Nimepend leo mmeachia zote mbili kwa pamoja nawakubali sana kutoka mwanzo wa reli kigoma moja kp na team yako apa nimeacha ugali mpaka nimalize hii move❤❤❤❤❤❤
Nafurahi sana kumuona Norah akimfariji kp ila huyu mzee likoma ananchekesha hatari yani anayekula mwengine yeye anajilamba mdomo😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Kenya 🇰🇪 nko hapa mie😊😊😊😊😊
Ujaweka sim kwenye silent we kp mbona mzembe kazini wakati unajua fika ulikua umepatana na dem kua atakupigia sim ulitegemea nini saaa sawa plan b itumike wepesi nimekety nangoja ❤❤❤
Pole zebuu kwa magumu yalio kufika mana namengine bado yanakuja namwenye kiumbe hajui namdogo wako hajui migongano inayo kuja nikumtanguliza MUNGU tu bigapu kwako #kpnazebuu#🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤kazi nzur sana nikiludi nyumbani mdogo wangu ananiuliza mbona cja danload plani B na Mr money unakuwa ugomvi kabisa utadhani mm ndio Huwa naigiza yeye anataka Kila siku azione zinaendelea😂😂
Sheila ❤❤❤🎉🎉🎉jamani na wish one day nikuone live Sheila nakufatilia Toka bint nyoka wamangushi mpaka plan B Sheila bint likoma
17:48 17:52 17:54 18:03 love
Woiyoo right on time 🎉like japo tano bas jaman wale the first ten minutes
Nimepend leo mmeachia zote mbili kwa pamoja nawakubali sana kutoka mwanzo wa reli kigoma moja kp na team yako apa nimeacha ugali mpaka nimalize hii move❤❤❤❤❤❤
Ambao tunakubali series ya PLAN B
PLEASE.. ,,,,,,,,gonga
Like.. tujuane,,,,,,,,❤❤❤😂😂😂😂😂😂
Naipenda sana
Naikubali sana❤❤❤❤😂😂😂
Imetulia hiyo
@@EmmanuelUshindi-n9m😅😅
@@lucyrif-np8ik😅😅😅😅
Warundi wenzangu mupo au ndio nimekuwa wa kwanza ❤❤❤🇧🇮🇹🇿 just one color ❤❤❤
Waooo🎉 likoma kwa kisukuma kizuri kumbe unakijua hongera
Muzee likoma ❤❤❤❤❤ mauwa yako wanichekesha sana kp na zebu kazi nzuri sana ndugu zangu nakukubali
Good job kp na zebun na all the team 4rm United Kingdom 🇬🇧 🇬🇧 ❤❤❤❤❤❤❤
Sema Nini sheishei Nimekubali sana Jin's ulivyo chez hii move honger San kpnz MUNGU Azid kuwapigania ad Mtimize Malengo yenu Inshaallhw 🙏 🤲
Kachexa nini sasa kusambaza hizo picha
Hii PLAN B naionea wivu natamani ningeitunga mimi 😂 kazi imenyooka sana ayse nawapa hongera nyingi team KP
Kazi nzuri kutokea Kwa kp&zebuu
Nawapenda sana ndugu zangu 🇹🇿
Vp kaka
Timu kp tujuwane Kwa like apa. ♥️♥️
hapa nipo
@@ChallahTz sawa
Wakwanza 🎉 kutoka Kenya, kp weka love angalau ni feel special.
❤
Wewe ni my shem maana nimeoa huko❤❤🎉
Nzuri sana aisee nimeipenda hii series
Nimewahiiiii ndani ya dakikaa 15 naombaaa like wananguuuu
Safi sana kabisa nawapenda sana Ila mze likoma napenda kazi zako sana zamani kazi njema
Hongera kwa kazi nzuri
Kazi mzur ila mnachelew xanhaa
Woooooooooooooooooow amazing ❤❤❤❤❤❤❤❤❤
M namkubal sana Nora kama uko na mm gonga like nying
Kazi nzuri sana kwa shey shey
Shey shey yaani utaki mchezo kp anakusaba Kofi nawe pia you pay back 😅😅😅dah
Nawapenda❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Kama unakubali kazi ya kp na zebuu weka love ❤❤❤tukitzama wapenzi
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ninaimani ipo siku ntakua wa kwanza 😂😂kazi nzur sana 🎉🎉🎉❤
❤ nipeni zangu leo
The way I have seen KP and Norah will end up falling in love ❤️ 😂😂
Fall in love with her sister
Naomba tu wafanye kazi pamoja ,Norah,kp Sheila
Shey shey akil kubwa sana
Hongeren nyote tim kp
Wa kwanza leo,wapi likes za kp
Namkubali Sana mzee likoma msukuma mwenzangu yuko poa
I come to like your movies, kp&zebu. Pía ni Mtanzania hapa Spain. Hasa plan Bs
Du kp nola kahalibu jaman itakuwaje ila nawapenda sana asanteni kwa kazi nzuli 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Nora tayari anampenda kp bila kujua ndombakaji wadada
Kwani mm ndio wakwanza jmni 🎉🎉🎉woow❤❤
Waoooh poa sana lakushangaza nime wochi movi zenu lakn hii Nola anependeza sana tene akiwa na longi ( suluali defu) ❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Kazi nzuri hii kp kongole kwenu team kp
Naomba like kutoka kenya 🇰🇪 job iraq🇮🇶
Hae
Hae
@@patrickcharo9458 hi too
Mzee diboz bhana!, et anaimba plambi plambi sase plambi!!
Kazi nzuri xna guys 🎉🎉 much Love
Woooooi wa kwanza Leo kutoka Kenya npeni like plz
Wa kwanza toka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩Drc.nipeni likes zangu
Nime kupa brow 🎉🇨🇩🇨🇩💪💪
Nime kupa brow 🎉🇨🇩🇨🇩💪💪
Kp Ni mwizi mpaka kaiba moyo wa norah
😂😂😂umeona eeh! yan kaiba cm pamoja na moyo
@@joycemaregesi18 hahahahahahhhhhhhhhh
Nafurahi sana kumuona Norah akimfariji kp ila huyu mzee likoma ananchekesha hatari yani anayekula mwengine yeye anajilamba mdomo😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Kenya 🇰🇪 nko hapa mie😊😊😊😊😊
Nzur sana ira shida inacherewa sana bora zingine mzipe nafasi ndogo ira hiyo miwekee nguvu nyingi sana mungu awabariki mnatutibu stress
VIP kp naomb like zangu tena usikubali kutangaza picture
Plan b moja ya series kalii kutoka kwa kp
Ujaweka sim kwenye silent we kp mbona mzembe kazini wakati unajua fika ulikua umepatana na dem kua atakupigia sim ulitegemea nini saaa sawa plan b itumike wepesi nimekety nangoja ❤❤❤
Anajisahau hana plan😂
Mnachelewesha Sana jomon mpka tunasahau
Movie nzuri sana bt mnakawia sana mjarbu mtupee movie kw wakati
From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team aquino❤
Kazi nzuri hila mnachelewesha sana jamani
Miss sheishei Mhuni kinoma😂😂😂😂😂😂😂😂
😂vinguo vyake sass
@@m.mmarckus6298 😂😂😂😂😂 lkn ni mrembo sana
Shei shei leo wapendeza,I love your outfit ❤❤
mnajitahidi sana may God awafikishe mbali
Ok kazi nzuri saaana wow❤❤❤❤❤❤❤❤❤
For real Mzee Likoma ni more fire wakiwa na sheishei
Leo nimefika mapema wapenzi mnipe like za kwangu nawapenda nyote❤😘😘🇰🇪🇰🇪
nawewe piya nakupenda
Mbona wewe ahu wapake wenzako ata liké moja?
Fayden Anupi subscribe
sio wewe kama mimi lakini sija Pata comment hata moja na like mbili.
Kosusan
Hongereni sana❤❤❤❤kazi nzuri sana🎉🎉🎉
Wapendwa wa KP wa Aquino wapitie hapa❤
Mnajua sana kazi nzuri kutoka. Oman naomba like😅
Movi Kali sanaaaaaa
❤❤ good movie mimi kutoka mozambique
Movie nzuri saana Ila sauti iko chini kbx ❤❤❤
Nawapenda😘😘🌹🌹❤️❤️❤️❤️ daah sijui kp kitamkuta nn jaman😢
Manshallah move ninzuri Sana wapedwa 😂😂😂😂
Good kp wa aquino🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kazi nzuri wakikataa kukupa mauwa yako mimi nakumwagiya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
❤❤ duuuh cheichei hamjui kisai labda ngoja tuchek😂😂
Mpk hapo kupitia kp kashamjua vizuri😂😂
Waoo penda sana Shepshed mungu awasimamie
Thanks guys for the good work 🎉. Representing Mombasa Kenya ❤
Ih kali sana❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Uzur ni kwamba sheishei anajikubali na anajiamn mno
Kp style yako ya kunyata uwa inanifrahisha sana😂😂😂😂😂 kama kwenye mr money
Nimgen Leo ila story inavutia picha nzur shot nzur ❤❤❤
Nola akampenda kp ,,,safi sana
Shey shey sio ubondia tu kumbe hata pesaa unapendaaa😂🤪
Kazi kubwa kp tunangoja muendelezo haraka
😂😂😂😂😂 jamani mzee likoma ananifurahisha na kamnyweso 😂😂😂😂😂
Zebuu pole sana na pia shyshy ww n mwanake
Love from +254 Kenya💕💕
Pole zebuu kwa magumu yalio kufika mana namengine bado yanakuja namwenye kiumbe hajui namdogo wako hajui migongano inayo kuja nikumtanguliza MUNGU tu bigapu kwako #kpnazebuu#🎉🎉🎉🎉🎉
Balaa kubwa yaani
Wakwanza Leo jamni
❤❤❤❤kazi nzur sana nikiludi nyumbani mdogo wangu ananiuliza mbona cja danload plani B na Mr money unakuwa ugomvi kabisa utadhani mm ndio Huwa naigiza yeye anataka Kila siku azione zinaendelea😂😂
❤❤❤❤❤Norah, KP, sheishei, zebuu, 🎉🎉🎉🎉asanteni kwa burudani❤❤❤❤
Just here to enjoy and learn at the same time ❤❤❤❤❤much love from Uganda 🇺🇬 the pearl of AFRICA 🌍
Kp mbn umepata pesa nyingi hufanyi maendeleo
We bwege nn unafkiri hata usiponambia unafkiri sitokw😄😄😄😄😄
Wa kwanza jamanii❤❤❤
Mnakawia sana wapendwa wangu ila mnajua ❤
❤❤❤❤ je 👉vous👉 aime💓💓 beaucoup👉 kp n'a zébu 🎉🎉🎉courage👍 on 👉est 👉👉👉ensemble👭👬👫
Soundtrack ya pk nimeipenda😊😊
I just like Norah,
Only watching her😊
Mko sawa sana congratulations from Kenya
Safi sana zebuuu bora ubambikizee tuu hamna namna
Jamani nabapenda sana ❤❤❤❤❤❤❤🥀🌷🌺💐🌹⚘
Unacherewa sana kupst mwamba
Mzee Likoma anafurahisha sana kwa hii kipindi ya kp
Mwenyew. Hap Ni wa kwanz
Nawapenda sana❤❤❤❤❤❤
Why im i laughing at this middle of the night,,likoma wewe😂😂😂now my mom thinks nikona malaria❤❤❤❤
Unaenda kwenye mission ya kuiiba flash kwa mtu cmu unaweka mlio kipande hko mmebug lkn kazi nzuri kakaaa😅😅😅😅😅 nipen like zangu kwanz
Mambo juu ya mambo kp majanga yote yake😢😢😢
😂😂😂
Plan B imeingia unyama kweli much love from 🇰🇪