SAFU MPYA WA UONGOZI WA BARAZA LA MAASKOFU KATOLIKI TANZANIA 2024-2027,RAIS,MAKAMU NA KATIBU MKUU

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024

Комментарии • 33

  • @matiredms917
    @matiredms917 3 месяца назад +1

    Mimi ni Mlutheri lakini namshukuru Mungu sana kwa ajili ya Kanisa Katoliki kwa ushujaa ujasiri na uthubutu wa kuwaambia Watawala ukweli kinyume na uongozi wa kilutheri ambao unakubali ubabe wa Serikali hii dhalimu dhidi ya Wananchi kwa madai eti Askofu hakulelewa kueleza Serikali ukweli wa hali mbaya ya wananchi. Mungu awabariki sana TEC.

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt 3 месяца назад +1

    Mungu awalinde Baba zetu wa Kiroho na awajalie Afya ya mwili na Roho 🙏🙏

  • @matiredms917
    @matiredms917 3 месяца назад

    Hongereni TEC kwa kujipanga upya ili kutetea Wanyonge dhidi ya huu Utawala uliokengeuka na ovu.

  • @PriscaGasper-fu6ky
    @PriscaGasper-fu6ky 3 месяца назад

    Mungu bariki uongoz wa TEC Mungu bariki kanisa katoliki

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 3 месяца назад +1

    Mungu Bariki Kanisa lako Catholic na viongongozi wake pamoja nawa umini wake

  • @jonaskweyamba9747
    @jonaskweyamba9747 3 месяца назад +3

    Najivunia kuwa Mkatoliki, Nawaombea wote viongozi wa Balaza la Maaskofu TEC

  • @KennedyChaula-ny9mu
    @KennedyChaula-ny9mu 3 месяца назад

    Asante MUNGU kwawingi wa Baraka unazotumiminia

  • @alexiamatewa6274
    @alexiamatewa6274 3 месяца назад

    hongera sana Baba Askofu wetu wa Jimbo la Mpanda Askofu Euzebius Nzigirwa Kwa kuchaguliwa kuwa makamu wa Raisi wa TEC Tanzania

  • @lucimwica647
    @lucimwica647 3 месяца назад

    Mungu awabarki na awaongoze katika utume,

  • @emmanuellyatuu4103
    @emmanuellyatuu4103 3 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu awaangazie na kuwasimami katika Utume wenu na majukumu yake🙏🙏🙏

  • @jenisiamlandali-e2y
    @jenisiamlandali-e2y 3 месяца назад +1

    Mungu awasaidie sana ❤

  • @yungeelias9339
    @yungeelias9339 3 месяца назад +1

    Mwenyezi Mungu awe kiongozi wenu Mkuu, Mkono wake uwe juu yenu

  • @gabrielsabudema-uw3sd
    @gabrielsabudema-uw3sd 3 месяца назад +1

    Asante, mababa askofu

  • @jumannebasesa1100
    @jumannebasesa1100 3 месяца назад +3

    Mungu awasimamie viongozi wetu

  • @mariamtepa1740
    @mariamtepa1740 3 месяца назад +1

    Pigeni Moyo konde viongozi wetu na Mungu awajalie ujasiri wa kulilinda kanisa lake. Hizi mbambamba zisiwatishe

  • @albertmaneno
    @albertmaneno 3 месяца назад +1

    Majukumu mema Maaskofu wetu

  • @paulrwechungura4284
    @paulrwechungura4284 3 месяца назад

    Mungu undelea kuliongoza kanisa

  • @jameskagulu4228
    @jameskagulu4228 3 месяца назад

    Najivunia kuwa mkatoliki

  • @ezrashauri414
    @ezrashauri414 3 месяца назад +4

    Kazi na sala

  • @workmantiktok
    @workmantiktok 3 месяца назад +1

    mnajifanya watu kumbe ni zaidi ya shetani

  • @abubakarnyerere5263
    @abubakarnyerere5263 3 месяца назад

    Mkaue Albino nanyinyi

  • @abubakarnyerere5263
    @abubakarnyerere5263 3 месяца назад

    Mnajificha kwenye kimvu cha dini ila siyo ninyi mnamakubwa ya kishetani utabiri wa yohana uko sawa mnakiti cha shetani vatcan

    • @GeraldMichael-tg4zd
      @GeraldMichael-tg4zd 3 месяца назад

      Unajielewa unachokiongea wewe au umepagawa na Imani yako ya kishetani huko

    • @emmanuellyatuu4103
      @emmanuellyatuu4103 3 месяца назад

      Ohoooooo😂😂😂😂😂😂😂

    • @philbertrobert1084
      @philbertrobert1084 3 месяца назад

      Yaani wewe kwenye page ya kanisa la watu unafanya Nini? Kitu usichokipenda na unaendelea kukifuatilia tafsiri yake ni kwamba una msongo unahitaji tiba.
      Chukua hatua msongo unaua

    • @andrewdukho8795
      @andrewdukho8795 3 месяца назад +1

      Majini yamempanda huyo

    • @Carolina-sm5zt
      @Carolina-sm5zt 3 месяца назад

      Na wewe unakiti kipi kwani umeyashinda yote ya Duniani hapo Tu umetenda dhambi ya kuhukumu