Mtumishi wa Mungu hilo somo rudia kujifunza, mwanamke kahaba ni kanisa la kirumi (Roman Catholic) huyo ndiye babeli mkuu na mama wa makahaba, mafundisho yote ya uongo yanatoka Roman Catholic, mfano kutokufa kwa roho, utatu mtakatifu, sabato bandia, hayo ndiyo mafundisho ya uongo ya kanisa katoliki yapo mengi sana ila hayo niliyoandika ni kwa uchache tu, hata hilo fundisho kwamba kanisa litanyakuliwa ndipo dhiki kuu itokee pia ni lao limeingizwa makanisani kwa siri na Jesuits
Hakika tunabarikiwa Sana mtumishi wa BWANA
Shalom Askofu, kweli tunakufuata kabisa, Ubarikiwe
Hapa umeleweka vyema Askofu Dr Fredrick
Congratulations Bishop Fredrick Simon
Usidanganye wakubwa soma upya😂😂😂 ufunuo yani bado sana
Navutiwa sana na mafundisho yako mazuri,nimejifunza mengi sana lkn kuna swali limejitengeneza ktk haya mafundisho kuhusiana na taifa la Israel
Askofu pitia upya vitabu... Bado huja uelewa unabii vizuri, usifundishe kitu usichokielewa unapoteza watu wasioelewa neno. Jap hauko mbali na ukweli
Vema sasa ukatuelewesha pale unapohisi hakua sawa kaka , lengo ni moja sote tufike mbinguni
Huu ndio wakati wa unyakuo na watu hawana sehemu ya kuishi mawinguni zaidi ya dunia. NAKUOMBA NA KUKUONYA JIFUNZE KWA MJUMBE WA AGANO DUNIANI,
Pastor mafundisho yako ni potofu, ingawa umeweka na kaukweli kidogo,
Unahitaji kufundishwa upya
Hiyo dini ni Romani catholic church mama wa makahaba hao makahaba ni nani.
Mtumishi wa Mungu hilo somo rudia kujifunza, mwanamke kahaba ni kanisa la kirumi (Roman Catholic) huyo ndiye babeli mkuu na mama wa makahaba, mafundisho yote ya uongo yanatoka Roman Catholic, mfano kutokufa kwa roho, utatu mtakatifu, sabato bandia, hayo ndiyo mafundisho ya uongo ya kanisa katoliki yapo mengi sana ila hayo niliyoandika ni kwa uchache tu, hata hilo fundisho kwamba kanisa litanyakuliwa ndipo dhiki kuu itokee pia ni lao limeingizwa makanisani kwa siri na Jesuits
Mhhhhhh ndiyo maana watu wengi wanapotezwa maana anatafsiri kinyume kabisa na maana halisi
Au ndiyo NATO mtumishi?