ASHLEY NASSARY - SINA JINA (OFFICIAL MUSIC VIDEO)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 18 сен 2024
  • Booking:
    emgrecordstz@gmail.com
    +255789242055
    @emgrecords
    More Play
    MSALABA: • Ashley Nassary - Msala...
    SHAMMAH: • Ashley Nassary - Shama...
    YESU KILA KITU: • Ashley Nassary - Yesu ...
    PUMZI: • Ashley Nassary - Pumzi...
    SINA JINA: • Ashley Nassary - Sina ...
    MASHANGILIO: • Ashley Nassary - Masha...
    USIYESHINDWA: • Ashley Nassary - Usiye...
    HALLELUYAH: • Ashley Nassary - Halle...
    The official RUclips channel of ASHLEY NASSARY. Subscribe for the latest music videos, performances, and more.
    For Bookings & More
    Email: emgrecordstz@gmail.com
    Call: +255789242055, +255788662333
    #AshleyNassary #Usieshindwa #EmgRecords
    #EmgRecords #AshleyNassary #Tanzania

Комментарии • 729

  • @lameckyohana4714
    @lameckyohana4714 2 года назад +35

    Mungu awabariki wote wanaosikiliza huu wimbo ukawe baraka katika maisha yetu. Amen

  • @boazdanken
    @boazdanken 5 лет назад +413

    Naupenda Sana Wimbo Huu Mungu akuinue sana Mdogo wangu na Muona Yeso ndani yako

    • @AshleyNassaryOfficial
      @AshleyNassaryOfficial 5 лет назад +11

      amen baba

    • @chrissmichaelmashouda1726
      @chrissmichaelmashouda1726 4 года назад +3

      Zidi kumuombea Sana afikie Mahali Kama YESU alivokuinua Sana Kaka boaz nakukubali Sana na wewe YESU ajitukuze kupitiaaa uimbaji wakoo.... Ukaona lugha yangu haitoshi hahahh jaman

    • @anelusiwemengo7162
      @anelusiwemengo7162 4 года назад +3

      Barikiwa Sana mnanibariki

    • @anelusiwemengo7162
      @anelusiwemengo7162 4 года назад +3

      @@AshleyNassaryOfficial habar wimbo wako umenibariki kk

    • @nyakatitv7763
      @nyakatitv7763 4 года назад +1

      Wao broo sikiliza nahuu basib ruclips.net/video/LORcUwSD2Ug/видео.html

  • @cruiseasphotographer
    @cruiseasphotographer 4 года назад +11

    Huu wimbo nilikuwa napita sehemu nipo kwa gar ukawa unapigwa nje nikashika maneno kama mawil nimetumia kama siku sita kuupata nimefurahi sana leo kuupata barikiwa wimbo mkubwa sana

  • @sophiamwakalenge513
    @sophiamwakalenge513 2 года назад +3

    Ni YESU ni YESU🙌🙏❤

  • @user-tw2vp9xl9x
    @user-tw2vp9xl9x 5 месяцев назад +5

    Leo nimepita kwenye changamoto nimefarijiwa sana na huu wimbo 19/4/2024😢😢😢🙏🙏🙏

  • @rosemarki34
    @rosemarki34 10 месяцев назад +6

    Yesterday I become very sick and could not eat anything, feeling nausea and dizzy all day. It went on till midnight at 1pm this song came in my spirit and I started singing while hugging my bible. Just saying sina jina lingine I went to a deep sleep and I woke up today feeling very much better and no more dizziness and no more nausea. Kweli sina jina jingine ila jina lako Yesu.

  • @maishokadori-ve2qz
    @maishokadori-ve2qz 10 месяцев назад +3

    BABA NISAIDIE YESUUUUUUUU🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻😭😭😭😭😭😭

  • @andrewnyasuru2917
    @andrewnyasuru2917 5 лет назад +19

    Wazee wa dislike huwa siwaelew...wimbo una barik kabsa huu...mtumish, Mungu akutie nguvu uendelee kuifanya kazi Bwana

  • @laurakisasa3162
    @laurakisasa3162 5 лет назад +69

    Unajua nachoogopa kukutazama after few years Hautakua hapaa sababu yn Ashley unajia Kua mnyenyekevu, na Lazima Mungu atakia anakufurahia mnooo, so he must Lift You Up, more than higher..I bless ya

  • @giftmlange3327
    @giftmlange3327 4 года назад +24

    Naupenda mnoo wimbo huu 😘😘👏👏👏umeimba mwanangu na Mungu azidi kukuinua akuepushe na kila kusudi la muovu ukawe mboni la Yesu

  • @barakaezekiel5610
    @barakaezekiel5610 3 года назад +2

    Wimbo bora kupita maelezo barikiwa sana

  • @elizabethmushi6963
    @elizabethmushi6963 3 года назад +2

    Jina lenye nguvu
    Ni Yesu

  • @humphreyngallawa5630
    @humphreyngallawa5630 2 года назад +4

    MUNGU wa mbinguni akubariki sana kwa wimbo mzuri wa kumtukuza MUNGU,hakika hatuna jina lingine lenye nguvu zaidi ya YESU,,Wengine watataja waganga,wachawi na majina maalufu duniani but no One like JESUS

  • @azizamuhali5531
    @azizamuhali5531 4 года назад +11

    Watu tunajazwa roho mtakatifu, tunapona tunapata nguvu kupitia wimbo huu 😫 ubarikiwe mnooo 👏
    Lkn video inaupungufu wa shots na locations.

  • @effiekinyaiya3450
    @effiekinyaiya3450 2 года назад +6

    Huzuni, hofu mashaka na kukata kwangu tamaa kumeyeyuka ghafla baada ya kusikiliza hii nyimbo!! Jina la Yesu linaishi na lina nguvu ya ajabu sana pia! KristoMfalme aendelee kujitukuza ndani yako mdogo wangu🙏

  • @eunicehamis6933
    @eunicehamis6933 3 года назад +7

    Kila mda, Kila Mara nauskiliza sana huu wimbo , mngu akuinue zaid upande katka viwango vya juu

  • @danielmbaga3654
    @danielmbaga3654 3 года назад +2

    Kweli sina jina lingine lenye nguvu ni yesu tu. Big up bro

  • @happyshemweta6449
    @happyshemweta6449 3 года назад +1

    Sina jina lingine ni Yesuu jina lenye nguvu wow 🥰🥰🥰🥰

  • @gabriellafaith6128
    @gabriellafaith6128 3 года назад +2

    Sina sina sina😭😭😭😭😭😭😭zaidi yako wewe YESU sina mwingine😭😭😭🙌🧎🏻‍♀️🙏

  • @theupperroomtz3686
    @theupperroomtz3686 4 года назад +1

    Mungu akubariki kwa kazi nzuri na huduma ndani yako mtumishi wa Mungu

  • @marleyjac3574
    @marleyjac3574 3 года назад +1

    🙏🙇Sina jina jingine Ila jina lako YESU

  • @41970
    @41970 2 года назад +4

    Sina Jina Jingine zaidi ya Jina la Yesu 🙌🏾

  • @erickmziray9708
    @erickmziray9708 5 лет назад +22

    Wonderful aiseee umeimba kwa level za hillsong

  • @bahatihakimu8613
    @bahatihakimu8613 5 лет назад +14

    Ubarikiwe kwa wimbo mzuri! ningepewa nafasi ya kushauri wimbo huu ulipaswa kuwa recorded kwenye ibada ya kusifu na kuabudu iwe kama live vile, ni wimbo uliobeba uwepo mkubwa sana, bado nashauri wimbo huu uwe re-recorded kwenye ibada ya kusifu na kuabudu ninahakika utagusa maisha ya watu wengi sana, utawapeleka watu vilindini kabisa kwenye uwepo wa Mungu

  • @ephatcharles9084
    @ephatcharles9084 3 года назад +1

    Mungu akubariki. Sana inuka na utangaze makuu ya bwana

  • @mercywambua3505
    @mercywambua3505 3 года назад +1

    Kweli hanna jina jingine dunia na mbunguni . Ni Yesu tu

  • @rosekuguru8627
    @rosekuguru8627 2 года назад

    honger Sana Kaka angu nyimbo zako uwazinanibaliki zinatia moyo Sana mungu azidi kukupa maono mapya

  • @pharesmitarya4892
    @pharesmitarya4892 2 года назад +2

    Ni Yesu Kristo pekee Mwokozi wetu wanadamu.Bwana Yesu akubariki sana Muimbaji was huu wimbo

  • @eliadeus236
    @eliadeus236 2 года назад +1

    Ni Yesu ni Yesu.Ubarikiwe Tena na Tena Kwa vipimo vya kujaa na kufurika

  • @gradnessrojas8343
    @gradnessrojas8343 Год назад +2

    Nakupenda YESU japo sifat yak yote lakini bado uliniwezesha na ninaimani utaniinua🙏😓

  • @gracembise906
    @gracembise906 3 года назад +1

    Hakika Jina la Yesu pekeeeeeeee linaishi milele

  • @hellenyusto6374
    @hellenyusto6374 2 года назад +2

    Sina jina lingine ila lako Yesu mungu ni mwema

  • @eidmakero4193
    @eidmakero4193 2 года назад +1

    Ninaposikia nyimbo hii nahis kusisimka sana na ninamuona roh mtakatifu ndan yangu

  • @samburuk
    @samburuk 3 года назад +1

    Uko vizuri San kaka

  • @immaculateakala9674
    @immaculateakala9674 3 года назад

    Am desperate for you Lord.... Jina la Yesu lina nguvu

  • @RevinaNtabaza
    @RevinaNtabaza 2 месяца назад

    Mungu wng ni wewe baba uwiii hakina hakuna ni Yesu

  • @mosesngeni1354
    @mosesngeni1354 2 года назад

    Nakupongeza sana wimbo wakumwinua Yesu umejaa nguvu huu wimbo

  • @happymsaki1720
    @happymsaki1720 4 года назад +1

    Dogo Mungu akutunze na atunze maono yako ufike ambapo Dunia haikutegemea

  • @willygidion3404
    @willygidion3404 10 месяцев назад

    Ni jina lenye nguvu
    Ni Yesu Ni Yesu Kristo mwana wa Mungu aliye hai hata sasa❤

  • @sodahjohn1513
    @sodahjohn1513 4 года назад +1

    Barikiwa ndugu katika kristo wimbo unabariki sana

  • @LydiaMollel
    @LydiaMollel Год назад

    Jina lapita majina yote ni jina la yesu pekee

  • @isayangaillah5758
    @isayangaillah5758 Год назад +1

    Amina ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @zipporahwanjiku7558
    @zipporahwanjiku7558 Год назад +3

    Kuna nguvu katika hii wimbo am blessed,glory to God🙏Jina la Yesu Lina nguvu nyingi 🙏🙏🙏🙏

  • @neemamakundi6407
    @neemamakundi6407 3 года назад +9

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu! Huu wimbo niliusikia mahali ukabaki moyoni nikiuimba sentensi 2 tu! Nimeutafuta sana! Nimeupata nimebarikiwa sana! Very powerful! Wimbo una nguvu sana

  • @laurasempeho3432
    @laurasempeho3432 2 года назад +2

    Ubarikiwe sana Mtumishi wa Mungu kwa kukubali kutumika kwa viwango hivi. Nabarikiwa sana na huu wimbo. Mungu apewe sifa!!

  • @andrewrobinson9289
    @andrewrobinson9289 5 лет назад +11

    Kaka you're so potential keep burning fire nakiri jina la YESU ni nyimbo nzuri Sana Sanaaaa ina nguvu ya Bwana

  • @philberthpatrick4987
    @philberthpatrick4987 4 года назад +7

    2020 tunaishi naye kweli? Like watoto wa Kristo

  • @iamprettyforchrist0942
    @iamprettyforchrist0942 2 дня назад

    Masterpiece. Jina la YESU

  • @user-my7gw2qz2d
    @user-my7gw2qz2d Год назад

    Mungu akubariki mno naupenda sana wimbo huu Mungu akuinue zaid na zaidi ni wimbo ambao unanibariki ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @rehemakudra868
    @rehemakudra868 2 года назад +1

    Mungu awalinde na majaribu ya ujanani Ameen

  • @LilianMwamwaja
    @LilianMwamwaja 4 года назад +1

    Ubarikiwe sana Mdogo wangu Mungu Azidi kukutumia kwa viwango vya utukufu wake na wewe uzidi kushuka

  • @loiceleonardsolomon1843
    @loiceleonardsolomon1843 3 года назад +1

    Wimbo huu umenibariki sana nimeusikia leo kanisan nimekujita naimba muda wote mungu akubariki sana

  • @BarakajacsonBaraka
    @BarakajacsonBaraka 2 месяца назад

    Hata Mimi umenigusa sana mungu nimwema

  • @angelmsuya7423
    @angelmsuya7423 2 года назад

    Sijawahi kuuzoea huu wimbo,Mungu akutunze Sana

  • @leakeymusic
    @leakeymusic Год назад

    YEEEEEEESU 🔥 🔥 🔥
    kaka nimekujua leo. Nyimbo zako zina upako nzito saaana. Mungu azidi kukutumia. Nimebarikiwa

  • @neemamwasigwa741
    @neemamwasigwa741 3 года назад +1

    Kwakweli huu wimbo nikiusikiliza najawa na roho mtakatifu gafra jamaniii🖐️🖐️🖐️Mungu azidi kukuinuwa kwakweli

  • @CharlesBahati-kd7yh
    @CharlesBahati-kd7yh 5 месяцев назад

    Naupenda sana yan ata ninapo fika kazin kabla sijafanya kaz lazima niuimbe kwanza

  • @fadhilaally1212
    @fadhilaally1212 Год назад

    Yesu Anaimba ndani yako Na Anaonekana kabisaaaa🙏

  • @gracengubiagai4509
    @gracengubiagai4509 4 года назад +17

    Sina jina lingine ila jina lako YESU!!

  • @ShukuruSamwel-po1wh
    @ShukuruSamwel-po1wh 4 месяца назад

    Nime farijika sana na huu wimbo nilkua Niki utafuta sana❤❤

  • @shadrackkitavi
    @shadrackkitavi Год назад

    Napenda huu wimbo sana.. Wimbo wa Manjira yote.. Mungu hakubariki na Akuinue kiwango kipya...

  • @dorcahogeto1544
    @dorcahogeto1544 3 года назад

    sina jina lingine mimi, ila Jina Lako Yesu

  • @trillhappybeautypoint9874
    @trillhappybeautypoint9874 3 года назад +1

    Haleluyah, jina lipitalo majina yote🙏🙏🙏🤲🤲🤲

  • @zuleashamte3128
    @zuleashamte3128 3 года назад

    Hongera Kaka yesu akuinue zaidi ya viwango hivi ulivyo namuona yesu ndani yako

  • @OctavianZuberi
    @OctavianZuberi Месяц назад

    Amen """ sina jina lingine ila lako YESU

  • @fetymikidady4122
    @fetymikidady4122 2 года назад

    Naiona nguvu ya mungu ndani yakoo ...shetani akupitie mbali na vishawishi vyake uinuke zaid ya hap

  • @janethsamson1296
    @janethsamson1296 2 года назад

    Naupenda San huuu wimbo unabarik maisha yangu San namungu akubarik sanaa

  • @musanjagamba1857
    @musanjagamba1857 Год назад

    Nimeona Wimbo huu mzuri sana naufahamu sana kumbe umeimba wewe

  • @mambostephen4725
    @mambostephen4725 5 лет назад +2

    Kuna nguvu katika jina la Yesu hakika

  • @ruthie_nakhungu1007
    @ruthie_nakhungu1007 Год назад

    Powerful song!
    Kweli hamna Jina lingine zaidi ya Jina Yesu

  • @irenejames19
    @irenejames19 3 года назад

    Kwakwel akuna jina lingine zaidi ya Yesu wet

  • @elizaberthsanga3619
    @elizaberthsanga3619 3 года назад +1

    Nimebarikiwa sana

  • @thehead9947
    @thehead9947 Год назад +1

    Ni Moto sana

  • @DJKrowbarKE
    @DJKrowbarKE 3 года назад +7

    THIS JAM!!!!!!!!!!! MY GOODNESS...........

  • @missannies
    @missannies 4 года назад +4

    Sina jina lingine 😭❤️

  • @bettyfrancis4438
    @bettyfrancis4438 Год назад

    Kweli hakuna jina jingine!! Endelea kumsifu anastahili!

  • @CofridaRichard-e1l
    @CofridaRichard-e1l 5 месяцев назад +2

    Kweli ni YESU Tu!!! Ndilo jina pekee!

  • @KachangaaPalma
    @KachangaaPalma Месяц назад

    Mungu aliyekupa hii mistari yakutubariki azidi kukupa maradufu barikiwa sana ktk huduma yako mungu akuinue ktk viwango vingine

  • @alphamarymakere1525
    @alphamarymakere1525 3 года назад

    Naupenda sana huu wimbo,unanifariji ninapokuwa na majaribu

  • @charlesswai2961
    @charlesswai2961 4 года назад +10

    Ni YESU😍🌹🌹

  • @Wairimugicheho1393
    @Wairimugicheho1393 Год назад +7

    Sang this song in the airport when i had fear that they might block my way in, because i ddnt have the return dummy ticket and wasnt even sure of where i was going. The name of Jesus is shapper than any doubled edged sword because he made a way! Now am am comfortable.,all glory belongs to him🙌

    • @Entertainmenttz360
      @Entertainmenttz360 7 месяцев назад

      I can feel you dear.💪💪💪 Our God is able.

  • @zawadi9112
    @zawadi9112 4 года назад

    Amid corona...naliita jina la yesu.

  • @successmaker7630
    @successmaker7630 2 года назад +1

    Hongera sana Ashley My lord God shower more annointing and blessings upon you

  • @pamelamboma6725
    @pamelamboma6725 3 года назад +4

    My all day morning song. Ashley be blessed 2021 bado unanihudumia huu wimbo.
    I wish ufanye live recording huu wimbo

  • @munyibonface166
    @munyibonface166 4 месяца назад +1

    While new in the place where I Fellowship, the Worship Team led this song. I was so moved by it that I had to record. I've been listening to that recording over and over and today I came here to download it. I've just listened to it today while coming from my workplace. I mean, this song is on repeat 🙌🙌🙏🙏🙏.

  • @josephpwiti2478
    @josephpwiti2478 2 года назад +1

    The guy is so humble! Keep it up

  • @GroryMichael
    @GroryMichael 2 месяца назад

    Nabarikiwa sana kila nikiusikia huu mwimbo una ujumbe mkubwa mnoo..mungu azidi kukupigania kwa huduma yako

  • @ruthmwasomola655
    @ruthmwasomola655 3 года назад

    Kwakweli jina rapita majina yote Yesu

  • @hellenmkenda4543
    @hellenmkenda4543 Год назад

    Naupenda sasa huu wimbo...Mwenyezi Mungu azidikkubariki

  • @sebastiansilas8792
    @sebastiansilas8792 5 лет назад +21

    Shalom shalom, wimbo umebeba ukuu wa Mungu.. God bles u Ashley nassari.
    Nina ushauri kidogo kwa upande wa video. kama itawezekana kuirudia video but iwe kwenye location moja na kuandaa kamaa mfumo wa live ivii, ifungwe na taa (lights). Amen

  • @bethchalamila1543
    @bethchalamila1543 6 месяцев назад

    Munngu awainue katika viwango vya juu

  • @GM-pr4bn
    @GM-pr4bn 5 лет назад +15

    So powerful song... Mungu azidi kukuinua brother

  • @janethmathew8205
    @janethmathew8205 9 месяцев назад

    Nikiusikiliza huu wimbo yani nauona ukuu wa Mungu wa ajabu jamani, naziona nguvu za Mungu za ajabu . kuna mahali nilikataliwa kabisa ila nilipolililia ilo Jina nilipata kibali. Mungu azidi kukuongeza Ashley maana huu wimbo unanitafakarisha sana ukuu wa Mungu

  • @kutendawemanakushirikianas1903
    @kutendawemanakushirikianas1903 2 года назад

    Moja Kati ya nyimbo yenye Nguvu Sana!

  • @westonkawina1929
    @westonkawina1929 3 года назад

    Huu wimbo unanibariki Sanaa big up br

  • @salaphinasilvester9252
    @salaphinasilvester9252 4 года назад +1

    Unanibariki sana

  • @StephenKasolo
    @StephenKasolo 3 года назад +3

    Ubarikiwe

  • @neemamhadisa4988
    @neemamhadisa4988 3 года назад

    Ubarikiw San Kaka maan hata kanxan nyimbo. Zake znaalik uwepo mkubwa wa roho mtakatifu

  • @zebedayokatamaduni9676
    @zebedayokatamaduni9676 2 месяца назад

    Huu mchungaji wangu Six Bert anaupenda sana ukipigwa Gitaa Bass daah!

  • @farajajuddy4391
    @farajajuddy4391 3 года назад

    Mungu akuinue utukufu hata utukufu mdogo wangu.barikiwa kila hatua.nabarikiwa na huduma yako kwa namna ya pekee sana.