Dakika 6 za Diamond na Mbosso Jukwaa Moja!
HTML-код
- Опубликовано: 27 янв 2018
- Dakika 6 za Diamond na Marombosso Jukwaa Moja
Mfalme wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz akipafomu na Mbosso, katika hafla ya kumtambulisha Mbosso kama memba rasmi wa lebo ya 'WCB'.
Hafla hiyo ya utambulisho ilifanyika katika ukumbi wa Hyatt Regency na kuhudhuriwa na mastaa lukuki akiwemo Wema Sepetu, Aunt Ezekiel na wengine wengi.
Subscribe muda huu / uwazi1 Install #GlobalPublishersApp Android: bit.ly/2AAQe1d iOS: apple.co/2Assf4M Subscribe / uwazi FACEBOOK: / globalpublis. .
TWITTER: / globalhabari Visit globalpublishers.co.tz/, Subscribe / uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… / uwazi1 / uwazi1 / uwazi1 WEBSITE: globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: / globalpublis. . TWITTER: / globalhabari INSTAGRAM: / globalpubli . - Развлечения
we diamond.mrudie wema.mmependezana mbaya.from saudi arabia
safiii mbosso mwambie daimond napenda sanaaaaaaaaaaaaaaa
Diamond you are so talented. You nailed this " nitampata wapi "
I love you diamond na timu nzima ya wcb
krbu WCB mbosso,.. Mondii endelea na moyo huo wa kuwasaidia wasanii wenzako na kuwaenua, big up broo we love u so much,. #Lam Piko apa
the out fit for Daimond is on point,.
Daaa mko vzr sana aise
nimependa san...wema & diamond fireeeeeeeeeee🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂😂😂😁😁
wema na mond mnaendana saaaanaaaa nawapendaga sana jamooon
You've got her 2day in ur arms young man..😃😃
Iko pow sana
Wema mzuri jamani ❤
safi nimeipenda iyooooo
Nice
WCB watu wenye mipango mizuri! Mungu akubarikini. Mbosso hatari wewe, tapanda tu👍
wemaaaaaa
Watakubali- nice
Saxfon man upo vizuri
Daimond moyo wako umeshinda ubaya wako keep upsssssss
Live performance duh!! 🤣 🤣 X... Issa no.
Unique
Jamani lov Ni kitu ca ajabu naamini mapenzi sio pesa Kweli hata wende wapi
Wow
Yani nikifatilia comment zenu mashabiki kila cku mara hawa jamaa wanatisha mara hawa jamaa noma ila ni kwel wako vizuri but msiwe mashabiki sana cz sometimes kuna comments wanahitaji kuzijua ila mnazificha kutokana na ushabiki
Wemaaa
wasafi yani km chadema wakimbizeni mpaka washindwe pakitokea
ebna hawa jamaa noma
si uko naye leo wema😂😂😂😂😂😂yani mumenifurahisha leo aaiseeh
Sanaa
Ila mond ukipeleka zaga madale usiruhusu zaga izame ndichi na cm watakuharibia kwa mama T
yaaaap
nimependa mavazi yenu ya kitenge
Nice