USTADHI KONDOBUNGO AWAUMBUA WACHUNGAJI WANAOTUMIA MAJI YA UPAKO KUWADANGANYA WATU WATAPATA UTAJIRI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 5 окт 2024
  • KATIKA WACHUNGAJI AMBAO WANAONEKANA NI MATAPELI USTADHI KONDOBUNGO AMEZUNGUMZIA UONGO WA WACHUNGAJI HAO AMBAO WANASEMA WANATOA UTAJIRI

Комментарии • 7

  • @allyway999
    @allyway999 2 месяца назад

    Shekhe bungo Allah akujaalie kheri amin

  • @Kuminamoja1995
    @Kuminamoja1995 2 месяца назад

    Masha'allah sheikh Bungo kwa kufafanua na kuchambua

  • @AliAli-lu7or
    @AliAli-lu7or 2 месяца назад

    Nakupenda kwaajili ya Alwah _baaraka lwahu fiyka

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 2 месяца назад

    Kwa kweli tumrudie MUNGU ukweli wa kumjua zaidi ili tusiendelee kumshirikisha mwenyezi MUNGU asije akatuadhibu kama alivyowaadhibu umati zilizopita.

  • @nurumasha
    @nurumasha 2 месяца назад +1

    Leo wakristo watakua wachache kucomment ila makanisa mengi yanajihusisha na uchawi mkubwa tena wa kafara

  • @yusuphomary7410
    @yusuphomary7410 2 месяца назад

    Inabidi wanaadamu ama watu wote na tumrudie MUNGU Kwa nguvu zote mambo ya shirki na tuyape mgongo.

  • @jumahenriquesgeraldo9837
    @jumahenriquesgeraldo9837 2 месяца назад

    Bali ya maji ya maiti mavi makavu pia. Halafu wanasema mwili wa yesu