Pombe ni mbaya sana mmi nilirundi home kutoka Nairobi na ngunia baada ya kuwa Nairobi 10 gud yrs ata my wife na my son walikuwa washarundi kwao but now i thanks Jesus nilijitoa kwa ulevi family ikarundi tukabarikiwa na watoto wengine nikapata mali ingine mingi ata najibeba nko na kwangu
Pombe ni mbaya sana mmi nilirundi home kutoka Nairobi na ngunia baada ya kuwa Nairobi 10 gud yrs ata my wife na my son walikuwa washarundi kwao but now i thanks Jesus nilijitoa kwa ulevi family ikarundi tukabarikiwa na watoto wengine nikapata mali ingine mingi ata najibeba nko na kwangu
This is a funny yet inspiring story may God never make you go back to that wretched path ever again...Amen
He is a good narrator
Congratulations 🎉 Mr.
Pombe ni hasara