Hongera mjku wng,unaweza/umeweza kweli kweli,jitahidi kwa ELIMU BORA ZAIDI ya fani ya hbr ili nawe uje utimize azma yk ya utangazaji,bila kusahau LUGHA YA BIASHARA(ENGLISH),c wamsikia Hashim Ibwe anavyotema lugha kwa ufasaha/kujiamini+ kujidai.Kila la heri Mlay.
Katoto kanajibu kikofidence saaaanaa BIG UP KATOTO siku moja mkutanishee na Baracka Mpenjaaa Huyo dogo ni simba damu damu kusoma sijui ila picha nimeonaa
Vipaji tunavyo, huyu mtoto atafika mbali, atawasaidia wazazi wake. Mungu akushike mkono. Amen
We katoto umegusa moyo wangu...hongera sana na Mungu akutangulie...SEE YOU AT THE TOP
Hongera sana mwanafunzi wangu mungu akutangulie nipo nyuma yako
Nyuma yake unafanya nini😂😂
Shule gani
Mjukuu wa Kashanabo uko vzr sana, endelea kujifunza zaidi.
Gooood talent god blessing you my young mwakalobo
Hongera sana mdogo wangu mungu akubariki sana akuongesee kipaji chako ❤❤❤
Hongera mdogo wangu mwenyezi Mungu akusaidie sana
Safi sana dogo nimependa sana utangazaji wako allah akuzidishie🙏🙏🙏
Hongera sana dogo utafika mbali: baraka mbenja kutana na uyo dogo
Mashaallah ❤❤ kanda ya ziwa tupo vzuri watoto chipukizi
Hongera mjku wng,unaweza/umeweza kweli kweli,jitahidi kwa ELIMU BORA ZAIDI ya fani ya hbr ili nawe uje utimize azma yk ya utangazaji,bila kusahau LUGHA YA BIASHARA(ENGLISH),c wamsikia Hashim Ibwe anavyotema lugha kwa ufasaha/kujiamini+ kujidai.Kila la heri Mlay.
Dah mashallah hii ni dhahabu inabidi itunzwe next Baraka Mpenja
Duuuuuuuu! Huyu kasshaingia Duniani. Hongera mtoto mzuri Mungu akupe maisha marefu
Inapendeza sana wakina baracka mpenja wa baadae haoooooooo😁😁😁😁
Katoto kanajibu kikofidence saaaanaa BIG UP KATOTO siku moja mkutanishee na Baracka Mpenjaaa Huyo dogo ni simba damu damu kusoma sijui ila picha nimeonaa
Salute dogo unakipaji tatizo hiyo jeziii tu,,,,
hongera sana mwanangu mwenyezi mungu akufanyie wepesi ufanikiwe katika maisha yako
Dogo una kipaji kikubwa sana mashallah❤🎉
uyu mtoto mwenyezimungu azidi kukupa mambo mazuri zaidi allah akuzidishie💚💚💚💚💚💚💚
Hongera sana mdogo mungu akujalie ufike mbali sana
Hongera sana mtoto mungu akutangulie katika maisha yako ili uwasaidie wazazii wako
Haaaaa dogo katisha sanaaa tumpe maua yake 🔥🔥🔥🔥🔥💐💐💐
Hongera bwana mdogo mungu atakusaidia pambana.
MUNGU ambariki sana kijana wetu huyo japo ulitakiwa utupe Kionjo dakika 05
Hongera sana kijana unastail kupewa na fac popot pal lkn soma kwa1 ❤❤❤❤
Upo vzr dogo❤❤mungu akufanikishe ufik mbali
Ndogo wetu yupo vizur sana akipew sapoti atafik mbali inshallaaah 🔥👍⚽
Mashallah tetea ulichonacho na ishi katika ndoto zakoo usikubali changamoto zikurudishe nyumaa
❤❤❤❤
Good fantastic, waooo kijana soma Mungu ameshakubariki na kipaji hicho.
Dah! Safi sana dogo upo vizuri sana, Mungu akutanguliye
Hongera sanaaaaaaa, dogo,
Hicho ndo kipaji
Kijana hongera sana maisha ni maeneo ya mzungumko wa mtu jitahid.
Mungu akusaidie bwana mdogo ndoto zako zitimie
Hongera xn kijana mungu akutangulie katika kipaji chako
Daaah hongera sana mtot Mungu akutangulie inshaallah❤❤❤
Mungu akutangulie 2 dg tuko pamoja sana wa Tanzania wak
Dah watu tunakipaji jamn horgera sana mwenzi mungu akutaguli sana I love you ndog
Big,up dogo mnyama unakipaji sana
Dogo uko vizuri endelea kupambana
Big up sana Dogo unatisha
Upo safi dogo
Lkn tatizo la kwetu hakuna muendelezo
Mungu akufanyie wepes mdogo wetu❤❤❤🎉🎉🎉
Hongera sana dogo yupo powa
Mwenyezi Mungu aendelee kumtunza kijana huyu afikie ndogo zake
Safi dogo Mungu akusaidie
Nakukubalisana mdongo wangu
Yupo vizuri apatiwe muongozo asomee utangazaji
Hongera sana home boy ukihitaji namna yoyote tujulishe kijana wetu tuko na ww Kanda ya ziwa kayenze moja
da mdowangu mungu akuongoze utafika mbali sana pambana nasi tunakuombea sana
Duuuh kijana yuko vizuri sana
Dogo uko vzr chamsingi jipe moyo utafika hatuwa unayo itaman mungu akubariki
Dogo anaweza sana tu family imsapoti na iwekeze juu yake
Dah dogo yupo vizuri🎉🎉🎉🎉
Ongera sana mtoto mungu akuongoze ufike mbali
Dogo unajua me ni shabiki wako namba moja ushanichukua Soma mdogo wangu ukiingia ktk tasnia ujue unamshabiki wako namba moja apa!❤❤
Hongera Sanaa upo Moto. mungu akubark ktk ndoto zako ❤
Hongera sana mungu akutangulie dogo na kwenye masomo
Congratulations infact you've made me happy
Hongera sana dogo mungu akutie nguvu
Waooooh my friend ❤❤
Mtoto anatumia nguvu kwelikweli kuongea, ila uko vzr😂😂😂😂
😂😂😂
Safi Sana mtoto anakipaji safi sana
Nmependa sana ❤❤dogo atafika mbali
Kwamm mpenja unyama sana
Mungu akujaliye
Hongera dogo uko vizury sana Linda kipaji yako sana coz utafika mbaly
Anajuwa sana dogo jaman mpeni sapota hii ni Adhina
Good job
Hongela san kijan
Dogo yuko safi sana Hongera yake na Mungu amsaidie sana.
Kuna adil saad yanga na kuna huyu dogo safi sana💚💚💚💚💚💚💚💚💚
Dah! Nimependa San dogo hatr pokea maua yako🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu akubariki 7:49
Hongera mdogo ang unajua👏
Da hakika hiki ni. Kipaji kikubwa mtangulize Mungu atakuwezesha ufike mbali
Nice, very nice
Safi kabisa kijana. Azam medium wakuone dgo janja wakupe shavu. ✍️ Mabetu &Co
BIG UP 👏👏👏🥰👊💪
God be with u na akuepushe na hasadi
Mungu atumzie kipaji chake
Huyo dogo anaweza sana hongera ziende kwake🎉
Umetisha kinyama mdodgo Wangu hongere sana
Aisee dogo yupo vizuuuuuuuri sana
Nice dogo
Naomba atangaze kama mpenja
Hongela sana kija
hongera sanaa mungu akuongoze❤❤
From #EconomicallyGrowthMusicians Congratulations 🎉🎉🎉🎉
Nice
Yaaani nimecheka tu yaani nimecheeka saaana ❤❤❤❤
Atafika mbali huyu mtoto Mungu akuinue zaid
Nakubal sana dg Lang BIG Up
mtoto huyu Mungu ambariki kwa kipaji hii
Baraka mpenja jamani khaaa Hadi raha
Safi sana Mjukuu wa kashanabo
Dogo hadi akiongea kawaida, anaongea kama anatangaza 😅.
Safi
I like it 😊😊
Duh mungu fundi bwanaa
🎉🎉dogo anajua apewe support
hv uyo mpenja anqga timu
Kijana yupo straight ana confidence ya hali ya juu hakika ndani yake kuna kitu mimi namtakia kila la kheri katika safari yake na tallent aliyonayo...