NJIA KUBWA 6 ZA KUPATA MTAJI FEDHA WA KUANZISHA BIASHARA | Victor Mwambene.
HTML-код
- Опубликовано: 17 сен 2024
- Tafadhali Usiache Ku-SUBSCRIBE na kubonyeza alama ya kengele ili uwe wa kwanza kupata taarifa ya somo jipya tunapo kuwekea.
.
KUMBUKA, Masomo haya yanakujia kila siku ya J’pili yenye lengo la kukusaidia kuwa na akili ya fedha pamoja na akili ya Biashara.
.
Kwa Mafunzo au Kupata Vitabu vyangu vya Fedha na Biashara Tafadhali wasiliana nami kwa 0744126640.
.
KUPATA VITABU PIGA 0744126640 / 0658503737.
1. KANUNI 20 ZA FEDHA.
2. JINSI YA KUANZISHA NA KUKUZA BIASHARA.
3. NGUVU YA KUJUA.
Safi sana kiongoz kwa elim
Asante Kwa ushauri nimepata kitu
Apo Sawa
❤❤❤❤
Nataka inifundishe kaka
Ubarikiwe kaka victor ,sauti Iko fit ujumbe sahii nahelimika sana nikiwa hapa Kenya .
Lakini naomba kujua jinsi ya kupata vita vyako bro
Xijawah kujutia kujifunza kwako
Mjomba una madini
How to get the books here in Kenya is a challenge. Kindly advise on how I get them thanks sir.
Vitabu samahani marekebisho