Mwanzo Mwisho Moto wa Tundu Lissu Akihutubia Wananchi wa Ikungi Mkoani Singida
HTML-код
- Опубликовано: 26 апр 2024
- Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, Tundu Lissu akiongea na wananchi wa wilaya ya Ikungi mkoani Singida katika mkutano wa hadhara wa chama hiko baada ya kufanyika maandamano ya amani.
Pole sana kamanda mungu atakulipa kwa wakati wake
Hongereni sana wana singinda kwa kuitiks❤
Hongera sana
Njooni na Zanzibar
Wewe lisu pamoja sana❤❤
Singida very nice
Pamoja Tundulisu na makamanda
So proud
Wewe ndo unasifa kuongoza nhi hii unaweza unafaa kuongoza
Very nice
😂😂😂😂 soko la kimataifa
😊
Yaan wew lisu uko vizur san
Aliekunyima wewe ndo aliempa yeye😂😂😂😂
Pole sana.
hili jimbo la chalinze mbona.hanfiki kuna madudu mengi
Nimepata shule kuhusu utungaji wa sheria japo siijui sheria
Yaaan ukipata watu kama lisu wawe hata mia moja hakika nchi hii itakua sawa ,ila wengne wa upande wa ccm wapo kimasilahi yao ,yaan wapo kiuchawa ili kupata ugali wao, ila mmbadilike maana unapowafanyia wenzio mabaya ,ujue hayo hayo hua yanamludia alieyafnya ,yaan hio ndio kanuni hata ya mungu
✌️✌️✌️
Hii ya tra ielezee vizr jamani tunakufa jaman
Lissumutuwangu miamia
We are really going towards liberation.
Nina amini Mungu kabla hajakuchikua atakupa uongozi wa nchi hii Mimi na familia yangu nitakuombea usiku na mchana ipo siku tu.
😊
Pamoja Sana makamanda wetu