Jinsi ya kukadiria mtaji wa biashara ya vinywaji

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 15 сен 2024
  • Kukadiria mtaji wa biashara ni muhimu sana unapotaka kuanzisha biashara ya vinywaji.
    Biashara ya vinywaji ina changamoto zake na haijalishi kama unauza vinywaji baridi au vinywaji vikali, changamoto zake zinafanana.
    Moja kati ya changamoto zinazo mkabili mjasiriamali anayetaka kuanzisha biashara ya vinywaji ni kukadiriakiasi cha mtaji wa biashara kinachohitajika.
    Sasa basi utafahamu vipi kiasi cha mtaji wa biashara kinacho hitajika kwa ajili ya biashara ya vinywaji?
    Katika video hii nitaeleza mambo 3 ya kutafakari wakati unafanya makadirio ya mtaji wa biashara ya vinywaji. Iwapo unataka ufafanuzi zaidi kuhusu mambo yaliyo elezwa kwenye video hii, basi wasiliana nami kupitia amwambola@gmail.com.
    1. Soma eBooks za Ujasiriamali za Tan Business Channel: Wasiliana nasi kupitia Whatsapp 0716 682 439
    2. Tan Business Online School: ali-mwambola-s...
    3. Pata ushauri kupitia WhatsApp 255 716 682439
    4. Pata habari zaidi kupitia website yetu: www.tanbusiness.co.tz
    5. Mitandao yetu ya kijamii:
    Facebook: / tanbusiness
    Instagram: / tanbusiness
    RUclips: / alimwambola
    #jifunzeujasiriamali #vitabuvyaujasiriamali #alimwmabola #tuongeebiashara #tujifunzeujasiriamali #mizungukoyaujasiriamali

Комментарии • 6

  • @MariaMlewa-z7r
    @MariaMlewa-z7r 18 дней назад

    nikiwa na m 5 naweza anza kuuza jumla?

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  17 дней назад

      Unaweza kuanzisha biashara ya jumla. Kuanzisha biashara ni jambo zuri lakini jambo zuri zaidi ni kuanzisha biashara ambayo ni endelevu. Hivyo ni muhimu kutekeleza mambo muhimu ya kuanzisha biashara ambayo itakuwa endelevu

  • @neymakubi173
    @neymakubi173 Год назад

    Je ukiwa na milioni moja inatisha kuuza jumla

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  Год назад

      Inategemea ukubwa wa biashara, bidhaa utakazo uza, eneo la biashara, etc. Kwa maelezo zaidi njoo WhatsApp 255 716682439

  • @TinaJoseph-oq5sp
    @TinaJoseph-oq5sp 8 месяцев назад

    Mimi nilianza na mtaji wa 2557000 nafanyaje Ili nitunze faida na mtaji uepo

    • @AliMwambola
      @AliMwambola  8 месяцев назад

      Wasiliana nami kupitia WhatsApp 255 716682439