NJIA KUBWA 6 ZA KUPATA MTAJI FEDHA WA KUANZISHA BIASHARA | Victor Mwambene.

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 17 сен 2024
  • Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
    .
    KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
    .
    Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
    .
    KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
    1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
    2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
    3. NGUVU YA KUJUA.

Комментарии • 10

  • @94winga
    @94winga 4 месяца назад

    Safi sana kiongoz kwa elim

  • @DaenoPol
    @DaenoPol Месяц назад

    Asante Kwa ushauri nimepata kitu

  • @shabaniamadi5319
    @shabaniamadi5319 3 месяца назад

    Apo Sawa

  • @AniVyanga
    @AniVyanga 4 месяца назад +1

    ❤❤❤❤

  • @solinaAra-t6s
    @solinaAra-t6s 4 месяца назад

    Nataka inifundishe kaka

  • @samsonaciita6395
    @samsonaciita6395 4 месяца назад

    Ubarikiwe kaka victor ,sauti Iko fit ujumbe sahii nahelimika sana nikiwa hapa Kenya .
    Lakini naomba kujua jinsi ya kupata vita vyako bro

  • @NachaKing-nj7cp
    @NachaKing-nj7cp 4 месяца назад

    Xijawah kujutia kujifunza kwako

  • @NachaKing-nj7cp
    @NachaKing-nj7cp 4 месяца назад

    Mjomba una madini

  • @user-db2tw3oj9e
    @user-db2tw3oj9e 4 месяца назад

    How to get the books here in Kenya is a challenge. Kindly advise on how I get them thanks sir.

  • @samsonaciita6395
    @samsonaciita6395 4 месяца назад

    Vitabu samahani marekebisho