JE MAWAHABI NDIO WALIOWAGAWA? - Sheikh Muhammad Is'haqa

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 22 окт 2024

Комментарии • 34

  • @saidabdurahman9631
    @saidabdurahman9631 9 месяцев назад +1

    MaashaAllah shekh unaongea kwa utulivu
    Watu wanakaririshwa kuwa mawahabi ndio wanaugawa uislam jambo ambalo sio sqhihi

  • @mnolamanyendi4956
    @mnolamanyendi4956 9 месяцев назад

    Shekhe mimi nakuwerewa Sana Allah akujaliee kheri kubwa

  • @gift-AA
    @gift-AA 9 месяцев назад

    ALLAH AKUHIFADH

  • @OmarShela-p2z
    @OmarShela-p2z 9 месяцев назад +1

    Ni kweli kabisa nyinyi ndio mnaowagawa waislam

    • @husseinbhatia434
      @husseinbhatia434 9 месяцев назад

      Ukitoa hicho unacho moyoni utaona Kila kitu vizuri.mi nakuambia unachuki unakitu moyoni kitoe ndugu yangu

  • @HusseinKarumna
    @HusseinKarumna 9 месяцев назад +2

    Allaaah atuongoze ktk njia Sahihi
    Shekhe mazungumzo yako yote ni hali mbaya ya Wasomi wetu ktk kufikisha Daawa lkn kuna jambo moja Ambalo sijalielewa nalo ni Kwanini ukiwataja hao Mashekhe walio Fariki Huwarehemu km ilivyo Kawaida ya Uislamu naomba kujua

  • @jumaamohamed4203
    @jumaamohamed4203 9 месяцев назад

    Acha ufedhuli we mzee mungu anakuona

  • @hajjiramso1937
    @hajjiramso1937 7 месяцев назад

    Shekh wang wa monga vyuru kichelekan allah akuhifadh

  • @mybabyarchive2104
    @mybabyarchive2104 9 месяцев назад

    Ukimaliza utuambie na ugomvi wa mwezi walileta nani?

  • @SalamaKhamis-un8vn
    @SalamaKhamis-un8vn 9 месяцев назад

    Kuwagawa Alikokusudia Shekh Muhammad Idi nikule nyumba moja Baba anafunga kesho mtoto anafunga Leo sio kugawanyika kwa khitlafu zao zakibinafsi

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 9 месяцев назад

    HAYA MADAI

  • @swahibually8349
    @swahibually8349 9 месяцев назад

    Hilo lijizee lina laana ya Sheikh wake kama walivyo na laana Mawahabi wote,ndio maana badala ya kusomesha Dini,ana KAZI ya kuponda chuo alichosmea pamoja na kuwaponda Wanawachuoni.Muone alovyopauka unafikiri ni Mwali wa GAO

  • @GharibAli-po6fp
    @GharibAli-po6fp 9 месяцев назад

    Sheikh, bila.ya.kuangalia nani sahihi, mungetufundisha mengine, elimu ni amana, tutaulizwa

  • @JumaHamadi-n5p
    @JumaHamadi-n5p 8 месяцев назад +1

    Ana sauti nzuri maashallah tutakualika maulidin 😂😂

  • @karimambosanga4290
    @karimambosanga4290 9 месяцев назад

    Basi yatosha shekh kaeni myamalize kwa faida ya uislam. Mtume saw a sema shikamananeni ktk kamba nayo ni uislam

  • @mussakhamis-g8c
    @mussakhamis-g8c 9 месяцев назад

    Usiangalie Tanga angalia Tanzania au ulimwengu ila zaidi angalia Tanzania sio Tanga pekee

  • @nasoros.mgungo5502
    @nasoros.mgungo5502 9 месяцев назад

    😂😂😂😂 Watu wanazungumzia KiNchi,
    Watu walikuwa wanafunga na kufungua pamoja leo nchi moja kuna Eid Tatu.😢

    • @أبوفيصل-د3ش
      @أبوفيصل-د3ش 9 месяцев назад

      Huko kwenu kuna misikit mipya mingap iliyojengwa na Yote wanasimamisha Sala ya ijumaa na khutba kama kawaida!?Je,Vip hukmu ya hyo miskit mipya iliyojengwa Je,imekuja kuwagawa waislam !?????Kaa usome basi usipige kelele huku youtube

  • @HusseinMwindadi
    @HusseinMwindadi 9 месяцев назад

    Yeye aweza kukaa boraska?

  • @MkindiRama-lp6hy
    @MkindiRama-lp6hy 9 месяцев назад

    Sheikh huna nada za kuongea masheikh Kila mnachosema kinadhibitiwa na mtaulizwa

  • @VavamwarangiSwaleh
    @VavamwarangiSwaleh 9 месяцев назад

    Ww huna hata moja unalo likua kuhusu mtengano wa tamta ulio jaa kwako ni ufitina ndio maana ukamkama shekh WAKO

  • @OmarShela-p2z
    @OmarShela-p2z 9 месяцев назад

    Mawahabi ndio wanaoleta fitna katika jamii

    • @MohamedMfaume-f7j
      @MohamedMfaume-f7j 5 месяцев назад

      Hata rasuli aliwagawa baina ya mama na mwanae, mtoto anapenda haki aliyoisikia kwa Mtume na Mama apenda ushirikina.tukaeni darasani na tuielewe dini ya kiislam kama vile maswahaba Allaah awarizie kama.na kuifahamu kama vile wao walivyoifaham.haya marumbano yatapungua ama kuisha kabisa biidhinillaah.

    • @OmarShela-p2z
      @OmarShela-p2z 5 месяцев назад

      @@MohamedMfaume-f7j... Waambie mawahabi waloleta itikadi za kikristo ndani ya uislamu

  • @Mussarashidi-b4f
    @Mussarashidi-b4f 9 месяцев назад

    Ni kweli mawahabi Muna ugawa uislamu matusi mu nayo

  • @OmarAlly-iz8ot
    @OmarAlly-iz8ot 9 месяцев назад

    Wataelewa wazushi ijapokua ni vichwa ngumu😂😂😂

  • @abdulazeizkhameiss9692
    @abdulazeizkhameiss9692 2 месяца назад

    Mawahabi bwana 😂😂😂
    Rudi kwenye Maulidi Sheikh
    Sauti yako ni nzuri sana katika Qasida

  • @omarsaid673
    @omarsaid673 9 месяцев назад

    .

  • @hamzaqaacm1869
    @hamzaqaacm1869 9 месяцев назад

    Muhabi huyo

  • @aminaosman3315
    @aminaosman3315 5 месяцев назад

    ,shekh wewe pia humjui janjira

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 9 месяцев назад

    Ukiwa mtu mzima uwe na busara

  • @allymwinyi970
    @allymwinyi970 9 месяцев назад +1

    Sheikh mimi nakuheshiimu kama miongoni mwa Masheikh zetu Tanga na Tanzania. Ila kwanini huzungumzi kujenga dini, siku zote unatumia nguvu na elimu yako kufarakanisha, kuzungumza ikhtikaf? Sheikh acha hayo. Zungumza Dini, lingania watu. Acha mambo ya fitna sheikh.

  • @jabirhussein4180
    @jabirhussein4180 9 месяцев назад

    Duuh jamaa ananikosha kwenye kaswida tu anazipatia sana

    • @jumasemgaza6298
      @jumasemgaza6298 9 месяцев назад

      😂 inaonekana alikuwa bingwa wa qasda mzee