hiyo
Mtumishi angalie uenda anauchungu moyoni mwake kwasababu ya matatizo aliokumbana nayo kwa hiy adui anatumia mwanya huo kumtumia kuchambulia wenzie
Maana watu wenye uchungu huwa wanataka wawaumize na wenzao
Aachane na watu arudi tu kwa Mungu atapona huo uchungu
Kuattack wengine hakuwez msaidia
Mimi kama mhubiri wa injili natamani pachangamke haraka sana
Upo sahihi uwo ni upigaji kama upigaji mwingine acha waliwe
Mbona serikali inachukua kodo kwenye kampuni za kubeti? M-Bet, Spotpesa😂😂😂
Unauchungu ndani kwasababu unaenda kwa akili na maandiko huruhusu Roho mmtaakatifu akuongoze. Mimi ni mkristo, sisali kwa mwamposa ila, ukristo wako unataka kufanya kama mataifa yanayoishi kwa sharia. Ishu siyo kukemea makosa, ni lazima upate nguvu za Roho mtakatifu kutenda unayoyatenda.
Nakuuliza watu wanaopona ni uongo kama ni uongo onesha ya kwako na ujue kila mmoja na karama yake
jamani mwacheni mwamposa aponye watu
Asee nikutoe wasiwasi mwaposa Yuko safi maana mm nimeshuhudia kwa machi
Mbarikiwa inaonesha hujawahi kulima ndio maana huoni shida mwamposa hua anakemea. Sana dhambi ila kama mnatofauti tusifuatiliane sie Kwa sie bali tutiane moyo Kila mtu Mungu kampa kalama yake wewe ninavokuona umepewa kalama ya mahubiri lakini mwamposa kapewa uponyaji mtie moyo Bali usiongeze neno
Mi sijui wakristo waliowengi sijui wana ufahamu wa namna gani mimi nadhani wanafana na Wale wakristo wa Galatia ambao Paulo mtume aliwaambia awana hawana akili na ninani aliyewaroga, binafsi nawachukulia wakristo wa namna pia nisawa na Wale ambao Paulo mtume aliwataja kwenye walaka wake kwa Tito kwamba kuna watu wanao kili kumjua Bwana lakini uku wakikana nguvu zake
Yaan we anakuuuma uyu bbm😅😅
Hata kwa kiboko ya wachawi ulisema, chawa wake hawakuona chochote maana walikuwa wamepigwa upofu!
Sasa hivi ndo wameelewa baada ya kiboko huyo kuanza kututukana Watanzania baada ya kututapeli!
Mtmish wamungu,hubiri injili yamungu acha kuhubili umbea utaharibu injili ,hukumu muachie Mungu,iliiwe na AMANI,tafuteni kuwa na AMANI nawatu wote ndipo?
Usichoke kukemee maana huo ndio wito ipo siku watakuelewa tu
Tuonyeshe shuhuda hata za watu kupona malaria kanisani kwako kama zipo
Hyo mpango ni mtu kama wewtu! Kwani aakisema yey ww ndio unaamin ndvyo iko hvyo? Mwamin mungu si kuangalia mpango kasema nini au mtumishi frani kili iman yko. Sio kutafut kik,,
Mbarikiwa, una shida Gani na shuhuda za watu? Hivi kweli serikali ianze kuthibitisha shuhuda kwenye makanisa yetu? Waongo wapo na wataendelea kuwepo. Ila fahamu kwamba Mungu anaweza kufanya lolote.
Serikali ina wajibu wa kulinda raia wake na mali zao. Ni wajibu wao kuwafuatilia na kuwabaini wanaojipatia mali kwa njia ya udanganyifu na ulaghai hata kama wanatumia mwamvuli wa dini.
Kweli huwezi pata maendeleo kwa namna hiyo😊
😂😂👉🏼🐸🐸🐸
Serikali asante kuliona hili. Watu wengi wameingia kwenye mtego wa kusubiri miujiza ya kupata mafanikio bila kufanya juhudi za kuyapata mafaniko. Kama ukifuatilia vizuri utagundua kwamba baadhi ya wachungaji na manabii wanasababisha umasikini wananchi kwa kuwaaminisha miujiza itawatoa kiuchumi.
Hongera sana Serikali lakini sasa umefika wakati Serikali itoe mwongozo kwa makanisa ili wananchi wajue wanahitaji kutumia juhudi na maarifa kujiletea maendeleo.
Kwa jumla Serikali imechelewa kwa hili. Vinginevyo umasikini utaendelea kuwang'ang'ania katika nchi hii.
Nalikuambia nalisema nawe brother na Bado naendelea kusema Tena nawe Wala sitachoka kusema nawe mpaka yakuelee
MUNGU AMEWAWEKA WOTE MIKONONI MWAKO. WAELEKEZE NA WAFUNDUSHE MPAKA WAELEWE
Baba mpango bado kuna betting (kamari)tatizo kubwa sana kwa nchi yetu
pinga injili mwamposa
We tulia mwenzio kateuliwa ni mpakwa mafuta nawe kesha ukiomba ufungukiwe acha majungu asee myeka ukanisoni gwee
Nilikua nakuamini lakn nimeanza kukuvua vyeo unaitaka serekali kuingilia kwani serekali ndio imekamilika ndiyo inapaswa kusimamia kazi ya Mungu??? Kwani anayetakiwa kukemea au kuhukumu ni Mungu au ni mwanadamu???😢😢 Itawezekanaje kumpa kocha wa yanga kindaki kuifunza simba watumishi Acheni kwenda kidunia kuliko kwenda Kiroho 😢😢😢
Daaah ii nchii ngumu sanaa Hakika 🙌📖🙌🇹🇿
Unawapiga vita walokole wenzio du ni shida hiyo hamuwezi kukaa na kushauriana
Sasa mbona hatukuelewi mbarikiwa? Mana na wewe ni mchungaji, kipi ni kipi hapa? Unalalamika? Au unakosoa wachungaji wenzako? Au unahubiri na injili? Unachanganya sana!🙌🏻
Hao akina Mwamposa unawaita wachungaji wakati hawajawahi hata kuokoka?? Acha kudhalilisha hadhi ya mchungaji.
@@HelbethMlelwaEbu tuambie Injili ni nin!? hivi unadhani Injili ya ujio wapili wa Yesu ni kufokeana na kutoana hakili!!?mwambie babayako atueleze Ujio wapili wa Yesu unakuwaje mda ushafika,WA Injili ya Utimilifu,watu wajue mafumbo wajue unabii wa cku za mwisho,watu wajue kwanini Uliletwa Ufunuo na akapewa mtumwa mwaminifu,Yeye ashindae ni nani!?baba yako atuambie shamba ninin!? ghala ninin kiliba, chachu divai kinara,Bwana ana macho saba ninin!? hema ya Musa inamaana gani katika ujio wa pili wa Kristo,SIO KUWATOA WENZIE MAKOSA WAKATI YEYE AFANYI MAPENZI YA MUNGU,WATU WANATAKA KUJUA MIFANO YA UFALME WA MBINGUNI KIROHO INAAMANA GANI!??BASI ATUAMBIE HATA UFUNUO 14,INA MAANA GANI!?(WENZIE WALITOA PEPO WAKAPONYA WAGONJWA KWA JINA LA YESU LKN YESU HAKUWATAMBUA SIO KWAMBA WALIKUWA FREEMASONI HAPANA SHIDA HAWAKUFANYA MAPENZI YAKE MUNGU KWA WAKATI,SASA YEYE KUWAFOKEA WATU NA KUWAONA MATAPELI NDIO MAPENZI YA MUNGU KWELI HAYO!??? HEBU TUAMBIE BASI KAMA NDIO MAPENZI YA MUNGU WEWE ULIYE KARIBU YAKE)
Kama huelewi utakuwa na roho ya ukengeufu
Wewe akili huna jina baya
Punguza hasira Kaa chini ufundishwe kaka, ujue ujio wa kwanza wa Yesu na ujio wa pili wa Yesu,pia ujue kwanini Yesu alimtuma mtumwa mwaminifu katika ufunuo,pia ujue mafumbo na mifano,ujue kila Neno lililotumika kiroho,mfano kiliba,bakuli,chachu,shamba,vitu ving sana,pia ujue Nuru ninin! na giza ninin!? pia ujue unakula wapi kwenye mti wa uzima au wa ujuzi wa mema na mabaya,ujue kwanini babayako nae nimchungaji wa Uongo japo yupo mstari wa mbele kukemea matendo mabaya na hauzi mafuta wala maji,! pia ujue kwanini wenzie walifika kiwango chakutumia Jina la Yesu nakupata matokeo lkn Yesu aliwaona waovu,kwanini ule mtini ulilaniwa,ukae ujue kwanini yule kijana alimfuata Yesu alitimiza sheria zote lkn halishindwa kuuza mali zake amfuate Yesu Kiroho,sio kimwili(Bibilia imejaa siri za ufalme wa mbinguni ukiipeleka kimwili ndio unakuta unampambania Yesu kamavile Petro alivyomkata mtu Sikio,wakati tayri alishaambiwa yatakayotokea,vyote hivyo kiroho vinamaana kaa chini upewe mafundisho,HII SIO VITA YA DAMU NA NYAMA UKAE UHELEWE INA MAANA GANI!?? au mwambie baba yako akupe ufafanuzi wa Ufunuo 14.uje utuelekeze na sisi tuelewe.Asante.
Huwa nakuelewa Ndugu; Ila kwa hili umechemka. MWAMPOSA hajawaambia watu waache kazi, na katika kazi vikwazo vya kichawi vipo na hayo yanawezekana. Nikuulize mjane wa Sarepta aliambiwa asilime???
kwaenda zako kaombe mtaji
Ifate haki ww wakufate wenye haki wenzio
Amina mtu wa mungu
Amen Amina Amina
Amina baba
❤❤❤❤❤❤
Ameeen
Bro ukapimwe akili uanze kutumia dawa za wagonjwa
Tena nyongeza aliyosahau ni betting au huko serikali inapata maokoto?
Na huko ni kwamba watu wanategemea miujiza
Mwaposa anahekima sana unamusema sana mwaposa lakini mwaposa hata hakujibu huoni aibu mwezako yuko bize kuhubiri neno la mungu wewe mbarikiwa hubiri neno la mungu wacha kumusema mwaposa mwaposa anatanzaga ejiri watu wafunguliwe wewe unapiga kelele mtandao vivu nimubaya sana mwaposa acha ahubiri neno mungu wewe endelea kuongea tu kwanza niaibu kubwa sana kukaa mdandaoni kumusema mtumishi wa mungu mwezako kweli badirika
Amina Mtumishi.
God works in mysterious ways, so when he starts
Hela ya manabii ni tamu sana hainaga kodi yoyote na ni fedha ndefu saaaaaana😊😊😊😊
MTUMISHI HUNA HOJA NA UMEPOTEA NJIA
Uko sahihi mtumishi wa Mungu
Huna mda wa kuomba vya kutosha unafikiri utakutana na Mungu kirasi.unakosea sana kuita kzi za Mungu kuwa ni lamri chonganishi huko ni kukufuru utendaji kazi wa Roho mtakatifu
Akiliyako mbovu
Kemea pia na wakuhani musa ni muongo mkubwa anatakatenganisha familia za watu kabisa
Balikiwa sana mwana wa Mungu
Mmoja analima heka 10 hivi utasema huyu ni mvivu?
Walokole wanaliharibu kanisa la Mungu...watu wanaibiwa kwa miujiza fake...
Ww acha kuhukumu nidhambi 11:31 11:34
Unatatizo la kuifahamu kweli ya Mungu nusu ambayo inamadhara makubwa kuliko uongo mkamilifu
Kwahiyo unataka kuniambia machuma ulete hayupo wew mnyakyusa wawapi au huko mbeya hulimagi sisi ndo tunajua kwahiyo wew ndoumetumwa na mungu kuja kukosoa watumishi wew huna mapungufu umekuwa yesu wew
Mafarisayo yanajifanyaga yako sawa tangu zamani
💔😭😭
❤Amen
Ni injili ipi njema unayobiri au ni fitna na hila imejaa moyo mwako jitathimini sana kabla ya kuongea mtandaoni. Mwisho. Wa siku usije jikuta ukawa mwana wa jehanamu kwa kukufuru kazi za Mungu juu ya watumishi wangine
Mmmm mwenye ufaham tu ndiye anakwelewa
Mwache mwamposa wetu, afu wewe acha kufuatilia watumishi wa mungu piga injili, au kama ni siasa naenda uwanjani
Nikija mbeya naomba nije nifanye ibada kwenye hili kanisa la mungu wa haki, pongezi sana kwako baba mbarikwa mwakipesile mungu azidi kukupa maarifa utukufu na utakaso ameeen
Umeongea sawa kanisa la haki
Kunashuhud flani ulituambia ulienda mbinguni wakakurudisha uje kukamilisha kazi ya mungu, tukuchunguze vipi, au serikali itajuaje kama kweli umetumwa na mungu? Angalia usije potosha watu.
Chunguza matendo. Je wewe umechunguza nina dhambi gani?
Mwaposa nimutumishi wa mungu wa kweli kabisa amenifungua na mambo mengi sana kunakitu kirikuwa kinanisumbua kwa muda mlefu sana niritoka arusha nirifunguriwa siku hiyo hiyo wewe mbarikiwa unavivu jamani mwaposa hatowe pesa kwa watu iri watowe ushuuda anahakiki anaye towa ushuuda mwache mwaposa amutumikiye mungu wacha vivu wewe inamaaana wewe ndo unahubiri ukweli kuriko wezako wacha makasiriko wewe wezako wako bize kuhubiri neno la mungu wewe uko mtandao kutukana na kwatarifa yako mwaposa hauzi udongo anatowa bure na tunafanikiwa kweli kweli kupitia kukomba aridhe kwani wewe kwenye kanisa lako hawatowi sadaka wewe mwenyewe sadaka unaitaka sana tu
Eti gunia thelathini kwa hekali 10 kwa kipindi cha miaka 10
Mpango,si kwamba kwa sababu ni mamlaka yote anayo yasema lazma tuyabakapu,ili tuweze kujua kwamba yeye ni Imani safi aluhusu dibeti ili tujue anauwezo wa kutetea point zake
Ila waumini Wa mwamposa ni balaa yani mmoja kashuhudia kuwa kaweka mafuta ya upako kwenye gesi ikakaa miaka kumi gesi bado IPO na hajaongeza.
Hiyo haiwezekani...!!
Sikia inawezekana ardhi au shamba linazaa mapooza. Unajuaje baada ya kuombewa udongo ardhi ikakombolewa?
acha wivu
Kuwakilisha meseji ndo unaweka hasira na kuongezea chumvi!.Ila hua unasema kweli
Kweli wewe ni mbalikiwa, maana unayosema ni kweli yanatoka kwa Mungu
yaan ww ni kelo inawezekana kanisan kwako hakuna uponyaji