BABELI MKUU, MAMA WA MAKAHABA | UFUNUO WA YOHANA - Sura ya 17 (Na. Askofu Dr. Fredrick Simon)

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 15

  • @josephchuma1406
    @josephchuma1406 Год назад

    Hakika tunabarikiwa Sana mtumishi wa BWANA

  • @misigarojoel8453
    @misigarojoel8453 Год назад

    Shalom Askofu, kweli tunakufuata kabisa, Ubarikiwe

  • @bukurunestory3540
    @bukurunestory3540 Год назад

    Hapa umeleweka vyema Askofu Dr Fredrick

  • @MichaelTangishakaGervas-pm6dc
    @MichaelTangishakaGervas-pm6dc Год назад

    Congratulations Bishop Fredrick Simon

  • @mabulakuya
    @mabulakuya 6 месяцев назад +1

    Usidanganye wakubwa soma upya😂😂😂 ufunuo yani bado sana

  • @mikechuma9843
    @mikechuma9843 7 месяцев назад

    Navutiwa sana na mafundisho yako mazuri,nimejifunza mengi sana lkn kuna swali limejitengeneza ktk haya mafundisho kuhusiana na taifa la Israel

  • @emmanuelmmbaga5209
    @emmanuelmmbaga5209 3 месяца назад

    Askofu pitia upya vitabu... Bado huja uelewa unabii vizuri, usifundishe kitu usichokielewa unapoteza watu wasioelewa neno. Jap hauko mbali na ukweli

    • @fabianfabian7006
      @fabianfabian7006 Месяц назад

      Vema sasa ukatuelewesha pale unapohisi hakua sawa kaka , lengo ni moja sote tufike mbinguni

  • @MjumbeAgano
    @MjumbeAgano 6 месяцев назад

    Huu ndio wakati wa unyakuo na watu hawana sehemu ya kuishi mawinguni zaidi ya dunia. NAKUOMBA NA KUKUONYA JIFUNZE KWA MJUMBE WA AGANO DUNIANI,

  • @emanuel4148
    @emanuel4148 7 месяцев назад +1

    Pastor mafundisho yako ni potofu, ingawa umeweka na kaukweli kidogo,
    Unahitaji kufundishwa upya

  • @albertinamichael6123
    @albertinamichael6123 6 месяцев назад

    Hiyo dini ni Romani catholic church mama wa makahaba hao makahaba ni nani.

  • @stephanomuganda6877
    @stephanomuganda6877 3 месяца назад

    Mtumishi wa Mungu hilo somo rudia kujifunza, mwanamke kahaba ni kanisa la kirumi (Roman Catholic) huyo ndiye babeli mkuu na mama wa makahaba, mafundisho yote ya uongo yanatoka Roman Catholic, mfano kutokufa kwa roho, utatu mtakatifu, sabato bandia, hayo ndiyo mafundisho ya uongo ya kanisa katoliki yapo mengi sana ila hayo niliyoandika ni kwa uchache tu, hata hilo fundisho kwamba kanisa litanyakuliwa ndipo dhiki kuu itokee pia ni lao limeingizwa makanisani kwa siri na Jesuits

    • @BenJohnson-es4go
      @BenJohnson-es4go 3 месяца назад

      Mhhhhhh ndiyo maana watu wengi wanapotezwa maana anatafsiri kinyume kabisa na maana halisi

  • @patrickmunishi2277
    @patrickmunishi2277 Год назад

    Au ndiyo NATO mtumishi?