kazi nzur kp na zebuu mnajua mashabiki tunaitaji nini ukwel sisi tunaitaji burudani mafunzo tunapata kwenye maisha so youtube ni burudani tu icho unakitimiza sana kwangu thank you so much
Nmechek mchumb ake zebuu😂😂 mana alipokuw anaongea na cm nkajiuliz atakuw nan . Darkid nn😊 ckutegemea atakuw huyo jamaa . Ila naona kwa mbali pnz la zebuu n kp🎉🎉🎉
Jamani eee nasemaje,,,kp salamu zikufikie iyo part ya kutembea msituonyeshe Bora mtuonyeshe part nyengine jamaa,,mda mwingi unakwenda mnapotembea ,,niwazo tu ndugu sikwaubaya
❤❤❤❤badala ya kukosoa pale ambapo hapajaenda sawa, na kupongeza palipo burudisha ili waendelee kutupa burudani iliyomurua mmebakia kuwahi namba moja na kuomba like🙄asa watajuaje km Kuna sehemu labda wanakera au utamu wameuzidisha bila ya ss kuwa wawazi😳ila nimaoni yng. Kikubwa naburudika Wala MB haziniumi kwa PLANI 'B' UKIIKOSA UTAJUTIAAA 😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mauwa nyenu asanteni kwa kazi nzuli ila mzee likoma umejuwa kunifulahisha dada zebuu mambo hayo jaman ila sizani KAMA kweli wamemuuwa mama yake kp
😂😂😂 likoma, spare my ribs jamani 😂😂 u're on another level can't miss to watch you ,,nilijua tu zebuu atakua pg😅 otherwise thanks for your good work love you guys
O god 🙌 😳 zebuu pregnancy 😫 😭 kisai picha zisambazwe 😂😂kp mbona makosa nimengi nakuonea huruma kp waakwino😊😊.Sheila tunakutegemea utamsaidia mwenzi mana ameelemewa mwisho atakufa na mawazo😢😢😢❤nawapenda nyote
Nimecheka sana Nora et lile jizi ni lakimataifa nakukubali sana Nora jamn naomba like kwa wale wafuas wa Nora🎉🎉🎉🎉🎉
Who else is here from Uganda 🇺🇬 we see miss Sheishei putting on kapale ka Elija kitaka 😂😂😂😂
Burundi leo tupo namba one like tujuane kutoka Bujumbura
Ingo rero nguhe ka benz mukmenge😅😅😅
Tz like tujuane
kazi nzur kp na zebuu mnajua mashabiki tunaitaji nini ukwel sisi tunaitaji burudani mafunzo tunapata kwenye maisha so youtube ni burudani tu icho unakitimiza sana kwangu thank you so much
Wa kwanza Léo.. nipeni like zangu niondoke from DRC 🇨🇩
Nimewahi hapa kutoka Mombasa Kenya ❤❤❤kazi nzuri sana Kp na team yako nawapenda sana
Zibuu hongera sna kwa kibendi cha mwamba kp❤❤❤❤
Nimewai kuitazama plan B like nyingi Kwa KP
Zebuu miba ya kp ipo. Nimefurah kujua Hilo. Wino mweupe kweli uliadika maneno yakaonekana. Love you guys
Kama unakubali kp hacheleweshi movie gonga like ❤❤❤🎉
Wakwanz Mimi toka Burundi nipe like zang
Kwa wakatii huu wa maandamano Kenya.tunawapenda sana team Kp
Kwani maandamano ayajaisha
Leo nimewai sijawai kupata laik ata moja jaman😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
🎉wakwanza mm from Zanzibar apa. Like tafazal❤❤
tuko pamoja kijana mwenzangu wa Zanzibar ❤
Ay mzenj mwenzang
@@rahmaissa1941at mm pia
Hahaha hy bna
@@rahmaissa1941 nipo zenji mwenzenu nasonga na plan b
Nyie mnao ombaga like mnaboa jamani ivi izo like waga mna zipeleka wapi jmn niambieni kwanza na mimi nijie mnaboa sana
Imajine
Unawaza Kama Mimi sjui zinamaana gan
Wanaboa San sa wanazipelekaga wp wanakula au
@@LizzyDaudi kabisa naona wanakula
Zinageuka pesa 😂😂😂
Kazi nzuri sana hongereni na nawapenda sanaaaaaaa ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉
Wà mwisho jaman nipeni like 5 Tu
WAOOOO TEAM STRONG KAZI NZURI WANAOIKUBALI TEAM KP TUJUANE KWA LIKE APA🎉🎉❤❤❤❤
Kisai ana roho ngumu kweli,, kazi nzuri tuko pamoja mpaka mwisho💥💥💥💥
Kazi nzuli nammi naomba like jaman kila muvi mnayo posti mmi nipo kweli
😂😂😂😂😂😂Huo mwendo wa kp alivyoingia ndani na mzee likoma 😂😂😂😂nmechekaaaaa
Wallh tang hii seriously ianze sjapt hat like tano
Ila nyie jameni... Mmeanza uongo kama movie za kihindi 😂😂😂😂 asa imekuwaje apo kisai kapita na mama apo mbele Yao na hawajamuona 😂😂😆😆
Then na yule KP alifikaje pale kwenye godoro kutoka kitanda cha hospital, au Sheshei ndio baadae alishirikiana na wale bodyguard wauwaji?
@@Fetty-i1v 😂😂
Hapa na mm naona tumepigwa za uso 😂😂
@@faustajoveen4664Au ni vile Sheishei aliijuwa room number aliokuweko mama KP, ndio kufika akamkuta KP?
@@joycemaregesi18 Kwa kweli 😂
Tangia leo asubuh naisubilia sm imezima naiwasha saivi naikuta nakubali kazi yenu kp ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Tangu series ianze sijawahi pewa likes ata 200
@@EvansMwenda-d1t unataka likes zote 200 kwani we ni mtunzi wa iyo series? 😂😂😂
😢😅😅😅😅😅@@faustajoveen4664
@@faustajoveen4664si ndo hapo sasa😂
Na huwa mnazipelekaga wap😂
Asa like za nn me sipendi 😒
Hapo hospital mmetupiga kwamba wote hamjaona Kama mgonjwa anaamishwa hapo mmecheza Kama wahindi😂😂
Umeona eeh😂nilikuwa natafta hii comment
Nmechek mchumb ake zebuu😂😂 mana alipokuw anaongea na cm nkajiuliz atakuw nan . Darkid nn😊 ckutegemea atakuw huyo jamaa . Ila naona kwa mbali pnz la zebuu n kp🎉🎉🎉
Sio kwa mbali hao ni mke na mume
@@user-dm5es8kt1c nmemaanisha kweny plan B
Hongereni kwa kz nzuri Sana wapedwa nimafunzo tosha 😂😂😂❤❤Kp zebuu
Jamani eee nasemaje,,,kp salamu zikufikie iyo part ya kutembea msituonyeshe Bora mtuonyeshe part nyengine jamaa,,mda mwingi unakwenda mnapotembea ,,niwazo tu ndugu sikwaubaya
Nikweli nikupotezeana muda tu...😢😢😢
True
Naombeni hata laiki mbili jamani
Shey shey uko vzr sanaaaa dada congratulations 🎉🎉🎉
Naona mambo ya uzunguni computer girl😂❤
Zebuu umepungua kimwili lkn umekaa bombaa 👌
Me najua zebuu atabeba mimba ya kp😂
Ata uyo. Kaka ajapendeza kua mpenzi wa zebuu
Bora angekua suraj
Very talented kp and your team ❤
Ni mzuli sanaa Ila munachelewesha Sana mpaka tunasaau jaman
Tume mmiss suraji 😢😅😅 🎉😢yukowap jamani lakin😂😅😢🎉
Mungu awape nguvu kufanya bora zaid, big up💪
Leo wakwanza naomben like zangu cjawai kupata ata 20
Hongera kipenzi 🎉🎉🎉
Marim Niko kenya
ruclips.net/video/HPsEI3UocPQ/видео.htmlsi=eNhERhB5yNPSm_U8
@@Marim-sj7oiasante
Karbu tz@@EmmanuelCharo-to4ij
Likoma anajua😂😂
Kazi zuri sheyshey ina maana it ulisoma mpaka ikaingia kwa ngozi
Jamaniii na mimi nimekuwa wa mwisho like zenu jmn
Za nn😏
Pole zebuu na mimba juu
Pole sana kp kwa kipindi kigumu unachopitia
Jmn niliimis hii movie aise thang you 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤
Wakwaza leo naomba like please
Nampendaka shela sana uwaka nanifuraisha kwenyi ana fika
Atal sana kazi nzuli sana jaman hongereni wahusika
Jamanii mwatuchelewesha saaana jamanii vipenzi 🎉 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Na mm wangap hat nikose like
Mzee likoma heti bby wangu usimshike 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
❤❤❤❤badala ya kukosoa pale ambapo hapajaenda sawa, na kupongeza palipo burudisha ili waendelee kutupa burudani iliyomurua mmebakia kuwahi namba moja na kuomba like🙄asa watajuaje km Kuna sehemu labda wanakera au utamu wameuzidisha bila ya ss kuwa wawazi😳ila nimaoni yng. Kikubwa naburudika Wala MB haziniumi kwa PLANI 'B' UKIIKOSA UTAJUTIAAA 😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mauwa nyenu asanteni kwa kazi nzuli ila mzee likoma umejuwa kunifulahisha dada zebuu mambo hayo jaman ila sizani KAMA kweli wamemuuwa mama yake kp
❤wa kwanza
😂😂😂😂😂 Mzee likoma ety beb wangu😅😅😅❤❤🎉
Mmenivunja mbavu kwa kweli kazi nzuri mungu awabariki
Nimechelewa lakini naomba hata like kumi 😊
Hongera sana kaka kp na da zebuu,kazi safi sana
Leo Mimi wakuanza 🎉🎉🎉
Tulommiss suraji gonga like hapaaaa
Tumemmiss
Zebu kabeba mimba ya mwizi, 😂😂😂
Haya mapenzi yamekua kunyume sasa 😢😢😢😢😢 zebuu ndio huyo na mimba ya kp😅😅😅😅 next mfanye haraka jamani 😀😂 congrats team kp❤❤
Kp uko juu sana rafiki yangu nakukubali mno hujawahi toa kazi mbaya hata 1
Kp wa Aquino Je suis fière de toi 🎉🎉
Napenda sana kaz zenu.. Mungu azidi kuwapa maarifa zaid na afya njema pia❤
Suraji yko wp jmn much love you guys ❤❤❤
😂😂😂 likoma, spare my ribs jamani 😂😂 u're on another level can't miss to watch you ,,nilijua tu zebuu atakua pg😅 otherwise thanks for your good work love you guys
Hongengere nimeinjoy sana, nawapenda nyote team kp na zebuu❤❤❤❤. hahya😮 kp karudia makosa aliyoyafanya babake dah pole zebuu😢😂😂😂😂
Wamwisho nipen like
Jamani eeeeeeh tujuane kwa like 🎉🎉🎉hapo tunao mkubali Kp na Zebu❤❤❤
Kisai umemuua mama kp kwa zb kuna mama kp amebebwa atazaliwa 😂
Kazi nzuri sana Jamanimnaweza kwa kweli
Wa kwanza mimi from congo 🎉
Hongereni kwa kazi nzuri 🎉🎉❤❤❤❤
Kazi nzuri xna shey shey 🎉🎉🎉
wa Kwanzaa Leo naombeni like zangu
Mtaniambia izo like mnazipeleka wp??
Kp unakera mkungu wa ndizi we zebu ugemchakaza chapu we unaleta stori uo ni umama
Kp ameniangusha 😂😂😂
Kazi nzuri sana kp nawapenda sana
Hatimae mama kila siku nachungulia
Ase mnazinguwa sana yan kwann mnatoa mojamoja
congratulations🎉🎉keep going👏👏👏
Kp unatsha, ila sheishei daaaa! Zebu jaman ❤
Twende Kazi kp Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Jameni Gen z woooyeee Kenyan 🇰🇪🇰🇪 sis ndo tuko
Dar mzeee likoma Mzee likoma dar hatari sana
O god 🙌 😳 zebuu pregnancy 😫 😭 kisai picha zisambazwe 😂😂kp mbona makosa nimengi nakuonea huruma kp waakwino😊😊.Sheila tunakutegemea utamsaidia mwenzi mana ameelemewa mwisho atakufa na mawazo😢😢😢❤nawapenda nyote
😂😂😂😂 zebuu kabeba mimba ya kp😂😂
❤❤ nawapenda sana nilikua nasubiria kwa hamu
Mimi wa kwanza leo ❤❤❤❤
Kaz pamoja tunaweza kp naona ww fundi
Yan uyu mume wa zebuu wa sasaiv Aaah sjui km ataweza mn kwenye sonaa alinikera😂 linaimba tu
Hapo pakushindwa kumuokoa huyo mama hospital mliniboesha sana
Kbx
This is love from Mozambique 🇲🇿❤💞
Kp kampeleka wap Suraj jmn Mzee wa kiduku😂
Mpenzi wa zebuu kwann asingekuwa suraji jaman😂😂😂
Of great importance to the society
Keep it up 🎉
Hamuhitaji kuongeza mtu mwingine 😊
Hata hainivutii mnazdsha sana ufund
Flashbacks nyngne znachngana. Event Moja inakaa kwa mda mrefu kwa slow motion.
Kaz nzuri appreciate broh kp