Video: Wema Sepetu Akiwa Ndani ya Mahakama ya Kisutu Sakata la Madawa
HTML-код
- Опубликовано: 21 фев 2017
- Wema Sepetu, msanii wa filamu za kibongo aliyewahi kuwa Miss Tanzania 2016, amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu kujibu tuhuma za kukutwa na madawa ya kulevya aina ya bangi, nyumbani kwake.
Akiwa mahakamani hapo, Wema alionekana kuwa kivutio cha wengi, watu kadhaa wakitaka kupata nafasi japo ya kumuona kwa karibu.
Wema alikuwa miongoni mwa mastaa wakubwa Bongo, waliotajwa katika orodha ya awali na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, wakituhumiwa kuhusika na biashara au matumizi ya madawa ya kulevya ambapo wote waliotajwa, walitakiwa kwenda kuripoti Kituo Kikuu cha Polisi (Sentro).
Baada ya kuripoti sentro, Wema na wasanii wenzake walioitikia wito huo, waliwekwa mbaroni kwa siku kadhaa ambapo baadaye, wasanii wenzake waliachiwa lakini Wema aliendelea kushikiliwa.
Baadaye alipelekwa kwa mkemia mkuu kupimwa kama anatumia madawa au la kabla ya kupandishwa kizimbani, akituhumiwa kukutwa na bangi nyumbani kwake.
Baadaye, alichiwa kwa dhamana kwenye Mahakama ya Kisutu ambapo alitakiwa tena kuripoti Februari 22, 2017 ambapo kesi yake imetajwa tena.
Katika video hii, Msanii wa Filamu za Kibongo, Wema Sepetu anaonekana akiwa ndani ya Chumba cha Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu ambapo kesi yake imesikilizwa tena na baadaye anaonekana akiondoka. Kwa habari zaidi, endelea kuitazama Global TV Online.
WEMA SEPETU| MAHAKAMA YA KISUTU|KESI YA MADAWA YA KULEVYA. - Развлечения
Mungu ameshakuja juu ya nchi anatenda kazi yake
namuona elibarikiiii huhuuuu handsome boy la kichagaaa
Wengi mna comment Kama kaonewa, hajaonewa acha apate funzo hio ndio itakuwa turning point, kumzuia asifike pabaya, Mungu amefanya hivo labda ili kumuokoa asifikie ukijugu
Fatma kabisa nikatika Hali ya kumuongoza
Fatma warere nguruka
She is so pretty
God is good Wema, this could have turned out bad Wema. Remember you are in Africa and the law there is not always just, I love you girl .
Kweli mama ni mama, jamani mama anahangaika kweli na mwanae, hongera. mama Mungu akulinde.
mashaallah sura unayo umbo unalo dada jicho likitizama kama vile linaita mashaallah mrembo
Said Khalfan yy ndio yy atabaki kuwa yy Hana copy
Zeinab Omar na kweli uzuri wake utabaki vile vile
Said Khalfan real she's verry beautfull 😍😍😍
mashalah wema
manshallah penda ww wema l
😊😊😊msisitizo Wa Tundu lissu
Lkn tabia je!!!
chadema wamejua kutumia nafasi aiseee 2020 mtaskia wema anapga kampen za chadema
WA KAWAIDA SANA MBONA! TATIZO WA TZ NI WASWAGA USHAMBA
kabxa mwenyew sioni uajabu wakuitwa et mzurii😎
In sha Allah kheri my love
wemaumependeza sana jalibukuvaahivotu umenifulahisha kunamavazimengineyaajabu
mungu atakupigania wema
nyc
wema fanya huolewe sasa mwaka inaenda mum
wema mrembo kweli
wema w ni mzuri alafu una tetemesha mahakama yani wachukua habari mavi suruwaleni
mungu yuko na wewe dada usijali
MUNGU atupi mja wake mithiani tu lenye na mwanzo halikosi mwisho InshallAh yataisha..
Mariam K kweli dadangu hakuna mwanzo usio na mwisho binadamu hupitia mitihani ktk maisha pole dada mungu akutangulie
sister wema kwann atumie vilez
uinuliwe
its normal jamani... alihama lowasa...dkta slaa..Bulaya na wengine sembuse wema mbona kawaida sana ...
Wema nimrembo
wema umezidi mama unatumia had madawa ya kupevya!! punguza bac
he jamani lisu katokea wapi tenaa ila kawa mpole Tundulisu kidog aanze grm 1 tu.gram 1 siyo kilo ropoka km hujarudi keko.
cha muhimu tu mahakama itende haki
yani hana wasi wasi na kesi kapendeza mashalwah musirudie tena na iyo kitu
hajra nifahamishe shoooo
Anatakiwa aswali pia dunia mapito
wapenzi wake wako wapi anakula nao denda wamesepaaa
kawa mpole chezea mjengoni
Eeeh huishi matatizo mama hamorapa
can someone tell me what's going on with wema because i don't understand the language
She Has A Drug Possession Case!
Mimi nasema kama anahusika sheria imusurubu tu hamna namna lakn kama hausiki aachiwe
wote mnaocoment humu kumsifia na kumwonea huruma ni wanafkiiii wakubwa nyie...
kama wewe
Hata kama wamemkuta nabangi pia sio frexh wala sio sifa mzur kwamtoto wakike
imekuwa ni Kenya wangekuwa washashikwa
Kenya u celebrity ni mtu mwenyewe mahakama ya huku haijui hivyo no one is above the law in Kenya.
kadinda duuuuh hingera sana kwa kuwa karbu nawema
mungu haachi mja wake
nakuombea kila saa na dakika nko mombasa lakini niko na wewe dadaa
Rehema Sharriff bahati Martin ndio imekataa kwa Wema
Haha tu ni mapito usijali wataaibika wenyewe na Huyu mwenye kupeana maina wataonaa ukibarikiwa soo madawa pekee yanatajirisha
poa vuta unga sasa panda daraja
Ahahaa!! tundu lissu nakukubali.. eti gram moja ya bangi!
Coment za unafiki😂😂😂😂
ungekubali kama tid yangekua yamrlekisha ona Sasa unateseka kila Leo ,,pole yataisha
Khadija Wendo Mwachirenje utakubali vipi kitu sio kweli
Khadija Wendo Mwachirenje yeye hapo ana kesi ya bhangi na tid ni mtumiaji wa unga ni vitu tofauti
Mariam Mbughi hakuna kitu sio sawa maana huyo alitajwa na petit na nilazima alitumia petit alitaja wema na Rommy angekubali tu angekua huru coz hawakua wakikubali watafungwa no!! then Bangi ilipatikana baada ya uchunguzi kwake nyumbani na ujue hiyo pia nitaarifa waliipata ndio wakaenda kuchunguza
Khadija Wendo Mwachirenje shoga angu nani alikwambia pet kamtaja wema ujue bangi na unga ni tofauti wote waliachiwa walikiri kutumia unga so huwez kukubali kama sio kweli ndio maana walipelekwa kwa mkemia kupimwa so hapo kesi ni hiyo bhangi iliyokutwa kwake
Mariam Mbughi nikweli kesi niyabangi tuu lkn mkemia ameishatoa majibu yatakutumia dawa za kulevya ,hatumii dawa sasa nibangi hiyo ndo tunasubiri jamani
lissu katokea wapi tena??kweli wema ni wema hatotokea kama yeye
Sia Mwacha hahaha ww ka mm nimepigwa na butwaa
jamani nyie mlimuona anavuta au mnapenda maneno ya kijinga isubirini mahakama itoe hukumu
gm 1c kilo haaahaa kama n gm 1nikujaribisha mwachan bana aiiii
Wema soma sana dua yatakwishatu
amina mussa kipingu dua bila swalaa tano dini nyepes my shida mingi n ss wnyewe tunazitafta afwan yataisha
hahaaa ww nakuonaa
mungu atakupigania wema
Amran Salim in shAAAllah 🙏
cha muhimu tu mahakama itende haki
Charles Magere yes
Haha tu ni mapito usijali wataaibika wenyewe na Huyu mwenye kupeana majina wataonaa ukibarikiwa soo madawa pekee yanatajirisha