Umeongea kweli mchungaji, naomba ufanye vídeo nyingine uwambie na wale aliopo huko Marekani , Canadá, Austrália walio saidiwa na ndugu zawo ili wafikie hapo walipo Léo, wasichoke kuwasaidia kwasababu wao ndo ufunguo Mungu alio utumia ili wafanyikiwe.
Ubarikiwe Mchungaji wewe una mtumikia Mungu wa kweli na haki ila wengine Nooooo ni daraja za watu unahongea kweli KBs wana tutapeli sana huko wa ndugu zetu awana huruma awajui tunavyo wasahidia tunajinyima wanadhani tu tunawadanganya ila Mungu alie juu anahona myoyo yetu inavyo jituma kuwasahidia penginewangelikua wao uwenda laba hata Number zao za Simu tusinge zijuaga hata kdg ila ipo siku tu.
Hatimaye
Ubarikiwe kutowa mahelezo inayo injili Njema yakuhonya Watu wahache tabiya chafu na kumshukuru.
Baraka ziambatane nawe Pastor na Mungu azidi kukubariki. Umesema kweli kabisa.
Asante Mchungaji kwa kuelewesha jamii zetu kuhusu maisha ya Ulaya, Australia, Marekani. Ubarikiwe sana.
Mungu akubariki Mchungaji kwa taazari njema.
Ubarikiwe sana mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe sana mtumishi
Asante baba mchungaji kwa kazi hii ya kusikilizisha wa ndugu zetu huko Afrika
Asante sana mpendwa wangu.
Asante Sana mahubiri yako yamenibariki tangu nilipoanza kukufuata
Bishop Dr umesema kweli kabisa baba yangu. Mwenye masikio ya kusikia na asikiye
Ubarikiwe bishop
Yooo ubarikiwe baba😢
Ubarikiwe saana
Amina
Umeongea kweli mchungaji, naomba ufanye vídeo nyingine uwambie na wale aliopo huko Marekani , Canadá, Austrália walio saidiwa na ndugu zawo ili wafikie hapo walipo Léo, wasichoke kuwasaidia kwasababu wao ndo ufunguo Mungu alio utumia ili wafanyikiwe.
Ubarikiwe ndugu
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu
Ubarikiwe Mchungaji wewe una mtumikia Mungu wa kweli na haki ila wengine Nooooo ni daraja za watu unahongea kweli KBs wana tutapeli sana huko wa ndugu zetu awana huruma awajui tunavyo wasahidia tunajinyima wanadhani tu tunawadanganya ila Mungu alie juu anahona myoyo yetu inavyo jituma kuwasahidia penginewangelikua wao uwenda laba hata Number zao za Simu tusinge zijuaga hata kdg ila ipo siku tu.
Baba chuo chako kipo sehemu gani I need to come
Chuo kipo Tegeta, Dar es Salaam. Nipigie kwa +255 629 891 808 (whatsApp).
Right
Asante sana baba Askofu.
Amen
Hata ivo hawatasikia
ASANTE Sana Bishop!!
Asante Pastor