STEVE MWEUSI NI MWIZI; SHAFII AFICHUA SIRI ZOTE BAADA YA UGOMVI MKUBWA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 30 июн 2024

Комментарии • 79

  • @EvasiusPaschal
    @EvasiusPaschal 16 дней назад +12

    Shafii Stive kakuacha mbali sana ndo maana una wivu

  • @MamakeAnnah
    @MamakeAnnah 12 дней назад +2

    Kwan mtu kutumia msemo wako Kwan kuna ubaya Gani kumbe watanzania hamtakaniaki uzuri watching from Kenya

  • @user-lg9sx7fk1b
    @user-lg9sx7fk1b 12 дней назад +1

    Mavazi yako mtangazaji nayapenda masha llah. Usibadilike❤

  • @ElogeKambale-bw2zd
    @ElogeKambale-bw2zd 19 дней назад +5

    Humuwezi Steven yeye ni mutu maarufu ana kipaji kubwa

  • @JamlickKiogora
    @JamlickKiogora 13 дней назад +1

    Kwa kweli hakuna mjinga mkonde,shafii ama mafii vyenye unajiita sasa ata ukirudishiwa msemo ndio Nini na tayari tumesikia kutoka kwa Steve wewe ni mtoto Ndogo sana,huyu dame reporter nampenda sana❤ watching from Kenya Nairobi

  • @MrashiMrashijuma
    @MrashiMrashijuma 13 дней назад +2

    Una sura ya kuchekisha baba pambana na maisha yako

  • @ELKANAMUSTO
    @ELKANAMUSTO 14 дней назад +1

    Shafi mjinga sana huna aibu kukombana na tajiri Steve mweuzi mpumbafu

  • @blogmanmalik1017
    @blogmanmalik1017 14 дней назад +4

    Mbona kama ana maringo

  • @RamadhaniKitala-gx6wc
    @RamadhaniKitala-gx6wc 12 дней назад

    Shafii wew wa juzi tu hapa unaanza kusema maneno yako na daftari mkononi kisha kuchana uko tiktok , na huo msemo ni wa steve mweusi acha ujinga wew heti sasa unaanza kuvimba mwizi wew😊

  • @user-lucas47
    @user-lucas47 15 дней назад +3

    Wee ni stevee ndo anapenda kusemaaa hivyooo

  • @user-ot3gu9iq2j
    @user-ot3gu9iq2j 12 дней назад

    😂😂😂😂😂😂Shafii aache makacriko,, Steve mweusi ni mwamba na msemo ni maneno 2😅😅, ata yy atoe wake from +254 Kenya 🇰🇪

  • @user-oy8mb6ms1k
    @user-oy8mb6ms1k 13 дней назад +1

    Wa tanzania amu jiamini jo kwa mana muna gombania misemwa fanya mwengine zaidi ya ule Kama una weza na Kama una jiamini

  • @JamesNzirubusa
    @JamesNzirubusa 16 дней назад +2

    Msemo niwa steve kam yamekushinda ludi nyumban ukalime

  • @aminangombe8815
    @aminangombe8815 17 дней назад +2

    Sijui anakunywaga mann muda wote😏😏😏

  • @user-rd5li6te9r
    @user-rd5li6te9r 14 дней назад +2

    Acha wivu,ugomvi haujengi maneno tuu mtu kayatumia ili kuendesha kipaji chake hv nmisemo mingap wtu huongoea je umetumwa kumharibia mwenzio ndo uchawi huo

  • @rashidgona1808
    @rashidgona1808 19 дней назад +2

    Huyu jamaa ni mara ya Kwanza kumwona but namwona ako na majivuno

  • @ELIFASIJOSPHATI
    @ELIFASIJOSPHATI 10 дней назад

    shafii huo ni umama pambania kazi zingine alafu pita kushoto Steve yupo mbele kimawazo sana kisa kdg kupigania msemo kuoga Aaaah

  • @Busagotz
    @Busagotz 16 дней назад +4

    Shaf kuiba misemo tuu kuoga haaaa huu msemo wa Steve mweusi 😅😅😅😅 Steve anaweza sanaa

  • @RakaPk
    @RakaPk 18 дней назад +1

    Kwani kuna mtu anachaguliwa la kuongea au makubwa sasa kwa nn wewe usiseme na ukaenda uwo msemo wako ulikuwa unasubili nn ebu tuachie Steve wetu cefuu😊😊

  • @Alain_Maxino_Mzalendo
    @Alain_Maxino_Mzalendo 13 дней назад

    Mimi kama Mwana sheria, nasema hivi : Steve Mweusi ameibuka mshindi 🤣🤔

  • @user-ot3gu9iq2j
    @user-ot3gu9iq2j 12 дней назад

    😂😂😂 akuna shabiki wa shafii, kwenda zako

  • @beckammkiza
    @beckammkiza 19 дней назад +1

    Huna haya wew steve anakipaji wew unafoji tu

  • @HalimaDopha
    @HalimaDopha 18 дней назад +1

    Kazi mnae

  • @chidiboy4169
    @chidiboy4169 13 дней назад

    Shafii we ni Fala kweli wewe unaeza shindana na stev mweusi upumbavu wako

  • @Aisha-lj8bu
    @Aisha-lj8bu 11 дней назад

    Ww shafii nimwizi umeiba cm harusini

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 19 дней назад +1

    Ndio mjibane hapo mlangoni? Hakuna sehemu nyengine yakufanya interview 😂

  • @davidfaraja
    @davidfaraja 19 дней назад +1

    Wa kwanza leo

  • @salmaomary7463
    @salmaomary7463 12 дней назад

    We mjinga kwli fany kazi acha umam

  • @user-yk7mm5gl7j
    @user-yk7mm5gl7j 14 дней назад

    We shafiii n mjinga huna maaana walaaaah yoyoteeee

  • @user-hw7oj6iv1c
    @user-hw7oj6iv1c 12 дней назад

    Shafi acha ushamba ww msemo Niwa Steve mweusi sisi atukujuwi

  • @LizzyAdrian
    @LizzyAdrian 14 дней назад +1

    Kubishania misemo tu kufanya mambo ya muhimu aaah

  • @SalimmikwangaMikwanga
    @SalimmikwangaMikwanga 19 дней назад

    Kwanz shafii uo hana kazi

  • @DidierRuvumba
    @DidierRuvumba 16 дней назад +3

    Sisi tunamjuwa tuh Steve mweusi Mwamba. Na sio uyo shaffi

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 10 дней назад

    Shafiii unakirohoo cha ajabu

  • @user-wl6il1zk6m
    @user-wl6il1zk6m 12 дней назад

    Uyo jamaa njo kumujuwa hivi namfaamu stive

  • @MrashiMrashijuma
    @MrashiMrashijuma 13 дней назад

    Shafii wewe aujuwi kitu😂😂😂

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo 13 дней назад +1

    BBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBBDDDDDDDDDDDDDDDDDDDD

  • @Official_Gustave
    @Official_Gustave 19 дней назад

    Huwongo kutafuta brand kwa Steve

  • @user-mg8jn4pc6n
    @user-mg8jn4pc6n 13 дней назад

    Shafii atukujui we pita kule ugomvi tu kufanya kaz Aaaah

  • @fatumahaji4998
    @fatumahaji4998 13 дней назад

    Mambo mengine yakipumbavu kabisa 😅

  • @rosenaheka5137
    @rosenaheka5137 13 дней назад

    Ila shafii ww ni mshamba

  • @user-fu1xk4qh5q
    @user-fu1xk4qh5q 19 дней назад

    Akakatoto nikawapi marayakwanzakukasikiya eti ni shafi katowe kitambi pale humjuwi Simba Kiraka bwana mkubwa duniani hatasisi wa USA tunamujuwa stive ila shaifi mushamba kweli

  • @Zahara-or3cf
    @Zahara-or3cf 13 дней назад

    Huyu dada mtangazaji nilikua namkubali ila toka ile habari ya nyoka simuamini tena

  • @rashidiramadhani9702
    @rashidiramadhani9702 19 дней назад

    Steve Simba kiraka acha shobomdundo

  • @OFFICIALTHEBOSSOG100voice
    @OFFICIALTHEBOSSOG100voice 19 дней назад

    Msemo niwa Steve

  • @PETROWILONDJA
    @PETROWILONDJA 19 дней назад

    Mbwa kweli wewe shaaaa eti shaffi unanikeraaa wewe mbwa unabahaaa Mimi na wewe Masafaaa marefuuu la sivyooooo ningekumezaaa wewe unamuongeleaaa stivu kibayaaaa wewe kama naniiii mbwaaa koko wewe

  • @MusaSitta-wv9dk
    @MusaSitta-wv9dk 14 дней назад

    Kua na wewe ukiachiwa msemo ndo unaufanya nini xaxa stev ndo mwenye mxemo

  • @ernestnzoyikorera4629
    @ernestnzoyikorera4629 18 дней назад

    Shafi sisi kama team la Steve mweusi 🇧🇮 hutuwezi 😂🤣🤣🤣😂 kwanza kitumbo kuoga Aaaah twambie kaimba lini ?? Mbona wewe huna video hata moja ukisema msemo wake

  • @ShamsaGao-nn1ge
    @ShamsaGao-nn1ge 19 дней назад

    Umeona msemo umeenda mjini unatafuta ustar kwanguvu😅 stevu chuma ww humuezi😝

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f 14 дней назад

    Ovyoooo

  • @Damagemweusi274
    @Damagemweusi274 19 дней назад +2

    Leyne MMI hapa nina ukweli kati ya hawa ma comedian wetu,,,Ukwwlii ni kuwa kama SHAFFI anasema kuwa huo MSEMO ulikuwa wa kwake,,,mbona hakulisema hapoo mwanzo WATU walijuee,,kwa sababu MSEMO HUU HAPA cha kuokota sio cha kuiba,,,,kama kwelii anasema ni lake mbona hakulitumiaa sana KWENYE video ZAKEE WATU walitambuee ,,ni bora SHAFFI a lilie haki yake kama kwelii ni YEYE ndiye aliyetandaza huo MSEMO ukajulikana kupitia mdomo wakee ,,sio tuu baada ya Kelisema MSEMO wakiwa WOTE baada ya MSEMO kutandaa anasema ni ya KWAKEE huo ni uwongo mtupu SHAFFI AWACHE KUTAFUTA KIKI KWA MWENZIE NA KUMHARIBIA JINA BURE TUUU,,,kama kwelii anasema Steve mkubwa wake .mbona Sasa anamwita MWIZI UJUEEE STEVEMWEUSI NI MSANI MKUBWA ANAYEJULIKANA ZAID I YAKEE KAMA ALITAKA TUU KU TREND LIMESHA TREND A WACHE KUMHARIBIA MWENZAKE JINAA ANASTAHILI KUOMBA MSAMAHA KAMA KWELI STEVE NI MKUBWA WAKE WAKETI CHINI WAZUNGUMZEE WAMALIZE UTAAATAA

  • @user-pp9mp1pz9f
    @user-pp9mp1pz9f 14 дней назад

    Km mtoto mdgo vile

  • @SifaMasamba-rq6ee
    @SifaMasamba-rq6ee 19 дней назад

    Hafi nimizi tuliya Kama pesa hutalipa pubafu🖕🖕

  • @andrewmlowezi2610
    @andrewmlowezi2610 13 дней назад

    Dogo acha kulamba plastic

  • @menzakadide8644
    @menzakadide8644 17 дней назад

    Huu ujinga wakutaka kiki utaacha wewe kijana

  • @othmanhamad7887
    @othmanhamad7887 13 дней назад

    Na nyny waandishi mkiwahojihoji kuhusu ilo jmb ndo mnazidi kulikuza,acheni kuwahoji juu ya mmb ya kijinga wanayoyafanya km hayo ili nayo yaishie haraka bana.

  • @EdiAboolo
    @EdiAboolo 19 дней назад +4

    MKUNDU WA SHAFII 😂😂

    • @user-ol3lu4zw5k
      @user-ol3lu4zw5k 18 дней назад

      Wewe mjinga una mjua Mama yake Shafi mtukane yeye mweli msemo niwa Steve mweusi lakini usimtukane Mama yake.

    • @AbdulKassim-xc4ob
      @AbdulKassim-xc4ob 18 дней назад

      Huku umefika mbali mzeee malizana na shafii mama Yale mwache apumzike huko alipo

    • @user-wl8fg8ne1f
      @user-wl8fg8ne1f 17 дней назад +1

      Hajielewi 😢😢😢

  • @StanleyMhagama-t3w
    @StanleyMhagama-t3w 16 дней назад +1

    Yaani Steve ndio mchekeshaji were Mona hujulikan

  • @JUSTINDICKINSON-o6p
    @JUSTINDICKINSON-o6p 17 дней назад

    Wewe mbunzi nini musemo wa sitivu acha kiki wewe

  • @Mael_RDC
    @Mael_RDC 19 дней назад +1

    Subscribe 🙏

  • @KleofasiSimutowe
    @KleofasiSimutowe 14 дней назад

    Mwizi uyoo😂😂

  • @user-wq2np3dm3d
    @user-wq2np3dm3d 18 дней назад +1

    acha wivu shafii wewe☹️

  • @user-kv4pv1xv8f
    @user-kv4pv1xv8f 19 дней назад

    Kuma la mamayako chafi 🇲🇿

    • @user-wl8fg8ne1f
      @user-wl8fg8ne1f 17 дней назад

      ACHA ujinga na ww kutukana mwenzio hivo 😭

    • @DekelvaSoujaboy-mb8ps
      @DekelvaSoujaboy-mb8ps 17 дней назад

      Mtoto wa kiume punguza shobo utashikwa tako zuchu tu from Drc Congo Lubumbashi 🇨🇩🇨🇩

    • @LizzyAdrian
      @LizzyAdrian 14 дней назад

      We ya mama yako unaijua

  • @ShottojumaNdakama
    @ShottojumaNdakama 14 дней назад

    Wewe fala 2 huo msemo mbona kabla ya Steve kuusema hatukuwai kuuskia usambae mtandaoni umekula wako mjinga sana wewe na mashavu Yako hayo ningelikua serikal ungejua mnatia aibu nchi yetu cheki rasta kama mizizi ya njugu mawe

  • @PatrickTeshaTesha-zp4ld
    @PatrickTeshaTesha-zp4ld 19 дней назад +2

    ℍ𝕦𝕦 𝕞𝕤𝕖𝕞𝕠 𝕨𝕒 𝕤𝕥𝕖𝕧𝕖 𝕓𝕙𝕒𝕟𝕒 𝕒𝕔𝕙𝕒 𝕦𝕣𝕠𝕙𝕠☺

  • @FidkimKim
    @FidkimKim 19 дней назад +1

    Fidd kim ❤❤❤ #9666

  • @user-sz2lk9ds5b
    @user-sz2lk9ds5b 14 дней назад

    𝕌𝕞𝕦𝕨𝕖𝕫𝕚 𝕤𝕥𝕚𝕧𝕦 𝕨𝕖𝕨𝕖 𝕓𝕒𝕟𝕒 𝕜𝕨𝕒𝕟𝕫𝕒 𝕒𝕦𝕛𝕦𝕝𝕚𝕜𝕒𝕟𝕚 𝕜𝕨𝕖𝕟𝕕𝕒 𝕦𝕜𝕠 𝕦𝕛𝕚𝕟𝕘𝕒 𝕦𝕞𝕖𝕜𝕦𝕛𝕒𝕒 𝕦𝕛𝕒𝕟𝕛𝕒 𝕙𝕒𝕒𝕒𝕒𝕒𝕒

  • @PatrickTeshaTesha-zp4ld
    @PatrickTeshaTesha-zp4ld 19 дней назад

    ℕ𝕪𝕒𝕞𝕒 𝕟𝕪𝕒𝕞𝕒 𝕥𝕦 𝕟𝕪𝕒𝕞𝕒𝕫𝕒 𝕦𝕜𝕠😂

  • @PatrickTeshaTesha-zp4ld
    @PatrickTeshaTesha-zp4ld 19 дней назад

    ℕ𝕪𝕒𝕞𝕒 𝕟𝕪𝕒𝕞𝕒 𝕥𝕦 𝕟𝕪𝕒𝕞𝕒𝕫𝕒 𝕦𝕜𝕠😂