Yanga SC 1-3 APR FC | Magoli | Mapinduzi Cup - 07/01/2024
HTML-код
- Опубликовано: 6 янв 2024
- Tazama magoli yote manne yaliyofungwa kwenye mechi ya robo fainali kati ya Yanga SC dhidi ya APR FC.
Matokeo ni APR kuifunga Yanga SC 3-1
Magoli yamefungwa na Soulei Sanda, Mbaoma Victor na Sharaf Eldin Shaiboub kwa upande wa APR.
Goli la Yanga limefungwa na Jesus Moloko Спорт
Na Mimi wa Simba nipate ata like tano t jmn 🤲maana nimefurahj mno🤣🤣
Ila nyinyi kutufunga hamuwezi
@@mohdloushmoney9994 mbn mmekimbia kak 🤣
Take it brother
Usingizi mwanana kabisa 😙😙😙,Asante APR kwa kupiga hawa vigagula
JAMANI LEO KUNA WATU WANAKUJA pale FERI WAMEBEBA FURUSHI LA HUZUNI JE ni akinani VILE??? JIBU KAMA UNAWEZA ELEWA.🤪🤪🤪
Assist ya kisigino goli la tatu... noma sana 😂😂😂
Watoto wa yanga wanaenda shuleni bara tuwapokee asante kwa kushiriki
Apr❤ Goooooooooo Tatu kweri Apr ❤❤❤❤ Nakupennda Rwanda Sana kbc
Asanteni, tunapenda sana wa TZD
Shida sio kufungwa shida ni kufungwa kwa comeback
APR fc hejuru cyane
Apr ♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️🙏
Haya sasa tulisubiri tupigwe bara na visiwani au kwani kuna nini😂😂😂kudadadeki apr mmepigaje hapo🤗
Congratulations APR I'm rayonsport fan but congs kbx
Yan bora mtetoka mapema mngepita tu mnyama 🦁🦁🦁🦁alikua anawasubiri mtegoni awatie 10
Hahahahaa wakwanza Leo na sitaki like yeyote😂😂😂
,,,😂😂😂..chukua like zako bhanaaa
Chukuwa km zote tn za furaha😂😂😂
Tunakupa hat km hautak 😅😅😅😅😅😅
Utataka tu😂😂😂.
Chukua likes ndg yangu
Wamepigwa bwana 😂😂😂😂
HAWAJAPIGWA BALI WAMEDUNDWA!
Hizo kenge mhhh mji umetulia
My lovely Apr always is a winning tunabapiga sana
Kitu kilichonifurahisha ni vile APR walivyochza sok safii😅 lkin kizur zaid baada ya shiboub kufunga vile amevua jez nakuitupa pembeni. 😀😀. kitu ambcho kilishngza zaid ni mchzo haujasimama sanaa lkin ziliongezwa dk 9😢😢.
🤣🤣🤣🤣🤣asanteni Apr asanten sana sana sanaa❤❤
ILA TUSEME UKWELI SAA ZINGINE YANGA WANA AKILI wanawaza kama wangeendelea wangefungwa na simba ingekuwaje??? BORA APR wamewaokoa kwa kisigino!🤣🤣🤣
Apr fc 🔥🔥🔥keep shine💪🙏
Yanga mnaondoka na boti ya saa ngapi?
NAULI IKIFELI WAOGELEE
Poleni kwa kipigo Cha paka mwizi
Paul Kagame's investments are now paying off..Rwanda is also currently leading the afcon qualifiers table with S.A and Nigeria and Zimbabwe in the same group
kivumbi leooo😅😅😅😅
malizia bhanaaa...hiii imeeenda😂😂😂😂😂😂
Utopolo loooooooo you
*yanga kafariki ongeza dakika 9 hakuna kitu*
Mmeachiwa offside mmeshindwa kufunga mmeongezeea dakika 9 mmeshidwa ham bebeki
huyu mtangazaji alipolitangaza goli la nyuma mwiko sauti ilikuwa kubwa ila walipofungwa nyuma mwiko goli la APR sauti imekuwa ndogo hatujalisikia
APR nakupenda sana
Apr mmepigaje hapo😂😂😂😂😂😂😂😂✅
1 Thessalonians 5:9-10
For God has not destined us for wrath, but to obtain salvation through our Lord Jesus Christ, who died for us so that whether we are awake or asleep we might live with him. 2024 is the year of getting salvation make a decision right now. Stay blessed
Jesus is not our Lord, but rather our Lord, the One and Only God, who did not beget nor was born, nor was there anyone equal to Him. By watching the lectures of Zakir Naik and Joseph Estes, you will benefit.
oOoOO tutampelekea kombe la mapinduzi Rais wa Zanzibar haya pelekeni gol tatu mlizofungwa
Watoto wa Shule wanafungua kesho😂😂😂
WAWAHI SHULENI🤣🤣🤣
Epr. Asate sana
Ushangiliaji wa moloko ndo uliowaponza
Congratulations Apr fc
Machookooo wamepigwaaaaa leo dadeeek
Walipiga kelele kama vile mechi ilikuwa imeisha😂😂
Kwa heri mtani
😂😂😂😂
Mtangazaji wa AZAM magoli ya APR hayatangazi vizuri yaani anaumia sana hasemi gooo yaani goli anaongea tu lile la yanga alipiga goooo kwa furaha
Hiyo ndo maana ya Nimzarendo
Kiburi na kelele za yule 'msanii' wao mahiri zitatulia kwa muda kidogo.Tunasubiri na yule 'msanii' wa Msimbazi naye kesho itakuaje.
Young inapigwa vibaya sana
Team kubwa kipigo kikubwa
TEAM KUBWA KIPIGO KIKUBWA CHA UMIZA
Goli mlilolipata mlishangilia kama me hi imeisha mlichokipata mhhhh mpo mochwar
Lisemaji lao lina kelele mingi sana haya sasa yamewakuta😅
Tumepoteza tunarudi Dareslam tukaangalie biashara nyengine
Wameyakanyaga kwa apr😂😊😮
Weee APR mmepigaje hapoooo!!!!!!😂😂😂😂😂😂😂
WACHEZAJI WA YANGA WAMEKALILI ukitaka kuwafunga kirahisi piga pasi za kisigino tu!
jesuis contente, félicitations L'APR. Komesha ya utopwax
Sisi tulidroo mlituchea 😂😂😂
Walizani mchezo 😂
@@agnesclement6305 umeonaee Leo wamekiona Cha moto
@@agnesclement6305 Aisee nimefurah sanaaa wallah
Kwan makundubela hakucheza
Wamenyooshwa ssa inchi imetulia
Mbele nyuma mwiko kauli hii siielewi morison aliwasymbua wakaachana nae wakamrudisha je walienda mbele au walirud nyuma ?!?!?!
APR FC much respect
😂😂yenge aka yanga fyafyafya ..... Pyuuuu....
Congratulations APR fc🎉🎉
Kwan iliyofungwa ni yanga au ni mti wa SI mna kikosi bora
Yamewakuta Janene😀😀😀 vip tuwachangie Apr mabango nn
APRfc(🇷🇼)🔥
Pole watani😅😅😅😅😅😅😅😅
Very good strategy yanga.Mnyama alikuwa anasubiri khamsah
Apr daaaa umepigaje hiyo bweha?hahahaahaahaaaa😅😅😅😅😅😅
APR ❤❤❤
Apr oooh
Umepigaje hapo 😅
Bora sisi Simba na kikosi chetu Cha kauka nikuvae
Ili kombe so shida zetu bhn lingekua linaumuhimu wasingeanzisha undertwernty bhn😅mkae kwa kutuliaa tukutane hkuu NBC
Kibwana ,mwamnyeto ,pacome ni under 20?
🤣🤣🤣Bado hamjasema..!!
Hayo maneno tuliyategemea tu kwamba mtasemaa
Keaio lomalisa kibabage gifti kibwana Ni anda twenti mmepigika leo punda nyiynyi😅😅😅
Tunachojua yanga imefungwa
Aproyeeeeeeeeee❤❤❤❤❤❤❤
Tunajua wameweza kumkimbia mnyama ila tutakutana tu.
Uto mnabahati mpango wenu umetiki kama umesoma qbaa umenielewa
Utopolo dah leo nimefurahi sana😂😂😂😂
🇷🇼
waaaaa,,,,,,waa
Hivi hawajachukua ngalawa bado tu, hatuwataki Zanzibar Tena ss😂
Good
Mi nimekosa furaha sana uto kutolewa aijui kwa nini
Kwasbb nilikuw nna tunawataka
Mako Nikoshwa anabamuanga
Yanga yaliwa kiboga Zanzibar 🤣🤣🤣
Ahsante mungu
Utopolo mnacoment wapi naona sioni 😂😂😂😂😂
Apr f c oyeeeee ❤❤❤❤
⚽⚽⚽⚽⚽
Naomba msiguse hii comment 😒🙄
APR on top
Respect to u APR
Machuraaa hayooo😂😂😂
Na mtasema😅😅😅😅😂😂😂
Kumbe huku kulipendeza hivi 😂😂😂😂😂
😅😅😅😅
🇸🇩💪8❤
Kimewalambaa
Apr fc 🇷🇼🇷🇼on top🔥🔥🔥
Ariko nubundi narinabiveze uwagutsinze mbere yanagusubira APR FC kumutima🤍🖤🤍🖤🇷🇼
Hhhhh yego broh
Apr hejuru cyaneee
Hawakujua hawakuju😂😂😂😂
Kifo cha mende 😂😂😂
A q r fc oyeeeeee❤❤
Yanga karibu dar nitakuja kuwapokea
Daaaah jaman
Mngebeba kile kikosi chen mtani mngetoboa poleni
Simba kuna msim tuliwaacha wachezaji wazuri tukitegemea wanakuja wachezaji wazuri zaid lakini mkaleta waxhezaji wabovu zaid deo kanda /francis kahata/shibob/nichoraus gian na wengineo
Wamepigwa Kama mbwaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
Wanaongea sana kimewakuta kichapo chapaka mwizi
Even if Apr has won the game the referring try to correct their mistakes bcse is to much that reffers are not at level of East Africa
Hi