MKAPA ATOBOA SIRI, “SITAKI KUSEMA SANA, NILIKUWA MUANDISHI WA HABARI”
HTML-код
- Опубликовано: 15 сен 2024
- MKAPA ATOBOA SIRI, “SITAKI KUSEMA SANA, NILIKUWA MUANDISHI WA HABARI”
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo anaweka jiwe la msingi la ujenzi wa ikulu mpya ya Chamwino jijini Dodoma, zoezi lililohudhuriwa na marais wastaafu, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete sambamba na viongozi wengine wa sasa na wastaafu.
Pia Rais Magufuli amekabidhi ndege aina ya tausi kwa Mama Maria Nyerere, mke wa baba wa taifa, marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete. Wastaafu wote wamezungumza kwenye hafla hiyo, huku mama Maria akiwakilishwa na mwanaye Makongoro Nyerere na kwa pamoja wamemshukuru mheshimiwa rais.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
🤣🤣🤣 mbele kwa mbele Mkapa voice 🤝
Hawa viongozi vichwa sana, 坦桑尼亚 加油
viongozi hawa wanastahiki pongezi sana wamefanya mengi makubwa mnoo kiukweli Mungu wetu awabariki
Kweli jkt niwakupongeza sana
Mtu wa watu
🤠
MKAPA, KIKWETE, MWINYI WATAKULA KUKU HADHARANI LAKINI MAGUFULI AKIMALIZA MDA WAKE HAWEZI KWENYE MWENYEWE MLANGO WA KANISA ATAVULIWA NGUO HADHARANI. HUWEZI JENGA RELI, KUNUNUA NDEGE, KWA PESA NA KUPORA MATAJIRI WALIOPATA FEDHA ZAO KIHALALI.
Mbona hapo hakuna kiongozi wa upinzani ama ikulu ni ya ccm pekee
wanafiki nawapinga maendeleo hawawezi kua hapo ila wanatazama kupitia runinga.wakifika hapo wanaweza kupinga kuweka jiwe la msingi.ila tunawakumbuka kwavituko bungeni.
@@makanomlongecha8172 kweli kabisa huwo ni ukweli mtupu
Anoldi Mushi . Hawana. nafasi wapinzani ndo maana wakaitwa wapinzani. watatoa Siri ya Nchi kwa mabeberu.
Chadema pekee ndio hawapo,wao kila jambo ni kupinga.
True
sasa majeshi na ufunguzi ya office inaingilianaje. wacheni kuzingua watu
Ikulu inajengwa na wanajeshi mbwa ww af ikulu ni sehem sensitive xana xio uanja wa mpira huo kenge ww
@@mohamedpesambili9460 😂😂😂😂Asante. Maana naona anajitoa akili huyo kenge. Bangi analovuta litakua la Jamaica. Mpe kitu kingine huyo pumbavu zake😂😂😂😂😂
@@letshikuku39 😁😁😁 shule tunajengewa lakn hawataki kwenda shule wanakaa kuropoka tu hawajui kua ramani ya ikulu ni Siri xio kama ramani ya daraja la mfugale😁😁😂😂
Pesambili ebu angalia hata jina lake eti refuse, amerefuse hata hicho kinachoendelea anasema ni ufunguzi ya office 🤣🤣
Omar refuse We ulitaka wasialikwe? acha ushamba tumia akili kufikiri.