ASHLEY NASSARY - SINA JINA (OFFICIAL MUSIC VIDEO)
HTML-код
- Опубликовано: 18 сен 2024
- Booking:
emgrecordstz@gmail.com
+255789242055
@emgrecords
More Play
MSALABA: • Ashley Nassary - Msala...
SHAMMAH: • Ashley Nassary - Shama...
YESU KILA KITU: • Ashley Nassary - Yesu ...
PUMZI: • Ashley Nassary - Pumzi...
SINA JINA: • Ashley Nassary - Sina ...
MASHANGILIO: • Ashley Nassary - Masha...
USIYESHINDWA: • Ashley Nassary - Usiye...
HALLELUYAH: • Ashley Nassary - Halle...
The official RUclips channel of ASHLEY NASSARY. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
For Bookings & More
Email: emgrecordstz@gmail.com
Call: +255789242055, +255788662333
#AshleyNassary #Usieshindwa #EmgRecords
#EmgRecords #AshleyNassary #Tanzania
Mungu awabariki wote wanaosikiliza huu wimbo ukawe baraka katika maisha yetu. Amen
Ameeeeeen
Naupenda Sana Wimbo Huu Mungu akuinue sana Mdogo wangu na Muona Yeso ndani yako
amen baba
Zidi kumuombea Sana afikie Mahali Kama YESU alivokuinua Sana Kaka boaz nakukubali Sana na wewe YESU ajitukuze kupitiaaa uimbaji wakoo.... Ukaona lugha yangu haitoshi hahahh jaman
Barikiwa Sana mnanibariki
@@AshleyNassaryOfficial habar wimbo wako umenibariki kk
Wao broo sikiliza nahuu basib ruclips.net/video/LORcUwSD2Ug/видео.html
Huu wimbo nilikuwa napita sehemu nipo kwa gar ukawa unapigwa nje nikashika maneno kama mawil nimetumia kama siku sita kuupata nimefurahi sana leo kuupata barikiwa wimbo mkubwa sana
Ni YESU ni YESU🙌🙏❤
Leo nimepita kwenye changamoto nimefarijiwa sana na huu wimbo 19/4/2024😢😢😢🙏🙏🙏
Yesterday I become very sick and could not eat anything, feeling nausea and dizzy all day. It went on till midnight at 1pm this song came in my spirit and I started singing while hugging my bible. Just saying sina jina lingine I went to a deep sleep and I woke up today feeling very much better and no more dizziness and no more nausea. Kweli sina jina jingine ila jina lako Yesu.
BABA NISAIDIE YESUUUUUUUU🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻😭😭😭😭😭😭
Wazee wa dislike huwa siwaelew...wimbo una barik kabsa huu...mtumish, Mungu akutie nguvu uendelee kuifanya kazi Bwana
hahahahaha
Unajua nachoogopa kukutazama after few years Hautakua hapaa sababu yn Ashley unajia Kua mnyenyekevu, na Lazima Mungu atakia anakufurahia mnooo, so he must Lift You Up, more than higher..I bless ya
2026
You have said it all. I can't wait to see where God is taking His son
Hongera
🔥
Naupenda mnoo wimbo huu 😘😘👏👏👏umeimba mwanangu na Mungu azidi kukuinua akuepushe na kila kusudi la muovu ukawe mboni la Yesu
Nimeipenda nyimbo hii
Amen
Wimbo bora kupita maelezo barikiwa sana
Jina lenye nguvu
Ni Yesu
MUNGU wa mbinguni akubariki sana kwa wimbo mzuri wa kumtukuza MUNGU,hakika hatuna jina lingine lenye nguvu zaidi ya YESU,,Wengine watataja waganga,wachawi na majina maalufu duniani but no One like JESUS
Watu tunajazwa roho mtakatifu, tunapona tunapata nguvu kupitia wimbo huu 😫 ubarikiwe mnooo 👏
Lkn video inaupungufu wa shots na locations.
Huzuni, hofu mashaka na kukata kwangu tamaa kumeyeyuka ghafla baada ya kusikiliza hii nyimbo!! Jina la Yesu linaishi na lina nguvu ya ajabu sana pia! KristoMfalme aendelee kujitukuza ndani yako mdogo wangu🙏
Kila mda, Kila Mara nauskiliza sana huu wimbo , mngu akuinue zaid upande katka viwango vya juu
Kweli sina jina lingine lenye nguvu ni yesu tu. Big up bro
Sina jina lingine ni Yesuu jina lenye nguvu wow 🥰🥰🥰🥰
Sina sina sina😭😭😭😭😭😭😭zaidi yako wewe YESU sina mwingine😭😭😭🙌🧎🏻♀️🙏
Mungu akubariki kwa kazi nzuri na huduma ndani yako mtumishi wa Mungu
🙏🙇Sina jina jingine Ila jina lako YESU
Sina Jina Jingine zaidi ya Jina la Yesu 🙌🏾
Wonderful aiseee umeimba kwa level za hillsong
Ubarikiwe kwa wimbo mzuri! ningepewa nafasi ya kushauri wimbo huu ulipaswa kuwa recorded kwenye ibada ya kusifu na kuabudu iwe kama live vile, ni wimbo uliobeba uwepo mkubwa sana, bado nashauri wimbo huu uwe re-recorded kwenye ibada ya kusifu na kuabudu ninahakika utagusa maisha ya watu wengi sana, utawapeleka watu vilindini kabisa kwenye uwepo wa Mungu
Wazo Zuri aisee. I wish Ashley alione
Ingerekodiwa ibadan ingekuwa nzur zaid.
Ubarikiwe kaka
Mungu akubariki. Sana inuka na utangaze makuu ya bwana
Kweli hanna jina jingine dunia na mbunguni . Ni Yesu tu
honger Sana Kaka angu nyimbo zako uwazinanibaliki zinatia moyo Sana mungu azidi kukupa maono mapya
Ni Yesu Kristo pekee Mwokozi wetu wanadamu.Bwana Yesu akubariki sana Muimbaji was huu wimbo
Ni Yesu ni Yesu.Ubarikiwe Tena na Tena Kwa vipimo vya kujaa na kufurika
Nakupenda YESU japo sifat yak yote lakini bado uliniwezesha na ninaimani utaniinua🙏😓
Hakika Jina la Yesu pekeeeeeeee linaishi milele
Sina jina lingine ila lako Yesu mungu ni mwema
Ninaposikia nyimbo hii nahis kusisimka sana na ninamuona roh mtakatifu ndan yangu
Uko vizuri San kaka
Am desperate for you Lord.... Jina la Yesu lina nguvu
Mungu wng ni wewe baba uwiii hakina hakuna ni Yesu
Nakupongeza sana wimbo wakumwinua Yesu umejaa nguvu huu wimbo
Dogo Mungu akutunze na atunze maono yako ufike ambapo Dunia haikutegemea
Ni jina lenye nguvu
Ni Yesu Ni Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai hata sasa❤
Barikiwa ndugu katika kristo wimbo unabariki sana
Jina lapita majina yote ni jina la yesu pekee
Amina ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Kuna nguvu katika hii wimbo am blessed,glory to God🙏Jina la Yesu Lina nguvu nyingi 🙏🙏🙏🙏
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu! Huu wimbo niliusikia mahali ukabaki moyoni nikiuimba sentensi 2 tu! Nimeutafuta sana! Nimeupata nimebarikiwa sana! Very powerful! Wimbo una nguvu sana
Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa kukubali kutumika kwa viwango hivi. Nabarikiwa sana na huu wimbo. Mungu apewe sifa!!
Kaka you're so potential keep burning fire nakiri jina la YESU ni nyimbo nzuri Sana Sanaaaa ina nguvu ya Bwana
2020 tunaishi naye kweli? Like watoto wa Kristo
Masterpiece. Jina la YESU
Mungu akubariki mno naupenda sana wimbo huu Mungu akuinue zaid na zaidi ni wimbo ambao unanibariki ❤❤❤❤❤❤❤❤
Mungu awalinde na majaribu ya ujanani Ameen
Ubarikiwe sana Mdogo wangu Mungu Azidi kukutumia kwa viwango vya utukufu wake na wewe uzidi kushuka
Wimbo huu umenibariki sana nimeusikia leo kanisan nimekujita naimba muda wote mungu akubariki sana
Hata Mimi umenigusa sana mungu nimwema
Sijawahi kuuzoea huu wimbo,Mungu akutunze Sana
YEEEEEEESU 🔥 🔥 🔥
kaka nimekujua leo. Nyimbo zako zina upako nzito saaana. Mungu azidi kukutumia. Nimebarikiwa
Kwakweli huu wimbo nikiusikiliza najawa na roho mtakatifu gafra jamaniii🖐️🖐️🖐️Mungu azidi kukuinuwa kwakweli
Naupenda sana yan ata ninapo fika kazin kabla sijafanya kaz lazima niuimbe kwanza
Yesu Anaimba ndani yako Na Anaonekana kabisaaaa🙏
Sina jina lingine ila jina lako YESU!!
Ubarkiwe sana
@@evamtumishi980 🤔🤔😂
Ftk
Nime farijika sana na huu wimbo nilkua Niki utafuta sana❤❤
Napenda huu wimbo sana.. Wimbo wa Manjira yote.. Mungu hakubariki na Akuinue kiwango kipya...
sina jina lingine mimi, ila Jina Lako Yesu
Haleluyah, jina lipitalo majina yote🙏🙏🙏🤲🤲🤲
Hongera Kaka yesu akuinue zaidi ya viwango hivi ulivyo namuona yesu ndani yako
Amen """ sina jina lingine ila lako YESU
Naiona nguvu ya mungu ndani yakoo ...shetani akupitie mbali na vishawishi vyake uinuke zaid ya hap
Naupenda San huuu wimbo unabarik maisha yangu San namungu akubarik sanaa
Nimeona Wimbo huu mzuri sana naufahamu sana kumbe umeimba wewe
Kuna nguvu katika jina la Yesu hakika
Powerful song!
Kweli hamna Jina lingine zaidi ya Jina Yesu
Kwakwel akuna jina lingine zaidi ya Yesu wet
Nimebarikiwa sana
Ni Moto sana
THIS JAM!!!!!!!!!!! MY GOODNESS...........
Sina jina lingine 😭❤️
Kweli hakuna jina jingine!! Endelea kumsifu anastahili!
Kweli ni YESU Tu!!! Ndilo jina pekee!
Mungu aliyekupa hii mistari yakutubariki azidi kukupa maradufu barikiwa sana ktk huduma yako mungu akuinue ktk viwango vingine
Naupenda sana huu wimbo,unanifariji ninapokuwa na majaribu
Ni YESU😍🌹🌹
Sang this song in the airport when i had fear that they might block my way in, because i ddnt have the return dummy ticket and wasnt even sure of where i was going. The name of Jesus is shapper than any doubled edged sword because he made a way! Now am am comfortable.,all glory belongs to him🙌
I can feel you dear.💪💪💪 Our God is able.
Amid corona...naliita jina la yesu.
Hongera sana Ashley My lord God shower more annointing and blessings upon you
Haleluyaa
My all day morning song. Ashley be blessed 2021 bado unanihudumia huu wimbo.
I wish ufanye live recording huu wimbo
Very powerful indeed
While new in the place where I Fellowship, the Worship Team led this song. I was so moved by it that I had to record. I've been listening to that recording over and over and today I came here to download it. I've just listened to it today while coming from my workplace. I mean, this song is on repeat 🙌🙌🙏🙏🙏.
The guy is so humble! Keep it up
Nabarikiwa sana kila nikiusikia huu mwimbo una ujumbe mkubwa mnoo..mungu azidi kukupigania kwa huduma yako
Kwakweli jina rapita majina yote Yesu
Naupenda sasa huu wimbo...Mwenyezi Mungu azidikkubariki
Shalom shalom, wimbo umebeba ukuu wa Mungu.. God bles u Ashley nassari.
Nina ushauri kidogo kwa upande wa video. kama itawezekana kuirudia video but iwe kwenye location moja na kuandaa kamaa mfumo wa live ivii, ifungwe na taa (lights). Amen
Munngu awainue katika viwango vya juu
So powerful song... Mungu azidi kukuinua brother
Nikiusikiliza huu wimbo yani nauona ukuu wa Mungu wa ajabu jamani, naziona nguvu za Mungu za ajabu . kuna mahali nilikataliwa kabisa ila nilipolililia ilo Jina nilipata kibali. Mungu azidi kukuongeza Ashley maana huu wimbo unanitafakarisha sana ukuu wa Mungu
Moja Kati ya nyimbo yenye Nguvu Sana!
Huu wimbo unanibariki Sanaa big up br
Unanibariki sana
Ubarikiwe
Ubarikiw San Kaka maan hata kanxan nyimbo. Zake znaalik uwepo mkubwa wa roho mtakatifu
Huu mchungaji wangu Six Bert anaupenda sana ukipigwa Gitaa Bass daah!
Mungu akuinue utukufu hata utukufu mdogo wangu.barikiwa kila hatua.nabarikiwa na huduma yako kwa namna ya pekee sana.