SHEIKH SONGORO AKITOA MAWAIDHA JUU YA UBAKHILI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 10 сен 2024
  • Katika mawaidha haya Sheikh Songoro anatoa kisa cha mtu tajiri ambaye alikuwa hatoi sadaka. Alipopata ajali mikono yote miwili ikapooza, akawa akiwashwa hawezi kujikuna ,alilia na kumuomba Allah achukuwe mali zake zote abaki masikini ili Allah amrudishie nguvu za mkono angalau mmoja tu aweze kujikuna anapowashwa....endelea kutazama.. whatsapp : 0763 468600 facebook: Sheikh Songoro

Комментарии • 5