EXCLUSIVE: Young Killer kuhusu kumpigia magoti Mona Gangster

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 сен 2024
  • Ni Rapper mwingine kwenye fleva ya bongo sasa hivi ambapo amekaa kwenye Exclusive Interview na AyoTV Entertainment Dar es salaam na kuongea ukweli kuhusu taarifa za yeye kumpigia magoti Mona Ganster.
    Kwa wale waliosema mwaka 2016 ulikua mwaka mbaya kwake kaliongelea pia, vilevile anawajibu wanaosema hawezi kutoa hit song na producer mwingine sababu Mona Ganster ndio alikua anampatia.

Комментарии • 54

  • @sifacycy_bby8827
    @sifacycy_bby8827 7 лет назад +2

    Shukran san Ayo Tv

  • @bensonfrank9578
    @bensonfrank9578 7 лет назад +7

    KILLER THE BOY 👊👍

  • @timothmwakakusyu4563
    @timothmwakakusyu4563 7 лет назад +3

    tuko pamoja mdogo wng killer always nakukubali sana. hata siku moja usimpigie magoti mwanadamu yeyote ispokuwa mamako na Mungu wako tu.

  • @xaverythozo6961
    @xaverythozo6961 7 лет назад +2

    duh dogo nimependa alivyojibu vzuri sana. yupo comfortable, simple, clear $ fact.

  • @filbrigantomwakipesile9415
    @filbrigantomwakipesile9415 7 лет назад +1

    thnx bro Millard tz inakuelewa mchango wako mtu wangu, ni zaidi ya channel ya tv

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 6 лет назад +1

    MashaAllah well said

  • @anordaudiphace2745
    @anordaudiphace2745 7 лет назад +1

    upon vizuri

  • @georgeallan7225
    @georgeallan7225 7 лет назад +1

    shukrani millard ayo

  • @mdashomwamba679
    @mdashomwamba679 7 лет назад +2

    big up

  • @tominowino
    @tominowino 7 лет назад +2

    Hii latest ngoma ya sinaga swagger ndo my favourite. Sijui sababu napenda battle

  • @omarinjia5509
    @omarinjia5509 6 лет назад

    Nakubali dogo

  • @missmuunasharifu2323
    @missmuunasharifu2323 7 лет назад +3

    kata makucha hayo mwanaume mzima unajifananisha na shetwan

  • @omarinjia5509
    @omarinjia5509 6 лет назад

    I support you bro

  • @mnyamangosha1756
    @mnyamangosha1756 7 лет назад +1

    Tisha pacha wangu

  • @josephlameck3964
    @josephlameck3964 5 лет назад

    young genius

  • @hadijamiroso3679
    @hadijamiroso3679 6 лет назад

    nakuelewa sana msodoki

  • @zak5065
    @zak5065 7 лет назад +3

    milard ayo always 🔛🔝

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  7 лет назад +6

      Thanks for Watching mtu wa nguvu Zac

  • @sphrb1063
    @sphrb1063 7 лет назад

    big up sn Millard ayo

  • @paulsantana9217
    @paulsantana9217 7 лет назад +1

    nakuelewa Millard ayo nakufuatilia sana sitaki kupitwa.

  • @officialdullastar1070
    @officialdullastar1070 7 лет назад +3

    kujichubua vipi tena youngkiller

  • @willyjulius7740
    @willyjulius7740 6 лет назад

    chuga boy milad nakukubali sana chalii ya Tengeru

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 7 лет назад +2

    i think young killer ulikuwa na mwaka mzuri kma si mzuri sana ..yaani 2016..popote kokote kambi

  • @firdausshaji897
    @firdausshaji897 7 лет назад +1

    nc boy

  • @omarinjia5509
    @omarinjia5509 6 лет назад

    We ni mkali kwa hip hop

  • @abdallahjuma4397
    @abdallahjuma4397 7 лет назад +2

    young na killer zake Co yang thag wla yang mweny arosto na dona zake

  • @hilarygodfrey4376
    @hilarygodfrey4376 7 лет назад

    nakukubali sana milady

  • @Cr7official7254
    @Cr7official7254 7 лет назад

    Nice Millard

  • @adamdaffa3000
    @adamdaffa3000 6 лет назад

    Young killer ft kadigoo

  • @sameeradam4696
    @sameeradam4696 7 лет назад +1

    Hip Hop damuni......Killa Young

  • @arnoldjunior6057
    @arnoldjunior6057 7 лет назад +1

    young mwenye killer zake🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

    • @millardayoTZA
      @millardayoTZA  7 лет назад +4

      asante kwa kutazama Arnold

    • @arnoldjunior6057
      @arnoldjunior6057 7 лет назад +3

      +Millard Ayo 👏👏👏👏 ndo maana sijutii kufollow pages zako 👊👊👊mtu wa nguvu

  • @sirialemmy37
    @sirialemmy37 7 лет назад +2

    Millard Ayo!
    kuna jambo moja NATAKA KUSHAURI!
    MARA NYINGI NAONA MAJIBU TUU YANATOLEWA KWA WALE UNAOWAHOJI! LAKINI NI VYAMA NASI TUSIKIE MASWALI ILI UJUE MAJIBU YANAYOTOLEWA YANALENGA WAPI NA KWANINI!
    Sautisha maswali tafadhali!
    Nikiwa nairobi nakufollow yes though chuga ndo bendera kuu

  • @samwelnyankena9873
    @samwelnyankena9873 7 лет назад

    uko vizur dogo

  • @justinekiula2831
    @justinekiula2831 7 лет назад

    nice

  • @gombatv7046
    @gombatv7046 7 лет назад +2

    Dogo young killer bado huafika mbali usijiamini sana wakati bado hujatoboa vilivyo. nyenyekea upate mradi wako.

  • @sameeradam4696
    @sameeradam4696 7 лет назад +1

    Mwana Hip Hop w kweli hawez kupiga Got et kixa m2 c kweli

  • @MohamedAhmed-yn1lx
    @MohamedAhmed-yn1lx 7 лет назад

    Hio clip yako yakuuza GSm inaboaa its tooo much every where

  • @aliiphillip
    @aliiphillip 7 лет назад +1

    Millard advice upcoming artist to upload their songs on theirs personal channels and stop using Other big artists name. Ati Diamond new song 2017. No plz. Wanapotea Sana Sana.

  • @masaimara3750
    @masaimara3750 7 лет назад

    nimesubscribe kabisaa nisipitwee, @ayooooo

  • @sandeolango912
    @sandeolango912 7 лет назад +1

    Millard kama kawaida unashine daily

  • @samdon4428
    @samdon4428 7 лет назад

    Killer boy

  • @fredrickliganga5193
    @fredrickliganga5193 7 лет назад +1

    dogo kazakwanza kwenyegem mbwembwe zann

  • @leslienakara9890
    @leslienakara9890 6 лет назад

    young killer msodoki ni mkali

  • @thomasponera6018
    @thomasponera6018 7 лет назад

    Nimesikia watu wanalalamikia ads ya gsmo...this is buzness people...bila ivo hakuna faida kwa anayekuhabarisha xo never mind people

  • @ahmedalminshad1211
    @ahmedalminshad1211 7 лет назад

    24hrs eeeeh kulala hulali au wee pia huwa unafuna mirungi

  • @jaydomedia7521
    @jaydomedia7521 7 лет назад

    brother usisahau ulikotoka aliekutoa mkumbuke siku zote

  • @leslienakara9890
    @leslienakara9890 6 лет назад

    hahahahahaah ayoooo chuga tengeru

  • @shomaryramadhan200
    @shomaryramadhan200 7 лет назад +1

    dah killer msodoki