KISUGU: TUMEWAFYEKA PANYA ROAD KWENYE VICHAKA VYAO | HII NDIO SIMBA BROTHER | MWANAUME MO KAKOMOA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 1 окт 2024
  • JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
    KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.

Комментарии • 23

  • @faustinemsanguli1055
    @faustinemsanguli1055 7 дней назад +2

    Upo VZR kisugu wachambuz wengi Bongo ni BAHASHA

  • @charlessadock1389
    @charlessadock1389 6 дней назад

    Wasmbie Kisugu Simba nguvu moja mia nauliza hivi jamaa zetu ni WA ngapi ktk club Bora Africa?

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 5 дней назад

    Bada kuwa ondowa wale waliokwa wana hujumu Simba kufukuzwa sasa yanga wana tapa tapa. Hawako tena hapo Simba. Yanga zahere walikwa wana hujumu. Sasa basi.

  • @mohammedgulamali8849
    @mohammedgulamali8849 5 дней назад

    Huyu anayom hoji kisugu ana one kana ni mpenzi wa yanga.

  • @MussaMarwa-z3n
    @MussaMarwa-z3n 2 дня назад

    Cham atafanywa kam manala

  • @jonasmalima9143
    @jonasmalima9143 7 дней назад +1

    Uwe unamwambia Aachen kutafuna akiwa anaongea

  • @mussakingwande3694
    @mussakingwande3694 6 дней назад

    Waambie ukweli hao wachambuzi uchwala na utopolo wanapenda kujikweeeeza

  • @jofreymhagule7505
    @jofreymhagule7505 6 дней назад

    Ubaya ubwela

  • @mgemaJuma
    @mgemaJuma 7 дней назад

    Jamani😂😂kunawanaume na vijana😅😅😅 cheki vijana waliosimama nyuma mwanaume kawakalisha jamani😂😂😂😂 kisuguuuuu

  • @DeogratiusMagaimabwiga
    @DeogratiusMagaimabwiga 7 дней назад

    Kisugu unajuwa sana kuongea nduguyangu unawazidi mpaka waandishi wa habari .make Kuna waandishi wa habari wengine hata kuuliza maswari tu hawajuwi

  • @clarencemeena1628
    @clarencemeena1628 6 дней назад

    Kisugu ni Machine ya kuongea, tema cheche Baba

  • @nelsonmjuni
    @nelsonmjuni 7 дней назад

    Kisugu anakipaji anawazidi sana na mbali wale wanaojiita wachambuzi wasomi uongea point muhinu,

  • @stevenobure8241
    @stevenobure8241 7 дней назад

    Methali yako haiendani na uhalisia ya kile unachotakiwa kujibu

  • @johnkimaro7350
    @johnkimaro7350 7 дней назад +4

    Kitafuna c mbya ila tuache ubinafsi kisugu anajuwa kuongea sana na anaongea point sana

  • @benardmwanjabe2403
    @benardmwanjabe2403 7 дней назад

    Mbona unamtumia nguvu sana Kisugu

  • @OlesamangaMolel
    @OlesamangaMolel 7 дней назад

    Ubaya ubwela

  • @verickkabyemela1691
    @verickkabyemela1691 7 дней назад

    Naomba nikushauri kitu mtangazaji siku nyingine usije ukamapatia mic mtu anae tafuna tafuna inaleta nidhamu mbaya

    • @Kasika-hi6hf
      @Kasika-hi6hf 7 дней назад

      Yani sio tuu nidhamu mbaya, Yani inaonekana Kama ni jitu primitive hivi

    • @IbniAbbas-yz3kt
      @IbniAbbas-yz3kt 7 дней назад +1

      Hachana na kutafuna kwakwe!chukuwa point

    • @MusaMkembela-ex6ev
      @MusaMkembela-ex6ev 7 дней назад +1

      Ukiwa huna Hela Kila kitu utaona hamna nidham

    • @jumakibasame3210
      @jumakibasame3210 7 дней назад

      Hivi weee, mtangazaji , unamuhoji mtu, hajui mpira mpiga kelele, muuza sura