RMO Tanga awekwa kikaangoni na Makonda

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 2 окт 2024
  • Katibu wa NEC Itikadi, Uenezi na Mafunzo CCM Paul Makonda amesema Tanga hasa hospitali ya Bombo kuna changamoto mbalimbali akimtaka Mganga Mkuu wa mkoa huo, Dk Japhet Simeo kutoa majibu ya kwa nini wananchi wanaokwenda kupata huduma wanateseka.
    Katika majibu yake, Dk Simeo amesema kuanzia Jumatatu hospitali ya Bombo itakuwa na uongozi mpya itakayosaidia kubadilisha safu nzima ya utendaji kazi ya hospitali hiyo.
    Hata hivyo, majibu hayo hayakumfurahisha Makonda aliyemhoji tena Dk Simeo siku zote walikuwa wapi kufanya mchakato huo hadi wayafanye Jumatatu mabadiliko hayo.
    Makonda ametoa maagizo hayo, leo Jumamosi Januari 20, 2024 akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika uwanja wa Lamore ilayani Tanga katika mwendelezo wa ziara yake ya mikoa 20 aliyoipa jina la 'back 2 back' awamu ya kwanza sehemu ya pili.
    #samiasuluhuhassan #simbasc #yangasc #mashabiki #nbcpremeireleague #cafchampionsleague #cafconfiderationcup #ikulumawasiliano #entertainment #music #news #yangasc #simbasc #cafchampionsleague #mayele #highlights #cafconfiderationcup #riversunited #mashabiki #yangaleo #yanga #timuyawananchi #daimambelenyumamwiko #entertainment #music #news #magoliyasimba #magoliyayanga #magoliyote #magoliyamayele #mayele #aziziki #manara #manaraleo #ikulumawasiliano #magufuli #kikwete #mayele #singidabigstars #magoliyamayele #magoliyasimba #magoliyayanga #highlights #azamsportsfederationcup #chama #Shot

Комментарии • 10

  • @aud548
    @aud548 8 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂 RMO unataka kumuondoa Mfawidhi bila kuchunguza ndugu ? Narudia tena utumishi wa Umma huu ni vile tu kwa kweli umaskini na kutokuwa na jinsi...😂😂😂😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 8 месяцев назад +1

    Sema usiogope sema fufua chama chetu baba ndiyo kilikuwa kinaaga

  • @daffagunda-rm3hj
    @daffagunda-rm3hj 8 месяцев назад

    Huu ni unyanyasaji kwa wataalaam, hii haikubaliki, wanasiasa mungu anawaona,kumbuka huyo mtu Ana familia,na uongozi si kukurupuka tu,kuna miongonzo ya kisheria kwa watumishi wa uma,

  • @KelvinAboubakal
    @KelvinAboubakal 8 месяцев назад

    Magufuli mtupuu

  • @daslamonline4665
    @daslamonline4665 8 месяцев назад

    Shida mnajua changamoto ila kuzitatua Hadi uchaguzi ukaribie ukipita mnavuana vyeo,

  • @JaphetToto
    @JaphetToto 8 месяцев назад

    Muheshimiwa pita na ukerewe nako changamoto hazikosi ccm oeeee🇯🇲

  • @GregoryMnyakasha-yk7zo
    @GregoryMnyakasha-yk7zo 8 месяцев назад

    Watanzania wanataka kupelekwa namna hiyo viongozi wanaimba wakiwa madarakani

  • @FabianMbilinyi
    @FabianMbilinyi 8 месяцев назад

    Mmmh

  • @stephennyagonde637
    @stephennyagonde637 8 месяцев назад

    Daktari Japhet Simeo

  • @paulsimkoko8099
    @paulsimkoko8099 8 месяцев назад

    Kidumu chama cha mapinduzi