MLIO NA NDUGU ULAYA NA MAREKANI MSIBWETEKE

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 25 окт 2024

Комментарии • 27

  • @bshrkkz
    @bshrkkz 6 месяцев назад +1

    Hatimaye

  • @patientrashidiali9116
    @patientrashidiali9116 6 месяцев назад +1

    Ubarikiwe kutowa mahelezo inayo injili Njema yakuhonya Watu wahache tabiya chafu na kumshukuru.

  • @MmungaMLTV
    @MmungaMLTV 6 месяцев назад

    Baraka ziambatane nawe Pastor na Mungu azidi kukubariki. Umesema kweli kabisa.

  • @anniemapendo6103
    @anniemapendo6103 6 месяцев назад

    Asante Mchungaji kwa kuelewesha jamii zetu kuhusu maisha ya Ulaya, Australia, Marekani. Ubarikiwe sana.

  • @MsendeleAbdalla
    @MsendeleAbdalla 6 месяцев назад

    Mungu akubariki Mchungaji kwa taazari njema.

  • @Bianca.and_Jane_Rp
    @Bianca.and_Jane_Rp 6 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu

  • @baggiohassan7792
    @baggiohassan7792 6 месяцев назад

    Ubarikiwe sana mtumishi

  • @kabelangoyi7150
    @kabelangoyi7150 8 месяцев назад

    Asante baba mchungaji kwa kazi hii ya kusikilizisha wa ndugu zetu huko Afrika

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 8 месяцев назад

    Asante Sana mahubiri yako yamenibariki tangu nilipoanza kukufuata

  • @noelbumba4038
    @noelbumba4038 8 месяцев назад

    Bishop Dr umesema kweli kabisa baba yangu. Mwenye masikio ya kusikia na asikiye

  • @AbigailZahindula
    @AbigailZahindula 8 месяцев назад

    Yooo ubarikiwe baba😢

  • @ChrispenChris
    @ChrispenChris 8 месяцев назад

    Ubarikiwe saana

  • @AmisseMwenetombwe
    @AmisseMwenetombwe 6 месяцев назад

    Umeongea kweli mchungaji, naomba ufanye vídeo nyingine uwambie na wale aliopo huko Marekani , Canadá, Austrália walio saidiwa na ndugu zawo ili wafikie hapo walipo Léo, wasichoke kuwasaidia kwasababu wao ndo ufunguo Mungu alio utumia ili wafanyikiwe.

  • @bubasha88
    @bubasha88 6 месяцев назад

    Ubarikiwe ndugu

    • @bubasha88
      @bubasha88 6 месяцев назад

      Ubarikiwe mtumishi wa Mungu

  • @alinelumona8836
    @alinelumona8836 6 месяцев назад

    Ubarikiwe Mchungaji wewe una mtumikia Mungu wa kweli na haki ila wengine Nooooo ni daraja za watu unahongea kweli KBs wana tutapeli sana huko wa ndugu zetu awana huruma awajui tunavyo wasahidia tunajinyima wanadhani tu tunawadanganya ila Mungu alie juu anahona myoyo yetu inavyo jituma kuwasahidia penginewangelikua wao uwenda laba hata Number zao za Simu tusinge zijuaga hata kdg ila ipo siku tu.

  • @nassonimfumbilwa6461
    @nassonimfumbilwa6461 8 месяцев назад

    Baba chuo chako kipo sehemu gani I need to come

    • @bishopdr.fredricksimon
      @bishopdr.fredricksimon  6 месяцев назад

      Chuo kipo Tegeta, Dar es Salaam. Nipigie kwa +255 629 891 808 (whatsApp).

  • @pastorjaphetsafari2508
    @pastorjaphetsafari2508 8 месяцев назад

    Right

  • @browjohn5117
    @browjohn5117 8 месяцев назад

    Asante sana baba Askofu.

  • @AbigailZahindula
    @AbigailZahindula 8 месяцев назад

    Hata ivo hawatasikia

  • @mwljohnkwiyega5633
    @mwljohnkwiyega5633 8 месяцев назад

    ASANTE Sana Bishop!!