Allaaah atuongoze ktk njia Sahihi Shekhe mazungumzo yako yote ni hali mbaya ya Wasomi wetu ktk kufikisha Daawa lkn kuna jambo moja Ambalo sijalielewa nalo ni Kwanini ukiwataja hao Mashekhe walio Fariki Huwarehemu km ilivyo Kawaida ya Uislamu naomba kujua
Hilo lijizee lina laana ya Sheikh wake kama walivyo na laana Mawahabi wote,ndio maana badala ya kusomesha Dini,ana KAZI ya kuponda chuo alichosmea pamoja na kuwaponda Wanawachuoni.Muone alovyopauka unafikiri ni Mwali wa GAO
Huko kwenu kuna misikit mipya mingap iliyojengwa na Yote wanasimamisha Sala ya ijumaa na khutba kama kawaida!?Je,Vip hukmu ya hyo miskit mipya iliyojengwa Je,imekuja kuwagawa waislam !?????Kaa usome basi usipige kelele huku youtube
Hata rasuli aliwagawa baina ya mama na mwanae, mtoto anapenda haki aliyoisikia kwa Mtume na Mama apenda ushirikina.tukaeni darasani na tuielewe dini ya kiislam kama vile maswahaba Allaah awarizie kama.na kuifahamu kama vile wao walivyoifaham.haya marumbano yatapungua ama kuisha kabisa biidhinillaah.
Sheikh mimi nakuheshiimu kama miongoni mwa Masheikh zetu Tanga na Tanzania. Ila kwanini huzungumzi kujenga dini, siku zote unatumia nguvu na elimu yako kufarakanisha, kuzungumza ikhtikaf? Sheikh acha hayo. Zungumza Dini, lingania watu. Acha mambo ya fitna sheikh.
MaashaAllah shekh unaongea kwa utulivu
Watu wanakaririshwa kuwa mawahabi ndio wanaugawa uislam jambo ambalo sio sqhihi
Shekhe mimi nakuwerewa Sana Allah akujaliee kheri kubwa
ALLAH AKUHIFADH
Ni kweli kabisa nyinyi ndio mnaowagawa waislam
Ukitoa hicho unacho moyoni utaona Kila kitu vizuri.mi nakuambia unachuki unakitu moyoni kitoe ndugu yangu
Allaaah atuongoze ktk njia Sahihi
Shekhe mazungumzo yako yote ni hali mbaya ya Wasomi wetu ktk kufikisha Daawa lkn kuna jambo moja Ambalo sijalielewa nalo ni Kwanini ukiwataja hao Mashekhe walio Fariki Huwarehemu km ilivyo Kawaida ya Uislamu naomba kujua
Acha ufedhuli we mzee mungu anakuona
Shekh wang wa monga vyuru kichelekan allah akuhifadh
Ukimaliza utuambie na ugomvi wa mwezi walileta nani?
Kuwagawa Alikokusudia Shekh Muhammad Idi nikule nyumba moja Baba anafunga kesho mtoto anafunga Leo sio kugawanyika kwa khitlafu zao zakibinafsi
HAYA MADAI
Hilo lijizee lina laana ya Sheikh wake kama walivyo na laana Mawahabi wote,ndio maana badala ya kusomesha Dini,ana KAZI ya kuponda chuo alichosmea pamoja na kuwaponda Wanawachuoni.Muone alovyopauka unafikiri ni Mwali wa GAO
Sheikh, bila.ya.kuangalia nani sahihi, mungetufundisha mengine, elimu ni amana, tutaulizwa
Ana sauti nzuri maashallah tutakualika maulidin 😂😂
Basi yatosha shekh kaeni myamalize kwa faida ya uislam. Mtume saw a sema shikamananeni ktk kamba nayo ni uislam
Usiangalie Tanga angalia Tanzania au ulimwengu ila zaidi angalia Tanzania sio Tanga pekee
😂😂😂😂 Watu wanazungumzia KiNchi,
Watu walikuwa wanafunga na kufungua pamoja leo nchi moja kuna Eid Tatu.😢
Huko kwenu kuna misikit mipya mingap iliyojengwa na Yote wanasimamisha Sala ya ijumaa na khutba kama kawaida!?Je,Vip hukmu ya hyo miskit mipya iliyojengwa Je,imekuja kuwagawa waislam !?????Kaa usome basi usipige kelele huku youtube
Yeye aweza kukaa boraska?
Sheikh huna nada za kuongea masheikh Kila mnachosema kinadhibitiwa na mtaulizwa
Ww huna hata moja unalo likua kuhusu mtengano wa tamta ulio jaa kwako ni ufitina ndio maana ukamkama shekh WAKO
Mawahabi ndio wanaoleta fitna katika jamii
Hata rasuli aliwagawa baina ya mama na mwanae, mtoto anapenda haki aliyoisikia kwa Mtume na Mama apenda ushirikina.tukaeni darasani na tuielewe dini ya kiislam kama vile maswahaba Allaah awarizie kama.na kuifahamu kama vile wao walivyoifaham.haya marumbano yatapungua ama kuisha kabisa biidhinillaah.
@@MohamedMfaume-f7j... Waambie mawahabi waloleta itikadi za kikristo ndani ya uislamu
Ni kweli mawahabi Muna ugawa uislamu matusi mu nayo
Wataelewa wazushi ijapokua ni vichwa ngumu😂😂😂
Mawahabi bwana 😂😂😂
Rudi kwenye Maulidi Sheikh
Sauti yako ni nzuri sana katika Qasida
.
Muhabi huyo
,shekh wewe pia humjui janjira
Ukiwa mtu mzima uwe na busara
Sheikh mimi nakuheshiimu kama miongoni mwa Masheikh zetu Tanga na Tanzania. Ila kwanini huzungumzi kujenga dini, siku zote unatumia nguvu na elimu yako kufarakanisha, kuzungumza ikhtikaf? Sheikh acha hayo. Zungumza Dini, lingania watu. Acha mambo ya fitna sheikh.
Duuh jamaa ananikosha kwenye kaswida tu anazipatia sana
😂 inaonekana alikuwa bingwa wa qasda mzee