PAIN FROM A WOMAN WHO LOST HER TWO KIDS

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024

Комментарии • 31

  • @mwangi_kriss
    @mwangi_kriss  4 месяца назад +9

    0719238815 Julia Njoki Kirigwi incase you can pass blessings to her

  • @Millie-rm2wj
    @Millie-rm2wj 4 месяца назад +12

    So sad for this lady...she has experienced so much pain and grief.... May God remember her and comfort her

    • @VeronicaDunbar
      @VeronicaDunbar 4 месяца назад +1

      Kwani Mama Lucy Hospital, mtu akiwa admitted ni mgonjwa, haiandikwi kwa record book ni ward, room na kitanda gani amelala?
      Sasa mtu anakuja kuona mgonjwa wake, na hampati. Kazi inakua nikuzunguka zungukaaa sipitali ukimtafuta.
      Haki Kenya yetu, kunaendeleaje? Hakuna record room ya aina mbalimbali ya information 😮 ?

    • @daisyeunice8772
      @daisyeunice8772 4 месяца назад

      ​@@VeronicaDunbarmama Lucy hospital is a no

  • @alexsaidi3940
    @alexsaidi3940 4 месяца назад +5

    God is our protector and the shield, pslms 23/1bwana ndye mchungaji WANGU sitapungukuwa na KITU katika malisho ya majani mabichi kando ya MAJI ya utulivu..njapopita Kati ya bonde la uvuili wa mauti sitaogopa MABAYA

  • @getrudeliyayi8050
    @getrudeliyayi8050 4 месяца назад +5

    Chriss wewe na kay ,hizi chanel mbill kuna siku itakuwa kitu tunainda life is spiritual, mtakuwa mnafungua na maombi kwaza ,juu weeeh si story tena ,mnaleta ,life vile mtu ameshukulikiwa na malaka wa YESU ingawa hana mali nyingi ,tunashuku,MBARIKIWENI SANA ITAKUWA zetuu ,GLORY TO JESUS

  • @irinemugambi2048
    @irinemugambi2048 4 месяца назад +3

    My opinion,i wish angechukua mambo kwa udani vile aliambiwa kutoka kitambo,ata babake vile alimwambia,but kila kitu uwa na sababu,mungu yupo anakujua mom,hug

  • @paulinemuchima161
    @paulinemuchima161 4 месяца назад +3

    Hata umparie tu pole akikweleza

  • @TatianaTaga
    @TatianaTaga 4 месяца назад +2

    Waaah aki woi 😢😢😢 nimefeel vibaya walai hii maisha 😢😢

  • @franciskahinga7921
    @franciskahinga7921 4 месяца назад +1

    God have mercy on you mama wambui alikuwa mshirika wetu dandora

  • @kezzybett1142
    @kezzybett1142 4 месяца назад +4

    Pole sana mum

  • @daisyeunice8772
    @daisyeunice8772 4 месяца назад +1

    So sorry for what you went through, its really sad

  • @kezzybett1142
    @kezzybett1142 4 месяца назад +2

    Huyu mama amepitia sana
    Please pin her number we help her aki

    • @mwangi_kriss
      @mwangi_kriss  4 месяца назад +1

      0719238815 Julia Njoki Kirigwi

  • @damarisnjerichege100
    @damarisnjerichege100 4 месяца назад +1

    Woiye so sad mum.may God change your story 🙏

  • @susanwanjiru9133
    @susanwanjiru9133 4 месяца назад

    Chris na wewe ,, at least try patting your guest at the back when she is crying

  • @Chebet254
    @Chebet254 4 месяца назад +1

    So sad pole sana mummy

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 4 месяца назад +1

    Pole sana mama tumepitia yote hayo pia😢😢

  • @zaitunisagwa2082
    @zaitunisagwa2082 4 месяца назад

    Krissy kuwanga Tissue na Maji ya kupea mtu anapopatwa Hali hii. Maji hushusha na hutuliza moyo.

  • @JaelWanyisia-z2r
    @JaelWanyisia-z2r 4 месяца назад +1

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @faumash6734
    @faumash6734 4 месяца назад

    and now im cutting onion's cz huyo mwangi alikua na spirit kama ya my son wes,my best friend my everything,dear God pliz panguza huyu mama machozi aki this is too much😭😭😭😭😭

  • @maggieshi690
    @maggieshi690 4 месяца назад

    Mwangu mtu huambua mtu pole c kutingiza kichwa unamtia nguvu na maneno

  • @FamousBerry139
    @FamousBerry139 4 месяца назад

    Hizi makanisa jameni Sasa hizi ni prophecy gani kweli, wamekutupia mashetani

  • @maggieshi690
    @maggieshi690 4 месяца назад

    Kupitia unabii umeokolewa sana juuu hao watoto walitafutwa kutoka kitambo,
    Fanyia Mungu kazi mama na utasave wengi

  • @ivyonejames3468
    @ivyonejames3468 4 месяца назад +1

    😢😢😢😢

  • @maggieshi690
    @maggieshi690 4 месяца назад

    Shikaneni familia muwe waombaji juu huyo anaonekana qwa qweli mi mchawi mkubwa
    Mungu awaonekanie

  • @VeronicaDunbar
    @VeronicaDunbar 4 месяца назад

    Mother in law anavaa nguo ya daughter in law. How? Jameni! How?!!!
    Pia anaongea mambo ya ngono kuhusu mtoto wake na bibi yake! Aje sasa?

  • @maggieshi690
    @maggieshi690 4 месяца назад +1

    Hiyo c kirembaa hasaa ni kitambaa ya utumishi c bure omba sana

  • @estherpesh5840
    @estherpesh5840 4 месяца назад +1

    @mwangi kriss it's better to have some water an servittes for guest pls,pole Sana mama God is always by ur side

  • @maryfridahndunge5616
    @maryfridahndunge5616 4 месяца назад

    Pole sana mama😢😢