Magoli yote | Yanga 5-0 JKT Tanzania | NBC Premier League 29/08/2023

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 8 фев 2025
  • YANGA vs JKT: Yanga SC imeichakaza JKT Tanzania mabao 5-0 katika mchezo wa ligi kuu ya NBC uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi.......
    Magoli ya Yanga kwenye mchezo huu yametoka kwa Stephane Aziz Ki kwa free kick dakika ya 45+5, Kenedy Musonda dakika ya 54, Yao Kouassi dakika ya 64 na Max Nzengeli aliyefunga mawili dakika ya 79 na 88.
    Haya hapa magoli yote......

Комментарии • 341

  • @chakuboyofficial9720
    @chakuboyofficial9720 Год назад +129

    Nime kuwa wa kwanza wana yanga tujuwane apa ni mwendo wa mkono tuuu ✊✊🇦🇺

  • @mwinyiali
    @mwinyiali Год назад +4

    Kiukweli yanga mna team nzuri...mtatusumbua sana hii season

  • @nkosiyabomasuku1795
    @nkosiyabomasuku1795 Год назад +12

    Max = Mbappe
    Aziz Ki = Messi
    Yao Yao = Roberto Carlos
    Pacome = Zinedine Zidane
    Skudu = Neymar
    Daima mbele, nyuma mwiko 💚💛

    • @ukuvukiland2387
      @ukuvukiland2387 Год назад

      Umemsahau mzize akitulia=drogba au Lukaku😀😀

  • @mypurpose4L
    @mypurpose4L Год назад +4

    Noma sana, ni mwendo wa magoli tu🔥🔥🔥

  • @songorotv2530
    @songorotv2530 Год назад +5

    Goli la tano unaweza his ni jepes lakin angalia nzegeli alivyolitengeneza kwa kupiga long pass akiwa nyuma kabisa lakin anawahi kufika kwenye lango la mpinzani na kufunga. So amazing. Bravoooooo wananchi💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛💛

    • @Gdiamond360
      @Gdiamond360 Год назад

      Hilo goal ni vitu tumeona Barcelona wakifanya, a very brilliant play!

    • @Zainabnoor0087-ze
      @Zainabnoor0087-ze Год назад

      Max ana mbio hatri na good positioning

    • @DavidMbwilo-qk1bz
      @DavidMbwilo-qk1bz Год назад

      Jamaa mtu inabid aje msimbazi achukue uzoefu wa makombe😂😂😂😂

  • @SalumuMashauri-dx5xu
    @SalumuMashauri-dx5xu Год назад +6

    Zangu mimi nampa max mpia tuchomekee kama unakubali kazi ya max watalia wengi sana kwa huyu mkongo pemben yao kipenga kelele kwa wanainch comments sasa🙋‍♂️🙋‍♂️🙋🙋

  • @veelmng7746
    @veelmng7746 Год назад +5

    Hii timu ni level nyingine kabisa kwa ligi ya Tanzania, mpira unachezwa kama pray station safi sana wananchi

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Год назад +3

    Like kwa zengeli🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @shadyasalum192
    @shadyasalum192 Год назад +7

    Wakwanza like kama wewe unairudia hii mechi ya leo 😂😂hapa raha tuu 💚💚💛💛

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Год назад +2

    Hii yanga ya Safari bila figisu ubingwa tunao tena,I love u yanga..

  • @nutronic0226
    @nutronic0226 Год назад +3

    Triangle ilopigwa kwa last goal ni🔥🔥🙌

  • @johnmlambo7176
    @johnmlambo7176 Год назад +1

    Nzengeli banaaa....hii ligi ataionea sanaa huyu mwamba

  • @saiguraniedward6716
    @saiguraniedward6716 Год назад +7

    Huyu Max naomba atafutiwe Jimama pale Magomeni laa sivyo atasumbua sana hii League ya NBC

  • @JohnMbilinyi
    @JohnMbilinyi Год назад +1

    Wanayanga tuko pamoja msimu huu raha kuzidi kifan yanga daima mbele nyuma mwikooooooooooo🎉🎉🎉💝💝🎉🎉🎉💝🎉💝🎉🎉👍💪💪💪💪💪💪💪

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769 Год назад +3

    No mayele no bangla no juma shabani no problem❤❤❤❤❤5G

  • @ZalfaMzee
    @ZalfaMzee Год назад +2

    Naipenda yanga

  • @SalumuMashauri-dx5xu
    @SalumuMashauri-dx5xu Год назад +8

    Max mpia zengeli games 2 goals 4 moto utawaka

  • @shedrackngamilo3267
    @shedrackngamilo3267 Год назад +3

    Yanga Bora iwe tu timu ya TAIFA

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv Год назад +4

    JKT wamecheza mpira mkubwa ila Wamekutana na Wakubwa........ HONGERA JKT sikuamini ule mpira ila mbinu tu Yanga Wapo juu.....

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Год назад +5

    yaani hii yanga kila mtu anafunga...mamae pira la gamondi kwa kweli linanisahaulisha mayele, yanga imekuwa team na sio kumtegemea star moja...kuna master ki, nzegeli, yao yao, pacome, yaani kila mtu anafunga...hii shida mno kwa wapinzani

  • @tawakalimankasim82
    @tawakalimankasim82 Год назад +3

    Kuna timu ya masharubu Fc wanaumia sana kwa mafanikio ya yang. Tuwe wakweli na wawazi kwasas yanga ni timu nzr na nyakat hazidanganyi hongera san yang

  • @GraceHassan-sy3tt
    @GraceHassan-sy3tt Год назад +1

    Hataar sanaaaa hii ndo yangaaaaaaaaa

  • @theteacherchance6750
    @theteacherchance6750 Год назад +2

    KUIOGOPA YANGA 💚💛💚 NI MWANZO WA KUPEVUKA KIAKILI NA KIWANGO KIKUBWA CHA BUSARA

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Год назад +5

    Niliwaambia mngesikia ushauri wangu..msingepeleka Tim yenu uwanjani

  • @dottoAlly-h4e
    @dottoAlly-h4e Год назад +2

    Waooooh hyo ndy yanga

  • @SureBoy-f9u
    @SureBoy-f9u Год назад +2

    Yanga gamond ni raha sana

  • @mashomatv4699
    @mashomatv4699 Год назад +4

    Me nd wa kwanza kuview hii jmn tia comment yko apa

  • @elipidhugotesha1909
    @elipidhugotesha1909 Год назад +1

    Hongeten sana yanga ndo mwrndo wetu had ligi imalizike mahasud pita huko

  • @gideonmwaweza8177
    @gideonmwaweza8177 Год назад +2

    Yanga nomaaaaaaa

  • @hawa7966
    @hawa7966 Год назад +2

    Maxxxxxxxxxx Zengeliiiiiiiiiiiii 🤣🤣🤣🤣🤣Yanga tuna raha sana jamaniii

  • @godsonmnguruta1998
    @godsonmnguruta1998 Год назад +4

    max apewe kabisa wizara kama waziri mkuu

  • @ferouzrakeem6532
    @ferouzrakeem6532 Год назад +1

    Nzengeli noma❤

  • @sifauseni6900
    @sifauseni6900 Год назад +1

    Wanainchi mpoooooo ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @meddytoto93
    @meddytoto93 Год назад +1

    YANGA BINGWA 2023/2024

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 Год назад +2

    Haaaah,popote ulipo hebu chomekea.....💛💛💛💚💚💚💚🙏🙏🙏🙏

  • @tinoh7_
    @tinoh7_ Год назад +1

    Yanga tamuuuu jmn daa

  • @MohamedAbdallah-dd2dm
    @MohamedAbdallah-dd2dm Год назад +1

    Nice football Nice goal

  • @maulidichanyoya1918
    @maulidichanyoya1918 Год назад

    Yanga hii itakwenda mbali Africa na kujulikana sana duniani.....

  • @abdallahomar5868
    @abdallahomar5868 Год назад +2

    Kwa yanga hii weka mbali na watoto

  • @fatmahussein6085
    @fatmahussein6085 Год назад +2

    Ni mwendo wa 5G tuuu💚💛

  • @hellohalidi7627
    @hellohalidi7627 Год назад +1

    Tofauti kubwa kati ya YANGA ya msimu wa 2022 na ya 2023 ni kwamba, msimu huu yeyote anayecheza safu ya ushambuliaji anaweza kufunga "(ma)goli", msimu uliopita mfungaji tegemezi alikuwa mmoja tu, hongera YANGA kwa ushindi mnene 🔥

  • @worldhappiness1181
    @worldhappiness1181 Год назад +1

    Hii Yanga mmmh!! Si wa mchezo mchezo, ni danger zone

  • @stanastana3199
    @stanastana3199 Год назад +3

    Masau bwire yuko wapi,yanga hii balaa sana ubingwa tupewe

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 Год назад +3

    Duh, ule MSHIPA alioupiga NZENGELI ni NOMA....huyu jamaa balaa, YANGA kweli wamedhamiria SHARI msimu huu..!

  • @salim02tv24
    @salim02tv24 Год назад +1

    Iyo ndo yanga ❤❤❤❤❤❤

  • @dominicikuja7392
    @dominicikuja7392 Год назад

    Safi sana kwa team hizi za Tz zitachezea snaa aiseee

  • @JacksonDominicko-st2qy
    @JacksonDominicko-st2qy Год назад +2

    wapili mimi❤❤

  • @JUU-lw2je
    @JUU-lw2je Год назад +1

    Yanga ya avic town❤❤❤❤

  • @SungesuAngelina-id4tj
    @SungesuAngelina-id4tj Год назад

    Makolo wanatesekaaaaaaaa,Wananchi tunafurahiiiii💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚🙏

  • @harounkhamis-e7m
    @harounkhamis-e7m Год назад +1

    Hiiii yanga kazi wanayooo

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Год назад +6

    Watupangie list ya timu mbovu ligi kuu tuzijue kabla hatujacheza nazo, vinginevyo waache visingizio😂😂😂😂

  • @TylerpoddMCraig
    @TylerpoddMCraig Год назад +1

    Yanga tamu

  • @Kimdori-t6b
    @Kimdori-t6b Год назад +2

    Mungu awaepushe na majeraha timu yetu pendwa

  • @GustavNgumba-rt7on
    @GustavNgumba-rt7on Год назад +1

    Safi sana yanga yetu mwka hii Tim zjpange nimwendo wamkono tu

  • @aminahkhuzwayo-iv1wl
    @aminahkhuzwayo-iv1wl Год назад +1

    Moto umewaka jaman 💚💚💚💚🧡🧡🧡🧡🧡💚💚💚💚

  • @SillahAdam
    @SillahAdam Год назад +1

    Kwa Yanga hii wataisoma namba

  • @harmondickson1
    @harmondickson1 Год назад

    Yanga tamuuu,💚💚💚💚😻💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚

  • @muddymuzungu4357
    @muddymuzungu4357 Год назад

    Je Suis Sans Voix.
    Merci Mr.Gamondi

  • @Salumukundela
    @Salumukundela Год назад +1

    Anaitwa k aziz

  • @barakahosseamsemo4426
    @barakahosseamsemo4426 Год назад +1

    Yes

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa7243 Год назад +1

    Pole goli keeper wa jkt..maana sio kwa shuluba hilo

  • @RebeccaDavid-y7p
    @RebeccaDavid-y7p Год назад +1

    Da yanga yangu tamuuuuuuuuuuuhhhh kwakweli

  • @HassanMzee-h4c
    @HassanMzee-h4c Год назад

    ❤❤❤🎉yang ya moto

  • @IsmailMakame-yn7ne
    @IsmailMakame-yn7ne Год назад +2

    Hii yanga wek mamb na watoto

  • @abilahutue-qx1en
    @abilahutue-qx1en Год назад

    Yanga nomaaaa sana

  • @adolphthomas5496
    @adolphthomas5496 Год назад +4

    Yanga dah mmesajili kweli cyo promo wala majina makubwa hatari sana

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 Год назад

      Nyinyi si mliambiwa watu hawana shida ya Chama wala Ngomaaa!

  • @magdalenachuwa2884
    @magdalenachuwa2884 Год назад +3

    Wamepelekewa motooo😂😂😂

  • @hassanparamana2215
    @hassanparamana2215 Год назад +5

    goli la tano golikipa kagoma kunyanyuka kaona bora yaishe isiwe tabu bhaana 😂😂😂🤣🤦‍♂️🏆💚💛💪🇹🇿

  • @malksakilamajr2917
    @malksakilamajr2917 Год назад +3

    Wa kwanza mm

  • @bushbabytz
    @bushbabytz Год назад +2

    haki huu mwaka wa aziz ki

  • @geofreymahally7115
    @geofreymahally7115 Год назад +5

    Kilichobaki nikubadilisha jina la uwanja na liitwe yanga arena au avic town arena

  • @mariamMilha-st3qu
    @mariamMilha-st3qu Год назад

    👊👊👊👊👊👊👊👊👊tupo apa Mashabiki🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐🖐tupo juuuuuuuuuuYangaaaaaaaa

  • @ukuvukiland2387
    @ukuvukiland2387 Год назад +1

    Yanga hatari 🔥

  • @scopy0428
    @scopy0428 Год назад +2

    Sawa hatuna namba 9 kama mayele lakin safari inawezekana Yanga akatangaza ubingwa mapema sana maana naona anawaogopesha wapinzan wake kwa namna anavyocheza

  • @mashomatv4699
    @mashomatv4699 Год назад

    Yanga tamuuuuuuuuu

  • @HamisiFaraji-ej5mf
    @HamisiFaraji-ej5mf Год назад +1

    Wana yanga tupoooo

  • @jaymansennah3052
    @jaymansennah3052 Год назад

    Yangaaaaaaaaaaa ni shidaaa

  • @jonathangerald8012
    @jonathangerald8012 Год назад +4

    Yaaan max kapiga pasi katikati ya Duara kaenda kufunga yeye

  • @Prince-rafael
    @Prince-rafael Год назад +1

    Adi sisi mashabiki wa yanga tunatishwana na club yetu Sasa maana sio kwa pira nguruwe pira kitimoto😋pira kisukari🥰

  • @ValerianaMdendele
    @ValerianaMdendele Год назад +1

    Wawooo piga kelele na yanga yakeeeee oyoooooooo

  • @YonaLaizer-m3b
    @YonaLaizer-m3b Год назад +3

    hiii yanga inataka roho zetu sasa maan sio kwa raha hizii

  • @festomakambi5809
    @festomakambi5809 Год назад +3

    Jamani mimi nime kuja apo nasema tu niseme watupe tu combe letu mechi 10 goli 50 io si watupe tu combe na kilabu bingwa tuna fika nusu fainal

  • @JesusChrist12425
    @JesusChrist12425 Год назад +1

    Yangaaaaa

  • @DubayReja
    @DubayReja Год назад

    Key 🗝️

  • @FrankMgaya-b6m
    @FrankMgaya-b6m Год назад +1

    ✌️✌️✌️✌️✌️mpaka kielewek mwakah✌️✌️✌️✌️

  • @husseinmejja8041
    @husseinmejja8041 Год назад

    Yanga yamoto sana dah

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад +3

    Wana yanga Rasmi, tunaanza kuingia maofisini saa 5

  • @GivenJohnson-t1w
    @GivenJohnson-t1w Год назад +1

    💛💛💚💚

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 Год назад +1

    Magori magumu hakuna goti la mchongo hi siyo yanga hi man city 😍

  • @suzankafwemba1919
    @suzankafwemba1919 Год назад +2

    Ni mwendo wa mkono tu 😂😂😂💚💛💚💛

  • @upendoelia4160
    @upendoelia4160 Год назад +1

    Oyooooooooooo

  • @FaridaAssan
    @FaridaAssan Год назад +1

    💚💚💚💚💚💚💚💚

  • @HassaniMnondoa
    @HassaniMnondoa Год назад +1

    Makolo watsumia sanaaaaaaaaaaaaa😅😅😅😅😅sanaaaaaaaaaaaaa 😅😅

  • @vibetz9991
    @vibetz9991 Год назад +3

    Makolo kwa hii burudani wanashangilia Chooni au stoo😂😂😂😂

  • @SalmaMahamud-om5kz
    @SalmaMahamud-om5kz Год назад

    Mwendooooo wa fivee fiveee tuuuuuuu👊👊

  • @yusuphomari569
    @yusuphomari569 Год назад +1

    Mmmh hata c elewi hii inawezekanaje 5 to 👊

  • @sevarinijrchitandachitanda138
    @sevarinijrchitandachitanda138 Год назад +1

    🔥🔥🔥🔥🙏

  • @rukaya-jg7hj
    @rukaya-jg7hj Год назад +2

    Kened akiwa pemben niatar zaid

  • @ednajohn6360
    @ednajohn6360 Год назад +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @roi2554
    @roi2554 Год назад +3

    Na apo pacome ajacheza😂😂😂