PLAN B _ Episode 8

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 7 сен 2024
  • #bintinyoka #kp #kpnazebuu #lastcard #wamangushi #zebuu #sonaa #tanzania #kpcomedy

Комментарии • 621

  • @LinusMsimbano-uq1kg
    @LinusMsimbano-uq1kg Месяц назад +48

    Nimecheka sana Nora et lile jizi ni lakimataifa nakukubali sana Nora jamn naomba like kwa wale wafuas wa Nora🎉🎉🎉🎉🎉

  • @jazminewatanzi1854
    @jazminewatanzi1854 Месяц назад +26

    Who else is here from Uganda 🇺🇬 we see miss Sheishei putting on kapale ka Elija kitaka 😂😂😂😂

  • @MugabeMedard-yf9jn
    @MugabeMedard-yf9jn Месяц назад +70

    Burundi leo tupo namba one like tujuane kutoka Bujumbura

    • @JombaWay
      @JombaWay Месяц назад

      Ingo rero nguhe ka benz mukmenge😅😅😅

    • @MohamedUchungu
      @MohamedUchungu Месяц назад

      Tz like tujuane

  • @Kharim_MTU
    @Kharim_MTU Месяц назад +22

    kazi nzur kp na zebuu mnajua mashabiki tunaitaji nini ukwel sisi tunaitaji burudani mafunzo tunapata kwenye maisha so youtube ni burudani tu icho unakitimiza sana kwangu thank you so much

  • @user-qd4wc5qh3m
    @user-qd4wc5qh3m Месяц назад +24

    Wa kwanza Léo.. nipeni like zangu niondoke from DRC 🇨🇩

  • @LucyJumwa
    @LucyJumwa Месяц назад +18

    Nimewahi hapa kutoka Mombasa Kenya ❤❤❤kazi nzuri sana Kp na team yako nawapenda sana

  • @amam2211-
    @amam2211- Месяц назад +5

    Zibuu hongera sna kwa kibendi cha mwamba kp❤❤❤❤

  • @user-qw6yp3ib6i
    @user-qw6yp3ib6i Месяц назад +56

    Nimewai kuitazama plan B like nyingi Kwa KP

  • @user-lw6st3bi1s
    @user-lw6st3bi1s Месяц назад +8

    Zebuu miba ya kp ipo. Nimefurah kujua Hilo. Wino mweupe kweli uliadika maneno yakaonekana. Love you guys

  • @josephluomba8807
    @josephluomba8807 Месяц назад +38

    Kama unakubali kp hacheleweshi movie gonga like ❤❤❤🎉

  • @user-fm6pw1oo4d
    @user-fm6pw1oo4d Месяц назад +44

    Wakwanz Mimi toka Burundi nipe like zang

  • @CollisBill-mu3zp
    @CollisBill-mu3zp Месяц назад +19

    Kwa wakatii huu wa maandamano Kenya.tunawapenda sana team Kp

    • @AayshaAyash
      @AayshaAyash Месяц назад +1

      Kwani maandamano ayajaisha

  • @user-tf9gh8iu5s
    @user-tf9gh8iu5s Месяц назад +40

    Leo nimewai sijawai kupata laik ata moja jaman😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-gs7gm8ry9c
    @user-gs7gm8ry9c Месяц назад +36

    🎉wakwanza mm from Zanzibar apa. Like tafazal❤❤

  • @Sogee_bb8
    @Sogee_bb8 Месяц назад +24

    Nyie mnao ombaga like mnaboa jamani ivi izo like waga mna zipeleka wapi jmn niambieni kwanza na mimi nijie mnaboa sana

  • @saumodzumbo9671
    @saumodzumbo9671 Месяц назад +5

    Kazi nzuri sana hongereni na nawapenda sanaaaaaaa ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @MajimbiTz
    @MajimbiTz Месяц назад +60

    Wà mwisho jaman nipeni like 5 Tu

  • @AishaJafari-sh4pe
    @AishaJafari-sh4pe Месяц назад +37

    WAOOOO TEAM STRONG KAZI NZURI WANAOIKUBALI TEAM KP TUJUANE KWA LIKE APA🎉🎉❤❤❤❤

  • @richardelieza1001
    @richardelieza1001 Месяц назад +2

    Kisai ana roho ngumu kweli,, kazi nzuri tuko pamoja mpaka mwisho💥💥💥💥

  • @RalasimoNzero
    @RalasimoNzero Месяц назад +5

    Kazi nzuli nammi naomba like jaman kila muvi mnayo posti mmi nipo kweli

  • @cristaezekiel1036
    @cristaezekiel1036 Месяц назад +1

    😂😂😂😂😂😂Huo mwendo wa kp alivyoingia ndani na mzee likoma 😂😂😂😂nmechekaaaaa

  • @aishajuwinji3818
    @aishajuwinji3818 Месяц назад +9

    Wallh tang hii seriously ianze sjapt hat like tano

  • @faustajoveen4664
    @faustajoveen4664 Месяц назад +9

    Ila nyie jameni... Mmeanza uongo kama movie za kihindi 😂😂😂😂 asa imekuwaje apo kisai kapita na mama apo mbele Yao na hawajamuona 😂😂😆😆

    • @Fetty-i1v
      @Fetty-i1v Месяц назад +1

      Then na yule KP alifikaje pale kwenye godoro kutoka kitanda cha hospital, au Sheshei ndio baadae alishirikiana na wale bodyguard wauwaji?

    • @faustajoveen4664
      @faustajoveen4664 Месяц назад

      @@Fetty-i1v 😂😂

    • @joycemaregesi18
      @joycemaregesi18 Месяц назад

      Hapa na mm naona tumepigwa za uso 😂😂

    • @Fetty-r4o
      @Fetty-r4o Месяц назад

      ​@@faustajoveen4664Au ni vile Sheishei aliijuwa room number aliokuweko mama KP, ndio kufika akamkuta KP?

    • @faustajoveen4664
      @faustajoveen4664 Месяц назад

      @@joycemaregesi18 Kwa kweli 😂

  • @SelemaniIddy-nc1nf
    @SelemaniIddy-nc1nf Месяц назад +7

    Tangia leo asubuh naisubilia sm imezima naiwasha saivi naikuta nakubali kazi yenu kp ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉

  • @EvansMwenda-d1t
    @EvansMwenda-d1t Месяц назад +80

    Tangu series ianze sijawahi pewa likes ata 200

    • @faustajoveen4664
      @faustajoveen4664 Месяц назад +1

      @@EvansMwenda-d1t unataka likes zote 200 kwani we ni mtunzi wa iyo series? 😂😂😂

    • @janemumbua4683
      @janemumbua4683 Месяц назад

      😢😅😅😅😅😅​@@faustajoveen4664

    • @joycemaregesi18
      @joycemaregesi18 Месяц назад

      ​@@faustajoveen4664si ndo hapo sasa😂

    • @uwaridially5684
      @uwaridially5684 Месяц назад

      Na huwa mnazipelekaga wap😂

    • @LizzyDaudi
      @LizzyDaudi Месяц назад

      Asa like za nn me sipendi 😒

  • @marianalaurent2029
    @marianalaurent2029 Месяц назад +4

    Hapo hospital mmetupiga kwamba wote hamjaona Kama mgonjwa anaamishwa hapo mmecheza Kama wahindi😂😂

    • @joycemaregesi18
      @joycemaregesi18 Месяц назад

      Umeona eeh😂nilikuwa natafta hii comment

  • @FatmaNoor-ig8iy
    @FatmaNoor-ig8iy Месяц назад +8

    Nmechek mchumb ake zebuu😂😂 mana alipokuw anaongea na cm nkajiuliz atakuw nan . Darkid nn😊 ckutegemea atakuw huyo jamaa . Ila naona kwa mbali pnz la zebuu n kp🎉🎉🎉

  • @mwajumalubuva
    @mwajumalubuva 5 дней назад

    Hongereni kwa kz nzuri Sana wapedwa nimafunzo tosha 😂😂😂❤❤Kp zebuu

  • @user-ks3kx1dn2d
    @user-ks3kx1dn2d Месяц назад +7

    Jamani eee nasemaje,,,kp salamu zikufikie iyo part ya kutembea msituonyeshe Bora mtuonyeshe part nyengine jamaa,,mda mwingi unakwenda mnapotembea ,,niwazo tu ndugu sikwaubaya

    • @EmmyMo
      @EmmyMo Месяц назад

      Nikweli nikupotezeana muda tu...😢😢😢

    • @aishaomar2287
      @aishaomar2287 Месяц назад

      True

  • @EmanuelJohn-p9d
    @EmanuelJohn-p9d Месяц назад +2

    Naombeni hata laiki mbili jamani

  • @user-gu6eh4gl8l
    @user-gu6eh4gl8l Месяц назад +2

    Shey shey uko vzr sanaaaa dada congratulations 🎉🎉🎉

  • @nashclien7688
    @nashclien7688 Месяц назад

    Naona mambo ya uzunguni computer girl😂❤

  • @user-jc4yf7ee2l
    @user-jc4yf7ee2l Месяц назад +3

    Zebuu umepungua kimwili lkn umekaa bombaa 👌

  • @elizabethuwezo290
    @elizabethuwezo290 Месяц назад +3

    Me najua zebuu atabeba mimba ya kp😂

  • @user-hm9wv9it8e
    @user-hm9wv9it8e Месяц назад +8

    Ata uyo. Kaka ajapendeza kua mpenzi wa zebuu

  • @Bibi-he6vt
    @Bibi-he6vt Месяц назад +2

    Very talented kp and your team ❤

  • @user-dj3jv1hz3q
    @user-dj3jv1hz3q Месяц назад +2

    Ni mzuli sanaa Ila munachelewesha Sana mpaka tunasaau jaman

  • @user-wd9nk8le2d
    @user-wd9nk8le2d Месяц назад +2

    Tume mmiss suraji 😢😅😅 🎉😢yukowap jamani lakin😂😅😢🎉

  • @BethshebaNgendabanka
    @BethshebaNgendabanka Месяц назад +3

    Mungu awape nguvu kufanya bora zaid, big up💪

  • @AminaKhalfani-ib7sh
    @AminaKhalfani-ib7sh Месяц назад +114

    Leo wakwanza naomben like zangu cjawai kupata ata 20

  • @SamuelMasolwa
    @SamuelMasolwa Месяц назад +5

    Likoma anajua😂😂

  • @TabbyJay-x7d
    @TabbyJay-x7d Месяц назад +5

    Kazi zuri sheyshey ina maana it ulisoma mpaka ikaingia kwa ngozi

  • @AnnaEugen
    @AnnaEugen Месяц назад +10

    Jamaniii na mimi nimekuwa wa mwisho like zenu jmn

  • @user-le8bg9md9c
    @user-le8bg9md9c Месяц назад +2

    Pole zebuu na mimba juu
    Pole sana kp kwa kipindi kigumu unachopitia

  • @modestamodesta3940
    @modestamodesta3940 Месяц назад +7

    Jmn niliimis hii movie aise thang you 🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤

  • @HPZAYOZA
    @HPZAYOZA Месяц назад +16

    Wakwaza leo naomba like please

  • @KingaluSalumu-yv2vu
    @KingaluSalumu-yv2vu Месяц назад +3

    Nampendaka shela sana uwaka nanifuraisha kwenyi ana fika

  • @EdwardTz.
    @EdwardTz. Месяц назад +2

    Atal sana kazi nzuli sana jaman hongereni wahusika

  • @JibranMursali
    @JibranMursali Месяц назад +6

    Jamanii mwatuchelewesha saaana jamanii vipenzi 🎉 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @AliNassoro-r9d
    @AliNassoro-r9d Месяц назад +10

    Na mm wangap hat nikose like

  • @Nadzuwamangale
    @Nadzuwamangale Месяц назад +4

    Mzee likoma heti bby wangu usimshike 😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-xs2yr3zd1j
    @user-xs2yr3zd1j Месяц назад +8

    ❤❤❤❤badala ya kukosoa pale ambapo hapajaenda sawa, na kupongeza palipo burudisha ili waendelee kutupa burudani iliyomurua mmebakia kuwahi namba moja na kuomba like🙄asa watajuaje km Kuna sehemu labda wanakera au utamu wameuzidisha bila ya ss kuwa wawazi😳ila nimaoni yng. Kikubwa naburudika Wala MB haziniumi kwa PLANI 'B' UKIIKOSA UTAJUTIAAA 😂

  • @khadija2113
    @khadija2113 Месяц назад

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉mauwa nyenu asanteni kwa kazi nzuli ila mzee likoma umejuwa kunifulahisha dada zebuu mambo hayo jaman ila sizani KAMA kweli wamemuuwa mama yake kp

  • @maryamkyando3956
    @maryamkyando3956 Месяц назад +12

    ❤wa kwanza

  • @user-yk5sl9bk3x
    @user-yk5sl9bk3x Месяц назад

    😂😂😂😂😂 Mzee likoma ety beb wangu😅😅😅❤❤🎉

  • @user-be7mi8wl8o
    @user-be7mi8wl8o Месяц назад +2

    Mmenivunja mbavu kwa kweli kazi nzuri mungu awabariki

  • @VioletteManirakiza-jf2rk
    @VioletteManirakiza-jf2rk Месяц назад +8

    Nimechelewa lakini naomba hata like kumi 😊

  • @josephineatieno7516
    @josephineatieno7516 Месяц назад +5

    Hongera sana kaka kp na da zebuu,kazi safi sana

  • @user-vb8yo8zx1j
    @user-vb8yo8zx1j Месяц назад +1

    Leo Mimi wakuanza 🎉🎉🎉

  • @jazilaahmed7791
    @jazilaahmed7791 Месяц назад +2

    Tulommiss suraji gonga like hapaaaa

  • @metrinemanyonge6055
    @metrinemanyonge6055 Месяц назад +4

    Zebu kabeba mimba ya mwizi, 😂😂😂

  • @NipherKwamboka
    @NipherKwamboka Месяц назад

    Haya mapenzi yamekua kunyume sasa 😢😢😢😢😢 zebuu ndio huyo na mimba ya kp😅😅😅😅 next mfanye haraka jamani 😀😂 congrats team kp❤❤

  • @amosijulius4161
    @amosijulius4161 Месяц назад

    Kp uko juu sana rafiki yangu nakukubali mno hujawahi toa kazi mbaya hata 1

  • @EliyaElie-pn3gl
    @EliyaElie-pn3gl Месяц назад +1

    Kp wa Aquino Je suis fière de toi 🎉🎉

  • @rachelmduma9676
    @rachelmduma9676 Месяц назад

    Napenda sana kaz zenu.. Mungu azidi kuwapa maarifa zaid na afya njema pia❤

  • @ashamwanganzi6400
    @ashamwanganzi6400 Месяц назад

    Suraji yko wp jmn much love you guys ❤❤❤

  • @CarolyneNyanchama-yk1gf
    @CarolyneNyanchama-yk1gf Месяц назад

    😂😂😂 likoma, spare my ribs jamani 😂😂 u're on another level can't miss to watch you ,,nilijua tu zebuu atakua pg😅 otherwise thanks for your good work love you guys

  • @lucyrif-np8ik
    @lucyrif-np8ik Месяц назад

    Hongengere nimeinjoy sana, nawapenda nyote team kp na zebuu❤❤❤❤. hahya😮 kp karudia makosa aliyoyafanya babake dah pole zebuu😢😂😂😂😂

  • @ElizabethChalle
    @ElizabethChalle Месяц назад +13

    Wamwisho nipen like

  • @Shebby_movies
    @Shebby_movies Месяц назад +2

    Jamani eeeeeeh tujuane kwa like 🎉🎉🎉hapo tunao mkubali Kp na Zebu❤❤❤

  • @joycemachibya4380
    @joycemachibya4380 Месяц назад +1

    Kisai umemuua mama kp kwa zb kuna mama kp amebebwa atazaliwa 😂

  • @user-uy5rj2wx8n
    @user-uy5rj2wx8n Месяц назад

    Kazi nzuri sana Jamanimnaweza kwa kweli

  • @Isael.6396
    @Isael.6396 Месяц назад +3

    Wa kwanza mimi from congo 🎉

  • @user-ji2ks9ex9s
    @user-ji2ks9ex9s Месяц назад

    Hongereni kwa kazi nzuri 🎉🎉❤❤❤❤

  • @user-yi6ub2uq2i
    @user-yi6ub2uq2i Месяц назад +3

    Kazi nzuri xna shey shey 🎉🎉🎉

  • @user-nn8xd5op7c
    @user-nn8xd5op7c Месяц назад +20

    wa Kwanzaa Leo naombeni like zangu

    • @LizzyDaudi
      @LizzyDaudi Месяц назад

      Mtaniambia izo like mnazipeleka wp??

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Месяц назад +8

    Kp unakera mkungu wa ndizi we zebu ugemchakaza chapu we unaleta stori uo ni umama

  • @ElizabethMokami-xb6cf
    @ElizabethMokami-xb6cf Месяц назад +1

    Kp ameniangusha 😂😂😂

  • @Clara-r2w
    @Clara-r2w Месяц назад

    Kazi nzuri sana kp nawapenda sana

  • @Rahma-d1r
    @Rahma-d1r Месяц назад +3

    Hatimae mama kila siku nachungulia

  • @EzekieliBakari
    @EzekieliBakari Месяц назад

    Ase mnazinguwa sana yan kwann mnatoa mojamoja

  • @user-ce2bv8jo8c
    @user-ce2bv8jo8c Месяц назад

    congratulations🎉🎉keep going👏👏👏

  • @johnchacha559
    @johnchacha559 Месяц назад +1

    Kp unatsha, ila sheishei daaaa! Zebu jaman ❤

  • @AsaniAnsufati-jc3yv
    @AsaniAnsufati-jc3yv Месяц назад +1

    Twende Kazi kp Mambo ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @QueenLinzy-vq8bz
    @QueenLinzy-vq8bz Месяц назад

    Jameni Gen z woooyeee Kenyan 🇰🇪🇰🇪 sis ndo tuko

  • @williamraphael6426
    @williamraphael6426 Месяц назад

    Dar mzeee likoma Mzee likoma dar hatari sana

  • @FatimaFatima-bx8ez
    @FatimaFatima-bx8ez Месяц назад +2

    O god 🙌 😳 zebuu pregnancy 😫 😭 kisai picha zisambazwe 😂😂kp mbona makosa nimengi nakuonea huruma kp waakwino😊😊.Sheila tunakutegemea utamsaidia mwenzi mana ameelemewa mwisho atakufa na mawazo😢😢😢❤nawapenda nyote

  • @user-yb3od9jt8o
    @user-yb3od9jt8o Месяц назад

    😂😂😂😂 zebuu kabeba mimba ya kp😂😂

  • @SharifaHamisi-p6u
    @SharifaHamisi-p6u Месяц назад +1

    ❤❤ nawapenda sana nilikua nasubiria kwa hamu

  • @RehemaElendela
    @RehemaElendela Месяц назад +2

    Mimi wa kwanza leo ❤❤❤❤

  • @Tikijmlengo
    @Tikijmlengo Месяц назад +2

    Kaz pamoja tunaweza kp naona ww fundi

  • @Emmymajula5838
    @Emmymajula5838 28 дней назад

    Yan uyu mume wa zebuu wa sasaiv Aaah sjui km ataweza mn kwenye sonaa alinikera😂 linaimba tu

  • @abudailamy2577
    @abudailamy2577 Месяц назад +1

    Hapo pakushindwa kumuokoa huyo mama hospital mliniboesha sana

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 Месяц назад +4

    This is love from Mozambique 🇲🇿❤💞

  • @user-ky9cj5rv6y
    @user-ky9cj5rv6y Месяц назад

    Kp kampeleka wap Suraj jmn Mzee wa kiduku😂

  • @AishaAbu-bi5gt
    @AishaAbu-bi5gt Месяц назад

    Mpenzi wa zebuu kwann asingekuwa suraji jaman😂😂😂

  • @onchweridee
    @onchweridee Месяц назад

    Of great importance to the society
    Keep it up 🎉

  • @metroniashirima7829
    @metroniashirima7829 Месяц назад +1

    Hamuhitaji kuongeza mtu mwingine 😊

  • @user-vf8hb9rk1f
    @user-vf8hb9rk1f Месяц назад

    Hata hainivutii mnazdsha sana ufund

  • @rajabuwarioba001
    @rajabuwarioba001 Месяц назад

    Flashbacks nyngne znachngana. Event Moja inakaa kwa mda mrefu kwa slow motion.
    Kaz nzuri appreciate broh kp