NASSORO: AGEUKA MBOGO"SIMBA APEWE UBINGWA" | AMVAA REFA KUIBEBA SIMBA | SALUM ATEMA CHECHE
HTML-код
- Опубликовано: 29 сен 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Afu uyu mtangazaji nae ni simba wamemuhuliza simba mechi ya 4 anagoli 1 ameshuka ao kapanda ajibu
Muda sio mrefu Utopolo watasema Karia na Mosepe ni Simba
MSIM JANA TULILALAMIKA MWANZO WALIPO TUBIYA NGAO KUKATA GOLI LA MZIZE NA MSONDA
yaani huyu jamaa ukimgusa kidogo anaweza akaanza kupigana yaani anaongea kwa hasira sana yaan kama kuna silaha hapo anaweza akampiga mtu atakaye mzidi hoja🤣🤣🤣🤣
Ata Real Madrid ilianza na magoli mangapi
kwaiyo wee mmezoeq kubebwa
Haaaaa kumeanza kuchangamka huko utopoloni
N
Mtasema sana
MAKOLO ni wahanga WA kuwa underdogs, ndo maana hata wakifungwa na yanga wanashangilia Kwa kufungwa IDADI ndogo😂😂
Sasa jacket usilazimishe majibu yako ya kichwan yaendane na hao unao wauliza unapoteza content unakua kama una force unarudia swali moja mara tatu nne ya nn japhet
Tumelipokea tutazingatia