PLAN B _ Episode 10

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 584

  • @fatumasophu5855
    @fatumasophu5855 2 месяца назад +16

    Sheila ❤❤❤🎉🎉🎉jamani na wish one day nikuone live Sheila nakufatilia Toka bint nyoka wamangushi mpaka plan B Sheila bint likoma

  • @SAUMUHAMISI-l3z
    @SAUMUHAMISI-l3z 2 месяца назад +17

    Woiyoo right on time 🎉like japo tano bas jaman wale the first ten minutes

  • @SelemaniIddy-nc1n
    @SelemaniIddy-nc1n 2 месяца назад +11

    Nimepend leo mmeachia zote mbili kwa pamoja nawakubali sana kutoka mwanzo wa reli kigoma moja kp na team yako apa nimeacha ugali mpaka nimalize hii move❤❤❤❤❤❤

  • @mohamedlopa8410
    @mohamedlopa8410 2 месяца назад +85

    Ambao tunakubali series ya PLAN B
    PLEASE.. ,,,,,,,,gonga
    Like.. tujuane,,,,,,,,❤❤❤😂😂😂😂😂😂

  • @vallesndayishimiye2396
    @vallesndayishimiye2396 2 месяца назад +11

    Warundi wenzangu mupo au ndio nimekuwa wa kwanza ❤❤❤🇧🇮🇹🇿 just one color ❤❤❤

  • @marthalunyalu
    @marthalunyalu 14 дней назад +2

    Waooo🎉 likoma kwa kisukuma kizuri kumbe unakijua hongera

  • @LUCYKHALAI
    @LUCYKHALAI 2 месяца назад +6

    Muzee likoma ❤❤❤❤❤ mauwa yako wanichekesha sana kp na zebu kazi nzuri sana ndugu zangu nakukubali

  • @aliyahaji8512
    @aliyahaji8512 2 месяца назад +13

    Good job kp na zebun na all the team 4rm United Kingdom 🇬🇧 🇬🇧 ❤❤❤❤❤❤❤

  • @MissFreeda
    @MissFreeda 2 месяца назад +10

    Sema Nini sheishei Nimekubali sana Jin's ulivyo chez hii move honger San kpnz MUNGU Azid kuwapigania ad Mtimize Malengo yenu Inshaallhw 🙏 🤲

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 2 месяца назад +10

    Hii PLAN B naionea wivu natamani ningeitunga mimi 😂 kazi imenyooka sana ayse nawapa hongera nyingi team KP

  • @EmmanuelMussa-q8c
    @EmmanuelMussa-q8c 2 месяца назад +40

    Kazi nzuri kutokea Kwa kp&zebuu

  • @AminaKhalfani-ib7sh
    @AminaKhalfani-ib7sh 2 месяца назад +73

    Timu kp tujuwane Kwa like apa. ♥️♥️

  • @Lyrac91
    @Lyrac91 2 месяца назад +28

    Wakwanza 🎉 kutoka Kenya, kp weka love angalau ni feel special.

    • @hosealagat7621
      @hosealagat7621 2 месяца назад

    • @Djf2hb
      @Djf2hb Месяц назад

      Wewe ni my shem maana nimeoa huko❤❤🎉

  • @munamamaj9622
    @munamamaj9622 2 месяца назад +9

    Nzuri sana aisee nimeipenda hii series

  • @IbrahimNassor-n4r
    @IbrahimNassor-n4r 2 месяца назад +16

    Nimewahiiiii ndani ya dakikaa 15 naombaaa like wananguuuu

  • @DanielMumbere-d2f
    @DanielMumbere-d2f 2 месяца назад +4

    Safi sana kabisa nawapenda sana Ila mze likoma napenda kazi zako sana zamani kazi njema

  • @mwangamsokwa5066
    @mwangamsokwa5066 2 месяца назад +20

    Hongera kwa kazi nzuri

  • @AbasBayna
    @AbasBayna 2 месяца назад +18

    Kazi mzur ila mnachelew xanhaa

  • @annaki318
    @annaki318 2 месяца назад +14

    Woooooooooooooooooow amazing ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AlliKatongo
    @AlliKatongo 2 месяца назад +7

    M namkubal sana Nora kama uko na mm gonga like nying

  • @JumaMwayanga
    @JumaMwayanga 2 месяца назад +7

    Kazi nzuri sana kwa shey shey

  • @davidodhiambo-h8k
    @davidodhiambo-h8k 2 месяца назад +5

    Shey shey yaani utaki mchezo kp anakusaba Kofi nawe pia you pay back 😅😅😅dah

  • @IrankundaEvelyne-kv3iu
    @IrankundaEvelyne-kv3iu 2 месяца назад +17

    Nawapenda❤❤❤❤❤🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @DebbieOchieng
    @DebbieOchieng 2 месяца назад +50

    Kama unakubali kazi ya kp na zebuu weka love ❤❤❤tukitzama wapenzi

  • @dadaamwazewe1299
    @dadaamwazewe1299 2 месяца назад +5

    Ninaimani ipo siku ntakua wa kwanza 😂😂kazi nzur sana 🎉🎉🎉❤

  • @mwanawaeditheboso7012
    @mwanawaeditheboso7012 2 месяца назад +15

    ❤ nipeni zangu leo

  • @jazminewatanzi1854
    @jazminewatanzi1854 2 месяца назад +8

    The way I have seen KP and Norah will end up falling in love ❤️ 😂😂

  • @MartinaAgustino-fp5eo
    @MartinaAgustino-fp5eo 2 месяца назад +3

    Shey shey akil kubwa sana
    Hongeren nyote tim kp

  • @danielkitsao
    @danielkitsao 2 месяца назад +12

    Wa kwanza leo,wapi likes za kp

  • @frankjoseph-f9s
    @frankjoseph-f9s 2 месяца назад +1

    Namkubali Sana mzee likoma msukuma mwenzangu yuko poa

  • @masackymacybarra6916
    @masackymacybarra6916 26 дней назад +1

    I come to like your movies, kp&zebu. Pía ni Mtanzania hapa Spain. Hasa plan Bs

  • @khadija2113
    @khadija2113 2 месяца назад +4

    Du kp nola kahalibu jaman itakuwaje ila nawapenda sana asanteni kwa kazi nzuli 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 месяца назад

      Nora tayari anampenda kp bila kujua ndombakaji wadada

  • @Mummywamulumewe
    @Mummywamulumewe 2 месяца назад +15

    Kwani mm ndio wakwanza jmni 🎉🎉🎉woow❤❤

  • @LabanNgugi-u4c
    @LabanNgugi-u4c 2 месяца назад

    Waoooh poa sana lakushangaza nime wochi movi zenu lakn hii Nola anependeza sana tene akiwa na longi ( suluali defu) ❤❤❤❤ from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @othmanmazuri1365
    @othmanmazuri1365 2 месяца назад +3

    Kazi nzuri hii kp kongole kwenu team kp

  • @MaryKijo
    @MaryKijo 2 месяца назад +23

    Naomba like kutoka kenya 🇰🇪 job iraq🇮🇶

  • @OSBETONGULO-br5uh
    @OSBETONGULO-br5uh 2 месяца назад +4

    Mzee diboz bhana!, et anaimba plambi plambi sase plambi!!

  • @BessyMukami-n7k
    @BessyMukami-n7k 2 месяца назад +1

    Kazi nzuri xna guys 🎉🎉 much Love

  • @KimanziMuthengi-uf8ig
    @KimanziMuthengi-uf8ig 2 месяца назад +6

    Woooooi wa kwanza Leo kutoka Kenya npeni like plz

  • @agapsanyenyela4691
    @agapsanyenyela4691 2 месяца назад +8

    Wa kwanza toka 🇨🇩🇨🇩🇨🇩Drc.nipeni likes zangu

    • @DaniRavi
      @DaniRavi 2 месяца назад

      Nime kupa brow 🎉🇨🇩🇨🇩💪💪

    • @DaniRavi
      @DaniRavi 2 месяца назад

      Nime kupa brow 🎉🇨🇩🇨🇩💪💪

  • @beckammkiza
    @beckammkiza 2 месяца назад +8

    Kp Ni mwizi mpaka kaiba moyo wa norah

    • @joycemaregesi18
      @joycemaregesi18 2 месяца назад +1

      😂😂😂umeona eeh! yan kaiba cm pamoja na moyo

    • @MohammedAfrica
      @MohammedAfrica Месяц назад

      @@joycemaregesi18 hahahahahahhhhhhhhhh

  • @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص
    @محمدالقحطاني-ظ3ط1ص 2 месяца назад +2

    Nafurahi sana kumuona Norah akimfariji kp ila huyu mzee likoma ananchekesha hatari yani anayekula mwengine yeye anajilamba mdomo😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉Kenya 🇰🇪 nko hapa mie😊😊😊😊😊

  • @nkinzingabobonaventure4463
    @nkinzingabobonaventure4463 2 месяца назад +1

    Nzur sana ira shida inacherewa sana bora zingine mzipe nafasi ndogo ira hiyo miwekee nguvu nyingi sana mungu awabariki mnatutibu stress

  • @LowrenceSilungwe
    @LowrenceSilungwe 2 месяца назад +19

    VIP kp naomb like zangu tena usikubali kutangaza picture

  • @JamesReuben-gt8up
    @JamesReuben-gt8up 2 месяца назад +1

    Plan b moja ya series kalii kutoka kwa kp

  • @Misheckkazilist-cv2hb
    @Misheckkazilist-cv2hb 2 месяца назад +4

    Ujaweka sim kwenye silent we kp mbona mzembe kazini wakati unajua fika ulikua umepatana na dem kua atakupigia sim ulitegemea nini saaa sawa plan b itumike wepesi nimekety nangoja ❤❤❤

  • @YohanaMalecka-kl8kz
    @YohanaMalecka-kl8kz 2 месяца назад +5

    Mnachelewesha Sana jomon mpka tunasahau

  • @danielmunyoki-fq2xv
    @danielmunyoki-fq2xv 2 месяца назад +2

    Movie nzuri sana bt mnakawia sana mjarbu mtupee movie kw wakati

  • @hamzaIlunga
    @hamzaIlunga 2 месяца назад +1

    From zambia lusaka 🇿🇲🇿🇲 unajuwa kazi Kaka mkubwa tupia like zangu apo atakama nimechelewa kidogo team aquino❤

  • @Official-Bee
    @Official-Bee 2 месяца назад +3

    Kazi nzuri hila mnachelewesha sana jamani

  • @BRM2025
    @BRM2025 2 месяца назад +6

    Miss sheishei Mhuni kinoma😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 месяца назад +1

      😂vinguo vyake sass

    • @BRM2025
      @BRM2025 2 месяца назад

      @@m.mmarckus6298 😂😂😂😂😂 lkn ni mrembo sana

  • @FaridahAtieno
    @FaridahAtieno 2 месяца назад +1

    Shei shei leo wapendeza,I love your outfit ❤❤

  • @TeshmonyAntonio
    @TeshmonyAntonio 2 месяца назад +3

    mnajitahidi sana may God awafikishe mbali

  • @ElishaIlunga-b2p
    @ElishaIlunga-b2p 2 месяца назад +5

    Ok kazi nzuri saaana wow❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @DanielKimeu-s7r
    @DanielKimeu-s7r Месяц назад

    For real Mzee Likoma ni more fire wakiwa na sheishei

  • @OokoSusan
    @OokoSusan 2 месяца назад +100

    Leo nimefika mapema wapenzi mnipe like za kwangu nawapenda nyote❤😘😘🇰🇪🇰🇪

  • @NtulimkongoNtulimkongo
    @NtulimkongoNtulimkongo 2 месяца назад

    Hongereni sana❤❤❤❤kazi nzuri sana🎉🎉🎉

  • @Phanny-Nyonge
    @Phanny-Nyonge 2 месяца назад +5

    Wapendwa wa KP wa Aquino wapitie hapa❤

  • @ZuhuraAbdallah-u9o
    @ZuhuraAbdallah-u9o Месяц назад

    Mnajua sana kazi nzuri kutoka. Oman naomba like😅

  • @OswardDebwa-zq3ez
    @OswardDebwa-zq3ez 2 месяца назад +7

    Movi Kali sanaaaaaa

  • @JoaquimAntoniovindecaJoaquimAn
    @JoaquimAntoniovindecaJoaquimAn 2 месяца назад +1

    ❤❤ good movie mimi kutoka mozambique

  • @NimbonaUdhaifa-jw2lo
    @NimbonaUdhaifa-jw2lo 2 месяца назад

    Movie nzuri saana Ila sauti iko chini kbx ❤❤❤

  • @BintiMweluhanga
    @BintiMweluhanga 2 месяца назад

    Nawapenda😘😘🌹🌹❤️❤️❤️❤️ daah sijui kp kitamkuta nn jaman😢

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva Месяц назад

    Manshallah move ninzuri Sana wapedwa 😂😂😂😂

  • @AsaniAnsufati-jc3yv
    @AsaniAnsufati-jc3yv 2 месяца назад

    Good kp wa aquino🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉kazi nzuri wakikataa kukupa mauwa yako mimi nakumwagiya 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂

  • @Getu560
    @Getu560 2 месяца назад +1

    ❤❤ duuuh cheichei hamjui kisai labda ngoja tuchek😂😂

    • @m.mmarckus6298
      @m.mmarckus6298 2 месяца назад

      Mpk hapo kupitia kp kashamjua vizuri😂😂

  • @FaridaMbao-h7k
    @FaridaMbao-h7k Месяц назад

    Waoo penda sana Shepshed mungu awasimamie

  • @valentineonyoni9065
    @valentineonyoni9065 2 месяца назад +1

    Thanks guys for the good work 🎉. Representing Mombasa Kenya ❤

  • @OmOmabs
    @OmOmabs 2 месяца назад +8

    Ih kali sana❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Edith-rq3mm
    @Edith-rq3mm 2 месяца назад +3

    Uzur ni kwamba sheishei anajikubali na anajiamn mno

  • @Josamjosam8
    @Josamjosam8 2 месяца назад +2

    Kp style yako ya kunyata uwa inanifrahisha sana😂😂😂😂😂 kama kwenye mr money

  • @LUCKYRegnald
    @LUCKYRegnald 2 месяца назад

    Nimgen Leo ila story inavutia picha nzur shot nzur ❤❤❤

  • @Thierrynsavyumukama-om9ku
    @Thierrynsavyumukama-om9ku Месяц назад

    Nola akampenda kp ,,,safi sana

  • @AnithaMwakaleja
    @AnithaMwakaleja 2 месяца назад

    Shey shey sio ubondia tu kumbe hata pesaa unapendaaa😂🤪

  • @MusaMulima
    @MusaMulima 2 месяца назад

    Kazi kubwa kp tunangoja muendelezo haraka

  • @RachelNgalya
    @RachelNgalya 2 месяца назад

    😂😂😂😂😂 jamani mzee likoma ananifurahisha na kamnyweso 😂😂😂😂😂

  • @StelaStela-bd8lf
    @StelaStela-bd8lf 2 месяца назад +1

    Zebuu pole sana na pia shyshy ww n mwanake

  • @Joblukobruno
    @Joblukobruno 2 месяца назад +1

    Love from +254 Kenya💕💕

  • @ASHERIJAKOBO
    @ASHERIJAKOBO 2 месяца назад

    Pole zebuu kwa magumu yalio kufika mana namengine bado yanakuja namwenye kiumbe hajui namdogo wako hajui migongano inayo kuja nikumtanguliza MUNGU tu bigapu kwako #kpnazebuu#🎉🎉🎉🎉🎉

  • @GodwinMgongo-xi2bm
    @GodwinMgongo-xi2bm 2 месяца назад +10

    Wakwanza Leo jamni

  • @PendoElisha-p9w
    @PendoElisha-p9w 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤kazi nzur sana nikiludi nyumbani mdogo wangu ananiuliza mbona cja danload plani B na Mr money unakuwa ugomvi kabisa utadhani mm ndio Huwa naigiza yeye anataka Kila siku azione zinaendelea😂😂

  • @ZoazinaJohn
    @ZoazinaJohn 2 месяца назад +2

    ❤❤❤❤❤Norah, KP, sheishei, zebuu, 🎉🎉🎉🎉asanteni kwa burudani❤❤❤❤

  • @jazminewatanzi1854
    @jazminewatanzi1854 2 месяца назад +8

    Just here to enjoy and learn at the same time ❤❤❤❤❤much love from Uganda 🇺🇬 the pearl of AFRICA 🌍

  • @sarahkaniki1732
    @sarahkaniki1732 2 месяца назад +1

    Kp mbn umepata pesa nyingi hufanyi maendeleo

  • @HassanAli-qq3kz
    @HassanAli-qq3kz 2 месяца назад

    We bwege nn unafkiri hata usiponambia unafkiri sitokw😄😄😄😄😄

  • @Nemawema
    @Nemawema 2 месяца назад +3

    Wa kwanza jamanii❤❤❤

  • @JoynessMshaija
    @JoynessMshaija 2 месяца назад +1

    Mnakawia sana wapendwa wangu ila mnajua ❤

  • @Penielchenda
    @Penielchenda 2 месяца назад +1

    ❤❤❤❤ je 👉vous👉 aime💓💓 beaucoup👉 kp n'a zébu 🎉🎉🎉courage👍 on 👉est 👉👉👉ensemble👭👬👫

  • @dannymoses1882
    @dannymoses1882 Месяц назад

    Soundtrack ya pk nimeipenda😊😊

  • @matecollins2945
    @matecollins2945 2 месяца назад +1

    I just like Norah,
    Only watching her😊

  • @sethmmuhambe6532
    @sethmmuhambe6532 2 месяца назад

    Mko sawa sana congratulations from Kenya

  • @LucyAloyce-ew9jf
    @LucyAloyce-ew9jf 2 месяца назад

    Safi sana zebuuu bora ubambikizee tuu hamna namna

  • @stitore2388
    @stitore2388 2 месяца назад +2

    Jamani nabapenda sana ❤❤❤❤❤❤❤🥀🌷🌺💐🌹⚘

  • @KAKULUMagayane
    @KAKULUMagayane 25 дней назад +1

    Unacherewa sana kupst mwamba

  • @gideonmarube6832
    @gideonmarube6832 Месяц назад

    Mzee Likoma anafurahisha sana kwa hii kipindi ya kp

  • @TeodoraNzuyu
    @TeodoraNzuyu 2 месяца назад

    Mwenyew. Hap Ni wa kwanz
    Nawapenda sana❤❤❤❤❤❤

  • @Michellarnkubitu
    @Michellarnkubitu 2 месяца назад

    Why im i laughing at this middle of the night,,likoma wewe😂😂😂now my mom thinks nikona malaria❤❤❤❤

  • @yasrisimba6387
    @yasrisimba6387 2 месяца назад

    Unaenda kwenye mission ya kuiiba flash kwa mtu cmu unaweka mlio kipande hko mmebug lkn kazi nzuri kakaaa😅😅😅😅😅 nipen like zangu kwanz

  • @alexluvanga2228
    @alexluvanga2228 2 месяца назад +2

    Mambo juu ya mambo kp majanga yote yake😢😢😢

  • @MariamMariam-h8h
    @MariamMariam-h8h 2 месяца назад

    Plan B imeingia unyama kweli much love from 🇰🇪