1Pet3:3_6... Huwezi mpendeza MUNGU Kwa sheria.. inaonekana uko chini ya Sheria ndugu... Warumi 10;4.... Ambaye anajisikia kuvaa acha avae na asiyejisikia kuvaaa Acha awe hivyo Kwa sababu hivyo siyo vitu vitakvyomhesabia mtu haki
Ila wakrsto wa nyakati hizi Wana shida gani??? Wanapenda waende mbinguni lkn hawapendi kuisikia kweli. Mfano jambo la kufunga kitambaa kichwani wanawake wakrsto wa nyakati hawataki kulisikia, mtu akiwaambia Kila mtu anamjibu vibaya japo sio wote, ila wengi wao wako vivyo. Nisikilize wewe mtoto wa Mungu unaetaka kwenda mbinguni, ukiambiwa kitu ni dhambi, usikurupuke kupinga, nenda kamuulize Mungu wako, je hili jambo nililoambiwa likoje Mungu na Mungu wa mbingu na nchi atakujibu. Usipende kupingapinga mambo. Haya ukifa Leo ukazuiliwa kuingia mbinguni kisa TU hukufunika kichwa chako wakati wa kusali au ktk ibada utasema nini wewe mwanamke???? Utamlaaum nani????? Na niseme TU Kwa kifupi hakuna mwanamke aliyewahi kuingia mbinguni kama alikua hafuniki kichwa anapofanya ibada. Nenda kamuulize Mungu wako juu ya hili pia itakiaaidia wewe utakae kwenda mbinguni.
Amen 🙌
Nimekuelewa sana mtumishi wa Mungu
Moyo wangu umefurahi sana,Ubarikiwe sana
Barikiwa sana
Tuko pamoja
Mungu akubariki
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Part 2 baba jaman
Amina mtumishi wa Yesu kweli hii NI dhahiri kabisa Mungu anipe kusimama ktk kristo Yesu
Mungu akubariki mtumwa wake Yesu kutuletea maarifa ya neno la Mungu ili tuweze kujiandaa kwa unyakuo, ubarikiwe sana
Tunakuelewa Mtumishi wa Mungu
Nabarikiwa sana na mafundisho haya...
Tunaomba mwendelezo wa somo hili 🙏🙏🙏
Asante kwa Mungu islael
Asante sana kwa somo bali tunaomba muendelezo. Please
Natamani uje tena Geita.
❤
TUNAOMBA MUENDELEZO ,WA HILI SOMO
🤝🌿
PART 02 PLEASE
Mtumishi wa MUNGU Abshalom uko vizuri Sana kwkweli isipokuwa aambia wanawake wafunike vichwa vyao
Kufunika kichwa si kitu. Bali kuuacha dhambiii ndo kituuu cha maana dada wafunika kichwa ile hali wewe ni mdhambii hufanyi kitu
1Pet3:3_6... Huwezi mpendeza MUNGU Kwa sheria.. inaonekana uko chini ya Sheria ndugu... Warumi 10;4.... Ambaye anajisikia kuvaa acha avae na asiyejisikia kuvaaa Acha awe hivyo Kwa sababu hivyo siyo vitu vitakvyomhesabia mtu haki
Si wewe uwambie. Kwanini unamwambia mtumishi wa Mungu?
Ila wakrsto wa nyakati hizi Wana shida gani??? Wanapenda waende mbinguni lkn hawapendi kuisikia kweli. Mfano jambo la kufunga kitambaa kichwani wanawake wakrsto wa nyakati hawataki kulisikia, mtu akiwaambia Kila mtu anamjibu vibaya japo sio wote, ila wengi wao wako vivyo. Nisikilize wewe mtoto wa Mungu unaetaka kwenda mbinguni, ukiambiwa kitu ni dhambi, usikurupuke kupinga, nenda kamuulize Mungu wako, je hili jambo nililoambiwa likoje Mungu na Mungu wa mbingu na nchi atakujibu. Usipende kupingapinga mambo. Haya ukifa Leo ukazuiliwa kuingia mbinguni kisa TU hukufunika kichwa chako wakati wa kusali au ktk ibada utasema nini wewe mwanamke???? Utamlaaum nani????? Na niseme TU Kwa kifupi hakuna mwanamke aliyewahi kuingia mbinguni kama alikua hafuniki kichwa anapofanya ibada. Nenda kamuulize Mungu wako juu ya hili pia itakiaaidia wewe utakae kwenda mbinguni.
Tafadhali hili somo limekatwa
Wekeni hilo somo lote
Amen 🙏🙏