KISUGU: TUMEWAFYEKA PANYA ROAD KWENYE VICHAKA VYAO | HII NDIO SIMBA BROTHER | MWANAUME MO KAKOMOA
HTML-код
- Опубликовано: 1 окт 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Upo VZR kisugu wachambuz wengi Bongo ni BAHASHA
Wasmbie Kisugu Simba nguvu moja mia nauliza hivi jamaa zetu ni WA ngapi ktk club Bora Africa?
Bada kuwa ondowa wale waliokwa wana hujumu Simba kufukuzwa sasa yanga wana tapa tapa. Hawako tena hapo Simba. Yanga zahere walikwa wana hujumu. Sasa basi.
Huyu anayom hoji kisugu ana one kana ni mpenzi wa yanga.
Cham atafanywa kam manala
Uwe unamwambia Aachen kutafuna akiwa anaongea
Waambie ukweli hao wachambuzi uchwala na utopolo wanapenda kujikweeeeza
Ubaya ubwela
Jamani😂😂kunawanaume na vijana😅😅😅 cheki vijana waliosimama nyuma mwanaume kawakalisha jamani😂😂😂😂 kisuguuuuu
Kisugu unajuwa sana kuongea nduguyangu unawazidi mpaka waandishi wa habari .make Kuna waandishi wa habari wengine hata kuuliza maswari tu hawajuwi
Kisugu ni Machine ya kuongea, tema cheche Baba
Kisugu anakipaji anawazidi sana na mbali wale wanaojiita wachambuzi wasomi uongea point muhinu,
Methali yako haiendani na uhalisia ya kile unachotakiwa kujibu
Kitafuna c mbya ila tuache ubinafsi kisugu anajuwa kuongea sana na anaongea point sana
Ana sauti kubwa hila hana hoja
Hanaga point huyo
Mbona unamtumia nguvu sana Kisugu
Ubaya ubwela
Naomba nikushauri kitu mtangazaji siku nyingine usije ukamapatia mic mtu anae tafuna tafuna inaleta nidhamu mbaya
Yani sio tuu nidhamu mbaya, Yani inaonekana Kama ni jitu primitive hivi
Hachana na kutafuna kwakwe!chukuwa point
Ukiwa huna Hela Kila kitu utaona hamna nidham
Hivi weee, mtangazaji , unamuhoji mtu, hajui mpira mpiga kelele, muuza sura